Mambo ma 8 muhimu maishani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 17 жов 2024
  • OTHMAN MAALIM BURUNDI 2023

КОМЕНТАРІ • 71

  • @Tolman5189
    @Tolman5189 Рік тому +33

    Kama ulijifunza mambo mengi mazuri kutoka Shekhee wetu Othman Maalim ,weka like na Uandike Allahu Akbar ❣️🙏

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Рік тому +5

    Alhamdulillah, najifuza mambo mngi mno kupitia mawaidha yko, Allah akupe maisha marefu yenye baraka tele

  • @gamalashur5412
    @gamalashur5412 Рік тому +2

    BARAKA ALLAH FIIK YA OTHMAN MAALIM ALLAH AKUPE UMRI MREFU INSHA ALLAH.

  • @bakarimwakabebe9649
    @bakarimwakabebe9649 Рік тому +1

    Neema ya maisha ni uislam Alhamdulillah.. shukran Sana shekh wetu Allah azidi kukupa afya na Waislam sote tufaidi daawa zako

  • @aminaSuleyman-d6y
    @aminaSuleyman-d6y Місяць тому

    Jazzallahu ghaira kwa ukumbusho sheikh wetu Allah akujaalie umri mrefu wenye manufaa Allahuma aamin 🤲 tuweze kujifunza zaid

  • @najmayukosawagosi9354
    @najmayukosawagosi9354 Рік тому

    Mashallah sheikh nimejifunza mengi mungu akupe umri mrefu uzidi kutufahamisha mengi yaarab

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 Рік тому +2

    Jazzak Allahu kheri shekhe fii duniya wal akhera

  • @HusseinMusa-b1x
    @HusseinMusa-b1x 6 місяців тому

    Baraka lah fihi Allah akupe kheri ya dunia na akhera.. Tumejifunza mengi

  • @MariamAlly-l9p
    @MariamAlly-l9p 5 місяців тому +1

    Subhaana lwaaha Allah!akulipe kheri,alwahumma amiin

  • @princejumaalphaxady9355
    @princejumaalphaxady9355 Рік тому +2

    Allah atakulipa insha Allah mawaidha yako mazur ya kujenga

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Рік тому +2

    Mola akupe umri mrefu Sheikh Othman yenye baraka
    Mola akuzidishie killa kheeri
    Allah akupe rizq halal na akubarikie

  • @nahyamuhammad5406
    @nahyamuhammad5406 Рік тому +7

    Nakumbuka niliumwa mpka nilitaka kukufuru mungu niliswali swala zote nahisi nikamaliza dua zote nikalia nikaomba usiku mmoja niliona kama mwaka mzima ila nilishuruku mungu ata usingizi ulipotokea nikaja kustuka asubhi walh mungu ni mwema ❤

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Рік тому +1

      sahih kabs Allah ni mwema Allah akuòngz na akjz khr na barqa na akulind na hasad inshaAllah

    • @Rihatv837
      @Rihatv837 9 днів тому

      Ata mimi jamila adi nilitoa shahada nyie tufanyeni ibada yani niliumwa sikudhan kama nitapona ila mungu ni mkubwa alhamdulilah

  • @UstadhImran
    @UstadhImran Місяць тому

    Mashaallha Allha atakulipa zaidi kwa unachotupa na kutuelimisha

  • @alimzee
    @alimzee Рік тому +5

    Masha Allah 🙏🙏❤️

  • @ChikuHassan-qr8wy
    @ChikuHassan-qr8wy Рік тому

    alhamdulilah najifunza kutoka kwako sheh othuman maalim

  • @saumsaum712
    @saumsaum712 Рік тому

    Allah akubariki ya sheikh na akuepushe na kila Shari nkupenda napend ushauri wako❤❤❤❤❤

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Рік тому +2

    Wallah maalim leo umenifurahishaa alhamdulilah

  • @kalamuMedia
    @kalamuMedia Рік тому +2

    Assalam alaikum Mr Said,natafuta contact zako Akhi

  • @halimandune7317
    @halimandune7317 Рік тому +1

    Mawaidha mazuri yenye mazigatio makubwa kwa wenye kutaka radhi za Allah,inatulazimu kuyafata tufaulu Dunia na akhera pia innshaallah.

  • @HamisWaziri-jl9ov
    @HamisWaziri-jl9ov Рік тому

    Sheikh namuelewa sana! Nikija Zanzibar natamani sana nimtembelee nimuone Insha Allah!

  • @NanaHsn525
    @NanaHsn525 Рік тому +7

    Wallah huyu sheikh amenifanya nimekua mpole sana munguakupe umri mrefu inshaallah

    • @abdullatiframadhani5059
      @abdullatiframadhani5059 Рік тому +1

      Amiin yarabbal alamiin, Hata mimi pia wallahi mawaidha yake ni heart fresher..

