Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 гру 2017
  • Bernard Mukasa - Niseme Nini

КОМЕНТАРІ • 357

  • @eriminashayo1341
    @eriminashayo1341 3 роки тому +15

    Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 4 місяці тому +2

    Bernado Mukasa kaka.

  • @berychrys2678
    @berychrys2678 3 роки тому +14

    Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 4 місяці тому +2

    Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba

  • @salomekamendi2458
    @salomekamendi2458 Рік тому +9

    Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏

  • @divinajoseph2760
    @divinajoseph2760 3 роки тому +6

    Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri

  • @saraboniphace7670
    @saraboniphace7670 2 роки тому +2

    Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde

  • @JohnmaryBirungi
    @JohnmaryBirungi 3 місяці тому +1

    Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu

  • @NeemaKiria-wz5gh
    @NeemaKiria-wz5gh 2 місяці тому

    Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤

  • @remigiusjuvenary3099
    @remigiusjuvenary3099 2 роки тому +4

    One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama

  • @clementmarandu2712
    @clementmarandu2712 2 роки тому +1

    Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele

  • @avitbuchwa2353
    @avitbuchwa2353 2 роки тому +1

    I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!

  • @anthonykimanthi2551
    @anthonykimanthi2551 2 роки тому +2

    katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya

  • @raymondmushi3310
    @raymondmushi3310 4 роки тому +2

    Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia

  • @valentinewamboi4490
    @valentinewamboi4490 2 роки тому +2

    So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you

  • @muendoandrew
    @muendoandrew 5 місяців тому

    I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..

  • @user-sz3kz2wf5n
    @user-sz3kz2wf5n 4 місяці тому +1

    Ubarikiwe San

  • @AgnesMwita-nb3cx
    @AgnesMwita-nb3cx 8 місяців тому

    Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee

  • @upendoinaction4724
    @upendoinaction4724 4 роки тому +2

    Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!

    • @josephirungu4011
      @josephirungu4011 3 роки тому

      Nabalikiwa na wimbo huu nikiwa nimelazwa hospitalini

  • @stevembuhilo2956
    @stevembuhilo2956 4 місяці тому +1

    Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta6733 3 роки тому +1

    Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.

  • @orollahcharlse6488
    @orollahcharlse6488 4 роки тому +12

    Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa

  • @katommbusa4559
    @katommbusa4559 6 років тому +17

    Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa

    • @sarahsangija2913
      @sarahsangija2913 6 років тому

      Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima

  • @gertrudekopiyo
    @gertrudekopiyo Рік тому +2

    Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you

  • @mariamlote2183
    @mariamlote2183 Рік тому

    Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako

  • @levinamukandara6970
    @levinamukandara6970 2 роки тому +7

    How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up

  • @stacykibutu365
    @stacykibutu365 4 роки тому +1

    Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli

  • @ignasjosephmwinuka3666
    @ignasjosephmwinuka3666 2 роки тому

    Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 2 роки тому +2

    Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.

  • @munlagloryzingwe6487
    @munlagloryzingwe6487 Рік тому +1

    Event I don't understand this song but I really love it

  • @linahmadawe2823
    @linahmadawe2823 4 роки тому +2

    Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba1215 2 роки тому

    Nikutukuze vipi Mungu wangu

  • @faridakibadu1213
    @faridakibadu1213 3 роки тому

    Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 2 роки тому +13

    I can't get enough of this song, I keep on replaying it.

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary1362 9 місяців тому

    Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana

  • @user-dg7vf1mx4m
    @user-dg7vf1mx4m 6 місяців тому

    sauti tamu sana ,,,so blessing

  • @user-fn9mr3xe3k
    @user-fn9mr3xe3k 8 місяців тому

    Nabarkiwa sana na wimbo huu

  • @totimusmodest8241
    @totimusmodest8241 2 роки тому +2

    Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana

  • @awardngailo5233
    @awardngailo5233 4 роки тому +1

    Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel

  • @sarahchiliko1060
    @sarahchiliko1060 3 роки тому +2

    I love you my Roman Catholic gospel

  • @bonifacejohanes895
    @bonifacejohanes895 2 роки тому

    Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent9403 2 роки тому

    Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..

  • @agustinotadeo8554
    @agustinotadeo8554 4 роки тому +1

    Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru

  • @mgenileonora9717
    @mgenileonora9717 2 роки тому

    Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru

  • @robertmahucha5715
    @robertmahucha5715 3 роки тому +1

    magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru

  • @leahburchard3738
    @leahburchard3738 2 роки тому

    Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji

  • @priscamsomba4224
    @priscamsomba4224 2 роки тому

    Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu

  • @jamespetro6773
    @jamespetro6773 2 роки тому

    Mungu awarki kwa ujumbe mzuri

  • @kamanzielias3585
    @kamanzielias3585 Рік тому

    Mungu akutunze Ben tunajivunia sana

  • @johnedmundmachota7582
    @johnedmundmachota7582 5 років тому +6

    Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha

  • @user-te1mo4hq4s
    @user-te1mo4hq4s 9 місяців тому

    Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢

  • @achiecaren2908
    @achiecaren2908 Рік тому +1

    Good job, sweet voice blessed family.

