CHADEMA YAMDAKA KIONGOZI ALIYENUNULIKA NA CCM, KAMATI YAKAA, WAMTIMUWA ASUBUHI KWEUPE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 вер 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE UA-cam Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

КОМЕНТАРІ • 96

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 2 місяці тому +4

    ❤❤❤❤❤ ccm wametuludisha nyuma sana biashara ya utumwan kununua watu

  • @JesuinaBabili
    @JesuinaBabili 2 місяці тому +4

    Safi kabisa Makamanda 👍🏽

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 2 місяці тому +6

    Safi sana, hatutaki Malaya Malaya wa siasa

  • @eliasmedutieki7578
    @eliasmedutieki7578 2 місяці тому +2

    Safi sana wasaliti wote waondoke hongereni kibamba

  • @Enugundani8299
    @Enugundani8299 2 місяці тому +13

    rushwa ikiisha nchini CCM.itakufa na pia CCM ikifa rushwa itaisha nchini Tanzania

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 2 місяці тому +2

      Huo ndiyo ukweli ndugu!

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 2 місяці тому

      Huu ni usenge wenu! Mtu akienda ccm amenunuliwa na akija chadema amependa mwenyewe! Mjinga mkubwa ww! Na msigwa je! Mpumbavu mmoja ww. Huna akili kabisa basi hata ww utanunuliwa

  • @user-fe8tx5bo2f
    @user-fe8tx5bo2f 2 місяці тому +3

    Pamoja sana kiongez

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 2 місяці тому

    Safi sana

  • @iddynjonjo
    @iddynjonjo 2 місяці тому +4

    Safii sana

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 2 місяці тому +2

    kazi nzuri

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 місяці тому +5

    Safi

  • @peterfedrick6459
    @peterfedrick6459 2 місяці тому +7

    Safi makamanda akafanye biashara nje ya chama

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 місяці тому

    Viongozi msiwe na viongozi wasio na tamaa wenye njaa hamwezi kudanganya mtu wapige kura wawanue tu acheni njaa jaman mpaka wazee ni hatari, je najiuliza chama kinachonunua watu ni hatari kuingiza watu ambao si sahihi. Asante san a

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 2 місяці тому +5

    Kwenye msafara wa mamba na kenge wao

  • @hamisijuma3276
    @hamisijuma3276 2 місяці тому +1

    Na bado!!! mtaisoma namba mpaka chini juu

  • @gallegalleson4427
    @gallegalleson4427 2 місяці тому +3

    Upendo na mwenzake silinde walinunuliwa jumla jumla na ccm!! ni tabia umalaya malaya wa siasa

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 2 місяці тому +3

    Vyama Kama vilabu vya mpira kilabu kikiona kunamchezajizuri co mbaya kununuliwa ,ila watengeneze tu mfumo wakununua nakuuza co mbaya ndg zangu chadema kina hazina kubwa Sana ya viongozi makini kiendelee tu kuzalisha ,ccm na vyama vingine wakalinisheni tu wake wanunue viongozi makini kutoka chama shupavu m4c

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola 2 місяці тому +2

    Safisha kengewote,na vinyonga ndani ya chama

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 2 місяці тому +4

    Sisiemu ni adui wa demokrasia ya nchi yetu, TAKUKURU najiuliza huwa hawayaoni haya kwann wanayafumbia macho tu..

    • @deogratiusmaila676
      @deogratiusmaila676 2 місяці тому

      Kesi ya nyani mpelekee gedere😁😁😁😁

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 місяці тому +1

      takukuru ndio ccm ,we huoni ya CAG nini wamekifanyia kazi.CCM wanatuchezea sana nchii hii na ukiwafuatilia ni walewale wachache ndio wanaotusumbua wakigawana vyeo kama mavazi.

