JINSI YA KUTAMBUA KUSUDI LA MUNGU JUU YA MAISHA YAKO || PASTOR GEORGE MUKABWA
Вставка
- Опубліковано 29 вер 2023
- #jrcchurch #PastorGeorgeMukabwa
#jrctz #Tanzania
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176 - Фільми й анімація
I appreciate pastor. God bless you for the wonderful sermon......Amen 🙏
Bwana yesu apewe sifa,kupitia wewe wengi tunabarikiwa kwa kusimamia neno natunafanikiwa ,kiroho na kimwili wewe upo kwa wakati huu ili unene kweli ili ituweke huru
Watu wa Mwanza mmepewa Zawadi kubwa Mungu Baba pokea Utukufu na heshima zoote!!
Asante yesu 🙌🙏🙏🙏 namushukuru mungu kwa kuleta mtumishi wa mungu kwa maisha yangu nilikua nimepotea lakini kwa achili ya maubiri yako yamenichenga nimebarikiwa , ubarikiwe sana mtumishi wa mungu 🙌🙏🙏🙏
Lucy from Kenya am blessed ,,,, in fact huwa unaujenga moyo wangu sana,,,unafundisha Kwa njia ambayo ninalielewa neno la mungu kiurahisi,,,,God blessed
Aki ata mie napenda jinsi anafundisha mpaka unasikia umeelimika kabisaa, Lucy hi ,mkamba also, from tvt town,
Mchungaji nabarikiwa sana na mahubiri mungu akupe maisha marefu uzidi kutulisha chakula Cha roho
Ata mie nampenda sana mtumishi anafanya naelewa vyema sana
❤❤❤❤❤❤
Janine kutoka UK. Nakufuatilia na nakushuru Mchungaji kwa mafunzo yako na najifunza mengi.Bwana azidi kukutia nguvu uendelee kutujenga barikiwa .
Mungu ahsante kwa kujifunua kwangu
Asante kwa mungu wetu kwa kutupa muchugaji online kwa wakati ufaao
Bwana zidishs wema wako na mwepesi katika njia zangu zifunguke katika jina la Yesu kristo Amen
Ubarikiwe mwalimu wa neno
My name Terry Wambui am so blessed since i started watching you on line especially about midnight prayers I have seen fruits of midnight prayers
Ahsante kwa neno pastor❤
Mungu akubariki sana pastor
Listening keenly from qatar doha 🇶🇦🇶🇦🥰🥰
Shalom shalom shalom 🎉🎉
Asante Mt kwa mafundisho mazuri mungu akubariki sana
God bless you pastor
Ubarikiwe mtumishi wa mungu nimejifuza meng na naenda kuishi ndan ya kusud la mungu
Amen amen mtumishi Mungu azidi kkubariki sana aya mahubiri yananifunza mengi
From Malawi that's great this is wellce joseph
Ubarikiwe sana pastor 🙏🙏
Asante sana mtumishi 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Asante tunashukuru Mungu kwama fundisho
GOD BLESS YOU PASTOR GEORGE
Mafundisho mazuri Sana, Glory to God
Amen 🙏🙏🙏
Mungu akubariki. Sana mchungaji..Mungu akuzidishiye hii neema huzidi kutufunguliya..mema ya mungu kwetu
Ubarikiwe na BWANA pastor George MUNGU akuinue kwa viwango vya juu zaidi kwa ajili ya utukufu wa MUNGU
amen mtumish
Naomba unizidishe neema kuu na wepesi ndani ya mwezi huu katika jina la Yesu kristo Amen
Amina
Asante Mtumishi wa Mungu I just wake up this morning here and something told me to open the UA-cam and there you we’re praying for this month na kweli nikasali pamoja na wewe na kuomba Neema ya Mungu iwe juu yangu katika kazi za mikono yangu
Nabarikiwa mno_kutoka Tanzania.Barikiwa Pastor Mkabwa.
Amen Amen
Ule wakati nimeketi Sina kazi,,Mimi hupenda sana kuskiza mafundisho Yako,na yananiinua kiimani.hata kama ni ya 2yrs ago,neno LA mungu halizeeki,nafaidika nayo sana.Mungu azidi kukutumia ili nasi tupate ufahamu wa Roho mtakatifu...
