MBWEMBWE ALLY KAMWE BAADA YA AZIZ KI KUSAINI MKATABA MPYA YANGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • Спорт

КОМЕНТАРІ • 185

  • @JitihadaRashidi
    @JitihadaRashidi 18 днів тому +51

    NI WA KWANZA LIKE ZANGU JAMANI Kwa niaba ya Azizi Ki

  • @saidilindukwa
    @saidilindukwa 18 днів тому +19

    Tukubali Tu,GSM na HERSI wanafanya makubwa Sana Yanga tuwe na shukran jmn hawana Baya Hawa watu❤one love,once a young Africans always a young africans

  • @bodyaman
    @bodyaman 18 днів тому +19

    Hongera saaaana Engineer Kheris na viongozi wote wa Yanga Kwa Kufanikiwa kumbakisha mchezaji wetu pendwa.
    Nashauri zitengenezwe jezi nyingi za AZIZ K

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 18 днів тому +11

    Safi sana kiongozi 🎉🎉🎉 tuko nanyi kwa maombi wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko.

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics 18 днів тому +2

    Lililonifurahisha zaidi ni Yanga kubakia Avic Town kwa pre season 👏👏🔰

  • @RamadhaniMangwira-s6w
    @RamadhaniMangwira-s6w 18 днів тому +2

    Hongera san yanga mwaka huu majirani watakoma

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 18 днів тому +2

    Hongera sana Rais wetu Eng. Heris Said asante sana Azizi Ki Mungu akubariki sana

  • @user-gf2jq8mf8j
    @user-gf2jq8mf8j 18 днів тому +3

    Yanga hiii jaman jamani. Watakufa watuuu yanga ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @upendogidion5167
    @upendogidion5167 18 днів тому +3

    Na itakuwa kwa Iman Mungu atatenda na atatenda saana Kila kitu tutachukua vyote msimu huu Mungu turinde tusimamie

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 18 днів тому +3

    Hongera Eng.Hersi na watendaji wako nyote kwa kufanikisha kubakisha "ufunguoh" wetu",tabu ziendelee inshaAllah !❤❤❤

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 18 днів тому +19

    Hongera ENG HERS SAIDI na uongozi wote yanga kwa kazi nzuri mnayo fanya. Jamani ally kamwe mbatufurahisha, yanga NO Stress 😎 Zone, Yanga iteeeeeeeeehhhhhhh💚💚💚🇹🇿🇹🇿🇹🇿💛💛🥹

  • @kalingavictor7068
    @kalingavictor7068 18 днів тому +12

    Hongera sana Injinia Hersi kwa kuipambania timu yetu

  • @user-hu2sf3so9c
    @user-hu2sf3so9c 18 днів тому +6

    Hongera injinia ,GSM,lakini ahsante Aziz ki kubaki Yanga, hongera pia kwa viongozi wote wa Yanga kwa Kazi kubwa mnayofanya

  • @MikidadiKambinda-tr6rl
    @MikidadiKambinda-tr6rl 18 днів тому +3

    Asante. Saaaaana. Viongozi. Wetu. Woooote. Na. Za. Kipekee. Apewe. Master. Aziz. Ki. Hongereni. Sana. Wananchi. Kwa. Uvumilivu. Wenu. Makolobwanji. Walianza. Kupanga. Sherehe. Kutuzomea. Sasa. Vwamebaki. Mimacho. Kodo.

