Daaah hili somo ni balaa yani liko deep sana... Kumbe sadaka inasiri kubwa hivi... Nimejifunza vitu humu nimepata nguvu kubwa sana i wish kila mtu aliangalie hili somo Asante sana mtume somo zuri sana
Barikiwa mtumishi,nipo Arusha,ninashukuru kwa hili somo,madhabau imekula ndugu zangu wengi,hila namshukuru Mungu alinipa haya mafunuo,nikatengeneza nasasa mauti imekoma,unafundisha vizuri,unaeleweka,mwenya masikio na asikie neno roho anayabia makanisa.
Madhabahu ya makaburi.!! Baba alipata kuapa na kuonyesha na kuweka alama eneo angelizikwa pindi mauti ikimkuta,.na hata kuzihifadhi mbao nzuri za Sanduku lake. Aliwaambia watoto wake, Ukoo wake, na hata kijiji, na hata watumishi wachungaji wa kanisa lake kkkt. Baadhi walipinga na maamuzi yake yalitekelezwa nusu nusu. Nini kitakachotokea kwa ukatili na ukatili huo wakati marehemu ameshalala tofauti na maagizo yake kwa uzao wake, mtumishi PASTOR MUTALEMWA? ASANTE SAAANA BABA. NITAPOKEA USHAURI WAKO.
Dady chief apstle Asante sana kumbe kuomba bila kupata mafundisho ni sawa na bure ,dad nimechelew kukujua lkn labda pia huo ndo wakati wa mungu.❤️❤️🙏🙏
Yaani nimekuelewa mchungajii na nimejua wapy am wrong ckua jua haya Asante.... Nashukuru mungu kwa hii neema nimejifunzaa kwa kwely.
Amen,I receive this message in Jesus name barikiwa Sana
Daaah hili somo ni balaa yani liko deep sana... Kumbe sadaka inasiri kubwa hivi... Nimejifunza vitu humu nimepata nguvu kubwa sana i wish kila mtu aliangalie hili somo Asante sana mtume somo zuri sana
Amen
Yahaani wewe kaka,cjui kwann ckukujua zamani,hila nahata sasa nshukuruungu.madhabau imekula ukoo wangu hila namsshukuru mungu ameingilia kati mauti imemezwa.
Nimejifunza kitu somo zuri sana ubarikiwe zaidi Mtumishi wa Mungu
Be blessed nimejifunza vitu mingi kuhusu sadaka ameeen 🙏🙏🙏
Nami napokea ktika jina la yesu mie na family yangu
Ni kweki kabisaaa nimetoa sana but now days wamenikosa in Jesus name
Amen Chief .. Nimeelewa na ntaifanyia kazi
Amen amen
Nimeelewa kabisa,, nashukuru kwa mafundisho yako Apostle Chief Mtalemwa,ata kama yamepita yanapamba
We're blccd our apostle.... For preaching definite will be free.....
Amen 🙏 nimejifuza asante man of GOD nimeelewa Siri ya madhabahu🙏
Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏
Mafunzo muhimu,asante,barikiwa
Barikiwa Mtumishi kwa SoMo nzuri la mazabahu.
Asante sana Apostle nimepokea neema hii ya MADHABAHU
Asante Kwa somo Chief,, nimejifunza.
Asante mungu kwa nabii wako
Barikiwa mtumishi,nipo Arusha,ninashukuru kwa hili somo,madhabau imekula ndugu zangu wengi,hila namshukuru Mungu alinipa haya mafunuo,nikatengeneza nasasa mauti imekoma,unafundisha vizuri,unaeleweka,mwenya masikio na asikie neno roho anayabia makanisa.
Thanks
Ameen Pastor ahsante sana
AMEN!AMEN!AMEN!!!!
Hili somo limenifungua sana baba asante
Halaka halaka nakupenda bule MUNGUa akubaliki
❤️🇧🇮
Asante
Pls servant of God what will I do pls I want to speak with you
You're too much man of God....
Chif nakukubalisana
Iyonikweli mutumishiwamungu wanafanana namimi mukongwe
Madhabahu ya makaburi.!! Baba alipata kuapa na kuonyesha na kuweka alama eneo angelizikwa pindi mauti ikimkuta,.na hata kuzihifadhi mbao nzuri za Sanduku lake. Aliwaambia watoto wake, Ukoo wake, na hata kijiji, na hata watumishi wachungaji wa kanisa lake kkkt. Baadhi walipinga na maamuzi yake yalitekelezwa nusu nusu. Nini kitakachotokea kwa ukatili na ukatili huo wakati marehemu ameshalala tofauti na maagizo yake kwa uzao wake, mtumishi PASTOR MUTALEMWA? ASANTE SAAANA BABA. NITAPOKEA USHAURI WAKO.
Ee mungu ulie hai fungua ufahamu wangu wa ndani kupitia SoMo hili pia ubarikiwe mtumishi
🤣🤣🤣🙌🙌💎💎💎💪💪🙏🙏
Amen
Amen
Amen
Suzana Mollel nikwel
Amen
Asate kwamafudisho yamafuta PST