AMBWENE MWASONGWE: BINTI WA IMANI
Вставка
- Опубліковано 25 сер 2024
- Nimeona nikubariki kwa wimbo huu ambao ni ushuhuda wa kweli wa Binti mwenye Imani ambaye nilisimuliwa story yake ya kusisimua sana...
alikuwa na Nia ya kusoma Ila uwezo haukuwepo na alikuwa amezaliwa hamjui baba yake, alipata kazi Dar, kazi za ndani (housemaid) na akaamua kujiendeleza kwa kumuomba boss wake aende shule...
na boss wake alikuwa mwema akamruhusu, lakini ombi la pili lilikuwa gumu zaidi, huyu msichana aliomba akamchukue mama yake kijijini aje afanye kazi za ndani badala yake ili yeye akasoma, ili ule mshahara mdogo mama akichukua awe anamtumia shule imsaidie.
Imani ya namna hii Mungu hawezi iacha ianguke bure.
Kuelekea ibada ya shukrani pamoja na live recording niliyoiandaa mwezi wa December tar 08 Mlimani City... nitakuwa nikikuletea baadhi ya shuhuda na nyimbo kama hizi ili Imani yako pia iinuke.
Kama utataka kutusupport kifedha kufanikisha maandalizi ya ibada hii tafadhari wasiliana nami kwa number 0767619931 na 0713619931 Utaongea nami Ambwene Mwasongwe moja kwa moja.
Kama imekugusa gonga like, tujuane
Nizaidi unariliwe sana
Nyie😭😪🙌
Unasikiliza nyimbo alafu unawaza aka kazambi kakipumbafu kanakokung'ang'ania kanafanya nini hapa toka kwa jina la Yesu ubarikiwe MTU WA Mungu
ibarikiwe tumbu île iliyo kuzaa ambwene, gonga like nione uko hapa 😭😭😭
Nabalikiwa n nyimbo zenu.mungu awarinde
Nakusubilia mbinguni. Nimeipenda zaid
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Uniazime moyo wako nitarudisha utakatifu ,,,,
Powerful
BWANA tuongezee imani
We wanipenda kuliko rafiki 😢wewe wanijali kuliko ndugu 😊 Thank God 😢
Kaka mkubwa barikiwa sana
Verse ya pili imenikosha sana,barua ya binti alionwandikia mama yake kijijini,Inatia moyo sana yan....YUPO NA MUNGU LAKINI ANATAKA NA MAMA YAKE ASIMSAHAU MUNGU❤
My role model from Tanzania hakuna utunzi umeimarika sauti ya ninga iliyojaa upako natamani mungu aniajalie neema nifikie hapa ulipo bro miaka 20sirahisi hongera
hongera kwa kuwaza utumishi,,,mwemaa but ushauri kidgo,,,hata uwe na saut nzuri vip bila upako watu watakuona wa kawaida tu,,,,hivyoo kuwa na muda mwingi wa kuomba sirini,,,nawe utakuwa mtu mkubwa!!! but sorry kama nimeongea vibaya🙏🙏
Nimekuelewa vizuri kabisa,haujakosa ❤
Mtumishi unanibariki sana na uimbaji wako
Mungu akubariki sana Broo, nabarikiwa sana nyimbo zako maana Zina upako mno.
@@stephenmakau4410 l
Huu wimbo Umegusa maisha yangu 🥹🙌ni kama nimeimbiwa mimi
Wewe waweza hesabu Machungwa ndani ya mbegu. 🙏
Hom boy❤❤ barikiwa
Mzee wa Imani Mungu akutunze utunzi wako unagusa na kuganga mioyo nabarikiwa sana kusikiliza nyimbo zako
Mungu aendelee kukufungulia neema nyimbo ni nzur sana @ambwene
Ubarikiwe kaka ambwene
Ndugu yangu kabisa nakukubali sana broo from mibula
Nyimbo nxur San mtumish wa mungu
Legendary..mwanamziki wangu wa gospel bora wa Muda wote.!!
