AMBWENE MWASONGWE - NITAAMBATANA (official music video)
Вставка
- Опубліковано 12 вер 2024
- STORY BEHIND #NITAAMBATANA
Yakiwa yamebaki masaa machache wimbo #Nitaambatana uwe hewani. Leo Ijumaa saa 19:00 yaani saa moja usiku. NAOMBA NIKUSHIRIKISHE SABABU YA WIMBO HUU ILIYO NYUMA YAKE.
Tarehe 15 April 2018 Nilipata neema ya kufunga ndoa na Jaqualine Mushi kwa kipindi hicho sasa Jaqualine Mwasongwe,.
Tulikutana kwa mara ya kwanza mwaka 2013 tar 4 November siku ya birthday yake, akiwa Mbeya mwaka wa Kwanza chuo cha Mzumbe akisoma Baf (Bacherol of Accounting and Finance) Mimi wakati huo nilikuwa nasoma Diploma Chuo cha uhasibu Mbeya Tia Pia nikifanya DA (Diploma in Accountacy).
Tulianza vizuri mahusiano yetu na baada ya wiki moja tu presha, misukosuko majaribu yaliibuka toka kila pande, lakini tulisimama kwa msaada wa Mungu hatimaye baada ya miaka mitano yaani Mwaka 2018 Ndipo tukafanikiwa kufunga ndoa, Jaqualine akiwa ameshamaliza Degree yale 2016 nami nikifuatia mwaka mmoja baadaye yaani 2017.
Tarehe 15 April 2023 Jumamosi tutakuwa tunatimiza Miaka mitano ya ndoa, Unaweza ona tuna miaka 10 tangu tumekuwa kwa mahusiano miaka 5 ya uchumba na 5 ya ndoa.
Hili kwetu sio jambo dogo hata kidogo, ni jambo kubwa na zito sana ambalo hatujaliacha lipite tu kimyakimya bila kukumbuka na kufanya kitu ambacho kitakuwa baraka, kumbukumbu, na SHUKRANI ZETU KWA MUNGU.
Tukihesabu tuliyosikia, tuliyopitia, tuliyotenda, tuliyotendewa, tuliyosemwa na kusema tunabaki tunashangaa is imekuwaje tumefika hapa? Jibu ni moja tu BWANA AMETUSAIDIA.
Sisi hatuna kitu cha kujivuna wala kujivunia tunayaona maisha yetu, furaha, amani upendo, vitu, watu, ndugu, uhai, afya nk Tumepewa tu kwa neema Kwa nini tusimshukuru Mungu kwa haya?
TUMEANDAA WIMBO #NITAAMBATANA kama zawadi yetu kwa wanaondoa wote, na wale watakaowa na kuolewa mwaka huu, watakaochumbia na kuchumbiwa na watakaobariki ndoa zao... Huu ni wimbo wenu sisi tumewawakilisha tu.
TUNATAMANI SANA WIMBO HUU UPIGWE KWENYE HARUSI YAKO NA UKAWE BARAKA NA MANENO YA WIMBO HUU YAKAWE MAOMBI YENU NA KIAPO CHENU KWA MUNGU.
Mkifanya hivyo tutakuwa sehemu ya furaha yenu na tutakuwa sehemu ya familia yenu pia.
Mungu awabariki sana na ninaamini utaenda kuupokea wimbo huu kwa furaha na amani tele.
Tunawapenda sana.
Watch All Music Videos by Ambwene Mwasongwe: • Ambwene Mwasongwe All ...
Follow Ambwene Mwasongwe
Instagram: / ambwenemwasongwe_
Subscribe to Ambwene Mwasongwe: / @ambweneobadiamwasongwe
Digital Branding & Marketing By:
Black Ozen Entertainment Limited: / blackozenentertainment...
#AmbweneMwasongwe #Nitaambatana
Mungu awege na wewe mtumishi Naam anae support Huduma ya mwasongwe like zije hapa
Halafu wewe uzipeleke wapi ..
Wanyakyusa bwana😂 awege,,,ndo nini?