    • @NanaHsn525
      @NanaHsn525 Рік тому

      @@abdullatiframadhani5059 Hakika mm nilianza kumfatilia from 2012 hadi sai nashkuru amenijenga pakubwa wala simjui lkn napenda sana mawaidha yake

    • @abdullatiframadhani5059
      @abdullatiframadhani5059 Рік тому +1

      @@NanaHsn525 anajua hasa kuongea na kila rika Allah azidi kutuwekea, mimi sijawahi kumuona ndoto yangu niende kumuona pia nakusikiliza darsa lake au sira ya kipenzi chetu mtume Muhammad s.a.w

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Рік тому +1

      mashaAllah MashaAllah Allah akhfdh toka 2012 MashaAllah Allah akuhfdh na akuongz ktk njia ya khr

    • @fayeezabdallah2217
      @fayeezabdallah2217 Рік тому

      mim nimeanz kumuangly na kumuiga 2011 nampend saaaan natmn nimuon wallh

  • @AbdiaBashir-tl9ye
    @AbdiaBashir-tl9ye Рік тому +5

    MASHAALLAH 😭🤲🤲🤲

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Рік тому +3

    Uislam hapa duniani unajaribiwa kwa kila NJIYA ili tubaguwane. .yote haya kama si huyu NYERERE kuja kuivamiya ZANZIBAR basi tungekuwa mbali sana.. LAKINI mpaka hii leo. Tunaufuwata mzimu wake. Halafu kuna dude linaitwa MUNGANO. Hili ndilo hatari kubwa. Munakjuwa mashekh wangapi waliuliwa .januwari 12 1964. Hebu Msikilize LUKUVI kule kanisani
    Halafu msikilize na MAREHEM ustadh ilunga kuhu mfumo KRISTO

    • @mohamedmgawa361
      @mohamedmgawa361 Рік тому +1

      Nashkuru sana nasoma mengi sana kupitia sheikh Othman Mungu akulipe mema duniani na akhera pia

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Місяць тому

    Shukrani ❤❤ mungu akulipe

  • @cheragaibrahim4843
    @cheragaibrahim4843 Рік тому +2

    BAARAKA ALLAHU FIKA

  • @lashilawizuberi652
    @lashilawizuberi652 Рік тому +1

    Alhamdulillah ya Rahman

  • @YoanWins
    @YoanWins 8 місяців тому

    Masha'Allah ❤❤🎉

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 Рік тому +1

    Allah bariq❤

  • @AshuraHassan-bl1gp
    @AshuraHassan-bl1gp 3 місяці тому

    Allah Akbar

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 7 днів тому

    Allah Akbar.

  • @rehemahamadi3382
    @rehemahamadi3382 Місяць тому

    Mashallah

  • @HusnaSultan-pz9ep
    @HusnaSultan-pz9ep Рік тому +2

    Allahu Akbar ❤

  • @Mu08Maybe
    @Mu08Maybe 13 днів тому

    Allahu akkbar

  • @khalifaAdamu-q8e
    @khalifaAdamu-q8e Рік тому +1

    ❤❤❤❤

  • @farhatsalim6616
    @farhatsalim6616 Рік тому +1

    Allahu akbar

  • @MariamChristopher-vz1kc
    @MariamChristopher-vz1kc Рік тому

    ❤❤❤ Allah akbar

  • @BimkubwaJuma-ew5dg
    @BimkubwaJuma-ew5dg Місяць тому

    ❤Allah akbar❤

  • @AmiriMtawatawa-oh6xj
    @AmiriMtawatawa-oh6xj Рік тому

    Alhamdulillah

  • @MwadjumaKazingufu
    @MwadjumaKazingufu 7 місяців тому

    Mashaalah

  • @gamalashur5412
    @gamalashur5412 Рік тому

    ALLAH AKBAAR

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v Рік тому +1

    Mashaa Allah shukran jazillah

  • @hassanomar7727
    @hassanomar7727 Рік тому

    mashallah baba anis

  • @shuwanaliloka3816
    @shuwanaliloka3816 Рік тому +2

    Tulikuaga na jirani mbaya hataree pale Sinza Mori jamani yule mama Mungu amuongoze.

  • @sammoses7479
    @sammoses7479 Рік тому

    Allah akbar

  • @hassanhussein7587
    @hassanhussein7587 Рік тому +1

  • @aminamatakamataka5870
    @aminamatakamataka5870 Рік тому

    🔥🔥🔥🔥

  • @charleskawishe
    @charleskawishe Рік тому +1

    Allah Akbar