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 18 днів тому +3

    Ni hongera kwa Rais kwakweli amewajibika kwa kazi yake anayoijenga club na timu kwa ujumla. Hongera zake nyingi kwa kweli

  • @user-ql2hc7zt6b
    @user-ql2hc7zt6b 18 днів тому +2

    Semaji mwenye cv kubwa

  • @HusnaOmarry
    @HusnaOmarry 18 днів тому +18

    Yanga hoyeeeee🕺🕺🕺🕺

  • @ndakijoseph8341
    @ndakijoseph8341 18 днів тому +3

    Hapo safii sana, injinia Hans kwa kubakisha Azizi 🔑🗝️

  • @user-eo8tb2js5v
    @user-eo8tb2js5v 18 днів тому +4

    Hakika Mungu.niwalehema siku zote tunawaombea Mungu.akajibu maombi.yenu

  • @martingodfrey7105
    @martingodfrey7105 18 днів тому +10

    Hv Sanamu la Eng.HERSI SAID Tumekubaliana Tuliweke pale JANGWANI AU KWA MKAPA😂 Big up xana Daima mbele Nyuma Mwiko

    • @HusnaOmarry
      @HusnaOmarry 18 днів тому +1

      Iwe kwa mkapa kwa kweli kama mwamba tunaye,,,,

    • @HoseaNguge
      @HoseaNguge 17 днів тому

      Hahahahaha kaka mkubwa likae kwenye milango ya ofisi zote za michezo nchini😅😅😅😅😅

  • @hyy4114
    @hyy4114 18 днів тому +10

    Nilikuwa Nakusubiria kwa hamu msemej mwenye point za uhakika

  • @JohnAlfred-k8f
    @JohnAlfred-k8f 18 днів тому +23

    Hongera sana rais Mungu akupe maisha marefu

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 18 днів тому +5

    Napenda kusema uongozi kwaujumla mkovizuri timunyingine muige siodhambi😊

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 17 днів тому +1

    Tunataka hesri day wananchi💚💛💚💛

  • @AbubakarKales
    @AbubakarKales 18 днів тому +6

    Hongera sana rais wetu hongera azizi ki kutisikia

  • @batilda4920
    @batilda4920 18 днів тому +6

    Semasema semaji letu tunakuelewa 🎉🎉🎉🎉

  • @HusseinJumahussein-lf1xk
    @HusseinJumahussein-lf1xk 18 днів тому +3

    Semaji la kafu💪💪🔥🔥Hongera sana GSM ISHI MIAKA MINGI🙏🙏

  • @AMIRIRAJABU-ld5ry
    @AMIRIRAJABU-ld5ry 18 днів тому +12

    Green 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 and yellow 💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛 forever

  • @SalomeEdward-ch4pk
    @SalomeEdward-ch4pk 18 днів тому +13

    Naipenda yanga

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 18 днів тому +4

    💚💛💚💛💚💛yanga mbelee nyuma mwiko

  • @nicodemusmemba1402
    @nicodemusmemba1402 18 днів тому +3

    Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans pamoja na viongozi wote,

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 18 днів тому +4

    Hongera kwa raisi

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo 18 днів тому +5

    Yanga bingwa,ndugu zangu kwa wale wote ambao hawana kadi za uanachama kama mimi,twendweni tukatafute kadi zetu,ili tuwe wanachama hai wa hii timu yetu pendwa,hakika hawa viongozi wanapambana lakini bila kuwaunga mkono watafika sehemu watashindwa,MIMI NAAHIDI MWEZI WA TISA HAUISHI LAZIMA NIWE NA KADI NA NILIPIE KABISA

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 18 днів тому

      Aho wagaya avae....

    • @LukindoMchome-qv3vo
      @LukindoMchome-qv3vo 18 днів тому

      @@EsterKindoli kabsa,tehena timu yerongwa ni mndu mmwe,

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 18 днів тому

      @@LukindoMchome-qv3vo hata me nireho mbioni kuoka na kadi yangu....tuendiwa tuikunde timu yetu kivitendo

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 18 днів тому +3

    Semeni hongela selekari ya Tanzania na mafisadi wake kwa kutulipia usajili wa madomo ini

