MAMBO MATANO ALIOYASEMA TUNDU LISSU KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI MWANZA NA KUOMBA KURA
Вставка
- Опубліковано 19 жов 2024
- Leo september 01, umefanyika uzinduzi wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu katika uwanja wa Furahisha Mwanza
Millad ayo nakukubali Sana mtu wangu ahsate kwa kutupatia habari Kama hizi
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Mwanza Mwisho
Saa lissu
@@CyimSky KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ua-cam.com/video/qSkYfSxzTSY/v-deo.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
This time CHADEMA haita pass like a shadow Kwa muamko huo respect xana MWANZA🌠🌠🌠
Moja na maja tatu Nyerere alisema ,ccm kwisha kwisha kabisa 1+1=3 ✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤✌❤ Peoples Power ❤❤❤❤❤❤❤❤❤✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
✌️
Ukumbuke "peoples power"ndo hao hao .Wanaitwaga Wajumbe...leo wanakusikiliza kesho Wanakutosa.
✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️✌️😍🙏🏼
Wanao kutukana hawana akili mi baba nakupenda sana mtetezi wawa nyonge
Sera Hana huyu magu juuu💪💪💪
Hongera sana Ayo kwa kubalance unatendea haki taaluma ya habari.
Naomba sana Lissu akishinda arudishe Kodi ya Kichwa, Ada mashuleni watoto wanasomaje Bure aisee, Ushuru wa Baiskeli, Ushuru wa wafanya Biashara ndogondogo na makusanyo mengi ili serikali ipate fedha nyingi kwaajili ya Ujenzi wa Ofisi za Chama kwenye Wilaya zote Tanzania na Mikoa yote. Tulipe ili tuweze kujenga nchi yetu, #Uhuru, Haki na Maendeleo ya Watu. Lissu💪
Mafuriko...
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Kimbunga
Ccm mbele daima 💪💪 💪 magufuli oyeee
Kumamayo mbwa wewe
@@netiousfrance8449 asante
Coz akuna tusi jipya apo yote ni ya zamani
@@netiousfrance8449 matusi ya nn mkichukia nchi mtaweka vipindi vya matusi mashuleni?
@@jumamkokota8564 usiogope matusi ndio sera zao majukwani nawafuasi wao
Huyuu Mh TUNDU ANTIPUS LISSU ni true Genius
Millard umebak ww tyu
Asante kwa ujasili huu
Nasikia kuna tv imefungiwa
Sawa mkuu
Kweli lisu ni mpango wa mungu Ahsanteni sana wanangu wa mwanza # Ni yeye 2020
Kweli millard we ni mtu wa nguvu💪
Rais ni Magufuli tu! Mara nyingi vibaka huwa wanafurahiana! Poleni sana
unajipya weewee 😂😂😂😂😂😂
Wote ni woga huo bro na hio pole nafkiri inaemfaa khaswa ni ww apo
Alikuwa hajavaa Barakoa na hakuhamasisha wananchi wavae Barakoa.
Mwanzaaaa!! Duuhuu! Imetisha kinoma.
HAWA WATU WANAKIU YAHAKI JAMANI😭😭😭😭😭😭😭😭😭,KOMOENI SASA KUPIGA KURA MAMBO YATAKUA🔥🔥🔥🔥,PEPOOOOOZ!!!!!💪💪💪💪💪
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
KwAnza watanzania hatujui English so hata wakiambiwa pipos Hawajui nini maana yake atupishe sieee 😏😏😏 ccm hoyeeeeee ❤❤👍
@@rukiamussa9509 choko wewee!
@@rukiamussa9509 ww pita2 ila Kuna kupita nakupitiliza, kuw makin
Nduguyo akienda kijijini kwetu kigoma ufundishe asiseme "people's" hatamwelewa kwan sipo wa kutafsiri "power"...hili ndo tatizo kiinerez arudu Belgium
Chadema nguvu moja
Mpumbav hamka nduguyangu mm cna uchama huyo jamaa co mtu eeeh mh!
