Maisha Yangu, Nia Yangu: Historia ya Rais Mkapa, maisha ya dhiki na jinsi Bibi yake alivyouawa
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- Kama yalivyo maisha ya kila binadamu, safari ya Rais Mstaafu wa awamu ya 3 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imefikia mwisho usiku wa kumkia Ijumaa ya July 24. Kifo chake kilitangazwa live kwenye TV na Rais Dkt John Pombe Magufuli ambaye uso wake ulionesha dhahiri huzuni kubwa aliyokuwa nayo.
November mwaka 2019, Mhe. Mkapa alizindua kitabu cha historia yake kiitwacho My Life, My Purpose. Kwenye uzinduzi huo. Prof. Rwekaza Mukandala, alisimulia kwa ufupi kile kilichoandikwa kwenye kitabu hicho.
Kwa kutumia alichokiandika Prof. Mukandala, ifahamu historia yake
Tutamkumbuka kwa mengi. Makala nzuri sana "Sky Walker"
𝐒𝐚𝐟𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐤𝐚𝐤𝐚
Kafa baba kiukweli ss Wa Masasi tutapat shida mno maaana watu wa Lupasi yeye ndo kainua
So Inspired Na Raisi Wangu Mkapa Acha Tujitume Baba Ahsnte Kwa Yote Uliofanya,Mwendo Umemaliza Rest In Internal Peace Legends 🙏
Yaan akishakufa utasikia masifa kibao akiwa hai mmmmmh
Mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa amani. Amina. RIP
Amina 🤲🤲🤲
Amin
Amina
AMEEN
Mungu atupe mwisho mwema Yarab 😭😭😭
Amin yarrabi 🤲
AMEEN
Pole watanzanie na familia yake🇧🇮
Mungu amlaze pema peponi nenda baba nasi twaja katika siku ninazokeshaga Leo ndo nimepata habari mbaya na ndo yakulalia najaribu kuangalia jinsi vyombo vya habari vitakavyo zizima @sns mmekuwa wa pili kuiweka after Millard kweli mnachapa kazi God bless u #SNS
Mungu amlaze mahala pema peponi, bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,AMEN
Makala nzuri sana, sky walker uko vizuri sana kaka! Najaribu kupiga picha ya tofauti ya wewe na hivi vi so called presenters vya sasa hivi, ambavyo kila wanacho hoji wana lazimisha kihusiane na UDAKU
Sema jamaa aliwaachia wazungu wachukue 95% ya mgodi na nchi kuchukua 5% kitu ambacho kilimsikitisha sana nyerere wakati nyerere alikataa 45% kwa nchi na wazungu kwa 55%, so kama kuna mahali mwamba yyte amezingua tuwachane sio kupalilia tu mbinguni akuna hizo inshu
So sad condolences to the people of Tanzania,may God give you people peace at this hard tym,may his soul rest in peace
INNALLILLAHI Wainna ilaihi rajeuun tuwe pole watanzania pamoja na familia yake kwa ujumla. 🤲
Muwe mnatuletea makala kama hii mtu akiwa hai..msisubiri mpka afe 🚶♀️🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Fanya hivyo wew
Wanetu wa jifunze
Raha ya milele umpe ehee Bwana mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Amani 🙏🙏💔💔💔😭
Rest in peace! Mbele yake nyuma yetu!!
Aise😭
Mimi sjaelewa kBisa kwani mkapa aligombea ulais mwaka gn
makala imejitosheleza lkn wazee we2 wapemba uliwaonea sana kwa kuambrisha kupigwa na kuuwawa mpk leo nyumba zimefungwa kufuli km makumbusho kweli ulitumika na kuwatumia watu km makala yako inavyosomwa na ilivyoandikwa
Kweli umeliona eee
Na akiwachukia waislam pia
Mungu tu ndo anajua wengine tunabuni tu na kukisia
mwenye copy ya hicho kitabu My life, My purpose...naomba anitumie plz
Kwenye SIASA ameongea kuntu Sana
Innaillah wainna lilah rajiu'n
Mungu mpumuzishe kwa hamani mzee mkapa amina
Tanguria kwa amani laisi wetu mpendwa
Linaloho mbaya sana hili limalehemu
Pole sisi watanzania , Mungu amtangulie naayatizamr mema yake baba mkapa amee
Huyu jmaaa mwanaharakati Sana 😥
Japo kufa kupo lakin mwaka huu mbaya sana
Umeonaee
Tutamkumbuka kwa mengi sana,yeye katangulia tu lakini nasi tunafuatia😥..Makala nzuri brother Sky alway's nakukubali👍
Rest in peace papa 😥
Innal lillah waina illah rajiun poleni Tanzania 🇹🇿
Rest in peace
Vizuri
Innalillah wainnaillahi rajiun 😭
R, l, P
imeniuma sana basi tu namshukuru Mungu kwa kila jambo I.R.P OUR lovely fomer president.
😓😭😭😭😢😢😢innalillah wainna rajioun
NDANDA high Alumna. Nikiwa kama Mwana Ndanda Nimesikitishwa sana Na kifo cha Mwana Ndanda Mwenzetu His Excellence Benjamin W Mkapa . Mungu Ampumzishe mahala panapostahili 🙏🙏
😭😭😭
Pole Pole sana sana DR Magufuli 🙏🏽😭 May he soul Rest In Peace 😭😭🇹🇿
Mh kwer dunia tuna pita, Mung naomba ni saidie niyashinde ya dunia.