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 2 місяці тому

      Chadema mna demokrasia gan? Mbowe miaka 20 madarakani

  • @melch3097
    @melch3097 2 місяці тому +1

    Welldone

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 2 місяці тому +2

    Wasaliti wote kimbiza,iundwe "Oparesheni tokomeza wasaliti wote"

  • @josephmantago2837
    @josephmantago2837 2 місяці тому +3

    Wajue nje ya chadema hawana thamani tena. Wapuuzi wakubwa

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 місяці тому +3

    Asante sana kiongozi timua timua iendelee sehemu zote. Hizo pesa wameiba wapi.

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 2 місяці тому +4

    Nasikia ni za DPW lakini sasa hivi watu wote wameamuka😊

  • @amanmwalyambi1416
    @amanmwalyambi1416 2 місяці тому

    Safi sana mtu anafukuzwa yupo hapohapo

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 2 місяці тому +3

    Hao wanachukua rushwa fukuza na ccm atakajifanya amekuja chadema akae benchi maana wanatumwa kutuvuruga mitego Yao awamu hii watakalia kuti kavu

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn 2 місяці тому

    Good Good 👍

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 місяці тому +4

    Huwezi toka upinzani uwende ccm ueshimike kwa watanzania ni kwenda kujiuwa kisasa ktk chama tawala

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 2 місяці тому

      Hamna lolote unaongea pumba,Katambi,Silinde,Naibu waziri wa Afya,Ntatilo Kitira Mkumbo nk.Unataka heshima ipi kama hao wachache waliotoka upinzani wana nafasi nyeti serikalini?Tafakari hoja yako

    • @nelsonshillah6618
      @nelsonshillah6618 2 місяці тому

      ​@@dionismutayoba3542hajasema hupati cheo ccm

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 2 місяці тому

      @@dionismutayoba3542 lakini hawana heshima kwa wananchi hilo ndilo tunalosemea na wote hawana hoja za mashiko kwani Mungu hapendi wizi wa kura na usaliti Biblia inasema kura huondoa mashindano na hukomesha watawala

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 2 місяці тому

      Achana na hilo kubwa Jinga.

  • @LastonKatwanga
    @LastonKatwanga 2 місяці тому +1

    Yaaani ni sawa na kuuza utu wako

  • @rev.livingstoneelihuruma-fk7es
    @rev.livingstoneelihuruma-fk7es 2 місяці тому +1

    Mtu anayenunulika SI Kiongozi halisi,hata Kama angekuwa na ushawishi kiasi gn, ni sawa na mke anayeweza kuchukuliwa na Mwanaume yeyote mwenye Pesa Hali ya kuwa ameolewa.huwezi kusema huyo mke ni mzr au Bora. Vyama vya Siasa Lzma mjifunze kuchuja Viongozi. Kufaulu ktk Harakati za Ukombozi kunategemea Viongozi Imara waaminifu ambao hawanunuliki.

  • @RespichTryphone
    @RespichTryphone 2 місяці тому

    Kiongozi WA staili hiyo hafai nibora wabaki hata wachache walio sahihi

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 місяці тому

    Kujitetea kila leo

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 2 місяці тому

    Safi saaaanaaaa na majimbo mengine yafuate nyayo

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 2 місяці тому +4

    Safi sana ayede akakaye na wajinga

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 2 місяці тому +2

    Mngemchapa viboko

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d 2 місяці тому +1

    Mzeee anakuwa malaya malaya aende akafie mbele

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 2 місяці тому +1

    Ukisoma comment za watu wengine unsgundua nchi yetu ina matahaira mengi sana

  • @paulmabena5684
    @paulmabena5684 2 місяці тому

    Ongea seraaa wananunuliwa wana njaa mtawapa nini ??

  • @sifamushi1747
    @sifamushi1747 2 місяці тому

    Ivi uwa HAMUEZI KUONGEA BILA KUPAYUKAA? APO TU NDO UWA ATUPATAG JIBU....

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 2 місяці тому +2

    HII NCHI NI HATARI SANA SIJUI NI LINI TUTAKUJA KUPATA VIONGOZI WAZALENDO WENYE NIA YA DHATI YA KUWATUMIKIA WANANCHI BILA TAMAA YA RUSHWA NA KURUBUNIWA😢😢 VERY SAD😔 😔 "

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 2 місяці тому +2

    Wanapata wapi pes?. Luzuku yao unaijua ni bei gan kila mwezi? Sema lingine lakin pesa hipo.

