Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 29 гру 2017
- Bernard Mukasa - Niseme Nini
КОМЕНТАРІ • 357
Наступне
Автоматичне відтворення
Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba ParishKAPOTIVE
Переглядів 972 тис.
Bernard Mukasa - Mungu Nimekuita (Official Video)Bernard Mukasa
Переглядів 849 тис.
GUSANENI MAJERAHA By Quadri-V (Official Video-HD)Bernard Mukasa
Переглядів 753 тис.
ПАРТИЗАН - ДИНАМО. Ліга чемпіонів. ПРЯМА ТРАНСЛЯЦІЯFootball Hub
Переглядів 537 тис.
«Не хочу, щоб мій син жив в країні, де війна», - за що воює 24-річний морпіх #україна #війна #зсуСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 804 тис.
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 33 млн
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣DADDYSON SHOW
Переглядів 49 млн
IRIJORO MUSENGERE PAST Dr.ANTOINE RUTAYISIRE NUMUHANUZI GATABAZI MESHACH.IBYINSENGERO BIRABAJYANE.UBUGINGO TV1
Переглядів 24 тис.
NTAMPUHWE/UMUYOBOZI WA RGB ABIVUZE/TUGIYE GUFUNGA ABAPASITORO/TWASANGANYE DIPROME MPIMBANO/AMATEGEKOIREMBO RYERA TV
Переглядів 76 тис.
Niseme Nini (Baba Ninakushukuru) LYRICS - Dr. IpyanaDj Marita
Переглядів 2,1 млн
NIMEUMALIZA MWENDO - Bernard MukasaBernard Mukasa
Переглядів 580 тис.
Bernard Mukasa - Bwana Unifadhili (Official Video)Bernard Mukasa
Переглядів 845 тис.
NEW LATEST TANZANIA 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 CATHOLIC [[BENARD MUKASA]] VIDEO MIX 2021《VDJ SPEKTRE 》Vdj Spektre
Переглядів 150 тис.
KISHINDO CHA WAKOMA (OFFICIAL VIDEO) - NJIRO SDA CHOIRNjiro SDA Church
Переглядів 13 млн
Bernard Mukasa - Mwanzi Uliopondeka (Official Video)Bernard Mukasa
Переглядів 6 млн
Niseme nini Ee Bwana, Shirikisho la Kwaya Bukoba | Jubilei ya Miaka 50 ya Upadre ya Askofu KilainiRadio Maria Tanzania
Переглядів 57 тис.
Лебедев - большой разговор / вДудьвДудь
Переглядів 15 млн
Jerry Heil & Volodymyr Dantes - ГУБИ У ГУБАХ (ПРЕМʼЄРА 2024)Jerry Heil
Переглядів 519 тис.
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 4,5 млн
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shortsПаша Осадчий
Переглядів 10 млн
Опасность фирменной зарядки AppleSuperCrastan
Переглядів 12 млн
У ТЦК втік "улов"ТРК Аверс
Переглядів 255 тис.
СОБАКИ ГОЛОДАЮТ ИЗ-ЗА ЛЕРЫ 🥲HOOOTDOGS
Переглядів 4,2 млн
Викторина от МАМЫ 🆘 | WICSUR #shortsБискас
Переглядів 5 млн
Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏
Bernado Mukasa kaka.
Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭
Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba
Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏
Pole Sana ndugu
Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri
Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde
Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu
Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤
One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama
Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele
I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!
katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya
Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia
So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you
I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..
Ubarikiwe San
Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee
Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!
Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini
Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz
Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.
Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa
Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa
Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima
Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you
Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako
How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up
Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli
Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako
Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.
Event I don't understand this song but I really love it
Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,
Nikutukuze vipi Mungu wangu
Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana
I can't get enough of this song, I keep on replaying it.
Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana
sauti tamu sana ,,,so blessing
Nabarkiwa sana na wimbo huu
Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana
Be blessed Mr& Mrs Mukasa,you are highly appreciated
Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel
I love you my Roman Catholic gospel
Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea
Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..
Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru
Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru
magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru
Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji
Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu
Mungu awarki kwa ujumbe mzuri
Mungu akutunze Ben tunajivunia sana
Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha
Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢
Good job, sweet voice blessed family.
uu wimbo unanibariki sana
Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu
Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!
Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen
This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.
Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏
Mungu azidi kuwapa nguvu
you are role models of most of us
Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏
Nisimulie VIP Mimi 🙏
Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele
Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you
Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!
Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki
Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima
Sending love from Botswana🇧🇼🇧🇼
Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana
Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰
Hongereni sanaaaa familia ya mkasa
This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.
Safi sana Mungu atukuzwe
Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima
Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu
Hongereni sana kwa utume huo
Hakika nafarijika Sana na huu
Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.
Good work done
Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....
Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000
this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu
Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji
Baraka kila niuskiapo...
naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang
Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako
tumebarikiwa hapa kamurima catholic church
Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.
Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana
Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,
Mungu azidi kuwainua
I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance
Amen,,may the Lord comfort you
Good song 👏👏👏
@@JenistaFrancis-hw5fe wimbo wanibarik sana jamani na kujifariji katika magumu ,,
It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed
Nawapenda hii familia naomba MUNGU FAMILIA YANGU IWEZE KUBADIRIKA IWEZE KURUDII KAMA HII FAMILIAAA
Good bless you bro and the whole family ❤️
Wimbo mzur sana
Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.
Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana
Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!
HAKIKA UJUMBE MNAO TOA KATIKA JAMII DUH!! YAANI NI MZURI HADI NASHINDWA NISEME NINI MIMI JAMANIII
God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer
Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.