MTOTO WA MIAKA 6 ABAKWA ZNZ NA KUFARIKI, MAMA ASIMULIA, ASMA MWIMYI AANGUA KILIO KUIFARIJI FAMILIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 631

  • @JamilaBakari-ve9od
    @JamilaBakari-ve9od 2 місяці тому +10

    Subhana Allah 😢kwakweli inauma sana ndio maana mabalaa mengi yanatokea Dhabi zimekua nyingi ee mwenyezi mungu tupe mwisho mwema na serikal yetu izidi kuangalia haya Mambo pole Sana mzazi mwenzetu Allah akupe nguvu

  • @NassormasoudHilal
    @NassormasoudHilal 2 місяці тому +4

    Subhanallah,walofanya hivo Allah atawahukum

  • @RayaAbdalla-h2c
    @RayaAbdalla-h2c 2 місяці тому +2

    Pole Sana mwanamke mwenzangu najua jinsi gani unaumia lakini Allah atakulipia huyu alienifanyia mtoto wako hivi Allah amuondoshee dunia kiungo kimoja kimoja yaani azikwe kiungo kimoja baada ya chengine asife kwa mara moja Allah ampe adhabu ya fildunia na ya kesho Akhera yaaraab Allah zipokee duwa zetu🙏

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 2 місяці тому +25

    Pole sana dada yngu 😢😢😢😢 kwa mtihan mkubwa kama huuo
    Dhulma haidumu abdan Allah atakulipia kwa dhulma alofanyiwa mtoto wko

  • @fathiyaalmazrui816
    @fathiyaalmazrui816 2 місяці тому +99

    Subhana allah. Ingelikuwa serikali imetoa hukmu ataefanya kitendo kama hichi cha udhalilishaji kwa watoto anyongwe tu. Basi wangeliacha lakini kifungo cha maisha na baadae wanatolewa watarejea.

    • @mahramarswad6041
      @mahramarswad6041 2 місяці тому +6

      True kabisa ulichokisema ndugiangu tunakupenda kwa ajili ya Allah . From uk 🇬🇧

    • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
      @ShebbyTheparadiso-hf6fz 2 місяці тому +8

      Sharia iwekwe kukatwa kichwa adharani tutapata majibu mazur t

    • @AshuraHassan-m8g
      @AshuraHassan-m8g 2 місяці тому +5

      Viongozi hawana habar kwasababu haviwatokei wao

    • @obestone1188
      @obestone1188 2 місяці тому +8

      Hio sheria ni ngumu .sabab kun wat wanasingiziw pia. Unawez kuja kumnyong mt asiekua na hatia

    • @janeajema2603
      @janeajema2603 2 місяці тому +1

      Mtu kama huyo akishikwa mbona anaperekwa mahakamani after atalipa the police pesa atolewe?? Huyo nikuua to kill him

  • @zuleikhakhamis3303
    @zuleikhakhamis3303 2 місяці тому +72

    Allah amshushie laana juu ya laaana alomfanyia mtoto ukatili kama huu na kumkatishia ndoto zake na roho ya mtoto imuandame asiwe na raha ya maisha alofanya ukatili huu na ikibainika kujulikana alofanya ukatili huu bac auliwe na yy mana kifungo cha maisha hastahili anastahili kifo tuu na yy kafaidi nini kwa mtoto mdogo nina mashaka makubwa ahojiwe huyu alopewa mtoto ama mama ake alomwambia ampe sh=500 mana kuna walakini hapo na sintofaham ata kama anasema mkwe sijui nani saiv ucmuamini mtu yoyote amini nafc yako tuu mana ata baba mzazi wanabaka watoto wao na sisi kama wazazi mtoto akikwambia kitu ucpuuze kichunguze ukute huyu mtoto ukatili kafanyiwa kitambo ila anaogopa kusema siku hii Allah kataka kumdhihirishia mama ake nani anafanya kitendo hichi Allah nisamehe ila alokabidhiwa mtoto ahojiwe kwa kina na awekwe chini ya ulinzi mana mie sijamuamini bado na mia 5 yake ama maabara wachukue DNA apo na kisha uyo alokabidhiwa mtoto na yy apimwe pia nimelia kwa uchungu Wallah

