Subhana Allah 😢kwakweli inauma sana ndio maana mabalaa mengi yanatokea Dhabi zimekua nyingi ee mwenyezi mungu tupe mwisho mwema na serikal yetu izidi kuangalia haya Mambo pole Sana mzazi mwenzetu Allah akupe nguvu
Pole Sana mwanamke mwenzangu najua jinsi gani unaumia lakini Allah atakulipia huyu alienifanyia mtoto wako hivi Allah amuondoshee dunia kiungo kimoja kimoja yaani azikwe kiungo kimoja baada ya chengine asife kwa mara moja Allah ampe adhabu ya fildunia na ya kesho Akhera yaaraab Allah zipokee duwa zetu🙏
Subhana allah. Ingelikuwa serikali imetoa hukmu ataefanya kitendo kama hichi cha udhalilishaji kwa watoto anyongwe tu. Basi wangeliacha lakini kifungo cha maisha na baadae wanatolewa watarejea.
Allah amshushie laana juu ya laaana alomfanyia mtoto ukatili kama huu na kumkatishia ndoto zake na roho ya mtoto imuandame asiwe na raha ya maisha alofanya ukatili huu na ikibainika kujulikana alofanya ukatili huu bac auliwe na yy mana kifungo cha maisha hastahili anastahili kifo tuu na yy kafaidi nini kwa mtoto mdogo nina mashaka makubwa ahojiwe huyu alopewa mtoto ama mama ake alomwambia ampe sh=500 mana kuna walakini hapo na sintofaham ata kama anasema mkwe sijui nani saiv ucmuamini mtu yoyote amini nafc yako tuu mana ata baba mzazi wanabaka watoto wao na sisi kama wazazi mtoto akikwambia kitu ucpuuze kichunguze ukute huyu mtoto ukatili kafanyiwa kitambo ila anaogopa kusema siku hii Allah kataka kumdhihirishia mama ake nani anafanya kitendo hichi Allah nisamehe ila alokabidhiwa mtoto ahojiwe kwa kina na awekwe chini ya ulinzi mana mie sijamuamini bado na mia 5 yake ama maabara wachukue DNA apo na kisha uyo alokabidhiwa mtoto na yy apimwe pia nimelia kwa uchungu Wallah
Alokobidhiwa mtto ata mm nahic akamatwe itakuaje amchukue mtto asimfikishe sehem husika n km mwnzo alijua km mtto anamwendo mdgo liana za mungu ziwe jiwe yke na mungu nakuomba umzihirishe mbya Hadid w hyu mtto
Mwenyeze Mungu ni mwenye huruma na upendo. Ilibidi uchukue hatua ya kumuombea huyo aliyofanya hicho kitendo na sio kuhukumu. Kazi ya kuhukumu ni ya Mwenyezi Mungu na siyo yako. Kristo Yesu atusaidie.
Inashangaza itakuaje ukabidhiwe mtoto wa watu mdogo na usimfikishe sehemu ya usalama?? Kama alikuwa na haraka na mtoto anatembea kidogo kidogo basi angelimuacha hapo kwa mama ake.. Atakuwa ni huyo huyo.. Allah ndie anaejua..
@@ashurahatibu5069 dadangu, binadamu, sitowahi pona. Mtoto mdogo anabakwa. Na mbakaji anaendelea na maisha, hadi Leo mm humlilia mwenyezi mungu. Yalinikuta.
@@TatuHusseni-hs7mu ya huyu dada ilinishinda kumalizia manake yalinikuta na hadi Leo sijaona, nii kama cinema kwenye kichwa changu. Nikizuba namkumbuka. Nashtuka.