  • @VITUSPROTUS-wh4mn
    @VITUSPROTUS-wh4mn 2 місяці тому +1

    Fukuza kunguru hao

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 2 місяці тому

    Aende huyo akale ccm yake

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 2 місяці тому

    Takukuru mkowap

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 2 місяці тому

    Mnanunuliwa nyie mmekuwa mizigo ? Nyie wenyewe mnajiuza! Kawaida ya mashoga ni kuuzwauzwa! Sasa mjiulize kuna nini chadema?

  • @user-we5px7gp2r
    @user-we5px7gp2r 2 місяці тому +2

    Binadamu unanunulika umekuwa mfugo? Hii ni aibu sana

    • @jovitadaniel7161
      @jovitadaniel7161 2 місяці тому

      Ndugu usishangae maana hawa wanaonunuliwa ni nyumbu wa serengeti bora hata mfugo!

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 2 місяці тому

    Duh

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 2 місяці тому

    Unajitambulisha sana nenda kwenye point

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 місяці тому +1

    Upendo hajanunuliwa kaenda CCM kwa njaa yake

    • @joshuaswai8203
      @joshuaswai8203 2 місяці тому

      Upendo naye ni mlafi wa pesa za ccm eti hajanunuliwa uongo

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg 2 місяці тому

    Vp na yule papa anaewahadaa anaekulaga kurosho,ambae ni kada wao alie jificha Chadema

  • @ErastoHumbo
    @ErastoHumbo 2 місяці тому

    Jamani kumbukeni sum haiuwi malambili wascheni

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 2 місяці тому

    Mbona huyo mzee haonyeshwi

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 2 місяці тому +2

    Kwa hiyo akina Zito Kabwe na Said Kubenea walipohama chadema na kwenda ACT wazelendo nao walinunuliwa pia?

    • @jovitadaniel7161
      @jovitadaniel7161 2 місяці тому

      Wale walihama hawakununuliwa maana nchi hii mnunuzi ni mmoja tu!

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 2 місяці тому +1

    Jamaa mbona unavuta kamba sana.aisee nenda kwenye point

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 2 місяці тому

    Kama kweli kauli inayotoka kwa kada huyu wa Chadema ni sahihi kwamba wana-Chadema wananunuliwa na CCM, je wao CCM hawauziki na kununuliwa nchi za nje ?

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 місяці тому +1

      wewe unaweza kununua mali feki huku ukiwa unaijua?

  • @moseskusamba431
    @moseskusamba431 2 місяці тому

    Msigwa mmefanya nini?

  • @alliancemugane1589
    @alliancemugane1589 2 місяці тому

    Afadhali nyie mnamaamuzi lakini hapa Jimbo la Bunda mjini kuna viongozi wa Jimbo karibu 95% wanamuunga mkono Mbunge wa zamani aliyefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chama cha Chadema . Wanaendelea kuwaaminisha wanachama na wananchi wa Jimbo kuwa Mbunge huyo anarudi kugombea kwa tiketi ya Chadema. Nashindwa kuelewa hivi uongozi wa juu hawajui upotoshaji huu? Mbona hawachukui hatua?

  • @paulmabena5684
    @paulmabena5684 2 місяці тому

    Huoni akina tundu na mboww hawaongeii nyamazaa wewee

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 2 місяці тому

    😂😂😂

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 місяці тому

    Hata hawo wanaonunuliwa ndiyo wajinga sana Tena hawafaii kabisa

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 2 місяці тому +1

    Genge la wauni mwambieni lisu akalee wajukuu kura no 2025

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Haifi mbona Mbona Kanda ya Nyasa rushwa ilitawala kumtoa Msigwa abaki Sugu ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati wanachama wamemchoka

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 місяці тому

    Kwani nyie hamuwanunui nyie Wasaka Tonge

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 місяці тому

    Chadema kwani nichams chakutetea wananchi au nigenge lawahuni wameungana kwa maslahi yao .mfano huu chadema wamepewa ruzuku ya bilioni2.7 za wabunge wa viti maalumu huku wanadai viongozi wachadema kuwa wabunge waviti maalumu sihalali ila ruzuku au pesa nihalali ..