    • @Taubino12
      @Taubino12 2 місяці тому +3

      Alokobidhiwa mtto ata mm nahic akamatwe itakuaje amchukue mtto asimfikishe sehem husika n km mwnzo alijua km mtto anamwendo mdgo liana za mungu ziwe jiwe yke na mungu nakuomba umzihirishe mbya Hadid w hyu mtto

    • @hassanmwinjuma6961
      @hassanmwinjuma6961 2 місяці тому

      P

    • @yohanakobero3387
      @yohanakobero3387 2 місяці тому

      Mwenyeze Mungu ni mwenye huruma na upendo. Ilibidi uchukue hatua ya kumuombea huyo aliyofanya hicho kitendo na sio kuhukumu. Kazi ya kuhukumu ni ya Mwenyezi Mungu na siyo yako. Kristo Yesu atusaidie.

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 2 місяці тому

      ​@@yohanakobero3387mkundu wako

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 місяці тому

      Inashangaza itakuaje ukabidhiwe mtoto wa watu mdogo na usimfikishe sehemu ya usalama??
      Kama alikuwa na haraka na mtoto anatembea kidogo kidogo basi angelimuacha hapo kwa mama ake..
      Atakuwa ni huyo huyo..
      Allah ndie anaejua..

  • @samiramahmud406
    @samiramahmud406 2 місяці тому +5

    Uchungu Sana😢😢😢
    Pole sana Dada
    Allah ndie Hakim
    Atamuhukumu mtu
    Aliyefanya kitendo hicho cha Ukatili.
    Allah Akupe Subrah
    Yaa Rabbi 🤲😢

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 2 місяці тому +3

    Pole sn mzazi mwenzetu Allah akupe subira ya hali ya juu zaidi Allah ni hakim wakila kitu atajibu kwa huyo firaauun alie fanya hayo insha Allah

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 місяці тому +14

    Wallahi roho imeniuma huyu mtu alofanya Allah inshallah atamlani laanatullah inshallah amen yarab amen 😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @HubaAbeid
    @HubaAbeid Місяць тому

    Pole sana mungu akupe subraa kwahili na uyo mtu alio fanya kitendo atampa laana kubwa kwa alichokifanya kwa uyo mtt😢😢

  • @ZeitunMohammad
    @ZeitunMohammad 2 місяці тому +17

    Mungu atufanyie wepesi, mm Hua Sina la kusema. Kile mwanangu alifanyiwa sidhani kama Kuna siku nitasahau. Yaarab kila siku namlilia mungu Atanilipa.

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 2 місяці тому +1

      jamani pole dr inauma sana

    • @ZeitunMohammad
      @ZeitunMohammad 2 місяці тому +1

      @@ashurahatibu5069 dadangu, binadamu, sitowahi pona. Mtoto mdogo anabakwa. Na mbakaji anaendelea na maisha, hadi Leo mm humlilia mwenyezi mungu. Yalinikuta.

    • @TatuHusseni-hs7mu
      @TatuHusseni-hs7mu 2 місяці тому +2

      Pole kipenzi

    • @ZeitunMohammad
      @ZeitunMohammad 2 місяці тому +1

      @@TatuHusseni-hs7mu ya huyu dada ilinishinda kumalizia manake yalinikuta na hadi Leo sijaona, nii kama cinema kwenye kichwa changu. Nikizuba namkumbuka. Nashtuka.

    • @Mebs-n5g
      @Mebs-n5g Місяць тому +2

      Allah azid kukutia nguvu😢@@ZeitunMohammad

  • @maimunamselemo8427
    @maimunamselemo8427 Місяць тому +1

    Wanao fanya hivyo vitendo wanyoge 😭😭😭INNALILLAH WAINNAILAHIM LAJUUN

  • @assalamtv8820
    @assalamtv8820 2 місяці тому +2

    Uhuru wa mitandao ya kijamii unachochea sana kuongezeka kwa udhalilishaji kama huo. Allaah awahifadhi watoto wetu. Pole mama, Allaah atakulipa Janna kwa subra yako. Amiin

  • @MaryamSalim-ld6fg
    @MaryamSalim-ld6fg 2 місяці тому

    Subhanallah 😢Allah akutie nguvu sister pol sana Allah atakulipia in shaallah
    Allah atulinde na vizazi vyetu in Shaallah