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 18 днів тому +4

    Kusikia aziz ki kabaki yanga makolo wanajinyea kwenye suruali

  • @AmiriMalenge-kc5jk
    @AmiriMalenge-kc5jk 18 днів тому +3

    Sasa akili yangu imetulia niwapongeze wote waliofanikusha Ki kubaki Yanga

  • @TausiKitundu
    @TausiKitundu 18 днів тому +10

    yanga daima mbele nyuma mwiko

  • @CharlesDanielnyanda
    @CharlesDanielnyanda 18 днів тому +1

    Hongera sana ENG HERS SAIDI

  • @emanuelromanrc9782
    @emanuelromanrc9782 18 днів тому +6

    Wa kwanza Leo💚💚💚

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 18 днів тому +3

    Jamani wana yanga wote tutanenepa makolo wameudhunika sana

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f 18 днів тому +4

    Yanga tukovizuri. Viongozi wako vizuri

  • @emmanueljohn4571
    @emmanueljohn4571 18 днів тому +9

    Yanga🙌🏻🙌🏻

  • @user-kk7ni6cp7p
    @user-kk7ni6cp7p 18 днів тому +3

    Kwa hili mmezid kuwaonyesha yanga ni kubwa namna gan

  • @Justinaombay
    @Justinaombay 18 днів тому +1

    Yanga hoyeeeeee💛💚💛💚💛💛💚💛💚💛

  • @SalomeEmanuelimpalasinge
    @SalomeEmanuelimpalasinge 18 днів тому +1

    Hongera yako president
    Kwa aziz ki

  • @JayWizzy-iq8ed
    @JayWizzy-iq8ed 18 днів тому +1

    Naipenda yanga yangu❤

  • @BabatStarkid
    @BabatStarkid 18 днів тому +8

    Leo na mim wakwanza💚🫶🫶💚✅

  • @vinnyjr-n1g
    @vinnyjr-n1g 18 днів тому +1

    Yanga mpaka nakufa❤❤

  • @samwelsanyura-iw9nr
    @samwelsanyura-iw9nr 18 днів тому +4

    Yanga for life

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw 18 днів тому +7

    💛💚💛💚yanga

  • @MwaniPh
    @MwaniPh 18 днів тому +7

    Yanga bingwa

  • @tonymwakalenga388
    @tonymwakalenga388 18 днів тому +4

    Langu mimi ni kwamba,Aly kamwe nakuomba utuamasishe Wana Yanga tuanze mchango wa 2000 nchi nzima kumuunga mkono injinia Kama tutaweza kuchangia Wana yYanga milioni kumi Ni sawa na sh.

  • @KimSaidi
    @KimSaidi 18 днів тому +1

    🙋🙋🙋🙋🙋🙋🙋 hii imeendaaa

  • @nurhatkheir1935
    @nurhatkheir1935 18 днів тому +7

    Yanga bwana bongezi la team kubwa barani africa 💛💛💛💚💚💚💛

  • @anyisilejaphet2658
    @anyisilejaphet2658 18 днів тому +6

    Litakufa jitu msimu huu, lazima waseme

  • @KondoNgoma
    @KondoNgoma 18 днів тому +3

    Yanga hii mwaka huu litakufa jitu

  • @user-hy3en6vk5f
    @user-hy3en6vk5f 18 днів тому +1

    For sure mnastaili pongezi 🙏🙏🙏

  • @AntidiusiZindemba
    @AntidiusiZindemba 18 днів тому +1

    MUNGU huyu akulinde injinia miaka 100 uishi baba kumbakiza azizi k

  • @habibuabuu9609
    @habibuabuu9609 18 днів тому +1

    Atamim nampongeza kwakumshawishi azz ili tufike mbili ligi yamabingwa nawananchi wafurahi

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 18 днів тому +3

    Mimi Yanga ila hili la AZIZI KII Ali Kamwe msiwe na siasa AZIZI KII alishasaini mda tu kabla hajaondoka kwaiyo mlitafakali hili mnauwalibu mpila vizazi navyo vinaiga sijapenda msema wetu😊

