Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
AWAMU YA PILI: Paul Makonda ataja wengine, ajibu ya Wema na Masogange
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2017
- Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda amesimama tena mbele ya Waandishi wa habari leo kwenye sakata la ishu ya Dawa za kulevya ambapo hii ni awamu ya pili akiwataja wengine na pia Waandishi wa habari wakamuuliza vipi kuhusu Wema Sepetu kutoonekana na wenzake Mahakamani jana? vipi kuhusu kinachoandikwa kuhusu yeye na Masogange?
Safi sana makonda!!!Mungu yuko nawe!!!tunakuombea usiku na mchana.
Kila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho.kwani sheria ya madawa ya mwaka 1968 inaruhusu wasani kutumia au kuuza madawa ya kulevya.
mungu atakulinda, tanakuomba pambania vizazi vyetu
makonda piga kazi kaka yangu sawabu zako utapata mbinguni
safi sana mheshimiwa Mungu akutie nguvu
thx #Millard Ago 😍😍😍Mh Makonda👏👏👏👏👏👏💪🙌🙌🙌 Mungu akutie nguvu Serikal naomba ikuongezee ulinzi wa kutosha uwe umekamilika kila unakotembea vita hiii ningum sana ukizingatia wahuska ni vigogo wakubwa wasje wakakuvamia na kukudhuru kua na ulinz wakutosha popote unakoenda watnz tunakuombea piga kaz Mh kila la kher Mungu yupo pamoja nawe
Safi sana makonda mungu atakulinda fanya kazi bila uwoga watanzania walio wema wapo nyuma yako
afu nyie mnao jifanya mnauchungu na wasani mnadaietikuwa wame zalilishwa M Fike kipindi mjitambue ivi hamuwaonei huruma waathirika wamadawa yakulevya? Acheni shobo za kijingaaa Acheni makonda afanye kazi wajinganyiee
Ramla K _drama fans
Ramla K _drama fans sema wewe shoga yangu hayajawakuta katika familia zao mbuzi hawa
kweli kabisa! Laiti watoto wao au ndugu zao wangekuwa mateja! labda tungekuwa wote tungeongea lugha moja!
makonda fanya kazi yako. kwani wasanii ndo nin?? hapo anawasaidia watu wengine na hao wasanii wenyewe..kama TID anaelekea hali ya Chidy....mungu awasaidie waathirika wapone na ambao hawajatumia wasije jaribu
sawa
Ni wakati wa kupona watumiaji wa madawa ya kulevya. Mungu azid kukutumia👏👏👏👏
Makonda baba Fanya kazi nzuri saana Allah akulinde ukimaliza madawa elekea kupambana na ukahaba na ushoga pia watoto wetu na ndugu zetu waishi kwasiwasi
MAKONDA mungu akijaalie afya njema na akupe ulinzi wake ili ufanye kazi ya kulikomboa taifa toka mikononi mwa mabedui hao.Tunaiomba serikali impe walinzi shupavu wasokuwa natamaa za utajiri wa haraka ili afanye kazi pasipo woga wowote.MAKONDA aluta continua.
sasa wewe unaejiita mkongo hayo ya tanzania yanakupataje?aibu yako yetu.kama wewe unajua kuongoza inchi kaongoze kwenu.USA kwenu km kwenu kuzuri hapo unafanya Nini?Acha mkuu wetu wa mkoa afanye kazi nguvu ya taifa ndio anayoilinda.
Nahimana Joyce Asante uko vizuri
Nahimana Joyce
kaziyako ninzuri sana congratulation mweshimiwa paul makonda
Am from kenya samahani kama ntakuwa nimesema kwa ubaya....kwa Maone yangu huyu kiongozi wenu hawezi fanya kitu bila ushauri kwa serekali nilizema alipata go ahead ndio akawataja hao so si yeye pekee jamani....inshaallah mm nawatakia kila la kheir
big up makonda, Mungu aendelee kukulinda baba.
penda sana mkuu wa mkoa pambana kaka watanzania wenzio tunakuombea mung akuongoze nakuckiliza nikiwa oman
tupo pamoja na ww kimaombi
tutajie wote muheshimiwa kama ulivo wataja kina wema,t.i.d na wenziwe tunahamu na hao wote tuwaskie.mungu yupamoja nawe makonda
Bravo Makonda
fanya kaz hapa kaz 2
Mimi nitazidi kukuombea kwa Mungu akulinde na kanisa la the pool of siloam church tumekuombea na tutazid kukuombea. barikiwe sana na Mungu..
mungu akusimamie baba okoa okoa mungu atakupa wepesi 😢😢😢😢
asante sana kwa trf yako
kazi ipoo
Inshallah Mungu atakulinda tunakuombea mkuu madawa ni janga linaloteketeza vijana wengi wanaokuchukia ni wauzaji wa hayo Madawa lkn sisi ndugu zetu wanaoteketea kwa madawa tunakuunga mkono.