Nguvu moja braza..
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Hakika atubadilishwi hisia.
@@babalwantsimango2364 hunalolote ww kawambie ccm wenzio oooh sina chama haliyekuita huku utuelekeze nani kama huna chama ungepita tu au kunyamaza
Mungu atufunguwe akil kwa ili,waTanzaniya wenzangu tuwe makini kwaili,wenye smati wote tuendelee kuperuz kunavitu vingi vya kujifunza kuusu kupiga kila na kuilinda amani yetu
watanzania hatuna shukrani na tunasahau sana Embu angalia Mwanza ilivyopendeza kwa hilo daraja kwanza
Kwahiyo unataka kusemaje
Ujekigomaa tunakuhitaj""""salut kwako baba""""!!!!!
Soon tunakuka husihofu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ua-cam.com/video/qSkYfSxzTSY/v-deo.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
kigoma hana chake
Hongera ccm ndiyo chama kuuuuuuuuuuuuuuu
Milardayo tunakupenda na umetenda haki
Daraja ni kazi nzuri ya Magufuli
Safi sana Ayo
Tuvushe baba Lissu tuvushe, mungu kakurudisha duniani na ujumbe mzito kwa watanzania. Baba tuvushe. Uhuru na maendeleo.
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Hawajapewa kitu chochote wanampenda sana Tundu lissu
nasikia singida walikuwa wañasafirishwa kwa punda
@@witneskilinda5034 duuh
WTz tusidanganywe nahuyokibalaka tumuulize malizetu asili kamawanyama madinimisitu nafezayataifa utasimamiavip? Maanahuondomuimilimkuuwamaendeleo lakinihao hawaongeleilushwa wtapambana vpkupambananalushwa?
Mwanza mumetishaa sio kwa nyomi iyo
Mungu kashusha nema kwetu
Pamoja ayo tv
Alivunja rekodi ya dunia kwa kupigwa risasi kumi na sita bila kufariki mungu akupe maisha marefu
Hongereni watu wa mkoa wa Mwanza
Barabara tamu, kumbe mwanza imejengwa hivyo basi wajumbe tu watu wa mwanza nilicho kigundua
dah my President
Asantee Mwanzaa kwa mahaba haya
Watanzania wana kiu ya mabadiliko jamani 😭 😭 😭 EE Mungu jalia this time wayapate
Hamna llote,
Lisu tapeli tu
Urais atausikiya tu tapeli mkubwa tundu la shimo
@@asharamadan3254 chaguo la Mungu ndo maana marisasi yao haykumuua. Na siku anaingia Tanzania watu walitishiwa wasimpokeee, uliona kilichotokea?
Tusomeni ishara za nyakati...
@@asharamadan3254 nilifikiri najibu mtu mwenye hekima zake.... 🚶♂️🚶♂️🚶♂️🚶♂️
Ayo tv big up, huo ndio uzalendo wote ni watanzania haki sawa.
Kweli lissu yuko sawa mwanza mmetapika
Corona vp?
@@husseinshabani9522 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna idadi kubwa ya watu ambao wameenda kushangaa, na siyo kutilia umakini anachozungumza.
Ccm kwanin wasiwaenguwe wagombea wa upinzani yote hiyo hofu
Napenda speech zake zake MTU huyu manake anajiamini sana dah
Lisu we ninoma
Hongera our herous wellcam home again for future mission
Magu baba laooo💪
Haya loads ilikua nyomi hvyo hvyo mwisho wasiku magu juuu 💪
Mwanza imetisha ninoma
Chadema isingekuwa ukandamizaji naunyag'anyi ,, pia bila kuiteka tume.. hakika ingechukua nchi na kuongoza..
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Kwel kabisa
Awapi?
Kupendwa raha jamani mwaaa i lov u Tundu.
