Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki
Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans
Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa.
Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K
Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.
Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰
Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma
Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana
Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie
Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤
Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹
Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu
Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya
Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.
Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli
Semaji mwenye cv kubwa
Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺
Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️
Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu
Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko
Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,
Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅
Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika
Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu
Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊
Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛
Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia
Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉
Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏
Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever
Naipenda yanga
💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,
Hongera kwa raisi
Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA
Aho wagaya avae....
@@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,
@@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo
Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini
Roho imekuuma.....😮😮😮
Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali
Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga
yanga daima mbele nyuma mwiko
Hongera sana ENG HERS SAIDI
Wa kwanza Leo💚💚💚
Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana
Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri
Yanga🙌🏻🙌🏻
Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan
Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛
Hongera yako president
Kwa aziz ki
Naipenda yanga yangu❤
Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅
Yanga mpaka nakufa❤❤
Yanga for life
💛💚💛💚yanga
Yanga bingwa
Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.
🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa
Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛
Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme
Yanga hii mwaka huu litakufa jitu
For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏
MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k
Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi
Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊
Ulimsainisha ww au
Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅
@@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu
@@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka
Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno
Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu
Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa
HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU
Wambie hawooo manyonyo fc
Nakubali sana ❤
Onger eng hers said na menejiment yote
nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha
Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏
Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉
Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂
Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂
Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤
Author✌🏿✊🏿❤️
MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢
Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚
The first one, today
Safi sana
mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa
Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛
Nice
Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv
Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona
Moyo wangu umetulia sasa
Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K
Huyu jamaa huwa anaongea fact sana
Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂
Asalam aleykum wananchi wenzangu
Walaykum s laam
#Yanga ni lidude kubwa sana😂
💚💛💛💛💚l Love You yanga
Ushindi muhimu
Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉
Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe
Kivip kolo
Maana hamuna munacho tuzidi labda munatuzidi maumivu😂😂😂
Hongera rais
Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮
💚💛💚💛💚💛
Sure😢
Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!
Tujipongeze wana yanga wote.
Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌
3 one today😊
Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉
Sasa ww dogo mchezaji yupo frre sasa mchezaji hahotaji ushawishi