Uhuru wa mitandao ya kijamii unachochea sana kuongezeka kwa udhalilishaji kama huo. Allaah awahifadhi watoto wetu. Pole mama, Allaah atakulipa Janna kwa subra yako. Amiin
Jamani dunia inaelekea wapi tutaogopa ata watoto waende shule au kwenda kucheza ingekuwa kuna hukumu ukibaka unauliwa hivyo wataogopa mtu anabaka anapewa dhamana eeh😢mwenyezi mungu tulindie watoto wetu😭😭😭
Dunia iko vile vile Haielekei popote iko pahala pake... Matatizo tunayo sisi binaadam tujiulize tunaelekea wapi??? Tutaenda kumjibu nini Allah kesho mbele ya Haki! 😢
Allah ametuumbia dunia na akatuumba sisi binaadam lakini looooooh sisi binaadam sijui tunatafuta ni kwa Allah?? 😭😭😭😰Tunatafuta nakama gani Allah atushushie??? Huu sio ubinaadam kabisa
Bi Asma mwinyi tunakuomba sana sanaaa na Alllah akupeni nguvu ktk kazi hii nzitto na majukumu haya Alllah atakupa nguvu na team yako ifanyiwe kazi na setkali tukufu uchukuwr hatua na sharia Kali ziwrkewe hawa watu wagonjwa
😭😭😭😭😭😭ee Mungu naamin hawa wabakaj unawaona" naomba uwaadhibu adhabu kali hd wajutie siku waliyozaliwa" mm n mama naumia mno jmn kumkatisha uhai mtt na kumbaka juu kweli! Tufiche wap watt wetu jmn Mungu baba 😭😭naamin Mungu upo na utatenda 🙏
In shaa allah kuumizwa kwako, na sikitiko ulilonalo na machungu yaliyokupata Allah atakulipia wala usiwe na shaka juu ya hilo mama, Allah anasema "Wala usidhani kuwa Allah ameghafilika sana na yale wayafanyayo madhaalimu......" in shaa allah Allah atakulipia hapahapa ulimwenguni oabla ya kufika kunako hisabu ya kweli.
Pole sana kipenz kwa kweli inauma sana mola awashushie laana kwa hawa wabakaji watoto wadogo hata wakifa roho zao zisifunguliwe milango ya mbingu zirudi kuteseka mpaka siku ya hukumu yarabb pokea vilio vya wanawake tunateseka😢😢😢
MUNGU inshallah atakupa subra dadaangu Japo maskini umeshangia maradhi huna uzima tena nimelia kwa uchungu ALLAH atakupa nguvu na subra ni pepo yako umewekewa MUNGU atakusaidia Aaaamin Allahumma Aaaamin inshallah 🙏🙏🙏
Dada pole tumeumia wote msiba niwetu wote kiukweli inauma tuenndelee kumuomba awanusuru walioko ndani ya kifus na waliokolewa wakiwa hai mungu awape nguvu na waliokufa mungu awaweke mahali pema amina
Subhanallha dunia ina unyama mungu tulindie watoto wetu ss tulio inchi za warabuni kuwataftia rizki awalinde pole sana mwanamke mwenzetu 😢😢😢😢😢😢inauma xna
@DouglasMassop Imenikumbushakipind8 Mwaka 1993 Jamaa wa mtaani kwetu Alimbaka mtoto wa mwaka mmoja Akakibia mkoa kwa zaidi ya miaka kumi jamaa alirundu kijijini kwao yaani jamaa alikuwa na pesa nyingi Na gani nne za kutembelea Mbaya zaidi alienda nyumba alibakaga mtoto Kawapa zawadi ya milioni tano yaani mambo ya kichawi chawi tupu na ni mengi sana
Pole sana dada yangu😢 Allah akutie nguvu katika kipindi ichi kigumu unacho pitia walahi imeniuma ikiwa na mie nina mtoto wa kike😢😢😢 pole sana Allah ata muhukumu
Bnaadam wenzangu kwa hali hii ya unyama tuliofikia tusilalamke maisha magumu wal jua kali wal joto kali hay yote tunayatafuta mwenyw iv ni kwel kufanya unyam km uo mtot wa miaka sita kipi kilokuvutia hat ukamfanyia ay yote mungu atunusur lkn tulipofikia wallah kiama kimefika mda wwte wal mt asiwek malengo cjw mwaka cjw hv na vle icho kit tuondowe kbsaaaaa
Kuna wanaume ni mashetani!! Asa mtoto wa miaka 6 anakupa burudani gani?? Anakutamanisha kwa kitu gani? Mtoto mdogo jitu zima na mindevu kibao unamvulia nguo.. ivi tutaiona ata ngome ya bingu kweli!!! Mama anatia huruma Mungu amsaidie kupunguza machungu yake.