Napenda mafindsho yko yananpa ufahamu wakimungu nahtaji kupata mawsiliano na wewe ili nvune vngi
Priscilla from Kenya working from Gulf.God hide us from the hands of evils🙏🙏🙏
Alphonce Baya from Malindi Kenya, Amen 🙏
Neema na baraka zako ee Mungu nakuomba zinifunike ktk mwezi huu wa10
ASANTE PASTOR KWA MAFUNDISHO
Amen And Amen Baba Mungu azidi kukutia nguvu zake
Doly from Kenya ....mtumishi mungu akuongeshe kibali shaindi.. umenifundisha na kufahamu neno la mungu..niombe kibali niwe Moja Kwa tumishi ata mm
Gertrude Mwamburi kutoka Kenya Nairobi Asante pst kwa neno linalofafanuliwa kwa ustadi umenijenga sana kiroho God bless you aboudantly na akupe muda mrefu uzidi kutujaza
Ubarikiwe pastor
😂😂😂man of God, God bless you so much, thanks for the teachings. May God keep you long to bless many more and more. Amen
Haron kithinji from Kenya pastor George God bless you for your teaching ward of God
Amen amen 🙏
Amen Amen 🙏
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu Mungu awe nawe siku zote za maisha yako azidi kukutumia sana nakutakia kila la heri Ameeen3
Amen 🙏
Am blessed groly be to God be blessed also
Kibali
Amen
Amen Amen Amen!!!!!
Ameen
Moses kutoka Rombo nina barikiwa sana pastor Kwa neno la Mungu unalo fundisha.
Nafuta kilichoratibiwa na shetani ktk familia yangu na afya yangu nafuta kwa damu ya Yesu
Am following from Kenya Man of God am getting blessed
Napenda vile unavyofundisha neno linanijenga Sana kiimani pastor baraka ziwe nyingi kwako baba.Nakupenda
Asante mtumishi umkua wambaraka katika moyo wangu kwa mafundisho yako lam from k
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Watu wa Mwanza mmepata neema mshukuruni Bwana
Kwa damu ya yesu nafuta kusudi la shetanin kwenyew kazi yangu
Asante Mungu,kwaajili ya mtumishi wako naelewa sana
Baba naomba kibali chako Yesu mwezi huu.
Wonder full God be blessed Hear you
Mungu atainyoosha njia yangu kwa jina la Yesu kristo
Ninabarikiwa sana. Mungu akubariki Pastor GEORGE
Asante Mungu weka uovu Mbali na mimi
Much ❤ mtumishi nazidi kukuwa polepole umenizaidia kuwa Na ujazili wa kuomba Mungu peke yangu Na kuhesh
imu Neno la mungu
Asante kwa mahubiri nimebarikiwa sana amen kutoka Kenya
Nabarikiwa na huduma Yako pastor Mungu akubariki
Nashukuru Mungu kwa neema yakunifungua ufahamu wang katika mafundisho hay
Ubarikiwe sana 🙏🙏
Hallelujah Amen 🙌
Barikiwa sana pastor napenda sana huduma yako
Hakika ubarikiwe hili neno limekuja wakati nilitaka kusikia Mungu akubariki sana 🙏
❤
Amen barikiwa sana
Amen and Amen God bless you pastor 🙏🙏
Your preaching lines with my pastors preaching exactly
Bwana Yesu asifiwe, kwa kweli namuona Mungu kupitia wewe mtumishi,unaimarisha sana imani yang.Mungu akutunze Pastor
Kweli nimebarikiwa na neno
🙏🙏
Ahsante kwa loho mtakatifu kukutumia mtumishi
You have been a blessing to me pst
Natamani kujazwa roho mtakatifu
Amen nimebarikiwa sana nahuu mwez wa10 lazima nifunguliwe
Nafuta ratiba na kusudi la ibilisi juu yangu na familiar yangu natengua vyote katika jina la YESU KRISTO
Ni kwa neema ya Mungu tu .
Amen asante kwa somo
How i wish i cld attend the service
Amen Pastor
Amen baba umenijenga kabisa nipo Burundi
Mafundisho mazuri Mtumishi nabarikiwa sana
Amen nimebarikiwa Sana Na hili Neno mafundisho yako kupitia roho Wa Bwana Nuru ya Mungu Na iangaze vyema juu Maisha yako poster❤❤🙏🙏🙏
Mungu Asante kwaajili ya mtumishi wako huyu lakini nataman sana nipate number ya pastor kwaajili ya ushaur Kuna sehem u ninakwama pls najua mtumishi atanipa maarifa au neno nitatoka katika Hali hii
Naomba Siku moja neema ya Mungu iwe nami nipewe namba ya mchungaji
Barikiwa mtumishi was mungu
Amen kubwa
.uwanabalikiwa Sana Naayamaubili❤
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu nimejifunza mambo mengi kupitia mch huyu mimi nipo mbali lkn nimejitahd sn ht kumfikia mch haiwezekani tuwekeeni no ht ya mch msaidizi nipo marekani. Pia Nina neno la kushauri jmn .nashauri kwa mbanano huu wamama wakae mkono wa kushoto wa mch wababa kulia mnabanana siyo kwa ubaya
Nisawa lakini kumbuka kanisa ni ndogo kwa sasa ila wako wanajenga kanisa kila kitu kitakuwa sawa usijali kwa ilo
Smeni
Hakika kusudi la bwana likiwa juu ya maisha yangu,adui hawezi nifikia