  • @abdulhalimahmed1576
    @abdulhalimahmed1576 2 місяці тому +2

    Allah atampa laana inshallah

  • @BaloFighter
    @BaloFighter 2 місяці тому

    Pole san dadaangu mungu akupe moyo wa subira katika kipindi hiki unacho pitia😢😢😢

  • @AliHemed-ru6bj
    @AliHemed-ru6bj 2 місяці тому

    Pole sna mama yng mungu atakupa subra

  • @WityPeter
    @WityPeter 2 місяці тому +1

    Pole sana dad mungu akutie nguvu kwakipindi hiki kilicho kuwa kingumu kwako napia mungu akausike na wote walio fanya kitendo icho

  • @BEDORESI
    @BEDORESI 2 місяці тому +27

    Jamani dunia inaelekea wapi tutaogopa ata watoto waende shule au kwenda kucheza ingekuwa kuna hukumu ukibaka unauliwa hivyo wataogopa mtu anabaka anapewa dhamana eeh😢mwenyezi mungu tulindie watoto wetu😭😭😭

    • @ZeyanaKhamismashaka
      @ZeyanaKhamismashaka 2 місяці тому +2

      Kweli kbisa ingekuw hukumu iyo ingekuwa mtu ananyongwa watu wangeogopa kbisa adi huruma yani cijuw tunaelekea wapi. Kwa kweli

    • @tztanzania2262
      @tztanzania2262 2 місяці тому

      😢

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 місяці тому

      Dunia iko vile vile Haielekei popote iko pahala pake... Matatizo tunayo sisi binaadam tujiulize tunaelekea wapi??? Tutaenda kumjibu nini Allah kesho mbele ya Haki! 😢

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 місяці тому

      Allah ametuumbia dunia na akatuumba sisi binaadam lakini looooooh sisi binaadam sijui tunatafuta ni kwa Allah??
      😭😭😭😰Tunatafuta nakama gani Allah atushushie???
      Huu sio ubinaadam kabisa

    • @rehemamlenge1739
      @rehemamlenge1739 2 місяці тому

      Amiin Ya Rabbi

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 2 місяці тому +11

    Bi Asma mwinyi tunakuomba sana sanaaa na Alllah akupeni nguvu ktk kazi hii nzitto na majukumu haya Alllah atakupa nguvu na team yako ifanyiwe kazi na setkali tukufu uchukuwr hatua na sharia Kali ziwrkewe hawa watu wagonjwa

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 2 місяці тому

    Subhanallah 😢😢Yani huko tz kuna matukio yakustaajabisha kwakweli 😢😢pole saana mama

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 2 місяці тому

    😭😭😭😭😭😭ee Mungu naamin hawa wabakaj unawaona" naomba uwaadhibu adhabu kali hd wajutie siku waliyozaliwa" mm n mama naumia mno jmn kumkatisha uhai mtt na kumbaka juu kweli! Tufiche wap watt wetu jmn Mungu baba 😭😭naamin Mungu upo na utatenda 🙏

  • @AminanassorHassan
    @AminanassorHassan 2 місяці тому

    Dah poleni sana wazazi Mungu awape subira na aliyefanya hili Mungu amuhukumu hapa duniani na amuaziri kwa kitendo hiki

  • @UmmuArqam-g5z
    @UmmuArqam-g5z 2 місяці тому

    Pole sana allah akupe subra

  • @AliAmour-g2o
    @AliAmour-g2o 2 місяці тому

    In shaa allah kuumizwa kwako, na sikitiko ulilonalo na machungu yaliyokupata Allah atakulipia wala usiwe na shaka juu ya hilo mama, Allah anasema "Wala usidhani kuwa Allah ameghafilika sana na yale wayafanyayo madhaalimu......" in shaa allah Allah atakulipia hapahapa ulimwenguni oabla ya kufika kunako hisabu ya kweli.