Pole san mama mwezangu Mungu akutiye nguvu Mungu amlaani huyo alofanya hvo nayeye asimalize huu mwaka afe kofo kibaya Sana na Chenye kuzalilisha inalilah wainailaih rajiun 😭
Pole sana mama mungu akupe imani zaidi ila mungu atakulipa kwa hili, ila serikari yetu inge tuangalia sisi wamama na watoto wetu ifike wakati hawa watu wapatiwe huku ya kunyongwa nasio leo wapo jela kesho unasikia wamepata zamana au msamaha wa Raisi hili haripo sawa tunataka haki sasa tukawaweke wapi watoto wetu sasa
Subhana Allah 😭😭 Pole sana kwa familia na walioguswa na msiba huu Innalillah wainna ilayh raji'un huu ukatili walaaniwe wote wanaofanya hivi Astaghfirullah
Pole pole sana sanaaa Allah atatufanyia wepesi yarabiiii atakupa Subra muombee mwanao malazi ya peponi yarabi Amin yarabiiii.pole mama .in shaa Alllah serikali itachukuwa hatua kubwa na Sheria kaliiii.hawa hawawezi kuwaachiwa kwenye jamiiiii
Hata serikali ya zanzibar ni hovyo sana hakuna msaada mm nilifika mpaka ikuru nikarudishwa waziri wa wanawake na watoto zanzibar pia hamna kitu wanawaweka kwenye majukumu wasiyo yaweza, mwanangu alilawitiwa mpaka doctor kasibitisha mtoto ana mtaja muhusika ni jirani mzee toka mwaka jana kesi wameiua mapolis wa zanzibar hijii bado sijapoa naamini ipo siku walah sitoacha yoyote alie husika na kuzima kesi ya mwanangu.
Pole sana mama kwa wakati mgumu na yoyote alieguswa na hu mtihani allah awape wepi na amlaze kwa amani mtoto wetu amenn.#Nawapenda wote waloguswa na hili tukio.
NATAMANI KAMA HUYO MTU AFANYIWE KITENDO CHA KIKATILI MNO TENA TUSIMUONE SISI TUBAKI KUMLAANI TU TUSEME KILA WAKATI LAANA TULLAH LAANA TULLAH LAANA TULLAH 😭😭😭😭😭IMENIUMA MNO SIJUI HUYO MAMA YAKE IMEMUUMA NAMNA GANI 😭😭ALLAH AMPE NGUVU NA SUBRA😭😭😭🤲
Inasikitisha sanna na inauma sanna, mtoto mdogo hajui lolote analojua ni kula na kucheza Ewe Allah tunakukabidhi mikononi mwako shingo ya dhaalimu mkubwa huyu usimuache kwani ukiwaachia watu Kama Hawa watazidi kuleta ufisadi tu JUU ya Ardhi, umekuwa mtihani ukizaa mtt wako awe wa kike au wakiume HUNA AMANI, humuamini MTU hofu JUU ya hofu Ewe Allah tusaidie.😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔
Subuhanaallah kama hujawai kukupata hili jambo huwezi jua maumivu yake nimakali kuliko kufiwa jmn pole mwanamke mwenzangu yanauma me nasema najua haya maumivu😭😭😭😭😭
😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢 unaongea nn we!!!! Wabakaji nikina nani???? Hukumu na malipo nihapa hapa duniani...watu wanaua we unatetea ujinga kabisa !!! Usirudie akili yako ni 0 kbs
Innalillahi wainna ilayhi raajioun pole sana Mama, dah!!!😭😭😭 Iko wapi Zanzibar yngu niipendayo? Yako wapi Maadili ya Kiislamu Zanzibar? Ziko wapi haki za watoto? Iko wapi Amani ya Nafsi ? Uko wapi utulivu wa Akili kwa Wazazi juu y watoto? Iko wapi Serekali inayolipa pesa nyingi san ili watoto wapte Elimu ? Nini Serekali yetu itafany juu y tukio hili la kinyama? Nani wakuirejesha Zanzibar yeny tabia njema? Inauma san yaani dah! Allah atupe subra njema
Unajua sheria kuhusu ubakaji bado zaifu wahanga wengi wapo njee huku km huyu. Mtoto unyama alofanyiwa kwa kweli Allah huyu alomfanyia chochote cha kufedhehesha kimkute mbele za watu
Subhana Allah 😢kwakweli inauma sana ndio maana mabalaa mengi yanatokea Dhabi zimekua nyingi ee mwenyezi mungu tupe mwisho mwema na serikal yetu izidi kuangalia haya Mambo pole Sana mzazi mwenzetu Allah akupe nguvu
Subhanallah,walofanya hivo Allah atawahukum
Pole Sana mwanamke mwenzangu najua jinsi gani unaumia lakini Allah atakulipia huyu alienifanyia mtoto wako hivi Allah amuondoshee dunia kiungo kimoja kimoja yaani azikwe kiungo kimoja baada ya chengine asife kwa mara moja Allah ampe adhabu ya fildunia na ya kesho Akhera yaaraab Allah zipokee duwa zetu🙏
Pole sana dada yngu 😢😢😢😢 kwa mtihan mkubwa kama huuo
Dhulma haidumu abdan Allah atakulipia kwa dhulma alofanyiwa mtoto wko
Subhana allah. Ingelikuwa serikali imetoa hukmu ataefanya kitendo kama hichi cha udhalilishaji kwa watoto anyongwe tu. Basi wangeliacha lakini kifungo cha maisha na baadae wanatolewa watarejea.