Umeongea Vizuri #Makonda maana kuwaita nakuwasikiliz sio mbaya maana ungechukuw jukumu lakuwapigia sim kama jinsi wamoja wao wanasema una number zao basi ingeonekana umewaonea wengine.....moja tu asiekuwa na hatia msimuonei. #Ayo tv big up sn
piga kazi makonda......maneno maneno hayo usiskilizee wasaniii kitu gani
Hakika - Tulihitaji pa kuanzia, na wale werevu wanaojitokeza sasa wa namna ya kufanya "ZOEZI HILI" tunaomba wakae pembeni hadi zamu yao ikifika. Tanzania bila "BRAND" au "MAJINA MAKUBWA" au "HESHIMA ZA WATU" INAWEZEKANA!
Emmanuel aggery fanya kazi yako asikuingilie mtu ktk kazi yako waache waseme ila ww unatimiza wajibu wako makonda
kazi nzuri baba makonda
fanya kazi mkuu, achana na majungu ya wanufaika wa dili hizi za madawa
majizo ndo the don huyu akanyeee debe
piga kazi kaka mungu yupamoja na we amina
makonda uko sahihi kabisa kuna watu wanatetea ujinga hapa hakuna nani wala nani mung tu akuogoze
Fanya kaz baba
ni kweli fatina ramadhani tupo pamoja.barikiwa Hassanova junior.
af makonda nazidi kukupenda wesonga mbeleetuu usiangalie nyuma achana na kelele zachura hayo nimaneno ya mkosaji afu pumbavuzao wote wanao kuponda
Ramla K _drama fans tuko pamoja
komaa mjeshi wangu tukopamoja Sana jembe letu makonda
mungu akulinde uzidi kupambana
bravoo
Makonda fanya kazi yako Anaekuchukia Aanze kujichukia yeye mwenyewe
Mmmmh
fanya kazi mkuu
sawa kabisa hata mtandao wa Wekeleaks uliwa kusema tanzania ni kitovu cha madawa ya kulevya
sawa baba Mungu akusimamie InShaAllah ktk hili maana umejilipua haswa.
ila hapo kwa Aggy hapahitaji mjadala huyo demu alishakamatwa SA ingebidi nae aitwe ili aseme nani alikua akimtuma😩😩
(ila naogopa km na mie ni mmoja wa familia ya makonda🙈)
jina la mungu lisitajwe hovyo km mnavyoogopa kulitaja jina la mkuu wa nchi
kweli mwanangu mungu yuko pomoja na wewe
lakini unamtetea masongange mkuu
sibawayhi salum wew huwa kila jambo unapinga Halafu wewe Kama sijakosea ni mpemba una chuki binafsi hilo jina lako tu ndio jibu letu
sibawayhi salum kaka na ww umo nn ktk kuuza unga
Saidi Salum ningekuwemo siningelitajwaa
Hassanova junior sina chuki yyte lkni alikuwa wakamchukue na masongange.
makonda fanya kazi yako BABA tuokoe sis vijana
Makonda wewe nyoosha tu tumesha choka na hizi mambo maana mpaka ina kela sana....swala hila lisiishie huko Dar es Salaam......liwe la nchi nzima ...hususan huku mwanza ni balaa kwa sasa taifa la vijana wa tanzania lina teketea.....