Nimeelewa Mtumishi
The legend 🔥🔥🔥
Ambwene mwalimu wangu kila siku pasipo kuchoka naku fata kila siku from UAE
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa MUNGU ❤nyimbo zako huwa zinanibariki sana🙏
Ubalikiwe sana MTumishi wa MUNGU
Ila kaka angu unaimba pia utunzi wa nyimbo 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 mwimbaji wangu pendwa kutoka Tanzania 🥰🥰🔥 Mungu akutunze 🙏
Huu wimbo kwangu umenifanya kupata nguvu zaidi Mungu ni mwema wakati wote
Amen,kazi nzur bro
mungu akubark kaka angu nyimbo zako zina nibark Kwel
Congratulations 🎉 man of God, someone to like my comment ❤❤
AMINA,Kweli MUNGU HAMTUPI MWENYE IMANI.kama unaamini weka like.
Maombi ya NADHIRI.
Ubarikiwe kaka AMBWENE .
Mwili wa Kristo tuna baraka ambayo wengi hawajaijua na ni ndugu huyu Ambwene ubarikiw kwa karama nzuri hii uliyo pewa na Mungu .sisi wadogo zako tunajifunza mengi kutoka kwako
MUNGU akuzidishe zaidi nakupenda sana huduma yako. Nyimbo zako zote zimejaa ujumbe napenda xanaaa
Daaah nmelia sana nikiwa nakumbuka matendo Makuu ya mungu aliyotenda maishani mwangu 🙏🙏🙏mungu hadanganyi 🙏🙏🥺dear lord your daughter is thankful 🙏🙏baronies sana mzee wa imani
Ata ikitokea nisipofanikiwa nitawaambia kuwa ni wewe Mungu tu, japo na Imani na najua Mungu hujawah Muacha Mja wako❤
Great song
Asante kwa wimbo mwema
Among The Spirit upon Ambwene's Songs is that of healing brokenhearted. The Spirit of Hope. The Spirit that says tomorrow will be better than today. The Spirit that says it shall be well.
Best of the best🎉, usajigwege Mwasongwe🔥🔥🔥🔥
Very nice 🙏🙏🙏
Ooooh my God...mon Dieu...mon Roi...quelle bonne inspiration...nimejipata kwa maombi yakushukuru after kusikiliza huu wimbo...
Ambwene mwasongwe wewe ni Baraka kwa maisha yangu...nakuita kila mara mtu karibu na Mungu...ubarikiwe saana ❤❤🙏🙏🙏🔥
Tuma kitu kwa account yake mkono mtupu haulambwi😂
kweli ukimtumikia mungu hawezi kukuacha
Kabala ya hapo halipanga mipango akawake tumaini mbele MUNGU akubariki sana mtumishi 🙏🙏🙌😥😥😥
I logged into Instagram and I came across a part of this song. I was really going through a rough moment of asking God so many questions but the moment I listened to it, it I knew it was from God because of the peace that I experienced within a second. May God bless you for allowing Him to use you.
The same to me
Kusema ukweri nyimbozako zinanipa furaha sana ubarikiwe sana
Eee Mungu wangu nakuahid kukutumikia naomba unisaidie
Mungu na abariki huduma yako mon pasteur. DRC
Nimemfuatilia mwimbaji huyu kwa muda...tangu alipoimba "chozi la haki" ulionisaidia wakati depression iligonga hodi mara kadhaa...Hakika Bwana amemsaidia pamoja na mke wake...🎉🎉Tena Tanzania mumebarikiwa.😊
Ambwene is a best song writer
Wimbo uko na ujumbe mzito asante qwa wimbo huu umetubariki barikiwa na Mungu aendelee kukuinua zaidi.
Bro Ambwene Mungu akubariki sana
Amen hii wimbo ni kama umeniona
Maisha mazuri yapo ingawa mara nyingi yanaletwa na misukosuko kuvumilia ndio njia nzuri ya kufikia malengo
ubarikiwe sana ambwene Mungu akutie nguvu ...
Wakwanza kucomment😢
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Mungu azidi kukupa ujuzi uendeleye kubariki bariki watu wake, akutie kukiwango ya juu. Ume ubariki moyo wangu vilivyo.