𝐍𝐢𝐭𝐚𝐦𝐮𝐚𝐜𝐡𝐢𝐚 𝐌𝐔𝐍𝐆𝐔 𝐰𝐚𝐧𝐠𝐮 𝐧𝐚 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐲𝐢 𝐤𝐮𝐚𝐦𝐮𝐚 𝐧𝐢 𝐭𝐨𝐟𝐚𝐮𝐭𝐢 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐧𝐢𝐦𝐞𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐡𝐚𝐩𝐚 𝐝𝐮𝐧𝐢𝐚𝐧𝐢... 𝚗𝚒 𝚖𝚊𝚗𝚎𝚗𝚘 𝚢𝚊𝚔𝚞𝚝𝚒𝚊 𝚑𝚞𝚣𝚞𝚗𝚒 𝚗𝚊 𝚔𝚞𝚔𝚞𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚞𝚓𝚒𝚞𝚕𝚒𝚣𝚎 𝚗𝚊 𝚠𝚎𝚠𝚎 𝚙𝚒𝚊 𝚍𝚊𝚑... 𝑠𝑖𝑠𝑖 𝑤𝑜𝑦𝑒 𝑛𝑖 𝑤𝑎 𝑀𝑈𝑁𝐺𝑈 𝑛𝑎 𝑘𝑤𝑎𝑘𝑒 𝑡𝑢𝑡𝑎𝑟𝑒𝑗𝑒𝑎.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amin tutakukumbuka,,,Jinsi ya ku download PSP games kwenye simu yako ya Android, usisahau ku Subscribe Bonyeza hapa👇
ua-cam.com/video/8p3eLBEGslo/v-deo.html
Simulizi nzuri sana Brother Sky, ahsante sana 🙏 #RIPMkapa
Kimwili hatuko nawe kiroho utabaki kuwa nasi ,, pumzika kwa amani rais wetu wa awamu ya 3..R.I.P BENJAMIN W.MKAPA
Kweli rais magufuli apo alikuwa na huzuni mkubwa sana pole sana mjomba magu rest in peace mkapa kila nafsi itaonja Umauti 😢😢😢🙏🙏🙏🙏
Inalilah wainailah rajiun Mungu amlaze pahala pema
Mungu amlaze mahala.pema
Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu. Amen
Oooh nmeumia sn😢😢
Yahani kiufupi katutendea mengi amazing tunakuombea kwamwenyezimungu apuguziwe azabu zakaburi amina
Hichi kitabu nitakununua ishaallh kaongea ukweli wote kuhusu life ya tanzania ilivyokua mafisadi walikua wengi sana now naiyona Tanzania mpya yenyekupendeza mbeleni.
Rest easy Mzee wetu Mkapa.🙏
Ewe mola waviumbe,mpe kauli thabiti Rais wetu baba yetu,Ameeni🙏🏾
Excellent content🔥
RIP Pres. Mkapa. Good job Sky
Kumbe wivu na ukuda ni kitambo sana upo tena wa juu hadi kuua mtu!!?
22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭
Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏
22:15 ...... Taking me back in 2007 huko kwetu Kenya 😭😭😭
Pumzika kwa amani Mheshimiwa, mbele yake nyuma yetu 🙏🙏
Asante nimefurahi kujua historia ya mhe Ben Mkapa NwenyenziMungu amlaze mahala pema peponi Ameen tutamkumbuka daima
REST IN ETERNAL PEACE OUR FORMER PRESIDENT #WILLIUMMKAPA
🙏🙏
R.I.P Mkapa
Mungu amuwekewe pema peponi mzee mkapa watanzania wote watoto wababa mmoja tuungane pamoja.😭🙏🏾✊🏾✌🏾
Inauma sana😭😭😭
SNS hamlali
hakika kifo siyo kitu kirahisi kupokeya Rais paka ninapo mutizama natoka na mashozi. pole sana watazania
Tutakukumbuka daima tangulia baba safari yetu ni moja tangulia kamanda
Pole kwa watanzania wote.....R.I.P Mr.President🕯🕯
Allaah akulaze mahal pem pepon bd tunakupend nabad tutakukumbuka
Msiba wa kitaifa watanzania tumeumia sana Pole tanzania pole South tz nguzo yetu tegemeo imedondoka pande za kusin alikua anamaliza migogoro yte kusin .leo itakuaje cc ni wa taabu
Pumzika kwa amani hakika tumejifunza mengi kupitia history yako😭
Inalila inalila rajiun pole sana ndungu zote mungu amuake pema penye wema peponi inshallah
Sky wizzy gentry wizzy!! much respect, you have good voice brother
Innalillah wainna ilaih raj'iun pumzika kwa aman historia nzuri sana mwil wote umesisimka dah
R I p😭😭😭😭😭😭
Raha yamilele umpe ee bwana na mwanga wa milele umwangazie apumzike kwa Aman . Amina 🙏
Mungu akuweke unapo sitahili milele
Mbele yako nyuma yetu baba😢😢 tutakukumbuka daima
Kumbe Rais Wana dhiki had wanakopa
.
Mungu ailaze roho mahar pema pepon amen tutakukumbuka daima
Mwanga wa milele umwangazie ee bwana
Pumzika kwa amani, Mwenyezi Mungu akupokee kwa aman🙏
Pumzika Kwa Amani Mheshimiwa Mkapa
Daaah inauma sana asee,Ila ndo hatuna Jinsi ,mwndo ameumaliza imani ameilinda
Roho ya marehem uipoke e bwana
My condolences to tanzania n the family. May God gve them peace in this hard tym.#254
R.I.P
R.I.P
rest easy babu mpaka mzee wetu,,
😭😭😭😭😭
Inna lillah wainna illah rajiun 😢
Simulizi nzuri
Maskiniii pumzika kwa amani mzee mkapa..
Kazi ya mungu haina makosa
😭😭😭😭
Apumzike kwa amani 😭😭😭
Inna lillah wainnailehy rajioun
😭😭😭
Mungu amlaze mahala pema peponi🙏