TUNDU LISSU afichua mazito nyumbani kwao SINGIDA, ataka gari lake liwe sehemu ya kufundishia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 24

  • @meshacksaimon-r4q
    @meshacksaimon-r4q 21 день тому

    mungu akupe maisha malefu lisu

  • @mussangondya3043
    @mussangondya3043 2 дні тому

    Ishi maisha marefu Lisu

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 3 місяці тому +1

    Hawajakamatwa kweli mmmh hatari sana

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 9 днів тому

    Je ukipewa gari ingine watakulipisha au watakua wanalipa yako hiyo yazamani

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 3 місяці тому +1

    Kifo hutoka kwa Mungu jmn tuamini hili 😢

  • @EmanuelElphas
    @EmanuelElphas 3 місяці тому

    Mungu akutunze

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 місяці тому +1

    Unanikumbusha makanisani mchungaji akihitaji mchango anachangisha, lakini muumini akihitaji msaada anaombewa. Vunguo za watu weusi kuendelea wanazo wazungu. Ndo maana kila Rais africa anaahidi na hawezi kutekeleza kwakua mwenye makampuni ya kufanya ni wazungu ambao unatakiwa kwenda kwao kuwaomba waje kuwekeza kwetu. Kwakua sisi tumefundishwa kua wafanyakazi sio wabunifu

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 9 днів тому

    Hawawezi kufanya ukumbusho kwa sababu wal8ofanya wanajijua ni aibu kufanya hivyo kwa hiyo hawawezi kufanya

  • @davidchege-fx5ho
    @davidchege-fx5ho 3 місяці тому +1

    Magufuli despite your good deeds these was wrong

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 3 місяці тому

    Mimi naomba polisi wajifikirie bila hivo hawana haki yakuwa jeshi la kulinda wanachi wa Tanzania

  • @hamisgagala4891
    @hamisgagala4891 3 місяці тому

    Very grief.

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 3 місяці тому

    Aibu ya taifa hiii

  • @ritaeliass8971
    @ritaeliass8971 26 днів тому

    Polisi anafanya kazi shida unyama mwingi

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 3 місяці тому

    Jamni jesji la polisi ni aibu kubwa kuliko kuwahi kutokea Tanzania.
    Hakuna kesi Kwa hali hii this is not fair 😭😭😭😭😭

  • @Taboraupuge
    @Taboraupuge 2 місяці тому

    Indian movie

  • @patrickjackson1857
    @patrickjackson1857 3 місяці тому

    Mimi mwenyewe ntakuchangia hata kias mpambanaji ili upate gari lingine

  • @locyekumollel9951
    @locyekumollel9951 3 місяці тому

    Swala kuweka gari Hilo kama makumbusho sidhani Kama ni sawa kwa sababu inaweza ikajenga chuki ya kilipa kisasi kwa kizazi kijacho ndani ya vyama vyetu vya siasa,
    Hivyo naomba tusifanye hivyo Kwan itakua ni jambo ambalo sio sahihi

  • @a.m_--68
    @a.m_--68 3 місяці тому

    Lisu fanya upelelezi, usiache lipite hivi

  • @innocentchristopher7571
    @innocentchristopher7571 2 місяці тому

    Gar bdo inawaka muda wote ule dah ila hiii n aibu san kwa serikl ya ccm

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 3 місяці тому

    Shedrack Richard
    Nami naunga mkono hoja tunaposema WaTanganyika kuna Amani tutofautishe Amani na unyama wa kuuana,kupoteza watu na mengine mengi

  • @mohamedially5330
    @mohamedially5330 3 місяці тому

    POLE sana

  • @mohamedmanga8391
    @mohamedmanga8391 3 місяці тому

    Mnafiki unataka tengeneza Tanzania ya wezi.

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 3 місяці тому

    Ubaya wa watu duniani. Unaweza kuta mtu aliempiga risasi yuko hapo hapo. Lakini kupigwa risasi haikufanyi kua Rais bora ukichaguliwa. Kwakua hata wezi wanapigwa risasi.

    • @EliyaMolell
      @EliyaMolell Місяць тому

      Yawezakua walio mpiga ni wale watu wenu upande wako