True kabisa ulichokisema ndugiangu tunakupenda kwa ajili ya Allah . From uk 🇬🇧
Sharia iwekwe kukatwa kichwa adharani tutapata majibu mazur t
Viongozi hawana habar kwasababu haviwatokei wao
Hio sheria ni ngumu .sabab kun wat wanasingiziw pia. Unawez kuja kumnyong mt asiekua na hatia
Mtu kama huyo akishikwa mbona anaperekwa mahakamani after atalipa the police pesa atolewe?? Huyo nikuua to kill him
Allah amshushie laana juu ya laaana alomfanyia mtoto ukatili kama huu na kumkatishia ndoto zake na roho ya mtoto imuandame asiwe na raha ya maisha alofanya ukatili huu na ikibainika kujulikana alofanya ukatili huu bac auliwe na yy mana kifungo cha maisha hastahili anastahili kifo tuu na yy kafaidi nini kwa mtoto mdogo nina mashaka makubwa ahojiwe huyu alopewa mtoto ama mama ake alomwambia ampe sh=500 mana kuna walakini hapo na sintofaham ata kama anasema mkwe sijui nani saiv ucmuamini mtu yoyote amini nafc yako tuu mana ata baba mzazi wanabaka watoto wao na sisi kama wazazi mtoto akikwambia kitu ucpuuze kichunguze ukute huyu mtoto ukatili kafanyiwa kitambo ila anaogopa kusema siku hii Allah kataka kumdhihirishia mama ake nani anafanya kitendo hichi Allah nisamehe ila alokabidhiwa mtoto ahojiwe kwa kina na awekwe chini ya ulinzi mana mie sijamuamini bado na mia 5 yake ama maabara wachukue DNA apo na kisha uyo alokabidhiwa mtoto na yy apimwe pia nimelia kwa uchungu Wallah
Alokobidhiwa mtto ata mm nahic akamatwe itakuaje amchukue mtto asimfikishe sehem husika n km mwnzo alijua km mtto anamwendo mdgo liana za mungu ziwe jiwe yke na mungu nakuomba umzihirishe mbya Hadid w hyu mtto
P
Mwenyeze Mungu ni mwenye huruma na upendo. Ilibidi uchukue hatua ya kumuombea huyo aliyofanya hicho kitendo na sio kuhukumu. Kazi ya kuhukumu ni ya Mwenyezi Mungu na siyo yako. Kristo Yesu atusaidie.
@@yohanakobero3387mkundu wako
Inashangaza itakuaje ukabidhiwe mtoto wa watu mdogo na usimfikishe sehemu ya usalama??
Kama alikuwa na haraka na mtoto anatembea kidogo kidogo basi angelimuacha hapo kwa mama ake..
Atakuwa ni huyo huyo..
Allah ndie anaejua..
Uchungu Sana😢😢😢
Pole sana Dada
Allah ndie Hakim
Atamuhukumu mtu
Aliyefanya kitendo hicho cha Ukatili.
Allah Akupe Subrah
Yaa Rabbi 🤲😢
Pole sn mzazi mwenzetu Allah akupe subira ya hali ya juu zaidi Allah ni hakim wakila kitu atajibu kwa huyo firaauun alie fanya hayo insha Allah
Wallahi roho imeniuma huyu mtu alofanya Allah inshallah atamlani laanatullah inshallah amen yarab amen 😢😢😢😢😢😢😢😢
Pole sana mungu akupe subraa kwahili na uyo mtu alio fanya kitendo atampa laana kubwa kwa alichokifanya kwa uyo mtt😢😢
Mungu atufanyie wepesi, mm Hua Sina la kusema. Kile mwanangu alifanyiwa sidhani kama Kuna siku nitasahau. Yaarab kila siku namlilia mungu Atanilipa.
jamani pole dr inauma sana
@@ashurahatibu5069 dadangu, binadamu, sitowahi pona. Mtoto mdogo anabakwa. Na mbakaji anaendelea na maisha, hadi Leo mm humlilia mwenyezi mungu. Yalinikuta.
Pole kipenzi
@@TatuHusseni-hs7mu ya huyu dada ilinishinda kumalizia manake yalinikuta na hadi Leo sijaona, nii kama cinema kwenye kichwa changu. Nikizuba namkumbuka. Nashtuka.