Duh Kamanda amepiga tik-tak swali la kama anananihino na Masogange 44:22 na 46:53
safisheni njia tupo nyuma yenu
mkubwa mm naomba jibu zur about masogange
ninyi mmerogwa amemtetea nani!!!!!!mtungieni uongo tu kwa dhambi zenu lkn uyo nikijana anaepigania maisha yavijana wenzake ww unayesema anamtetea cjui nani uyo naww uchunguzwee!!!yamkini naww umo!!!!
kumbe nikweli madamu wangu aliniambia hii Dar es salaam ni sultan wa Oman ndo aliipa jina nikashangaa kumbe kweli
mwajuma kocha nikweli omani ndo ilikua ikitawala tanzania hakukudanganya
Kwa yule anaembeza makonda ana lake jambo.Kwanza nawashangaa wabunge waliokuwa wanajidai eti kuhoji juu ya kinachotendeka Dar.Wengi wanamda mrefu kwenye uongozi lkn hakuna aliethubutu kusimama kidete kama kijana mwenzetu MAKONDA alivyojitoa muhanga kuwa shupavu kukutetea vijana waache kuangamia.Kazi wanayojua wabunge nikuwatumia vijana kama maroboti yao kipindi cha kura na sio kujua hali zao baada ya kura.Wameshindwa wamuache MAKONDA afanye kazi yake wasimzuzue na vijembe vyao vya bungeni.
Twaahir Bagessi uko vizuri wangu. kuna mijitu mingine haieleweki .yaani wengine wanaona waliokamatwa wanaonewa . wangekua karibu kuwamwagia mchanga wamacho.
Fanya kazi mpenzi uokoe vizazi vyetu vijavyo
Na kibarikiwe kifua ulicho nyonya makonda/ Umefumbua macho vijana wetu
hivi ni kweli kwamba ni vita ya magu au ya makonda
CD hii lazima iwe na part2 kama ushahidi utakosekana
Initiative ziwe za nchi nzima hili janga ni la hatari sana kwa huyo mzee Isamilo huwa kuna misululu ya magari ya kifahari huwezi amini aisee yanangia na kutoka kuchukua madawa ya kulevya .......
Hapo kama kawaida ida kazi kwa kwenda mbele hakuna kuangaliana usoni
wengi tunampenda mh.Makonda ila wachache ndio wanamchukia
eti mwenyekiti wa ulinzi na usalama duh angekuwa Mungu ingekuaje? afu kwa nn usiwaite ofisini kwako?
Sijamuelewa makonda naona hapo anachanganya mambo mawili, anaongea kama mkuu wa mkoa alafu at the same time kama Waziri wa mambo ya ndani mwenye dhamana
Asant Millard Ayo.kwe habarihizi
ni ukweli kabisa analo lisema kabisa.
najua kuha ni uhongu .
ila ikiha ukweli nijue.
na sita mupenda wema katu.
nimekukubali mung pekee ndo wa kukulipa hasa hao wasanii wanakela xn we ni mfanyakaz bora na utazid kuwa bora tumbua majipu
tumbua majipu makonda mwaka225.tayari tunakupa uraisi ukosawa awowatu amearibu watotO wetu tusaidieeee
😷😷😷😷
Sasa nauliza swali moja waliokamatwa wameshutumiwa kuuza madawa yakaingia vipi Tanzania
ila kuhusu wema kutokuonekana mahakan sjaelewa alieelewa pls anifahamishe
joyce michael love love nahc kwasababu walimkuta na bangi
#Bone Mlyuka 😀😀😀thax
vzr
impossble to stop drug dealer n drug abusers mkumbuke it's worldwide na tena itakuwa ngumu sanaaa
makonda ur there for season ukimaliza wakat wako who next
nyerere yalimshinda that's old day whats abt now digital life
try ur bst though
watching from london
anafanya his part... ata mitume wangesema wasihubiri kisa dhambi haziishi ingekuwaje. he is doing his job sio lazma amalize io kitu ila anaeza saidia kiasi flani cha watu. kwan hospitali za nini kama kifo ni lazma?
dee dee u cant stop drugs watching from uae
dee dee Ww sasa ndio unakatisha watu tamaa ndio unongea nn sasa umbo dua yaishe au ww utak kurud tena tz?