I like it
@@fransisigulu9761 muache mnyakyusa wa watu😆😆😆
@@nancyg8664 hahahahah 😂
Kuna siku namimi nitaimba huu wimbo nikiwa nimevaa Pete 2(ya uchumba na ya ndoa) nikiwa na mme wangu halisi...Ameni
Tuko pamoja mpendwa Mungu atusaidie nami ndoto yangu kama yako kuvaa pete mbili💃🙏
@@neemajulius8017 Ameeni.... Amen...Tutarudi hapa kushuhudia siku moja
Amen na ikawe hvyo kwako
Pokea Sawa sawa Na uhitaji wako
@@pendokissatu937 ameni Pendo ubarikiwe
Ntaimbaa huu wimbo na mume wangu mwakani in Jesus name....a better marriage is the portion of my life 🙏🤲....am blessed with this song...any one manifesting marriage or anyone blessed drope your likes here formore blessings ❤️❤️
Kiu yako ikaendelee hata katika maisha Ya Ndoa isishie hapo tu
Mungu akupe haja ya Moyo wako, akujalie sawasawa na neno lake
Yesu awafikishe na kuwafanikisha
MUNGU amutendee mtumishi Kwa majira yake sahihi. Pokea katika JINA LA YESU KRISTO. AMENI!!!
Powerful Kaka Wewe ni Mwalimu Mungu amekuweka Ili uzidi kutufundisha
Barikiwa Mtumishi
Naamin kupitia wimbo huu mwaka hautoish nitavalishwa Pete na kufunga ndoa.amen MUNGU awabariki mtumishi
Huu wimbo niliuona kuanzia day 1: nimetafakari sana maneno ya wimbo huu, kaka yangu Mungu akutunze na kukuimarisha. Najua sio kwamba ndoa yako haina changamoto ila umechagua kumfuata Kristo no matter what. Najua haya maneno yanaweza kujaribiwa ili yaonekane uimara wake; ombi angu kwenu ni kwamba hata wakati wa maneno ya wimbo huu kujaribiwa na kupimwa Damu ya Kristo ikawafunike na mkatoke salama.
What a beautiful song, 3 weeks to my wedding and i have got the song to sing with my other betterhalf 😊! God bless all married couples and those about to get married like ours 🙂
Congrats 🎉
All the best on your wedding, congratulations
😍same here three weeks to go for my wedding🥰
@@maryyegella595 Our Lord God be with you and your husband to be Mary
@@theresiagideon2178 thankyou so much dear🥰🙏🙏
Hongereni sana.
Wimbo huu utakuwa baraka kwa ndoa nyingi. Mungu awabariki na awapeni haja ya mioyo yenu. Nawapenda sana.
One day yes nitaingia ukumbini nikicheza wimbo huu in Jesus name 🙏🏾
Amènn
Amin sna
Chukuliana na lugha yangu,
Chukuliana na historia yangu,
Chukuliana na madhaifu yangu,
Tubebe Yale madhaifu yetu.
🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Nasikiliza hii song nikiwa nina wiki chache tu nime kutana na msichana niliye mtafuta kwa miaka na mikaka. Msichana niliye dhani yumo ndani ya wasichana kumi na tano walio nikataa huko nyuma. Hatimae nakuja kukutana nae nikiwa nimechoka na kukata tamaa. Baada ya kumpata ndio nimegundua kwanini wale wote Yesu aliruhusu waondoke ili niambatane na huyu. Nimegundua amewazidi wote, nimegundua nilikuwa nang'ang'ania moto ambao ungenichoma maisha, sasa niko mahali ambapo mawazo na moyo wangu vyote vina nithibitishia kuwa ni mikono salama.
Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.
1 Yohana 2:19
Asante kwa nyimbo Nzuri, nami nita ambatana nae mpaka dakika ya mwisho nampenda ana nipenda, najivunia naye anajivunia mimi. 💕🌹
Ndo umuoe sasa
@@glorycharles615 Hiyo ni lazima
Mbarikiwe sana Mr. & Mrs Ambwene Mwasongwe.
Hamjui ni ndoa ngapi mnaenda kuziokoa kupitia wimbo huu.
Hamjui ni watoto wangapi mnaenda kuwaokoa waweze kuishi pamoja na Baba na Mama zao bila kutelekezwa.