    • @hassangasaba4565
      @hassangasaba4565 2 місяці тому

      Wamepewa lwasababu wanambunge mmoja.

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 2 місяці тому +1

      Haki yao sio hisani Sena lingine

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 2 місяці тому

      Clemence ruzuku haitolewi kwa wabunge wa viti maalum bali mbunge aliyepata kura za wananchi na idadi ya kura za urais wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya wabunge waliopata kura za kwenye sanduku ukiangalia idadi ya wale wanaosemekana ni wa viti maalumu 19 ni wengi kuliko ambavyo ilitakiwa iwe kwani chadema wana mbunge mmoja tu

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 місяці тому

      alafu kama hujui kitu bora utulie na hawa ndio wana ccm uelewa mdogo ndio maana nchi inadidimia.

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain 2 місяці тому

    Kuna problem la "communication skills" kwa kiongozi kamanda huyu. Maneno mengi yasiyo address hoja kuu. Mfano, umeitisha PC Ili kumfuta uanachama mwanachama kwa kosa la usaliti na rushwa. Tulitegemea kabla ya kutangaza kumfuta uanachama huyo mzee, ueleze amepokea rushwa gani? fedha? Kama ni pesa, shilingi ngapi? Kutoka kwa nani na wapi? Ni ushahidi gani unahalalisha adhabu yake hata kumtangaza mwenzenu kuwa ni mla rushwa na msaliti? Lakini wewe kamanda hapa ulikuwa unalalama tu na maneno mengi yasiyo ktk mpangilio kiasi cha watazamaji kutopata picha kamili ya tukio zima

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru 2 місяці тому

      Hayo ni kazi ya TAKUKURU na mahakama hawa wametoa taarifa kama hajapokea rushwa anaweza kukanusha au ashtaki kwa kudhalilishwa huwezi kuongea kila kitu huko mbele kwenye sheria utashindwa kwani ushahidi waweza kuvurugwa

  • @laurianmodest7372
    @laurianmodest7372 2 місяці тому +1

    Unaongea pumba tu. CCM haijashindwa kitu unapayuka çhini ya serikali ya chama cha mapinduzi. Uhuru ulio nao wa kuongea, kupinga kelele ni Kwa sababu ccm imesimamia amani na utulivu ungekuwa DRC ungepayuka hivyo

    • @clemencelisonga8261
      @clemencelisonga8261 2 місяці тому

      Ulishawahi fika kongo au umekariri unafikiri wakongo wako kama Tz

    • @JustinMbilinyi-vz8ud
      @JustinMbilinyi-vz8ud 2 місяці тому

      Makuzi

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 2 місяці тому +2

      Wewe unaona ccm ndiyo inakusadia sawa, na anayeona haimsaidii pia yuko sawa. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake

    • @godfreymushi6966
      @godfreymushi6966 2 місяці тому +1

      We fair and open electiona mkuu uone kama.chi chi eem inapendwa au la simply nad clear acha hasira

    • @januarysungura8119
      @januarysungura8119 2 місяці тому

      kama unadhani nchi huu kuna amani basi aliyekufundisha juu ya tafsiri ya amani alikosea ana au hukumwelewa kwa sababu ya uwezo wako mdogo. Undhani mtu mwenye njaa anapata wapi amani? vipi mtu mwenye tozo lundo na kila aina ya kodi kuzidi hata za mkoloni anapata wapi amani? usione kobe kainama ,ipo siku tutawafundisha tafsiri ya ukimya na amani.

  • @gabrielnjiapanda3710
    @gabrielnjiapanda3710 2 місяці тому

    Safi sana

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 2 місяці тому

    Safi