Nyomi kwl kbs
Nakupenda Lissu mpaka machozi yananilegalega, lakini Mungu Yupooooooooo aseeee tumechokaaaaaa
Nyomi Nyomi.... 💪💪💪💪💪
ubarikiwe dada nakuona wewe ni mwana chadema mwenzangu kila crip za chadema nakuona umecoment umenipa furaha anna peter.
@@danielbaraka8903 mimi napenda haki sana. Sera zenu na Act wazalendo zinaleta nuru mpya kwa watanzania. Watanzania waliojaa huzuni na kufungwa midomo kwa miaka 5...watanzania ambao maeneo mengi hawakuchagua wenyeviti maana system imeamua kuwa na ujanja wake... Watanzania ambao miaka mitano ilopita walikuwa wanajimudu leo hii wanalalia mlo mmoja.... Watu wamechoka wanataka mabadiliko. BILA UHURU NA HAKI, NCHI YOYOTE HATA KAMA KUNA MAENDELEO KIASI GANI WATU WAKE HAWANA FURAHA YA KWELI. KUTOA MAONI SIO KUPINGA MAENDELEO..... HILI JAMBO LIELEWEKE KWA VIONGOZI
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
@@annapeter4994 corona vp? ilishaishaga hivi?,mlishauli tufungiwage ndani Mkakimbia Bungeni ikawaje tena vile ...kama kweli Wewe Mpenda Haki Embu nikumbushe kidogo......
@@husseinshabani9522 kwanza kabisa mi sio chadema, sina Chama. Kwa upande wangu walifanya vema kuchukua tahadhari baada ya kuona kuwa bungeni kuna watu wamepatikana na corona.
Mungu amelijalia Taifa letu corona imepungua makali sana, lakini msisifie mtu yeyote kuwa kamaliza corona. Sifa na utukufu apewe Mungu wetu aliyewapa ufahamu watanzania wakajiongeza na dawa za kienyeji. Ambazo zilianza kutumika hata kabla waziri hajasema watu watumie nyungu. Mpeni sifa MUUMBA wetu badala ya kuabudu watu
Hata nchi nzima nikiwa peke yangu haijalishi. Kura Yangu nampa Lisu. Nilimpa Magu 2015.. But sahizi nampa Lisu. Lisu moja tayari unayo.. YANGU.
Shikamoo mwanza
Mm ni mjita bana lkn nilikuepo
Ulimjita mumumuuu utana bhwenge
Jendeyo lata
@@shahiburamadhani7205 ataeshwe ikija kushosha rais wa nchi ya Tanzania, mwaka 2035 .
Hya bna mkuu pmbn pmbn SIASA mchzo mchfu
Hongera lissu
Mnaomponda lissu, tambueni hii nchi ni ya demokrasia ya vyama vingi, kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa. Alafu tambueni wapinzani wanafaida kubwa kwenye nchi yetu, ccm sometime wanajiona kama nchi ni yao wanafanya lolote, so lazima wawepo watu wa kuwapa challenge na kuwapinga wanapokosea.
Kweliii kabisaaa unaongeaa ukweliiii
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
@Anold potentin Unachosema ni kweli ila miaka nenda miaka rudi ccm watashinda tyu yani hiyo weka kichwani haitakuja tokea dora achukue mpinzani wata leta chachu za maendeleo ila cyo kushika dora abadani hiyo wataisikia kwenye bomba
@@godfreymalinga1476 kila jambo lina mwanzo na mwisho😁😁😁
Fact
Siasa siasa 😭 Kuna watu walisha kuita ww ni mchezo mchafu ,,, tujitaidi kuchunga mda ndugu zangu ,,, hamna mwenye huruma na ww ktk haya maisha kila MTU anavutia na kula pekeake na familia take 🙏🕞
Nyie hv mnawajuwa wasukuma kweli au mnawaskia
Awatujui subili aje
Hahahaaa
Nduguzangu Mwanza nimewapenda sana.Hali nimbaya sana. Watu hatuli Bara Bara.Nduguzetu wanafungwa eti uhujumu huchumi? Kuna mtu anahujumu kipindi hiki au wivu tu?