Mbarikiwe tena na tena 🙏🙏🙏🙏
Nikibahatika kufunga harusi ntatumia hii nyimbo kumtafuta mchumba angu siku ya sendof ❤😢
Wifi yetu mzuri jamani, Mungu awape maisha marefu yenye furaha
Kuna siku na Mimi nitampata ambae nitasema huyu ndie nyama katika nyama zangu, mungu nipe hitaji la moyo 🙏 wangu
Welcome
Wimbo umetoka cku ya anniversary ya miaka miwili ya ndoa yetu, trh 16, mm na mme wngu tumebarikiwa sana na tumejifunza kitu kutoka kwenu,barikiwa sana na Mungu akumbuke hitaji la mioyo yenu🤗
One day i will get the only one for me and i will move with her to the next step 😢🎉let me keep things holly for her
Mh sie tulio Single tujuane Kwa like 😭
Mtumishi unamama mzuri😅,
Nabarikiwa sana na huduma yako
Kumbe kaona vile 😅😅😅
Ipo siku ambayo naamini haipo mbali nitaambatana na wangu aliyeumbwa kwaajili yangu eeeh Mungu nakusihi nikumbuke katika ili🙏🙏
Na mie nimekuja💛😘😘sikiliza wa kwanzaaa❤❤❤bless nyimbo zako znatubariki sanaaaa..... Mungu azidi kukutunza mtumishi wa Mungu na famlia yakoo. Likes jmn nirud sikiliza tenaa🎉
❤❤❤ww ni nyama ktk nyama zangu❤❤❤ kula chuma hikooooo🎉🎉🎉🎉
Brother, umenifanya ni urudie wimbo huu mara kwa mara, HONGERENI SANA na MUNGU AWABARIKI sana... Kazi nzuri...mmeutendea haki wimbo, umetulia ile haswaa...Big up
Najikuta nina smile peke yangu kama nimeimbiwa mimi 😂😂, barikiwa Kwa wimbo mzuri
Mweee ka mke kazuri saana ila hongera Sana br Ambwene naamini ntaingia na hii wimbo Nov kwenye ndoa yangu🥰🥰🥰
Libarikiwe tumbo lililombeba Ambwene
❤❤
Mlio mawindoni Mungu atafanyiwa wepesi
munaowindwa Mungu awaonyeshe wawindaji wawaone❤❤❤
Napokea
mungu anisaidie niendeelee kuambatana na mme wangu hadi mwisho wa maisha ya hapa duniani
Kwenye harusi yangu lazma niuilbe uwimbo pamoja na mke wangu mtarajiwa,,, naupenda sana , Mungu awa bariki
Woow wimbo mzuri, Mungu anijalie mwenzi mwema wa kuambatana nae. Amen
Namwamini mungu nami nitafunga ndoa nasubiri wakati wake
Anayependa kusoma Bible college kwa njia ya online class, weka namba yako nikuunge, kwa ni BURE kabisa, kwa Mwaka mmoja
Hello
Mumgu awalinde ❤❤.japo asanteni maana sitopatatabu yakutafuta nyimbo sikuyahalusi yetu mimi nayule ambae mungu atanibalikia ❤
Kati ya watu ninaowajua wamebahatika kuwa na wake warembo ni ambwene, pastor Nick shaboka, masanja...na mimi
Mungu wako atakuwa wangu,Na watu wako watakuwa wangu..Mungu atoe adhabu kali Kama nitatenganishwa na Wewe,chukuliana na lugha yangu,Chukuliana na historia yangu,Chukuliana na udhaifu wangu.... Hallelujah hallelujah!!! This song🔥,Ndagha Mwee...🌟
Maneno mazito Sana hayo.
Nakula mziki mnene wa ambwene unadunda balaaa navyopokea masikioni mwangu unachuja balaa safiii ambwene nabarikiwaaaaaaa
Wimbo ya harusi nimepata,Bado mchumba sasa
Usinichekeshe😂😂
@@elizabethgilbert8208 true
Kuwa na Imani mchumba anakuja very soon
@@kizunguevariste8699 Amen
😂😂
❤️❤️ Watu wako watakuwa watu wangu!! Mungu wako atakuwa wangu 🔥🔥
👏👏
Baada ya kuachilia, Mungu anatutumia ambao wataambatana nasi ...Thanks Ambwene.Mungu astawishe huduma yako..