Allah azid kukutia nguvu😢@@ZeitunMohammad
Wanao fanya hivyo vitendo wanyoge 😭😭😭INNALILLAH WAINNAILAHIM LAJUUN
Uhuru wa mitandao ya kijamii unachochea sana kuongezeka kwa udhalilishaji kama huo. Allaah awahifadhi watoto wetu. Pole mama, Allaah atakulipa Janna kwa subra yako. Amiin
Subhanallah 😢Allah akutie nguvu sister pol sana Allah atakulipia in shaallah
Allah atulinde na vizazi vyetu in Shaallah
Allah atampa laana inshallah
Pole san dadaangu mungu akupe moyo wa subira katika kipindi hiki unacho pitia😢😢😢
Pole sna mama yng mungu atakupa subra
Pole sana dad mungu akutie nguvu kwakipindi hiki kilicho kuwa kingumu kwako napia mungu akausike na wote walio fanya kitendo icho
Jamani dunia inaelekea wapi tutaogopa ata watoto waende shule au kwenda kucheza ingekuwa kuna hukumu ukibaka unauliwa hivyo wataogopa mtu anabaka anapewa dhamana eeh😢mwenyezi mungu tulindie watoto wetu😭😭😭
Kweli kbisa ingekuw hukumu iyo ingekuwa mtu ananyongwa watu wangeogopa kbisa adi huruma yani cijuw tunaelekea wapi. Kwa kweli
😢
Dunia iko vile vile Haielekei popote iko pahala pake... Matatizo tunayo sisi binaadam tujiulize tunaelekea wapi??? Tutaenda kumjibu nini Allah kesho mbele ya Haki! 😢
Allah ametuumbia dunia na akatuumba sisi binaadam lakini looooooh sisi binaadam sijui tunatafuta ni kwa Allah??
😭😭😭😰Tunatafuta nakama gani Allah atushushie???
Huu sio ubinaadam kabisa
Amiin Ya Rabbi
Bi Asma mwinyi tunakuomba sana sanaaa na Alllah akupeni nguvu ktk kazi hii nzitto na majukumu haya Alllah atakupa nguvu na team yako ifanyiwe kazi na setkali tukufu uchukuwr hatua na sharia Kali ziwrkewe hawa watu wagonjwa
Subhanallah 😢😢Yani huko tz kuna matukio yakustaajabisha kwakweli 😢😢pole saana mama
😭😭😭😭😭😭ee Mungu naamin hawa wabakaj unawaona" naomba uwaadhibu adhabu kali hd wajutie siku waliyozaliwa" mm n mama naumia mno jmn kumkatisha uhai mtt na kumbaka juu kweli! Tufiche wap watt wetu jmn Mungu baba 😭😭naamin Mungu upo na utatenda 🙏
Dah poleni sana wazazi Mungu awape subira na aliyefanya hili Mungu amuhukumu hapa duniani na amuaziri kwa kitendo hiki
Pole sana allah akupe subra
In shaa allah kuumizwa kwako, na sikitiko ulilonalo na machungu yaliyokupata Allah atakulipia wala usiwe na shaka juu ya hilo mama, Allah anasema "Wala usidhani kuwa Allah ameghafilika sana na yale wayafanyayo madhaalimu......" in shaa allah Allah atakulipia hapahapa ulimwenguni oabla ya kufika kunako hisabu ya kweli.
Pole sana kipenz kwa kweli inauma sana mola awashushie laana kwa hawa wabakaji watoto wadogo hata wakifa roho zao zisifunguliwe milango ya mbingu zirudi kuteseka mpaka siku ya hukumu yarabb pokea vilio vya wanawake tunateseka😢😢😢
Hawa wabakaji kwanini wakikamatwa wasinyongwe wanatia hasira sana yaani ,pole sana mama hadija
Mmnnaona wakatwe hayo yanayowafanya wakafanya hivo
Huyo mtaani kwetu angekuwa ni majivu saa hii tumemtia moto
Usihukumu ndugu. We muombee kwa Mungu apate kubadilika.