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 2 місяці тому

    Pole sana kipenz kwa kweli inauma sana mola awashushie laana kwa hawa wabakaji watoto wadogo hata wakifa roho zao zisifunguliwe milango ya mbingu zirudi kuteseka mpaka siku ya hukumu yarabb pokea vilio vya wanawake tunateseka😢😢😢

  • @RukiaMwasala
    @RukiaMwasala 2 місяці тому +47

    Hawa wabakaji kwanini wakikamatwa wasinyongwe wanatia hasira sana yaani ,pole sana mama hadija

    • @al-mamarial-mamari5457
      @al-mamarial-mamari5457 2 місяці тому +4

      Mmnnaona wakatwe hayo yanayowafanya wakafanya hivo

    • @khamisisuedi1056
      @khamisisuedi1056 2 місяці тому +3

      Huyo mtaani kwetu angekuwa ni majivu saa hii tumemtia moto

    • @yohanakobero3387
      @yohanakobero3387 2 місяці тому

      Usihukumu ndugu. We muombee kwa Mungu apate kubadilika.

    • @خليفهالرحبي-ف4م
      @خليفهالرحبي-ف4م 2 місяці тому

      Sawa kwa makosa ya kawaida ndio ataombewa abadilike,, lakini kwa makosa ya uadui kumdhalilisha mtoto mdogo miaka 6...😮

    • @yohanakobero3387
      @yohanakobero3387 2 місяці тому

      @@خليفهالرحبي-ف4م hakuna dhambi kubwa inayozidi huruma ya Mungu

  • @NASSORHAMAD-p5n
    @NASSORHAMAD-p5n 2 місяці тому

    MUNGU inshallah atakupa subra dadaangu Japo maskini umeshangia maradhi huna uzima tena nimelia kwa uchungu ALLAH atakupa nguvu na subra ni pepo yako umewekewa MUNGU atakusaidia Aaaamin Allahumma Aaaamin inshallah 🙏🙏🙏

  • @MaryamKhawar-h3j
    @MaryamKhawar-h3j 2 місяці тому +2

    Jamani watoto wadogo mnawachia wanaenda peke yao jamani oh allah amuonyeshe huyo aliomfanyia vitendo vibaya allah awape subra😭😭

  • @RabiaNdege
    @RabiaNdege 2 місяці тому +1

    Dada pole tumeumia wote msiba niwetu wote kiukweli inauma tuenndelee kumuomba awanusuru walioko ndani ya kifus na waliokolewa wakiwa hai mungu awape nguvu na waliokufa mungu awaweke mahali pema amina

    • @RabiaNdege
      @RabiaNdege 2 місяці тому

      Yaarab tupe mwisho mwema, hakika wote tutarejea Kwako. Dahh nimeumia sana

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p 2 місяці тому

    Subhanallha dunia ina unyama mungu tulindie watoto wetu ss tulio inchi za warabuni kuwataftia rizki awalinde pole sana mwanamke mwenzetu 😢😢😢😢😢😢inauma xna

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 2 місяці тому +5

    Nimesikia uchungu kama wa kuzaa mtoto, Pole sana ndugu yangu, Mungu akutie nguvu. 😭

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 місяці тому +17

    😢😢 Ushirikina huo Ameambiwa ubake usipokamatwa mambo yako yatayooka Ushirikina Hauna macho mtoto mdogo Dunia imeharibika sana

    • @DouglasMassop
      @DouglasMassop 2 місяці тому

      Kabisa

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 2 місяці тому +2

      @DouglasMassop Imenikumbushakipind8 Mwaka 1993 Jamaa wa mtaani kwetu Alimbaka mtoto wa mwaka mmoja Akakibia mkoa kwa zaidi ya miaka kumi jamaa alirundu kijijini kwao yaani jamaa alikuwa na pesa nyingi Na gani nne za kutembelea Mbaya zaidi alienda nyumba alibakaga mtoto Kawapa zawadi ya milioni tano yaani mambo ya kichawi chawi tupu na ni mengi sana

    • @saumutoza2382
      @saumutoza2382 2 місяці тому

      ​@@joshuasamson9618 Dah😢

  • @abdurazaqmoses7767
    @abdurazaqmoses7767 2 місяці тому

    Pole sana dada yangu😢 Allah akutie nguvu katika kipindi ichi kigumu unacho pitia walahi imeniuma ikiwa na mie nina mtoto wa kike😢😢😢 pole sana Allah ata muhukumu