Hakika nilikua nawaza wimbo wa harusi yangu kwakwel nimeupata weeee barikiwa sana mtumish
❤❤woow. Finally a love song which is purely scriptural. Must use in my wedding God willing
Eeeh Baba uliye juu mbinguni naomba nioatie wa kufananaa na mimi❤❤🙏
Amina namim naamin nitampata wa kuambatana nae had mwisho wa Maisha.
Safi sana shemeji yetu, dada yetu Jackline safiii...
2 weeks ago mume wangu aliniambia kila neno lille kwenye wimbo huu. Kusikia wimbo huu nimejikuta natambua ukubwa wa maneno yale na nimejikuta namshukuru sana Mungu. Once again Barikiwa sana Mtumishi naendelea kubarikiwa na utumishi huu na nakuombea Mungu aendelee kukutumia.
Hongera,Mungu awatunze wewe na mume wako
Playlist imeongezeka nasubiri Mungu afanye wepesi neno lake litimie
Kama Kuna mwimbaji Bora Tanzania Ni wewe Ambwene..nyimbo zako.huwa Zina ujumbe mzito siku zote.Mungu awe nawe siku zote
woooooooooooooooooooo❤❤❤❤❤❤❤❤ nyingine ikijaa wifii aimbeeee kabisaaa😂😂😂
Hatimae tumepata Wimbo wa kuingilia kwa harusi yangu🙏🙏🙏🙏hongr sana kaka Ambwene
Asante YESU niombi langu unipe mke mwema na mzuri ili niimbenae huu wimbo😍
Nina hakika nitapata wa kufanana nae atakaejua maana na thamani ya mke na ndoa naamini wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.🙏
God is listening u will
,,,and God listen let him pass through my marriage and heal my broken and wounded heart
Hongera sana Ambwene. Wewe ni zawadi na hazina kubwa kwa jamii yetu!
🎉🎉🎉mungu kanipe ushuhud kupitia wimbo huu kabla ya mwaka kuisha
Nawapenda sana jamani
Kenya tumekubali kabisa Ambwene,,,huwa napendezwa Sana kuona vile Mungu ukutumia kuhubiri ujumbe wa upendo...ndoa nyingi zimepona kupitia huu wimbo kwa jina la Yesu.lets believe together 🙏❣️🥰
Kaka abwene ubarikiwe mnooo,kaeimbo kazuri jmn,mungu nibariki namm hako kaeimbo nikaimbwe ukumbini nikiwa na mume wngu ,Ila namuamini MUNGU wngu kwa Hilo iko day
Kupitia huu wimbo mungu atafanya jambo maishan mwangu nitapata wa kuambatana namim
Yani Mimi nyimbo za Ambwene huwa zinanibariki sanaaaaaa,big up for a good song!
❤❤❤❤Mungu awabariki😭😭 Hapo kwenye kuchukuliana huwa na pagum kwa wengine utakuta mtu unamvumilia lkn yy anakutangaza mabaya kwa ndg wa pande zote mbili inauma sana
Wimbo mzuri saana kwa wanandoa ,Mungu AWABARIKI na nawatakia anniversary nyingi pamoja zijazo.Ninawapenda
Mungu nijalie nipemume kama mandiko yasemavyo
Ameni!
This will be my wedding song very soon
Amen 🙌
Amen
Yaan Nikirudi likizo huu ndio wimbo wangu pendwa takuwa mda wote nasikiliza nikiwa na mke Wangu Barikiwa Sana kaka
God. This is the song I would like to play as I walk down the aisle.
Hakika Mtumishi AMbwene Mungu akupe maisha marefu
Kwakweli wimbo huu ukawe mwangaza katika maisha yangu ninapigwa vita sana juu ya swala langu la kuolewa
Mungu akubariki Minister, Mungu akubariki familia hadi kizazi cha nne #Ambweneobadiamwasongwe
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,wimbo wenye funzo Kwa vijana na wanandoa. 🙏🙏
I receive this Blessings in Jesus Name🤲 Amen. It's a complete vow of Forever. Be blessed Sana Mtumishi wa Mungu.
Mungu napokea kwa Imani mabinti zako weng wanahitaji uwafanyie kupitia huu wimbo n kama nmegive up 😢
Hope one day God will bless me and this will the song of the when we are taking our vows 😭😭😭 wherever my husband is please locate me 😭😭...nimejiuza kimili Uli kuliea watoto wangu pekee yangu hope Mungu atafungua njia Na kunipumzia Haya yote 😭😭
Barikiwa mtumishi wa bwana unanibariki
Woooooow...... And it shall come to pass in my life. God's time Is the best.