dee de wewe philipini Mbona wamekomesha Acha izo hata unapojiwekea kauri ndani ya nafsi yako kwamba mitihani huuu hauto fauulu nikweli huwezi ila kwa nia ukisoma na kunena utafaulu na utaufaulu kweli philipin waweze wananini Tanzania tushindwe tunanini
jacqueline mabula over my dead body
philipins hawajastop they supply n they use it day to day
miaka mia kamanda
War on drug in Tanzania
hili la Masogange
mweshimiwa mwite masogange uepushe maswali
makonda endelea ila ujue watanzania hawajielew na vgeu geu ukianzsha hili wata xema hili yan kla jambo wao n kupnga tu
mbona you are taking too much time kutaja majina. ...unaongea sana
Dail Dail kwel Wee Mpuuzi
llardAyo lazima na yeye anatumia madawa ya kulevya na vielelezo ninavyo, tusubiri awamu ya tatu makonda atakuja na list nyingine
MillardAyo
☹☹☹☹☹
makonda kushugulikia ishu ya madawa ya kulevya si ishu kubwa, shida ni jinsi anavyoendesha suala la madawa, kiutaratibu ambayo ndio haki ya mtuhumiwa wa jambo lolote anatakiwa kupelekewa barua ya wito kwa sababu mtuhumiwa si mkosaji mpaka itakapo thibitishwa na mahakama, kitendo cha kumtaja mtu yeyote anayeaminiwa na tasisi au dini dhehebu lolote na kumchanganya kama nikibaka kiutaratibu si dhani kama ni sawa. sasa kama umefanya hivyo ikathibitisha siyo inamaana polisi watatakiwa kurudisha imani ya mtu huyo kwa wafuasi wake kwa maana ya kusafisha jina lake. hapo nacho kiona manji anaamini kitendo cha yeye kuitwa polisi kupitia vyombo vya habari juu ya madawa ya kulevya,ni udhalilishaji. hapo inasimama sheria ya DIFAMATION. JE UPI MTAZAMO WENU WENZANGU KWA HAYO
bro kachemka hahahhh xogangee hahah
swal ubungo jibu mbagalaaa
makonda fanya kz yako yoyote mvuta bangi mvuta unga beba
mwaka wa 2 unakat huu viwanda hatuoni elim watu wanarudia hadi mavuz meupe yanawaota wakiwa wapo form 4 kurudia miaka nenda rudi ni 0 😣😣😣😣😣 je ilo si Jipu makonda? ila nakuomba usije kutoa POMBE 😐 ninavyo ipenda
Kitone Kantasha1 fanya kazi mbwa wew Wacha kukalia uchama nyoko zako
Eeh sasa matusi ya nn wee kaka? Mh ngoja kwaza tu nikuache ... leo umenikuta mpole. Good day
😂😂😂😂😂😂😂wajinga ndiyo waliwao 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kwanini unapenda kuwaita ijumaa ili uwalaze ndani mpaka juma 3 😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanadaresalam ndiyo maana mnatobolewa macho na scopioun
All the best Makonda mengi yataobgelewa ila simama
huu mwaka tutajua vitu vingi mno..
Alinoti stevin wewe mujinga utakufa wewe kwa wakati wako usiwe na vindururu ukadalilisha watu mpe mamako madawa yakulevya
karatu pakistani
fatilieni na mambo ya shule na wafanyakaz
Dah Mchungaji Gwanjima? Ahahaaa...Eti anahusika na madawa ya kulevya? Hapa kuna hujuma ya ajabu kwa kweli...
MBONI OMARI HAKIKA KUZALIWA SIKU MOJA KUFASIKU MOJA SEMA WATAJE BILA KUBAKISHA YEYOTE
tumekusoma hebu nyie wakuu wa mikoa mingine amken na nyie
huyu makonda hanusi kwani wasanii wanatumwa na nani wanatuma nawatu wa serekali ndokila kitu katika kazi hiyo munajuwana kwavilemba msizalilishe watu Tanzania hamuna serikali kuna sirikali
Mkuu yote nimekuelewa ila hapo kwa Agness sijakuelewa flana kama unamtetea vilee au nikweliiiiiiiii
a shameless tz
kenya bby gal shameless tz kenya hawapo eeee au unatufanya hatuna taharifa
kenya wamehalalisha baadhi ya miahdarati. miraa is free in kenya so cocaine is less harmful in kenya.
You cant understand he should tell pple about drug lord nt drug dealers shameless man
happy queen wewe ndiyo huelewi angalia iyo video na usikilize kwa umakini uelewe njia alizo zieleza na amesema hiki kitu sio cha kuficha ni ni ukweli na uwazi elewa bidada sio unaropoka tu
happy queen kweli wewe boya kheri ya aibu ya nyumbani kuliko ugenini ukiona ni shameless kwetu Acha kama ilivyo upo nyonyo
niviongozi wa chache wenyemachungu kama wewe aise!!mungu akupe maisha marefu Fanya kazi safari yako na kazi zako nzuri zinaonekana
ila wema tunataka kujua kama yeye ni musagi aho.
natena kabisa tujuwe.
napenda sana wema.