  • @25th-d7n
    @25th-d7n 2 місяці тому

    😭😭😭nashindwa mpaka kumaliza kisikiloza inauma sana Allah tusalim salama na vizazi vyetu hakika wewe ndie muhukumu wa haki😢

  • @AliKhamiss-r5k
    @AliKhamiss-r5k 2 місяці тому +2

    Bnaadam wenzangu kwa hali hii ya unyama tuliofikia tusilalamke maisha magumu wal jua kali wal joto kali hay yote tunayatafuta mwenyw iv ni kwel kufanya unyam km uo mtot wa miaka sita kipi kilokuvutia hat ukamfanyia ay yote mungu atunusur lkn tulipofikia wallah kiama kimefika mda wwte wal mt asiwek malengo cjw mwaka cjw hv na vle icho kit tuondowe kbsaaaaa

  • @SiwemaNkuli
    @SiwemaNkuli 2 місяці тому

    Pole sana dada yetu mungu akupe faraja laki

  • @SahimSahil
    @SahimSahil 2 місяці тому

    Pole sana dada Allah akupe uvumilivu na subra maana hii ilivyo kaa km huyo mkweo anahucka vle kwakweli ni mtihani

  • @victoriapatrick9840
    @victoriapatrick9840 2 місяці тому +25

    Kuna wanaume ni mashetani!! Asa mtoto wa miaka 6 anakupa burudani gani?? Anakutamanisha kwa kitu gani? Mtoto mdogo jitu zima na mindevu kibao unamvulia nguo.. ivi tutaiona ata ngome ya bingu kweli!!! Mama anatia huruma Mungu amsaidie kupunguza machungu yake.

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 2 місяці тому

      Aliyekabidhiwa mtoto achukuliwe DNA hii inaonyesha alifanyiwa ukatiri kwa muda hii ilikuwa kiyama😢 Naumia sana sana

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 2 місяці тому

      😭😭😭😭😭

  • @HappyEmmanueli-d9e
    @HappyEmmanueli-d9e Місяць тому

    Jamani mbona unyama umezidi ,pole sana dadangu inaumiza sana kwakweli

  • @JennyHenry370
    @JennyHenry370 2 місяці тому +1

    Pole ma khadija ..serikari uchukuwe hatuwa Sisi WENYE watoto jamani tufanyeje...serikari jamani..ingilieni Kati...Mambo haya sio mara moja kutoka.

  • @LilaAl-b3x
    @LilaAl-b3x 2 місяці тому +1

    Pole san mama mwezangu Mungu akutiye nguvu Mungu amlaani huyo alofanya hvo nayeye asimalize huu mwaka afe kofo kibaya Sana na Chenye kuzalilisha inalilah wainailaih rajiun 😭

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 2 місяці тому +5

    Eeee Bwana Y
    ESu. Tur
    Ehe
    Mu ukatili mbaya sana. Poleni samilia

  • @nabilasimai6890
    @nabilasimai6890 Місяць тому

    Allah akujaalieni subra yenye malipo mema Inshaallah inauma sana sana allah yupo pamoja na wewe

  • @dottokulwa9145
    @dottokulwa9145 2 місяці тому +1

    Pole sana mama mungu akupe imani zaidi ila mungu atakulipa kwa hili, ila serikari yetu inge tuangalia sisi wamama na watoto wetu ifike wakati hawa watu wapatiwe huku ya kunyongwa nasio leo wapo jela kesho unasikia wamepata zamana au msamaha wa Raisi hili haripo sawa tunataka haki sasa tukawaweke wapi watoto wetu sasa

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 2 місяці тому

    Hongera Sana Asma Mwinyi kwa kuonesha Moyo wa Upendo hakika ni huzuni kwa kweli 😢

  • @annajohn175
    @annajohn175 2 місяці тому

    Poleni sana Mungu ailaze roho yamtoto mahala pema ...
    Huyo kijana akamatwe ahojiwe afinywe mpaka aseme alichofanya asionewe huruma maana ndugu

  • @FghgRyy
    @FghgRyy 2 місяці тому +14

    Subhana Allah 😭😭 Pole sana kwa familia na walioguswa na msiba huu Innalillah wainna ilayh raji'un huu ukatili walaaniwe wote wanaofanya hivi Astaghfirullah

  • @HabibaBb-d3s
    @HabibaBb-d3s 2 місяці тому +4

    😢😢😢 subhaan Allah 😭😭 pole sana dada najua unacho pitia dada pole sana 😢

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 2 місяці тому +3

    Subhanna Allah.....huu ni unyama wa hali ya juu. Pole Mama mzazi jamani.