Dah mwanza mmeua
@Millardayo apa ndo naheshim kaz yako kuwa n habar na kwaajil ya watanzania nakuona mbali mwandishi mweledi zaidi apa nimekuelewa naipenda kaz yako njema💪
Ahsante mwanza
Umetisha brow
Ni yeye 2020
Uko sawa mh Tundulisu ila shida yako kubwa haswa unatumia mda mwingi kuiumbua serikali badala ya ww kueleza Sera na ilani ya chama chako husika
Hata waseme vipi Mimi nakubali Chadema sipo huko kwengine
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Nakubali😍😍😍
Hakuna nchi inayotoa bima sema nchi gani Canada na baadhi ya nchi wanalipia marekani wengi hatuna bima uongo huo mie niko marekani
Marekani kweli hawana kila mtu lakini Marekani ukiumwa ukifika hospital utatibiwa ugonjwa wa aina yoyote bila kuulizwa pesa yoyote. Utaulizwa kama una bima kama hauna bado utatibiwa na bill zako zitaletwa baadae ukiwa umeshatibiwa sio? Na kama bado huwezi kulipa unapewa payment plan hata kama utasema unaweza kulipa dola 10 kila wiki au mwezi watapokea. Na ukishindwa kabisa bado kuna bima ya serikali inachukua deni lako. Nafikiri hoja anayojenga ni kuonyesha ulqzima wa mtu kupatiwa matibabu . Ila kwa kuwataka watanzania wote wai gizwe kwenye bima ili wachangie kiiwango fair huku wakiwa na uhakika wa maribabu.
Ccm kwisha kabisa ,lisu my president to be
Upo vizur sana lisu pambana mpaka kieleweke
Maaskari hawawezi kuwanyanyasa ila wanasimamia ulinzi wa Mali ya umma na ya wananchi. Naipenda CCM DAIMA......
Huna sera Tundu lissu subir tar 28 utakiona kwa magufi rais wa vitendo
unajipya wwee
magufuli ndo nani broo ama ni huyo nyani mshamba
Next president we all want
Ukitaka kumshinda shetani nenda kwenye mbuyu wake
Rashid, hahahaahahaa umesema ukitaka kumshinda nani vile ,amakweli ww ni fundi
😂😂😂
Kaka duuuh ilo fumbo nimelikubali
😂😂🔥🔥🔥🔥
Duuu watu mnamaneno ya fasihi uwiii
Mungu akujaalie upite uchaguzi mkuu utimize ahadi unazo tuahidi
Kumbe tuko wengi BADO
Wa kushato
Tumejaa
Unawajua wajumbe ww
Hapo hpn diamond wala alikiba
@@emmiesulee4620 KUWA NA MAWAZO YA USHINDI🔥 KWA WIKI YAKO HII🔥 👉 ua-cam.com/video/qSkYfSxzTSY/v-deo.html 🇹🇿 (tafadhali tizama Hadi Mwisho!)
Nakupa kula yangu mr president
Yaaa laha sana
Milad ww si mnafk best ww ni mtanzania alaf mzalendo nakupenda sanaa
Nilikuepo
NANI UNAYEMFAHAMU ANAKUWAGA NA TABIA KAMA ZA HUYU JAMAA MKIWA MNACHEKI MOVIES ua-cam.com/video/kHs6qqc00vs/v-deo.html
Hongey
Lissu oyeeeeee
Mwanza nilikuwa nawaona wajanja kumbe mbulula hivi....adi sahivi bado mnageuzwa geuzwa kama chapati hamuwezi ata kutambua kiongozi yupi anatufaaa?
asante mkombozi wetu millardayo
Namkubali sana Tundu Lisuuuuuu!
