Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious
But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏
I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,
AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.
Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji
Mungu wetu aliyekupa huu upako na akubariki na kukuneemesha zaidi na zaidi mtumishi....wengi wetu tunapata faraja sana kupitia masomo yako
Amen
Hakika kwakweli ata mimi huwa nakosa raha najiona mdhambi sana ila nkisikiaga mahubiri ya uyu pastor napata faraja sana
WE BABA MUNGU AKUBARIKI SANA huwezijua MUNGU anakutumia kunifariji kiasi gani UBARIKIWE KWAKWELI
Amina mchungaji somo lunatic moyo kuna mafarakano kwa watoto wangu niombee upendo utawale ktk familia
amina sana mchungalji ubarikiwe sana una karamu nzito ya kiroho pasi na shaka inayotubariki sana
Mama yangu anaumwa miguu, naomba neno lako moja tu ,naimani atapona na utukufu utarudi kwa Mungu
Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu .niliyoomba kupitia kwako Mungu akubariki sana.mchungaji wetu unatubariki sana.
Asante sana pastor MUNGU akubariki sana nilihitaji kusikia hii sana Leo nimepata nguvu mpya ndani yangu
Thank you Lord for your deliverence for me,,,,no word I can explain this but it's miracle
AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.
Somo zuri, Pastor mkumbuke mama yangu anaumwa miguu ,Neno la Bwana litende kazi ,Amen
Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious
But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏
Powerful statement
Very nice teachings
I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Naomba uniombee sana maana ni mimi tu kwenye familia yangu ninie mpokea yesu.mimi ni watatu ,lakini tuko saba .niombee familia yangu impokee Yesu
Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe huu
Mungu akutiye nguvu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen
Mungu ni mwemaa sana
pastor mbaga balikiwa saaana naomba uniombee kiroho nibalikiwe naitwa festo matewa nipo dodoma
Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,
Ubarikiwe mtumishi NAOMBA NGUVU yamaombi kutoka kwako
Hallelujah ❤❤
Nimekuelewa, Stay blessed
I was addicted Kwa mihadarati but kufuatilia naona change
Amen amen amen pasta
Nakukubali sana pastor..Asante sana
Nabarkiwa sana...stay blessed pastor
Tunakufwata tukiwa Congo! Ubarikiwe sana!
Barikiwa sana mafundisho mazuri binafsi najifunza na yananibadilisha Sana mungu wangu naomba ujazo WA roho mtakatifu
Thank u Lord
Mungu wetu mwingi wa Rehema na upendo azidi kukubariki na watu wengi wapate Nuru kupitia WWE na Mungu ainuliwe
Amen 🙏🙏🙌
Nimebarikiwa sana
AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.
Amen,Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk kazi yako ya utume
kwani mahubiri yako yanagusa maisha yetu!
Barikiwa
Amina 🙏😍
Very true, tusidharauliane
amen
Mchungaji ubarikiwe saana Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi
Barikiwa sana pasta
Barkiwa 🙏
Baekiwa
Mungu akubaliki san napendà sana mahubiri yako
Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji
Barikiwa saana pastor
Mm pia mchungaji nimenenewa hayo maneno na yananipunguzia nguvu ya kumalizia Degree yangu bado mwezi mmoja tu😰😰
SAWA mchungaji (akhsante).🙏.
MUNGU azidi kukuinua.Natoka Kenya
Ubarikiwe sana mchungaji
Habari muchungaji nahitaji kitabu cha kusikiya sauti ya mungu
Nita kipata namna gani ? Niko Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Piga +255 69 342 8152
@@MahubiriPrMmbaga pia nahitaji maombi yako muchungaji napitia wakati mugumu nisaidiye kiroho.
Naomba msaada wa kuingiq kwenye app kwangu playstore siioni
AMEN AMEN
Ni kweli PR mmbaga kila mtu ameumbwa kwa kusudi mahususi lakn namna ya kutambua uwezo wa ndani.
Pastor naamini kama tukikusikiliza vzr Waadventista wasabato tutashinda majaribu yote ya shetani
Minaitwa Erias N ,joseph nikiwa Rwanda kigari
MUNGU AKubariki pasta ni MESHACK MATAMBIRO toka Congo Bukavu amen.
Mutumishiwamungunaubarikiwesana mahubiriyakoyanitianguvusanetenasana
Je sadaka ukitaka kutoa mchungaji unatoa kwa njia ipi
Pastor mtu anaweza kujua aje kipawa chake?
Je ukitaka kubstizwa utabatizwa wapi?
Uko wapi
Naomba namba yako pastor 🙏🏾🙏🏾
+255 755 932 283 WhatsApp
@@MahubiriPrMmbaga Asante sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mungu ni mwema sana
Amen
Amen