Kuna waimbaji wa gospel halafu kuna Ambwene Mwasongwe
Mungu hamtupi mja wake Ayayayayayaaaaa...... 🤚🤚🤚🤚
Ubarikiwe Mno 🙏🙏 Hii nyimbo ni ushuuda kwenye safari Yangu mpambanaji 😢😢
Ubarikiwe mtumishi. wimbo umebariki wengi
Nyimbo zako zinagusa sana maisha yangu 😢😢 Yesu akutunze kwa ajili ya kazi yake njema
Unasemaje yesu amtunze kwani ndiye kampa uhai😂
My current prayer 🤲, I'll be back for testimony 🙏
Mungu azidi kutumia zaidi uendelee kutubariki
This song makes me to crying 😭😭😭😭😭😭 Mungu hasemi uongo Wala hamtupi mwenye Imani.
Just from tiktok saii....amazing
Hakika wewe unanipenda Yesu😢😢😢😢😢niazime moyo wako nitarudisha utakatifu
Ameeen
Iko vizuri sana ubarikiwe ambwene
Machozi yamenitoka hakikaaa wimbo mzuri Sana upako
Kila mara Mungu anakutumia kwaajili yangu weww ni barak yangu nambariki Mungu sana kwaajili ya utumishi wako
Mungu ni mwema ukimuamini✍️
Saut barikiwa na maneno barikiwa kabisa toka ka Mungu
Napenda nyimbo zako Ambwene❤️❤️
Ujumbe mzuri sanaa hakika tunazidi kujifunza
Amen Amen,hakuna kama MUNGU, ubarikiwe Sana Mtumishi wa Mungu.
Kwa imani hyo naamini wewe humtupi mwenye imani😢😢🙏🙏
Naamini Mungu yupo nami ataifanikisha safari yangu 🙏🙌
What an inspiration!!! Hamtupi mwenye IMANI.
I can't stop listening this testmony, since morning till now I'm on repeat. Asante sana mtumishi wa bwana
More blessing uncle Ambwene
Oooh My God this is my true story for my life😭😭😭😭 God is Good 😭😭😭😭😭
My best Tanzanian gospel singer ❤️🙌😭
Very best,smart and really spiritual look
Hongera sana Mtumishi wa Mungu.
Niceeeeeeeee! Barikiwa saaaana
I have cried this testimony is talking about my life
Hongera sana kaka you my role model
(...)mimi na weza vunja yai kwa jiwe, but wewe wa weza vunja juwe kwa yai(...)😢. AMAZING GOD ❤
Mungu wng nakuja mbele zako… naamin na mim kwangu utatenda zaid🙏🏿🙏🏿 kamwe sitoacha kukutumainia Mungu wng… nami pia ni Binti wa Iman🫶🏽❤️
my heart is always blessed with the beautiful message from bro God bless your gift❤❤
Nakupenda sana unatumikia mungu Kiroho na kweli mungu hakupe maisha marefu yenye baraka
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu, Mungu aendelee kukutunza baba wa hekima
Huu unatugusa vijana wa kimaskini tuliosoma kwa shida huku tukimtumikia Mungu na akatufanikisha kumaliza salama, Mungu ni mwaminifu kwenye maisha yangu.Nimejawa na ushuhuda kupitia huu uwimbo.
Ubarikiwe mwimbaji wangu bora wa muda wote
❤❤❤ ambwene mwasongwe barikiwa kaka nyimbo inagusa moyo wangu nasikia sauti ya MUNGU inasema namimi kabisa
Mimi naweza vunja yai kwa jiwe...lakini wewe Bwana waweza vunja jiwe kwa yai ✍️💪. Acha niendelee kukutumikia Maana wewe ni utoshelevu na humtupi mwenye Imani. 🙏🙏
❤ohooo harelujah barikiwa sana MUNGU kama ukinipa changwa nimenye hakika ndani ya upako pana neno
Woooooooow jmn nafurah kukuona chuoni kwetu jmn mungu awe nawe
Amen amen ameeeni😢😢Mungu hamtupi mja wake❤hii verse ya tatu 🙌🙌
Mungu akubariki sana
Hutumii nguvu kubwa kuimba,ila tunabarikiwa sana sana sana✊✊🙌
MUNGU akubariki kaka ambwene na akutangulie pia kwa kazi zake
Binti wa imani !!! What a testimony!
Barikiwa sanaaa mtumishj