  • @KulsumTwalib
    @KulsumTwalib 2 місяці тому

    Cjui ndo kiama kimeanza 😢 subhanallah 😭😭 Allah atustir waja wake 😢😢

  • @aseelaisaa428
    @aseelaisaa428 2 місяці тому +3

    Pole pole sana sanaaa Allah atatufanyia wepesi yarabiiii atakupa Subra muombee mwanao malazi ya peponi yarabi Amin yarabiiii.pole mama .in shaa Alllah serikali itachukuwa hatua kubwa na Sheria kaliiii.hawa hawawezi kuwaachiwa kwenye jamiiiii

  • @NeemaMakoye-u9w
    @NeemaMakoye-u9w Місяць тому

    Hata serikali ya zanzibar ni hovyo sana hakuna msaada mm nilifika mpaka ikuru nikarudishwa waziri wa wanawake na watoto zanzibar pia hamna kitu wanawaweka kwenye majukumu wasiyo yaweza, mwanangu alilawitiwa mpaka doctor kasibitisha mtoto ana mtaja muhusika ni jirani mzee toka mwaka jana kesi wameiua mapolis wa zanzibar hijii bado sijapoa naamini ipo siku walah sitoacha yoyote alie husika na kuzima kesi ya mwanangu.

  • @AhmedAli-x8w9e
    @AhmedAli-x8w9e 2 місяці тому

    Pole sana mama kwa wakati mgumu na yoyote alieguswa na hu mtihani allah awape wepi na amlaze kwa amani mtoto wetu amenn.#Nawapenda wote waloguswa na hili tukio.

  • @FatimaAbdulla-s4i
    @FatimaAbdulla-s4i 2 місяці тому +3

    Subhanallah, pole mamangu, pole sana

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 2 місяці тому

    Hakuna watu nawachukia kama wabakaji jamani 😢😢😢, yaani habari za wato kubakwa zinaniumza jamani 😢😢😢

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 2 місяці тому +1

    Allah akbar.... Allah atufanyie wepesi atuepushie InshaAllah

  • @Semenimussa-j9l
    @Semenimussa-j9l 2 місяці тому +5

    Mungu ampe moyo wa subra huyu mama😭😭😭 anatiaimani

  • @Abdul-latifAdam
    @Abdul-latifAdam 2 місяці тому

    Wanaume wenzangu dah sijui hata nisemeje tumuogopeni Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 2 місяці тому

    Pole Sana mamangu😢😢 mungu atujalie subra inshaallah

  • @AminKassim-d9n
    @AminKassim-d9n 2 місяці тому +1

    Ww asma acha mambo hayo ya marathon mzungumzie mhalifu akamatwe halafu anyongwe unaleta habari nyingin

  • @eddyjabry6939
    @eddyjabry6939 2 місяці тому

    Mama pole sana tena sana..Mwenyezi Mungu amlaze salama peponi Amen

  • @thaniakassim7687
    @thaniakassim7687 2 місяці тому

    Poleeeeeee😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mungu akupe wepesiiiiii lakni inaumaaaa😭😭😭😭

  • @JennyHenry370
    @JennyHenry370 2 місяці тому

    M/ mungu atakulipia amini

  • @FatumaJuma-x1o
    @FatumaJuma-x1o Місяць тому

    Duh pole san mama

  • @khadijamusa2838
    @khadijamusa2838 2 місяці тому

    Allah akupee subraa mama khadijaa polee

  • @TwalaaTaib
    @TwalaaTaib 2 місяці тому

    Allah akupe subra Imani na Allah ajaliye apatikana😭😭

  • @nurasam5475
    @nurasam5475 2 місяці тому

    NATAMANI KAMA HUYO MTU AFANYIWE KITENDO CHA KIKATILI MNO TENA TUSIMUONE SISI TUBAKI KUMLAANI TU TUSEME KILA WAKATI LAANA TULLAH LAANA TULLAH LAANA TULLAH 😭😭😭😭😭IMENIUMA MNO SIJUI HUYO MAMA YAKE IMEMUUMA NAMNA GANI 😭😭ALLAH AMPE NGUVU NA SUBRA😭😭😭🤲