Sawa kwa makosa ya kawaida ndio ataombewa abadilike,, lakini kwa makosa ya uadui kumdhalilisha mtoto mdogo miaka 6...😮
@@خليفهالرحبي-ف4م hakuna dhambi kubwa inayozidi huruma ya Mungu
MUNGU inshallah atakupa subra dadaangu Japo maskini umeshangia maradhi huna uzima tena nimelia kwa uchungu ALLAH atakupa nguvu na subra ni pepo yako umewekewa MUNGU atakusaidia Aaaamin Allahumma Aaaamin inshallah 🙏🙏🙏
Jamani watoto wadogo mnawachia wanaenda peke yao jamani oh allah amuonyeshe huyo aliomfanyia vitendo vibaya allah awape subra😭😭
Dada pole tumeumia wote msiba niwetu wote kiukweli inauma tuenndelee kumuomba awanusuru walioko ndani ya kifus na waliokolewa wakiwa hai mungu awape nguvu na waliokufa mungu awaweke mahali pema amina
Yaarab tupe mwisho mwema, hakika wote tutarejea Kwako. Dahh nimeumia sana
Subhanallha dunia ina unyama mungu tulindie watoto wetu ss tulio inchi za warabuni kuwataftia rizki awalinde pole sana mwanamke mwenzetu 😢😢😢😢😢😢inauma xna
Nimesikia uchungu kama wa kuzaa mtoto, Pole sana ndugu yangu, Mungu akutie nguvu. 😭
😢😢 Ushirikina huo Ameambiwa ubake usipokamatwa mambo yako yatayooka Ushirikina Hauna macho mtoto mdogo Dunia imeharibika sana
Kabisa
@DouglasMassop Imenikumbushakipind8 Mwaka 1993 Jamaa wa mtaani kwetu Alimbaka mtoto wa mwaka mmoja Akakibia mkoa kwa zaidi ya miaka kumi jamaa alirundu kijijini kwao yaani jamaa alikuwa na pesa nyingi Na gani nne za kutembelea Mbaya zaidi alienda nyumba alibakaga mtoto Kawapa zawadi ya milioni tano yaani mambo ya kichawi chawi tupu na ni mengi sana
@@joshuasamson9618 Dah😢
Pole sana dada yangu😢 Allah akutie nguvu katika kipindi ichi kigumu unacho pitia walahi imeniuma ikiwa na mie nina mtoto wa kike😢😢😢 pole sana Allah ata muhukumu
😭😭😭nashindwa mpaka kumaliza kisikiloza inauma sana Allah tusalim salama na vizazi vyetu hakika wewe ndie muhukumu wa haki😢
Bnaadam wenzangu kwa hali hii ya unyama tuliofikia tusilalamke maisha magumu wal jua kali wal joto kali hay yote tunayatafuta mwenyw iv ni kwel kufanya unyam km uo mtot wa miaka sita kipi kilokuvutia hat ukamfanyia ay yote mungu atunusur lkn tulipofikia wallah kiama kimefika mda wwte wal mt asiwek malengo cjw mwaka cjw hv na vle icho kit tuondowe kbsaaaaa
Pole sana dada yetu mungu akupe faraja laki
Pole sana dada Allah akupe uvumilivu na subra maana hii ilivyo kaa km huyo mkweo anahucka vle kwakweli ni mtihani
Kuna wanaume ni mashetani!! Asa mtoto wa miaka 6 anakupa burudani gani?? Anakutamanisha kwa kitu gani? Mtoto mdogo jitu zima na mindevu kibao unamvulia nguo.. ivi tutaiona ata ngome ya bingu kweli!!! Mama anatia huruma Mungu amsaidie kupunguza machungu yake.
Aliyekabidhiwa mtoto achukuliwe DNA hii inaonyesha alifanyiwa ukatiri kwa muda hii ilikuwa kiyama😢 Naumia sana sana
😭😭😭😭😭
Jamani mbona unyama umezidi ,pole sana dadangu inaumiza sana kwakweli
Pole ma khadija ..serikari uchukuwe hatuwa Sisi WENYE watoto jamani tufanyeje...serikari jamani..ingilieni Kati...Mambo haya sio mara moja kutoka.
Pole san mama mwezangu Mungu akutiye nguvu Mungu amlaani huyo alofanya hvo nayeye asimalize huu mwaka afe kofo kibaya Sana na Chenye kuzalilisha inalilah wainailaih rajiun 😭
Eeee Bwana Y
ESu. Tur
Ehe
Mu ukatili mbaya sana. Poleni samilia
Allah akujaalieni subra yenye malipo mema Inshaallah inauma sana sana allah yupo pamoja na wewe
Pole sana mama mungu akupe imani zaidi ila mungu atakulipa kwa hili, ila serikari yetu inge tuangalia sisi wamama na watoto wetu ifike wakati hawa watu wapatiwe huku ya kunyongwa nasio leo wapo jela kesho unasikia wamepata zamana au msamaha wa Raisi hili haripo sawa tunataka haki sasa tukawaweke wapi watoto wetu sasa
Hongera Sana Asma Mwinyi kwa kuonesha Moyo wa Upendo hakika ni huzuni kwa kweli 😢
Poleni sana Mungu ailaze roho yamtoto mahala pema ...