  • @bensonotieno7901
    @bensonotieno7901 4 роки тому +1

    uu wimbo unanibariki sana

  • @alfredphantaleo4529
    @alfredphantaleo4529 3 роки тому

    Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu

  • @marianabachilula8756
    @marianabachilula8756 11 місяців тому

    Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!

  • @susannyaguthii4713
    @susannyaguthii4713 4 роки тому +1

    Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 2 роки тому +3

    This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.

  • @dorischuwa3641
    @dorischuwa3641 2 роки тому +1

    Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏

  • @user-tn2pg6xe2y
    @user-tn2pg6xe2y Рік тому

    Mungu azidi kuwapa nguvu

  • @leonardmwankemwa7223
    @leonardmwankemwa7223 4 роки тому +1

    you are role models of most of us

  • @paskalinasalia8041
    @paskalinasalia8041 3 роки тому

    Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 3 роки тому +1

    Nisimulie VIP Mimi 🙏

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 4 роки тому +2

    Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele

  • @gladysjebiwot6562
    @gladysjebiwot6562 5 років тому +5

    Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you

  • @bahatimungundomteteziwetum4360
    @bahatimungundomteteziwetum4360 4 роки тому +2

    Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!

  • @stephenshio588
    @stephenshio588 5 років тому +3

    Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki

  • @elizabethtreshory7776
    @elizabethtreshory7776 4 роки тому +1

    Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima

  • @user-xw2ss1yi5w
    @user-xw2ss1yi5w 9 місяців тому

    Sending love from Botswana🇧🇼🇧🇼

  • @dominicmwanzia9919
    @dominicmwanzia9919 5 років тому +4

    Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 4 роки тому +1

    Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰

  • @maurusmwajombe492
    @maurusmwajombe492 3 роки тому

    Hongereni sanaaaa familia ya mkasa

  • @jeanpierrendayishimiye9454
    @jeanpierrendayishimiye9454 3 роки тому +4

    This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.

  • @fidesrwemera3710
    @fidesrwemera3710 3 роки тому

    Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 5 років тому +1

    Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu

  • @skoraskora8093
    @skoraskora8093 2 роки тому

    Hongereni sana kwa utume huo

  • @hellenmnubi2851
    @hellenmnubi2851 3 роки тому +1

    Hakika nafarijika Sana na huu

  • @angiemambo6192
    @angiemambo6192 4 роки тому +3

    Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.

  • @mogendithaddeus7042
    @mogendithaddeus7042 2 роки тому

    Good work done

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 5 років тому

    Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....

  • @patrickkambale777
    @patrickkambale777 5 років тому +6

    Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000

  • @elgyeneemmanuel1236
    @elgyeneemmanuel1236 5 років тому +6

    this is great work done...the songs from bernard zinaunganisha mungu aliyejuu

  • @paschalnwanakulya3347
    @paschalnwanakulya3347 4 роки тому

    Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji

  • @njugunawjulius4412
    @njugunawjulius4412 3 роки тому

    Baraka kila niuskiapo...

  • @yusterkonga6904
    @yusterkonga6904 5 років тому +1

    naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 5 років тому

    Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako

  • @kathanjeable
    @kathanjeable 3 роки тому

    tumebarikiwa hapa kamurima catholic church

  • @thomshumbusho5446
    @thomshumbusho5446 5 років тому +1

    Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.

    • @bridgitmutuku4140
      @bridgitmutuku4140 2 роки тому

      Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 5 років тому

    Alafu mmekutana wote mnavipaji jaman... Mungu awalinde muendelee kuinjilisha,

  • @beatricejames7207
    @beatricejames7207 Рік тому

    Mungu azidi kuwainua

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 3 роки тому +10

    I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance

  • @kamukamasylvia9640
    @kamukamasylvia9640 4 роки тому +7

    It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed

  • @leznadotomthon2543
    @leznadotomthon2543 Рік тому

    Nawapenda hii familia naomba MUNGU FAMILIA YANGU IWEZE KUBADIRIKA IWEZE KURUDII KAMA HII FAMILIAAA

  • @destinbiringanine1637
    @destinbiringanine1637 2 роки тому +1

    Good bless you bro and the whole family ❤️

  • @GastonCanuty-tx6pp
    @GastonCanuty-tx6pp Місяць тому

    Wimbo mzur sana

  • @godefridamunyaga4605
    @godefridamunyaga4605 4 роки тому +1

    Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.

  • @meypaulin6138
    @meypaulin6138 3 роки тому

    Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 6 років тому +3

    Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!

  • @magongojmuyanda9946
    @magongojmuyanda9946 3 роки тому

    HAKIKA UJUMBE MNAO TOA KATIKA JAMII DUH!! YAANI NI MZURI HADI NASHINDWA NISEME NINI MIMI JAMANIII

  • @oscarmalogo610
    @oscarmalogo610 5 років тому +9

    God Bless the work ur doing....its really amazing ñ adorable .....it brings the appetite of prayer

  • @faithkemboi1110
    @faithkemboi1110 4 роки тому +2

    Wonderful and blessed family,your songs bless and encourage many and I am one of them.