  • @zainabjuma9168
    @zainabjuma9168 2 місяці тому

    Inasikitisha sanna na inauma sanna, mtoto mdogo hajui lolote analojua ni kula na kucheza Ewe Allah tunakukabidhi mikononi mwako shingo ya dhaalimu mkubwa huyu usimuache kwani ukiwaachia watu Kama Hawa watazidi kuleta ufisadi tu JUU ya Ardhi, umekuwa mtihani ukizaa mtt wako awe wa kike au wakiume HUNA AMANI, humuamini MTU hofu JUU ya hofu Ewe Allah tusaidie.😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔

  • @ladyr.hamsini2311
    @ladyr.hamsini2311 2 місяці тому +1

    Allah akupe subrah kwa msiba huu mzito na akulipe baadali njema,
    Pole Sana mama Khadija

  • @aishabakari8040
    @aishabakari8040 2 місяці тому +41

    Haya mambo ndiyo yanafanya mpaka majengo yanaporomoka izi dhambi niyingi 😢😢

  • @anwarally106
    @anwarally106 2 місяці тому

    Poleni sana mama

  • @SHALIFUSHALIFU-id9ku
    @SHALIFUSHALIFU-id9ku 2 місяці тому

    Subhana Allah mama Khadija Allah akutie nguvu 😢😢

  • @ElazabethNgailo
    @ElazabethNgailo Місяць тому

    Pole dah

  • @Pixxmoleli
    @Pixxmoleli 2 місяці тому

    Mungu husika

  • @AishaSabo-r6t
    @AishaSabo-r6t 2 місяці тому +1

    Subuhanaallah kama hujawai kukupata hili jambo huwezi jua maumivu yake nimakali kuliko kufiwa jmn pole mwanamke mwenzangu yanauma me nasema najua haya maumivu😭😭😭😭😭

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 2 місяці тому +3

    Innalillah Wainnailayhi Rajjiuun ,nakosa neno ,manahii imekua mtihani usionadawa ,manakesi zinafatiliwa nakulaaniwa ,ila bado wabakaji hatujui wanashettani gani , Yaa Allah tusaidie hilijambo lipotelee mbali ,mana hatawafanyao nivizazi vyetu , Ewe Mola tufanyeje tunaumia wazazi ,tunalia sana ,ila bado hatujui namna ,enyi wanaume wanawake wapo ,kwanini mubake hususan watoto hadi muuwe

  • @Lawrenciamuhode
    @Lawrenciamuhode 2 місяці тому

    Mmh mungu wangu 😢😢

  • @omarshee1038
    @omarshee1038 2 місяці тому

    SUBHAANALLAH poleni kwa Familia

  • @ummuhassan2268
    @ummuhassan2268 2 місяці тому

    Pole sana Allah atakupa subra na malipo ya msiba😭😭😭😭😭😭

  • @AsteriaMoris
    @AsteriaMoris 2 місяці тому

    Pole sana mama inauma kwa kweli daa

  • @FATHIYA002
    @FATHIYA002 2 місяці тому +1

    Pole dada mungu atakupa subra ,asma mungu akuongoze ktk kazi yk hiyo aamin.

  • @germanajeremia8744
    @germanajeremia8744 2 місяці тому +2

    WANAUME.......eeeh embu kuweni hata na hofu ya Mungu basi....mtoto wa miaka 6 kwelii jaman😢😢😢...Haya bhana Tunamwachia muumba wa vyote.

