Dr. Chris Mauki: Mambo tano (5) wengi huyasahau katika uchumba

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024
  • Makosa mengi yanayofanyika kwenye ndoa hutokana na vitu vilivyosahaulika kuangaliwa vema wakati wa uchumba. Ili usirudie makosa ya wengine jitahidi kuwa makini. Tazama video hii uyajue makosa hayo na kamwe usiyasahau.
    #DrChrsMauki#Uchumba#Mahusiano.

КОМЕНТАРІ • 42

  • @drmpemba5528
    @drmpemba5528 2 роки тому +6

    1. AINA ZA FAMILIA MNAZOTOKA-Chunguza na angalia kwa makini aina za Familia (Kiuchumi , Malezi, na backgrounds zaote)
    2. MTOTO WA NGAPI KWAO- ( Must know numbering, kila Nafasi ya mtoto Ina hulka tofauti
    Mtoto wa kwanza hawez kua sawa na WA mwisho,kitabia
    3. HAIBA YAKE - Personality yake introvert and extrovert
    MKIMYAA SANAA ana kaa peke ake ndani AMA NI MUOONGEAJI
    4.HISTORIA YA MALEZI KIUJUMLA (Family backgrounds, single parents eg single mothers etc
    5. JIULIZE UKO TAYARI KUMALIZA SAFARI PAMOJA NAE?

  • @oliverjoseph55
    @oliverjoseph55 2 роки тому +1

    Tena kunawakati narudia kujikumbusha,napenda kukufatilia kaka,asante sn Dr.

  • @kaswalala122
    @kaswalala122 2 роки тому

    Hili somo limenigusa sana.
    Ahsante mwilim wangu wa saikolojia pale UD

  • @renyfridabutitiba3458
    @renyfridabutitiba3458 Рік тому

    Asante Mwenyez Mugu akutie nguvu na kukuinua ktk kazi yako honestly najifunza mengi kutoka kwako

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 3 роки тому +3

    Mi niliwahi kuambiwa nimerogwa kwanini napenda kukaa pekee yangu muda mwingi haijalishi kuna umeme wala hakuna napenda sana kuwa pekee yangu muda mwingi sana

  • @deborajulius6024
    @deborajulius6024 3 роки тому

    Ahsante Sana.. Nimejifunza kitu hapa kwakweli.. 🙏🙏MUNGU akubariki

  • @elizabethnnko4900
    @elizabethnnko4900 3 роки тому

    Asante Saaaana Dr Chris haya ni ya Muhimu Sana Ila wengi hawayapi kipawa mbele

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 3 роки тому

    Fact. Baba Nimekuelewa Sana doctor Mungu akubariki sana

  • @happyvan6613
    @happyvan6613 3 роки тому +1

    Hapo Kwenye mtoto wa kwanza na wa mwisho Mimi , umeenielewesha Sana

  • @amzaomary7679
    @amzaomary7679 3 роки тому

    Asante saannaaa Dr. Mungu akubariki sana

  • @frankmathias1533
    @frankmathias1533 2 роки тому

    Ubarikiwe Sana mkuu

  • @halimasamson9841
    @halimasamson9841 3 роки тому

    Amen kaka jaman hiii mada imenihusu mim kabisa kwan nlikuwa sjaawah kumchunguz barikiw san

  • @subirachrispin9209
    @subirachrispin9209 3 роки тому

    Asante sana kaka nimeelewa ila nina swali kama uko kwenye uchumba alafu asiseme vitu hivyo vitano akagunzia labda tatu inakuaje kaka

  • @lydiaedwin3998
    @lydiaedwin3998 3 роки тому

    Asante Kaka nimetokwa machozi ,umenifunza kitu

  • @mwakisukuli2124
    @mwakisukuli2124 3 роки тому

    Nimekuelewa sana Brother heshima kwako barikiwa sana

  • @jackycute2047
    @jackycute2047 3 роки тому

    Mungu akubariki doctar

  • @yedadialukuba9820
    @yedadialukuba9820 3 роки тому

    Mtumishi, naomba zako,

  • @shadowhatory154
    @shadowhatory154 2 роки тому

    Aksante sana bro Mauki hii mada imenilenga maisha yangu sana🙏🏾🙏🏾

  • @rehemaandrew7569
    @rehemaandrew7569 3 роки тому +1

    Asante sana

  • @hussenalisa7211
    @hussenalisa7211 3 роки тому

    Mungu akupe afy asate sana nimejifunza

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому +1

      Amen natumaini ume subscribe channel

  • @angeljackson8794
    @angeljackson8794 3 роки тому

    Ubarikiwe Dr

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 3 роки тому

    Thanks for your advice bro chris

  • @magdalenamarcus5745
    @magdalenamarcus5745 3 роки тому

    Asante kwa ushauri nakuelewa Sana . Vipi kuhusu mtoto wa pili kwa mtoto wa pili kati ya watoto 5

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 роки тому

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @sylviesaidi8863
    @sylviesaidi8863 3 роки тому

    Thx Dr god bless u

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 3 роки тому

    Asante dr Chris mauki be blessed

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 3 роки тому

    Nimepata kitu Cha ziada asante

  • @mashasamli7669
    @mashasamli7669 2 роки тому

    Nimekuelewa kaka

  • @rogerskasale1857
    @rogerskasale1857 3 роки тому

    Nimekuelew sanaaaa kaka

  • @Muka_26
    @Muka_26 3 роки тому

    Be blessed

  • @jacquelinevedasto1058
    @jacquelinevedasto1058 2 роки тому

    Asante San Dr. Kwa mafundisho lakini ningependa kufahamu kati ya Introvert and extrovert ni kina nani wanaweza kukaa pamoja na kuelewa vizur kwenye mahusiano?

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro9631 3 роки тому

    MUNGU akubariki sana doctor! Umenifumbua ufahamu kwa upana sana kuhusu hayo makosa👏👏👏

    • @unicornlazo5117
      @unicornlazo5117 3 роки тому

      All right doctor god blessing you

    • @christinawambura7483
      @christinawambura7483 3 роки тому

      Asante sana doctor chris masomo yako yanikomamaza na kuyaimalisha mahusiano yangu na kupata maarifa kabla ya mahusiano

  • @gracekweka170
    @gracekweka170 3 роки тому

    Kiuiwer tumeolewa na kula kwa kuangali tyuu yyunaenda hayo yote unayosema Dr no wachache mno wanafuatilia

  • @enockmoses409
    @enockmoses409 3 роки тому

    Good lesson

  • @HermanMannytheNerd
    @HermanMannytheNerd 3 роки тому

    Umenigusa mwanzo mwisho

  • @rogerskasale1857
    @rogerskasale1857 3 роки тому

    Hauna vitabu kaka