Askofu Mwijage abainisha utoaji Sakramenti na kuzika waamini wasiojiweza kifedha/ "Tusidanganywe"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 17

  • @augustinoevarist6754
    @augustinoevarist6754 23 дні тому +2

    Nasadiki kwa kanisa Moja, Takatifu katoriki la Mitume✍️
    Hapa ndipo Nyumbani kwangu🙏

  • @user-ub1xk6yz6l
    @user-ub1xk6yz6l 27 днів тому +2

    Hongera sana bab askofu

  • @cyprianpetetmbonde6374
    @cyprianpetetmbonde6374 27 днів тому +3

    Catholic ni shule kuu ya ukweli na itabaki kuwa hivyo.💪🏿🙏🙏

  • @jovitusrugahenda7139
    @jovitusrugahenda7139 27 днів тому +1

    Asante baba Askofu kwa kuhimarisha imani.Baba Paroko huo msalaba ni wa kilutheri sio crucifix yetu wakatoliki😂

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 25 днів тому

    Tunashukuru Baba Askofu basi tubadilishe haya mazingira na mapadre waongeze nguvu ktk kusaidia hili na watu wakae karibu na waamini

  • @freddykulwa8190
    @freddykulwa8190 23 дні тому

    Tumsifu yesu kristo

  • @eliasnganira7661
    @eliasnganira7661 27 днів тому +1

    Kanisa lijitafakari, liwekeze kwenye katekesi Waamini walio wengi wana mahangaiko. Mapadre, maaskofu na wengine watoe katekesi Waache. alichoita Papa clericalism

    • @celestinshayo7295
      @celestinshayo7295 26 днів тому

      Unaweza kumlazimisha punda kunywa maji? Kanisa limeshajenga katekesi yake iliyokamilika na linaitoa kila siku sasa wewe huoni umeamua kutoelewa unatangatanga kiimani. Kosa la nani?

  • @JoshuaJulius-jk7ct
    @JoshuaJulius-jk7ct 27 днів тому +1

    Asante sana baba.lakin paroko wa parokia ajitathimin kwa kanisa hili.

    • @KelvinConorard
      @KelvinConorard 27 днів тому +1

      Kun mazingira bado hali ni ngumu uko vigangoni

    • @fadhilishabani4368
      @fadhilishabani4368 27 днів тому

      kweli lipo local sanaa

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 27 днів тому

      Anza wewe kuchangia ujenzi wa kanisa zuri sio unaropoka tu, hivi umezunguka nchi nzima hii ukaona hali ya watu ilivyo au?

    • @user-ub1xk6yz6l
      @user-ub1xk6yz6l 27 днів тому +2

      Paroko afanyeje sasa. anza mchango. Hongereni sana Kwa hatua hii. Kanisa ni watu.

    • @user-jc1do5gf3w
      @user-jc1do5gf3w 24 дні тому

      Asante Baba Askofu kutembelea vigangoni umejionea mwenyewe Hali ilivyo huko

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 27 днів тому

    Jimbo gani