    • @feisalmbamba9729
      @feisalmbamba9729 2 місяці тому

      Umejuaj3 kua amebakwa na wanaume?
      Au umeshamjua

    • @user-MIO5pu1iv7o
      @user-MIO5pu1iv7o 2 місяці тому

      😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢 unaongea nn we!!!! Wabakaji nikina nani???? Hukumu na malipo nihapa hapa duniani...watu wanaua we unatetea ujinga kabisa !!! Usirudie akili yako ni 0 kbs

  • @AminaOthman-b4f
    @AminaOthman-b4f 2 місяці тому +1

    Kwa kweli inauma sana poleni sana wafiwa , Inshallah M mungu atawafanyia kila wepesi katiia kipindi hichi kigumu.Ameen.🙏💔😭😭💔

  • @rayouaabdallah1394
    @rayouaabdallah1394 2 місяці тому

    Ila Yule alofatananae ahojiwe vixuri😢😢😢

  • @ZainabKhasal
    @ZainabKhasal 2 місяці тому

    Mthani

  • @zanlec7357
    @zanlec7357 2 місяці тому +2

    Innalillahi wainna ilayhi raajioun pole sana Mama, dah!!!😭😭😭 Iko wapi Zanzibar yngu niipendayo? Yako wapi Maadili ya Kiislamu Zanzibar? Ziko wapi haki za watoto? Iko wapi Amani ya Nafsi ? Uko wapi utulivu wa Akili kwa Wazazi juu y watoto? Iko wapi Serekali inayolipa pesa nyingi san ili watoto wapte Elimu ? Nini Serekali yetu itafany juu y tukio hili la kinyama? Nani wakuirejesha Zanzibar yeny tabia njema? Inauma san yaani dah! Allah atupe subra njema

  • @JasminHassan-b2r
    @JasminHassan-b2r 2 місяці тому

    Mungu tusaidie yani inauma kweli mungu mpumzishe mtoto huyo na umpe mama huyu nguvu na uvumilivu

  • @ShamimuKanju
    @ShamimuKanju 2 місяці тому +7

    Innallilah wainnalillah rajirun pole kwa wafiwa ,ukatili umezidi Mwenyeezi Mungu tunakuomba utupunguzie majanga haya

  • @Mghaza-m16
    @Mghaza-m16 2 місяці тому

    Poleni sanaa .inauma sanaa

  • @AniphaMohamed-dh6sn
    @AniphaMohamed-dh6sn 2 місяці тому +1

    Kweli my mtoto mdogo sana Allah atalipa pmzika Adija wangu damu yako ita enda ovyo mungu atalipa binti mwinyi umeogea point mungu akuogoze

  • @AgnesJacob-q4m
    @AgnesJacob-q4m 2 місяці тому

    Pole sanaa jamaniii ,,,mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 2 місяці тому

    Wauliwe tu wakikamatwaaa😢😢😢😢😢😢pole jaman.ana uchungu mkubwa

  • @Garusahir
    @Garusahir 2 місяці тому

    Allah akupee subraa amuwekee mahala pemaa peponii

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 2 місяці тому +1

    Unajua sheria kuhusu ubakaji bado zaifu wahanga wengi wapo njee huku km huyu. Mtoto unyama alofanyiwa kwa kweli Allah huyu alomfanyia chochote cha kufedhehesha kimkute mbele za watu

  • @mariammm2574
    @mariammm2574 2 місяці тому +4

    MwenyeziMungu ampe maumivu ya daima huyu aliyebaka asiwe na raha maishani mwaka
    Pole sana dada yangu inauma

  • @rizikimohamed2449
    @rizikimohamed2449 2 місяці тому

    Mamake hadija 😢😢 pole sana dadangu Alofanya kitendo hicho Allah atamuhukumu walai

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn 2 місяці тому

    UBALEHE NI KAZI JAMANI UKIVUUKA SALAMA UMSHUKURU ALLAH MAANA WENGINE WANAWAINGILIA MPAKA MBUZI AU KUKU

    • @ibrahimphanuel2284
      @ibrahimphanuel2284 2 місяці тому

      Wengine ata sio mabalekh wana wake na watoto majumban ila ufuska tu umewajaa laana imewajaa

  • @FelisterNampoka
    @FelisterNampoka 2 місяці тому

    Inauma Sana jamani 😭😭😭😭

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 місяці тому

    Poleni sana allaah awape subra huyo jamaa hata kama serikali imuachie lakin mtaenda kukutana nae mbele ya mahakama ya allaah hatakua na pakukumbilia