    • @Justinaombay
      @Justinaombay 18 днів тому

      Ulimsainisha ww au

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 18 днів тому

      Ulikuwa na mkataba wako nenda kwenye app ya yanga utapata habari😅😅

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 17 днів тому +1

      @@Justinaombay Dada Mimi sio mtu wa lopo lopo Wala matusi ila kilichofanyika hapo kama hukuelewa iyo ishu ili watu waonekane wanapambana pili kuwavuta watu kujisajili kwa wingi card wanachama lielewe hilo kwanza na kweli watu waliongezeka kujisajili kupitia plesha ya AZIZI KII kuondoka Yanga kifupi silopoki tu hata mimi nimejisajili sababu ya plesha hiyo hiyo msifuate mkumbo kila kitu mfano serikali wanalianzisha jambo wenyewe wanalitatua wenyewe alafu wanajitokeza kujinadi wananchi wengi hawaelewi hilo kbs wao kupiga makofi tu tumejaa mioshi mingi vichwani tunapelekwa kama kuku wa kizungu tu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 17 днів тому +1

      @@lucymsheshi5871 Nilishaona mda sana hii wala situmii nguvu kwenda kuangalia ukituliza kichwa utajua nini kinaendelea jana ilikuwa picha tu lkn mkataba alishasaini mda sana kabla hajaondoka

  • @user-ds3oi3tt8u
    @user-ds3oi3tt8u 18 днів тому +2

    Kinachombakisha Azizi ki sio pesa bali ni siasa mm niko paleeeeee shikiria hili neno

    • @user-ds3oi3tt8u
      @user-ds3oi3tt8u 18 днів тому

      Uliskia wapi Mtu Achukue milioni 500 Aache b 1 tena kwa mwaka mmoja na hii ndio siasa Iliyojaa hapa Tanzania hususani kwenye club ya utopolo na hata hawa wachezaji wanaoachwa na simba wamechukizwa kwa kuhujumu club na ndio yanayotokea hata inshu ya chama simba haikujihusisha kabisa msimu huu ni kwa7bu ya hii siasa Inayoendelea kuutafuna mpira wetu

    • @user-ds3oi3tt8u
      @user-ds3oi3tt8u 18 днів тому

      Na hamisa mobetto Amechangia kubaki na sio pesa

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr 18 днів тому +1

    HILO SUALA LA KUCHINJA NGAMIA ..LISIFANYIWE MASIHALA LIFANYIKE NI JAMBO ZITO MBELE YA MWENYEZIMUNGU

  • @KizingiliRamadhani-gh5gq
    @KizingiliRamadhani-gh5gq 18 днів тому +4

    Wambie hawooo manyonyo fc

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 18 днів тому +2

    Nakubali sana ❤

  • @islamsaid9587
    @islamsaid9587 17 днів тому +2

    Onger eng hers said na menejiment yote

  • @Abdul-jj6lq
    @Abdul-jj6lq 18 днів тому +1

    nimekunywa mirinda mbili lkn bado nina kiu aaah azizi ki umejua kutuheshimisha

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm 18 днів тому +1

    Hakika❤❤❤❤🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @GraceFesto
    @GraceFesto 18 днів тому +3

    Hongera sana ENG HERS NA UONGOZI WOTE🎉🎉🎉

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 18 днів тому +3

    Nikweli kwa mara ya ya kwanza umezungumuza maneno yanayoeleweka kwa upande wangu umefanya ushawishi mkubwa kwa eg hapo 😂

