Mchanganuo Mtaji & Faida "kilimo Cha mahindi(Mtaji 550,000 - Faida 1,250,000)

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 52

  • @alexmsigwa5612
    @alexmsigwa5612 3 роки тому +2

    Nimelima sana tena nimebolesha sana kiukweli kabisa mahindi hayana soko la uhakika kiujumla mtaalam hakilipi.

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому +2

      Kilimo sio kulima tu, mkulima Bora ni yule anaefahamu taarifa za somo na kuweka mipango ya jinsi ya kupata soko hata kabla hujalima.

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому +2

      *Taarifa za Soko*

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      *Taarifa za Soko*

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      *Taarifa za Soko*

    • @christianhuberty8464
      @christianhuberty8464 3 роки тому

      Mhhhhh

  • @emanuelsombya841
    @emanuelsombya841 3 роки тому +1

    Mko vizuli sana ningependa kufahamu kwaambao tunaishi sehemu ambazo mvua zinakua zakusuasua na ninapenda kulima kilimo chakujikwamua ambacho nichakisasa ni hiro tu

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      Tunaweza kuwasiliana 0764148221

  • @OmariMwamsimu-gu7pr
    @OmariMwamsimu-gu7pr 11 місяців тому +1

    Ni kiasi gani cha mbolea ya samadi ambacho mkulima anapaswa kuweka kila shimo?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  11 місяців тому

      Wasiliana nasi kwa ushauri zaidi 0764 148 221

  • @christianhuberty8464
    @christianhuberty8464 3 роки тому +7

    Kilimo cha mahindi mchanganuo wake pia unaweza kuwa kama hivi
    Kwa heka moja
    Mbegu ni pakt nne hadi tano ... Kila pakt ni shlng elfu 12 jumla ni 60 elfu
    Mbolea ya kupandia ni dap kwa tabora ni 65 kwa mfuko na inatumika mifuko miwili , kukuzia ni urea , mifuko miwili na mfuko ni elfu 58 , mbolea ya kubebeshea ni can , elfu 45 ni mifuko miwili , kwa jumla mbegu na mbolea ni shiling jumla ni laki tatu na elfu 36 pamoja na usafiri ni laki tatu na 76 , , kukodi ni elfu hamsini , kusafisha shamba ni 30 elfu , kulima ni elfu hamsini , jumla ni laki moja na thelasini , hapo bado dawa , kupanda , palizi , kuvuna , nk mambo ni meng
    Ila kilimo jinsi unavyolima sehem kubwa na garama zinapungua

  • @majaliwamasumbuko8234
    @majaliwamasumbuko8234 Рік тому

    Naomba kuuliza miche elf kumi ya mahindi inaweza ikachukua eneo gani kwa ajir ya kilimo cha kumwagilia?

  • @johnmalale3860
    @johnmalale3860 2 дні тому

    Heka moja ya shamba la mahindi unapiga mashimo mangapi!? Au heka moja unaweza panda mimea mingapi!? Na ip, ni faida zaidi kwa kuuza mahindi mbich na makavu, hususani kwa wakaazi wa jiji la dar es salaam!?

  • @mwanahawa6362
    @mwanahawa6362 3 роки тому +1

    Hatree

  • @aminielgoodluck4144
    @aminielgoodluck4144 Рік тому

    Hayo magunia ni mahindi ya kishapukuchuchuliwa ama?

  • @mariammwambungu3174
    @mariammwambungu3174 3 роки тому +1

    Bado mbolea ya kuzalisha bado unaweka bei ya chini sana

  • @MrSharckSabinii
    @MrSharckSabinii 10 місяців тому

    🤔🤔

  • @christianhuberty8464
    @christianhuberty8464 3 роки тому

    Eneo kivip bro wakati mbegu unayopanda inatakiwa iendane na eneo ulilopo ....???

  • @berthasangwa351
    @berthasangwa351 4 роки тому +2

    Naomba kujua jinsi ya upandaji wa mahindi mpaka uje upate gunia 25 au 30

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 роки тому

      Tuwasiliane 0764148221

  • @SalumPius-xw4dr
    @SalumPius-xw4dr Рік тому

    Kupiga halo ndio nin

  • @corneljoseph6653
    @corneljoseph6653 Рік тому

    Asant kwa elimu mawasiliano yako kiongozi tuulize vizuli

  • @materaalex1841
    @materaalex1841 3 роки тому +2

    Nahisi kama nimechelewa ila naomba nipate mawasiliano yako kiongozi

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      Bado ujachelewa Sana karibu 0764148221

  • @abduliaboud7287
    @abduliaboud7287 3 роки тому +1

    Na maharage je inakuwaje

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому +1

      Ntaelezea pia

    • @abduliaboud7287
      @abduliaboud7287 3 роки тому +1

      @@RubabaTv kwa mawasiliano zaid ili kupata taarifa zaid tunakupataje wkt no zn sn

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      0764148221

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi2333 4 роки тому +1

    Asante sana tupatie namba ya simu please

  • @jishoshamahega7043
    @jishoshamahega7043 4 роки тому +1

    Namba yako ili kujua mambo mengi kutoka kwako

  • @fredysombe1035
    @fredysombe1035 4 роки тому +1

    know

    • @samsimbaza6490
      @samsimbaza6490 3 роки тому

      Mkoa wa kigoma kuna baadhi ya maeneo ambayo unakuta yana miaka mingi sana hayajalimwa ukiweka mbolea ya urea mazao yanaingia sasa nini tatizo

  • @neemaneema6825
    @neemaneema6825 4 роки тому

    ila kaka mimi.nawaza kulima.kweli.yaani.goja.nichukuwe.naba.yako

  • @joelmchomvu4836
    @joelmchomvu4836 3 роки тому +1

    Mbona hamniunganishi na watsp

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      TUTUMIE namba yako

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 роки тому

      TUTUMIE namba yako