Huyu ndiye mwimbaji pekee ambaye huimba kwa mafunuo ya kipekee, na haigi wala haigiki. Hata maisha yake ni tofauti kabisa na waimbaji wengine na ni mwimbaji asiye na majiproud. Mungu akuinue zaidi brother
Yule alikuja kukuondosha Lakn Man of God Mungu alikunusuru, na kwakua Alishindwa kukuua basi Ndiyo Maan alitoweka maan kazi yake Imeisha. kwa iyo vile unamtafuta Mungu Ndivyo Kifo nacho Kitakutafuta kikuangushe. Ila Nakuombea Sana. Umesema Huna tabia ya kujisikiliza Basi Sikiliza Wimbo Wa TUMEKUBALIKA.
Namshukuru Mungu juu ya ushuhuda huu ..Wengi huwa tunawaza ubaya lakini wema hatuuoni wakati mwingine twamtukana MUNGU na kumkemea tukiamini ni shetani kwa sababu tu ya ujio Alio kuja nao..
Huyu ndiye mwimbaji pekee ambaye huimba kwa mafunuo ya kipekee, na haigi wala haigiki.
Hata maisha yake ni tofauti kabisa na waimbaji wengine na ni mwimbaji asiye na majiproud.
Mungu akuinue zaidi brother
Kwakwel me nampendaa mung azid kumuinua
Sana haigizi
Mungu amuinue
Yule alikuja kukuondosha Lakn Man of God Mungu alikunusuru, na kwakua Alishindwa kukuua basi Ndiyo Maan alitoweka maan kazi yake Imeisha. kwa iyo vile unamtafuta Mungu Ndivyo Kifo nacho Kitakutafuta kikuangushe. Ila Nakuombea Sana.
Umesema Huna tabia ya kujisikiliza Basi Sikiliza Wimbo Wa TUMEKUBALIKA.
Nashukuru Mungu aliniletea mtu aliyeonesha upando wa kweli wakati wa raha,magumu na Magonjwa hakuniacha....... thanx jesus
Umekuwa baraka sana kwangu.Mwalm Ambwene Mungu akuongeze kwa viwango Apendavyo
Huyu ndie mwimbaji wangu wa siku zote nakufatiliaa sana Nina nyimbo zako kichwani (Julius)
Jmn Kaka angu,wameshindwa kwa jina la YESU!UMEZUNGUKWA NA MOTO ULAO
Hongera Mtumishi kwa ushuhuda , Mungu aliona mbele yenu ndio maana alimleta msaidizi kuwahudumia ili msidhurike ile ajali
Ameen ubalikiwe sana ambwene natamani nikue kiroho nimtumikie mungu wangu katika maisha yangu yote
Acha mungu aitwe mungu, tunalindwa na mungu Usk na mchana!! Jina la bwana libarikiwe Sana.
Amen
Eimeee
Amen Kwa kwelii kabisaa
Amen
I am really Blessed Ambwene...God Bless you
Mungu azidi kukuinua mtumishi wake, nakupenda sana mtumishi wa Mungu unanibariki sana sana.
Ameni ubarikiwe
Amen 🙏 nimebarikiwa sana na huu wimbo, be blessed 🙏
Huyu muibaija namupenda ainaiba ikiwa ndani ya roho ya mungu kabisa
Pole Mungu hawez kukuacha
Namshukuru Mungu juu ya ushuhuda huu ..Wengi huwa tunawaza ubaya lakini wema hatuuoni wakati mwingine twamtukana MUNGU na kumkemea tukiamini ni shetani kwa sababu tu ya ujio Alio kuja nao..
Namuelewaga sana mtmsh, Mungu azidi kukulinda.
Mungu anazidi kumuuinua naomba hata Mimi nimwabudu mungu kwa viwango
Mungu akuinue zaidi kaka, nyimbo zako zinagusa maisha ya wengi, God bless you.
Mungu anatupigania popote tuendapo
Balikiwa Sana Mtumishi mungu azidi kukutumia
Mungu Ni mungu milele na milele
Mungu ni mwaminifu maadam umetoka salama mtumishi
Ubarikiwe sana mtumishi Ambwene
Ni furaha iliyoje kuwa na ulinzi wa Mungu kwenye maisha
Mungu ni Mkuu
Ume sema nime kuelewa kama una taka manisha Nini
Mungu bi mwema Sana
Hongela mtumishi wa mungu kwa kaz ya bwan ukiwa na ulinz wa mungu laha sanaa mungu akutie nguvu zaidi na zaidi
Asanteeeeee mtumishi wamungu kwa ushuhuda
Nashukuru kukuona mzima kakangu barikiwa
Mungu anawajua Walio wake.