Huyo kijana akamatwe ahojiwe afinywe mpaka aseme alichofanya asionewe huruma maana ndugu
Subhana Allah 😭😭 Pole sana kwa familia na walioguswa na msiba huu Innalillah wainna ilayh raji'un huu ukatili walaaniwe wote wanaofanya hivi Astaghfirullah
😢😢😢 subhaan Allah 😭😭 pole sana dada najua unacho pitia dada pole sana 😢
Subhanna Allah.....huu ni unyama wa hali ya juu. Pole Mama mzazi jamani.
Cjui ndo kiama kimeanza 😢 subhanallah 😭😭 Allah atustir waja wake 😢😢
Pole pole sana sanaaa Allah atatufanyia wepesi yarabiiii atakupa Subra muombee mwanao malazi ya peponi yarabi Amin yarabiiii.pole mama .in shaa Alllah serikali itachukuwa hatua kubwa na Sheria kaliiii.hawa hawawezi kuwaachiwa kwenye jamiiiii
Hata serikali ya zanzibar ni hovyo sana hakuna msaada mm nilifika mpaka ikuru nikarudishwa waziri wa wanawake na watoto zanzibar pia hamna kitu wanawaweka kwenye majukumu wasiyo yaweza, mwanangu alilawitiwa mpaka doctor kasibitisha mtoto ana mtaja muhusika ni jirani mzee toka mwaka jana kesi wameiua mapolis wa zanzibar hijii bado sijapoa naamini ipo siku walah sitoacha yoyote alie husika na kuzima kesi ya mwanangu.
Pole sana mama kwa wakati mgumu na yoyote alieguswa na hu mtihani allah awape wepi na amlaze kwa amani mtoto wetu amenn.#Nawapenda wote waloguswa na hili tukio.
Subhanallah, pole mamangu, pole sana
Hakuna watu nawachukia kama wabakaji jamani 😢😢😢, yaani habari za wato kubakwa zinaniumza jamani 😢😢😢
Allah akbar.... Allah atufanyie wepesi atuepushie InshaAllah
Mungu ampe moyo wa subra huyu mama😭😭😭 anatiaimani
Wanaume wenzangu dah sijui hata nisemeje tumuogopeni Allah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole Sana mamangu😢😢 mungu atujalie subra inshaallah
Ww asma acha mambo hayo ya marathon mzungumzie mhalifu akamatwe halafu anyongwe unaleta habari nyingin
Mama pole sana tena sana..Mwenyezi Mungu amlaze salama peponi Amen
Poleeeeeee😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mungu akupe wepesiiiiii lakni inaumaaaa😭😭😭😭
M/ mungu atakulipia amini
Duh pole san mama
Allah akupee subraa mama khadijaa polee
Allah akupe subra Imani na Allah ajaliye apatikana😭😭
NATAMANI KAMA HUYO MTU AFANYIWE KITENDO CHA KIKATILI MNO TENA TUSIMUONE SISI TUBAKI KUMLAANI TU TUSEME KILA WAKATI LAANA TULLAH LAANA TULLAH LAANA TULLAH 😭😭😭😭😭IMENIUMA MNO SIJUI HUYO MAMA YAKE IMEMUUMA NAMNA GANI 😭😭ALLAH AMPE NGUVU NA SUBRA😭😭😭🤲
Inasikitisha sanna na inauma sanna, mtoto mdogo hajui lolote analojua ni kula na kucheza Ewe Allah tunakukabidhi mikononi mwako shingo ya dhaalimu mkubwa huyu usimuache kwani ukiwaachia watu Kama Hawa watazidi kuleta ufisadi tu JUU ya Ardhi, umekuwa mtihani ukizaa mtt wako awe wa kike au wakiume HUNA AMANI, humuamini MTU hofu JUU ya hofu Ewe Allah tusaidie.😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔
Allah akupe subrah kwa msiba huu mzito na akulipe baadali njema,
Pole Sana mama Khadija
Haya mambo ndiyo yanafanya mpaka majengo yanaporomoka izi dhambi niyingi 😢😢
Iyo nikweri pore mama 😭
Laaaanaaa😥😥😱 Mungu kukasirika
Q@@michelinemapendo6652
Mamb mremb
@@SaidKhalfan-m9t safi
Poleni sana mama
Subhana Allah mama Khadija Allah akutie nguvu 😢😢
Pole dah
Mungu husika
Subuhanaallah kama hujawai kukupata hili jambo huwezi jua maumivu yake nimakali kuliko kufiwa jmn pole mwanamke mwenzangu yanauma me nasema najua haya maumivu😭😭😭😭😭
Innalillah Wainnailayhi Rajjiuun ,nakosa neno ,manahii imekua mtihani usionadawa ,manakesi zinafatiliwa nakulaaniwa ,ila bado wabakaji hatujui wanashettani gani , Yaa Allah tusaidie hilijambo lipotelee mbali ,mana hatawafanyao nivizazi vyetu , Ewe Mola tufanyeje tunaumia wazazi ,tunalia sana ,ila bado hatujui namna ,enyi wanaume wanawake wapo ,kwanini mubake hususan watoto hadi muuwe
Mmh mungu wangu 😢😢
SUBHAANALLAH poleni kwa Familia
Pole sana Allah atakupa subra na malipo ya msiba😭😭😭😭😭😭
Pole sana mama inauma kwa kweli daa
Pole dada mungu atakupa subra ,asma mungu akuongoze ktk kazi yk hiyo aamin.