  • @kasandabulilo564
    @kasandabulilo564 18 днів тому +2

    Safi Yanga juu, lazima jitu litakufa bila kelele😂

  • @abuumfunda
    @abuumfunda 18 днів тому +2

    Injinia nataka nikupe dadangu😂😂❤

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels1631 18 днів тому +1

    Author✌🏿✊🏿❤️

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi7108 18 днів тому +3

    MUWE MUNAWAPEREKA BALAKUDA BEACH KULE HAKUNA WATU HAPO WATAWACHOTA NYAYO ZAO😢😢

  • @GodfreyLipumba-ds6jl
    @GodfreyLipumba-ds6jl 18 днів тому

    Tuko pamoja mpaka Simba ishuke daraja 💚

  • @aziziabeid6052
    @aziziabeid6052 18 днів тому +4

    The first one, today

  • @DieudonneNdiho-yf5sq
    @DieudonneNdiho-yf5sq 18 днів тому +3

    Safi sana

  • @faidhasaid4084
    @faidhasaid4084 18 днів тому +3

    mwambien nina zawad yake special kama mdada tena free kabisa

  • @julietmshana1962
    @julietmshana1962 18 днів тому +3

    Naipenda Yanga jamani nmefurahi sana Aziz ki kubak,i nile sasa maana hii week nmeteseka saana💛💚💛💚💛

  • @Dartonjuma
    @Dartonjuma 18 днів тому +5

    Nice

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 18 днів тому +3

    Hivi nikweli mwamba djigui diara hatutakuwanae kwenye kikosi kijacho? Maana nimeona kwenye mpenja tv

    • @EsterKindoli
      @EsterKindoli 18 днів тому

      Atakuepo...alishaongezewa mkataba...ingia yanga tv utaona

  • @sulehyanajma3399
    @sulehyanajma3399 18 днів тому +1

    Moyo wangu umetulia sasa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 18 днів тому +2

    Nitumieni account ya yanga notupie hata ten jamani ya maji Azz K

  • @eliudmwanalusi3907
    @eliudmwanalusi3907 18 днів тому +1

    Huyu jamaa huwa anaongea fact sana

  • @jivankulikwa24
    @jivankulikwa24 18 днів тому +2

    Mmmh!!!! Jamaan hadi madrid, arsenal, milan, city😂😂

  • @twaribuidrissa9900
    @twaribuidrissa9900 18 днів тому +8

    Asalam aleykum wananchi wenzangu

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer382 18 днів тому +1

    #Yanga ni lidude kubwa sana😂

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q 18 днів тому +8

    💚💛💛💛💚l Love You yanga

  • @tumainimremi3461
    @tumainimremi3461 18 днів тому +3

    Ushindi muhimu

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 18 днів тому +1

    Safi 👊😂 ❤🎉🎉🎉

  • @KonjiKabasa
    @KonjiKabasa 18 днів тому +3

    Yaani mnajitekenya wenyewe na kucheka wenyewe

  • @JumaJabibu
    @JumaJabibu 18 днів тому

    Hongera rais

  • @BhutemiMapalala
    @BhutemiMapalala 17 днів тому

    Injinia apewe maua yake jamaani,daah Hadi laha❤😂🎉😢😮

  • @julietmshana1962
    @julietmshana1962 18 днів тому +3

    💚💛💚💛💚💛

  • @jumamzelela4207
    @jumamzelela4207 18 днів тому +1

    Sure😢

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 18 днів тому +2

    Aziz +pacome + chama ni baraaa tupu Ivo kweli demu atakuja getoni akikumbuka yalomkuta chumbani msimu uliopita 😂!

  • @user-jb5ct7su8n
    @user-jb5ct7su8n 18 днів тому +1

    Tujipongeze wana yanga wote.

  • @mansouromary9246
    @mansouromary9246 18 днів тому

    Ila Ali kamwe anajua kucheza na akili za hao wanaoHojii😂😂🙌

  • @eliadahmhina4125
    @eliadahmhina4125 18 днів тому +2

    3 one today😊

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 18 днів тому +1

    Hahahaaa😂😂😂😂 wasaga sumu wanaloooo,chuma kama chuma bado kipooo🎉🎉🎉🎉

  • @SuleimanIbrahim-lp7qs
    @SuleimanIbrahim-lp7qs 18 днів тому +1

    Sasa ww dogo mchezaji yupo frre sasa mchezaji hahotaji ushawishi