Sarah chima asante mungu kwayote umelinda Na mabaya yote
Nakupenda mtumishi wa Mungu.
Yesu aongeze kukutumia...
Mungu hakutunze mtumishi wa Mungu
mungu akubariki mtumish wa mungu kupitia wewe ss tupone
Tuna Nguvu kuliko wao!
Amen amen mtumishi Mungu yu pamoja nawe
Mungu ni mwema kwakwele.
Ukweli kabisa kaka ulikuwa unaenda respect god
Nikiona hiki kiumbe cha mungu nafurahiya ata nawimbo wake naupenda sana. Karibu yesu mwoyoni mwangu
Alikuwa pepo wa kusababisha ajali. Mungu ni mwema
😃😃😃😃
Hapana alikuwa ni malaika alokwenda kuzuia mauti
Amina sana Mungu Ainuliwe
MUNGU ANAONGOZA KWA NJIA ILIYOSAHIHI!GOD BLESS US
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu kwa ushuhuda umenijenga
Barikiwa mno mtumishi Ambwene CD ninayo hiyo
Mungu nimwema
Mungu akubArik Kaka angu angu ongeze uwepo wa mungu akubArik Kaka
Mungu nimwesana pole sana
God bless you man of God.
Barikiwa sana mtumishi
Kwakweli mungu anakutumia❤
Mungu alibariki
Mungu akuinue mtumishi
Mungu ni mwaminifu sana anatutumia malaika wake kutulinda
Barikiwa sana kaka kwa Utumishi wako mwema, na uliotukuka mbele za Mungu
Kati ya waimbaji wote akika nakupenda saana upo vizuri saana kwenye uduma yako mwana wa mungu
mwimbaji asie na makuu,keep it up broo
Ambwene mtumishi wa MUNGU
I'm blessed for this 🙏🙏🙏
Mungu ni mwema
It is true, God is real
Nabarikiwa nawe baba mungu akuzidishe imanii
YESU azidi kukutunza Mtumishi wa MUNGU.
Achen mungu aitwe Mungu Kwa kweli.
barikiwa sana mtumishi wa Bwana
Ambwene- that was the Angel of the Lord
Haisikitishi inafurahisha kilichomkuta ndugu Ambwene!
Mungu azidi kukupa wepesi katika huduma yake
Mungu ni mwema sana🙏
Napenda yule mwimbo alieimba huyo baba kwa kusema "majaribu ni mtaji"
Jamani Yesu ni Bwana 🇧🇮🙌🙌🙌🙌🙌
Munguakubariki sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Amen Mungu mkubwa na nimwaminifu sana
Mungu akutetee tu baba
Mungu arikuwa pamoja nanyiyi shetani asinge weza
Namshukuru Mung u juu ya uhushuhuda
Amen ,I feel encouraged through the testimony
amen
Ubarikiwe sanaa
Nimeona hii Stori tiktok nkajiambia sioni nusunusu Hadi nije UA-cam nione full
Means alikua Malika mwema...🤔
Huu wimbo Huwa Una nibariki sana.. Naguswa Sana 😥
Ubarikiwe Sanaa mtumishi wa mungu ubarikiwe
Amwbene masongwe is best all the time to me .......
Ubarikiwe sana sana sana babaa
Mung ndiye anaye mwezesha bila yy tusinge mjua
Mungu akulinde Kaka
Mungu atamubariki sana
Asee kwer Mungu niwaajabu ushuhuda nimeuelewa
Poleni sana jamani 😓😓😓😓😓😓
Mtumishi Ambwene naenda Sana nyimbo zako hizishika na kuziimba kanisani
Nimebarikiwa!
Ubalikiwe sana naimani Kuna siku ntakuona live toka nakuwa nakusikila majaribu ni mtaji
Barikiwa mtumishi wa Mungu
God over everything
Ubarkiweee Bab Munqu n mwem jmn
Amen Mungu ashukuliwe
nimefungua kinywa sana looooh
Malaika akaingie mdomoni mwako😅
Nituraha ilioje mungu mkuba anatupigania ameni mtumishi
Mungu alikuwa upande wenu ashindwe shetani
Kwel MUNGU anatupenda anatuwazia mema tusimwache kamwe ampaka utimilifu wa dahari
Mutumichi Wang ubarikiwe
huyo alikua pepo wa kifo na ajali
Mungu ni mwema kila wakat
Nimebarikiwa sana
Nimejikuta nalia kusikia huu wimbo
Acha Mungu Mkubwa atusimamie na atuepushie na mipango ya ibilisi
Hatari kweli
Barikiwano Kaka ambwene
Kweli nampenda ambwen anaimba katika roho na kweli
Aminaaa ambwene