Amiin
WANAUME.......eeeh embu kuweni hata na hofu ya Mungu basi....mtoto wa miaka 6 kwelii jaman😢😢😢...Haya bhana Tunamwachia muumba wa vyote.
Umejuaj3 kua amebakwa na wanaume?
Au umeshamjua
😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢 unaongea nn we!!!! Wabakaji nikina nani???? Hukumu na malipo nihapa hapa duniani...watu wanaua we unatetea ujinga kabisa !!! Usirudie akili yako ni 0 kbs
Kwa kweli inauma sana poleni sana wafiwa , Inshallah M mungu atawafanyia kila wepesi katiia kipindi hichi kigumu.Ameen.🙏💔😭😭💔
Ila Yule alofatananae ahojiwe vixuri😢😢😢
Mthani
Innalillahi wainna ilayhi raajioun pole sana Mama, dah!!!😭😭😭 Iko wapi Zanzibar yngu niipendayo? Yako wapi Maadili ya Kiislamu Zanzibar? Ziko wapi haki za watoto? Iko wapi Amani ya Nafsi ? Uko wapi utulivu wa Akili kwa Wazazi juu y watoto? Iko wapi Serekali inayolipa pesa nyingi san ili watoto wapte Elimu ? Nini Serekali yetu itafany juu y tukio hili la kinyama? Nani wakuirejesha Zanzibar yeny tabia njema? Inauma san yaani dah! Allah atupe subra njema
Inshallah
Mungu tusaidie yani inauma kweli mungu mpumzishe mtoto huyo na umpe mama huyu nguvu na uvumilivu
Innallilah wainnalillah rajirun pole kwa wafiwa ,ukatili umezidi Mwenyeezi Mungu tunakuomba utupunguzie majanga haya
Poleni sanaa .inauma sanaa
Kweli my mtoto mdogo sana Allah atalipa pmzika Adija wangu damu yako ita enda ovyo mungu atalipa binti mwinyi umeogea point mungu akuogoze
Pole sanaa jamaniii ,,,mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu
Wauliwe tu wakikamatwaaa😢😢😢😢😢😢pole jaman.ana uchungu mkubwa
Allah akupee subraa amuwekee mahala pemaa peponii
Unajua sheria kuhusu ubakaji bado zaifu wahanga wengi wapo njee huku km huyu. Mtoto unyama alofanyiwa kwa kweli Allah huyu alomfanyia chochote cha kufedhehesha kimkute mbele za watu
MwenyeziMungu ampe maumivu ya daima huyu aliyebaka asiwe na raha maishani mwaka
Pole sana dada yangu inauma
Mamake hadija 😢😢 pole sana dadangu Alofanya kitendo hicho Allah atamuhukumu walai
UBALEHE NI KAZI JAMANI UKIVUUKA SALAMA UMSHUKURU ALLAH MAANA WENGINE WANAWAINGILIA MPAKA MBUZI AU KUKU
Wengine ata sio mabalekh wana wake na watoto majumban ila ufuska tu umewajaa laana imewajaa
Inauma Sana jamani 😭😭😭😭
Poleni sana allaah awape subra huyo jamaa hata kama serikali imuachie lakin mtaenda kukutana nae mbele ya mahakama ya allaah hatakua na pakukumbilia