Ambaye amejisikia kutafakari na kutoa machozi ya moyoni weka like yako hapa tuungane
New arrival....God bless you,ndoa nyinginzikainuliwe kupitia ujumbe wa wimbo huu🙏
Yani ambwene anasauti ya kupenya uvunguni mwa mioyo ya watu na nyimbo zake zinabalikii na kutufundisha kumwabudu mungu tyuu
Wimbo wenye nguvu na ahadi nzur kwa wanandoa ubarikiwe kaka Ambwene
Pongezi kwako Kaka Ambwene
Utukufu nikwake Mungu alieruhusu yafanyike haya
Wengi huanza katika roho walakini humaliza katika mwili
Waoo wimbo mzur Sana jamn ubarikiwe sana kwa wimbo huu na ubarikiwe sana kwa kumthamini mkeo
Mungu akawape mwanzo mzuri na mwisho mwema mbebe maono yenu kwa pamoja .
Hizo trumpet 🎺🔥🔥 such an awesome song GOD bless your work
Nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa mungu
Hakika mungu aliishusha karama pahali sahihi
Kwa wanavyonisema vibaya hata sijuhi basi Mungu nasubili wakat wako.
Mungu awe nawe,,,,ilA visuluali kwa mabintk au waimbaji wako,huwa vinapelekea kuharibu namna ya utazamavyo .wambie watches kabisa.
Wimbo wa harusi tayari..Mchumba njoo niko tayari.🎉🎉🎉🎉
Aje tu kwakwel 😊
😂😂😂😂
beautiful love song , inspired by the holy scripture. Safi sana Mtumishi
Watu wako watakuwa wangu, Mungu wako atakuwa Mungu wangu🎉❤❤❤❤
Amina blessed song Mtumishi wa bwana itaokoa ndoa nyingi zinazotaka na zilizovunjika ktk Damu ya Yesu kristo wa Nazareth
Wimbo unasisimua saana kweli Mungu atusaidie kuambatana na weza wetuzhadi mauti
Wimbo wa maharusi 2023❤ tayari tutafute sasa mashela
😂kwakweli, pia tupate mabwana harusi 😅
Been praying for a soul mate,God I need to be loved,I need a man who loves you, he'll love me back🤲🤲😭
Aaww Christine your words got me emotional. I speak the Grace of God upon your life in Jesus name Receive a husband after God’s own heart. Amen
Blessed song ever.yaan sichoki kusikiliza...."watu wako watakua wangu,Mungu wako atakua Mungu wangu" hakika Namshukuru Mungu ndoa ni baraka ya ajabu ambayo inatakiwa iatamiwe na Mungu sio motivation speaker,wadhamini au makungwi....Barikiweni sana watumishi wa Mungu .
"MUNGU ATOE ADHABU KALI KAMA NITATENGANISHWA NA WEWE"
Ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu
Mtumishi kumbe na wewe umesikia hayo maneno
Mm napenda tu Namna Ya Mkewako. Hakika kunawatu tukiwaona inabidi tumtukuze Mungu tu. Ni mtaratibu, Mpole na mengine Mengine
Wimbo mzuri sana Tena Kwa mifano kutoka katika Biblia mbarikiwe sana umenigusa sana
Hatimaye nimepata wimbo wa siku yangu ya harusi😊
Meanwhile on this weekend with a gospel healing song❤️
Ubarikiwe saaana kaka hakika ninahuishwa saana na huduma yako
Napenda kazi zake
Heee mungu niguse na Mimi
Barikiwa sana mtumishi utoe video nyingi zaidi ya hii MUNGU akutangulie
Waaoooo maneno mazuri ya Ruth kwa Naomi ndio maana napenda nyimbo zako
Nice Song. 99% ya nyimbo zako ninazipenda na kuzisiliza. Umebarikiwa.
Kwa yeyote mwenye kitaka kumfahamu Mungu zaidi asikilize nyimbo za Ambwene Zina jumbe nzito sana.
Congratulations for this beautiful song Ambwene.
Watching from Europe
Kuna watu walikuwa wanafikiria entrance song ya wedo Yao. Couple wauchangamkie Kwa kweli. Mzr for entrance