Sela hazina mashiko,,,, magufuri alio yafanya nimakubwa bado tunaimani nae magufuri juu
Magufuli amefanya vizur lkn hapa mwixhon anayumba Kama kwenye kuubana vyombo vya habar kushindwa maisha ya watanzania nakuona upinzani Kama sio sehemu ya nchi kwangu mm naona watanzania wanamaisha magumu zaidi ya mwanzo
@@elijimyco2179 kubana maisha Ya watanzania kivipi ubataka akutafutie chakula? Magufuri ataki janja janja
@@elijimyco2179 ulitaka akuwekee pesa mfukoni 🙄🙄?Mwanaume mzima badala ufanye kazi kipato kiongezeke unajilalamisha tu 🤗🤗🤗kwangu Mimi miaka yake mitano imenibariki sn kutokana na kuwajibika kwangu na siyo kujilalamisha tu.
Huu ni mpango wa mungu
🔥🔥🔥
Nipo hapa ila sijaona sera za kunifurahisha
Kupiga kula ndo tatizo la wabongo.. wakupe upaji wa bule...🤣🤣🤗 Tatizo linaanzia kwenye sanduku bhana
Pamoja sana
Huyu ndo rais mtarajiwa
Mhhh! Wake p brthr
Mnamdanganya sana huyo tundu
Siwashangai WATANZANIA Ingekuwa ni kweli wote ni wapiga kura ningeamini lakini ni ushabiki tu
Kama ni ushabik we mbona hujaenda na family yako
AF si unaona wengi ni vijana
@@selemanmkaraboka7696 hahahaha usitukane jibu hoja yangu, MIMI NASEMA HAO NI MASHABIKI TU SI WAPIGA KURA INGEKUWA NI NCHI TOFAUTI NA TANZANIA ANGALAU NINGEWAAMINI. NA UKITAKA KUAMINI SUBIRI TENA AENDE MTAWALA UTAONA NI WALE WALE WANAMSHANGILIA
Watu wanajitabua kaka
Huna jipya mjumbe wew hakuna cha bure kima wew
Ayo anaitendea haki taaluma yake, big up ayoooooooo
Ongera lisu natamani kutoa chozi pia milad ayo
Hakika!
Yaani chadema hamtakaa mkaamini macho yenu mie mwanza ndo home kwetu hivo hapo wana mzoom tu siku ya upigani wakura hawadanganyiki lazima kura ni ya jpm hapo ndo patam🤣🤣🤣🤣💪💪magu ndo baba laooo wee bwabwaja tu hapo huna ishu
😂😂😂
@@gloryjoe6396 Ndohivo mummy mie nawajua mnoo hata kipindi cha loasa tulikua tuna mzoom tu akiona nyomi yawatu anajua mwanza kula nizake🤣🤣🤣
Daikari Sana sijahamini Kama mwanza wanamwamko Kama wuu safisana
@Millardayo apa ndo naheshim kaz yako kuwa n habar na kwaajil ya watanzania nakuona mbali mwandishi mweledi zaidi apa nimekuelewa naipenda kaz yako njema
Be blessed Mr Ayo
Polesana na ana tazania kwa kupigwa risasi endea na usemi wa ukweli
Mwanza Imevunja rekodi
Milad Ayo big up huna njaa kali
Duh !kama CCM ikishinda mwaka huu bila shaka kutakuwa na wizi wakula
Lisu upo vizuri Ila kwenye urais apana.
Jpm tena
Naona hoja nyepesi sana
Mshahara mambo mengine unafanya SAA ngapi.
Hiyo mishahara unaongezaje !?
Hata hujui kwann hawaongezi
Nyomi km yote hongereni sn mwanza tuko pamojs
anatokea mjinga mmoja kavimbiwa anasema chadema imekufa