Kazi njema watu wetu ❤❤❤❤❤
Ali kiba kama muhammed Ally ❤
KingKiba kama Ashraf Hakimi😂😂😂
Safi King, hakuna kama mama
Dah Brother king eti mama Ali ana mijengo mingi 😂😂😂😂
🔥🔥🔥
Sawa😂 Ashraf Hakimi wa Tanzania😂😂😂
Duuuh😂😂
Zachini chini kabisa nikwamba alikiba ameandikisha Mali zake Zote kwa jina la mama yake ili aende Sasa Kenya kutoa talaka kwa Amina ili amina akianza mambo nakugawa Mali ajikute kiba ahana chochote
Sikunyingine nanyie wasanii wabadilikieni hao wanahabari waonyeshe nyumba zao kwanini watake kuyajua maisha yenu,akatiyao wanayaficha.
Mambo ya Hakim na KIBA
Yaani Huyu jamaa bhna Eti ile ni nyumba ya mama yangu Duuuuuuuuh
Umeshindwa kumuelew..amesema ile ni Family House..kwasas ahana nyumba coz pale nyumban kwake anaish na mama ake kwaiyo anaona ile sio nyumba ake atakuj kujenga ya kwake sas ambayo ataish yey kama yye ss
Uyo Ana mijengo mingi hapo kusema ni ya mama katutoa kwenye mstari tusimuelewe mjanja Sana uyu mshikaji
Mariooo ana adabu mpaka nime anza kumpenda kinoma noma