KAMA HUJUI HATUA HIZI 5 KATIKA MAHUSIANO (MAPENZI) UNA HATARI YA KUSHINDWA.......

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 131

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 3 роки тому +13

    Eti weeee 😂😂😂😂😂 ubarikiwe pastor l thank God kupitia mafundisho yako niliponya ndoa yangu hakika mungu n mwema 🙏🙏🙏

  • @zilperwilliam7082
    @zilperwilliam7082 3 роки тому +20

    Mchungaji ubarikiwe Sana, anytime I watch ur videos it's like, u know what I'm going through.
    You preaching is always my rescue.
    Let ur word go, go far, n touch other people's life, as u have always done in my life. God bless u abundantly.

  • @khaldn7409
    @khaldn7409 2 роки тому +4

    Mchungaji barikiwa sana kwa mafundisho haya, mimi ndoa yangu ilivunjika nimekaa na mme miaka nne na Niko na watoto wawili lakini ndoa ya matusi, aibu kila mahali, vile tulijuana hakuwa anakunywa pombe, wacha tu tuishi na yeye, makubwa mchungaji nilishindwa kuvumilia saa hii Niko saudi arabia kumtafutia watoto kazi ataki, kucheza tu gambling. Naomba unikumbuke kwa maombi ukipata message hii. Thanks.

  • @makyeintiro1023
    @makyeintiro1023 5 місяців тому

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @lucykihara4638
    @lucykihara4638 6 місяців тому +1

    This is so real n applicable.Marriage works❤❤❤

  • @deborahelias3931
    @deborahelias3931 3 роки тому +3

    Asante san mchungaj kwa kunifumbuwa macho nitayatekeleza hayo yote ulio Sema nitamusikiliza mme wangu nitampnda San cloudy dugu wng ktk Jina la yesu kristo Amen

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 3 роки тому +3

    AMEN nimebarikiwa sana na mafundisho mchungaji

  • @isacktarimo5537
    @isacktarimo5537 3 роки тому +2

    Mtani upo vizuri sana mahubiri yako bafuatilia sana na mafundisho yako yananifanya mahusiano yangu yazaliwe upya ndan ya mahusiano, yameinua kiuchumi, kiafya na kuendesha mahusiano kirahi sana, ubarikiwe baba mchungaji

  • @suzyelias9593
    @suzyelias9593 3 роки тому +2

    Asante Mchungaji kwa mafundisho haya nitakapo igia kwenye ndoa nitakuwa imara kabisa

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 3 роки тому +3

    Be blessed mchunga.mchungaji niko na uchungu sana maana nilishaatoka kwenye ndoa na hizo dalili zipo kwenye familia yetu,nifanyeje mchungaji naomba unisaidie

  • @mnejimakuka5927
    @mnejimakuka5927 2 роки тому +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho.Mungu azidi kuwatia nguvu watumishi wake.

  • @kombakomba7922
    @kombakomba7922 3 роки тому +4

    Asante kwa huduma hii nimebarikiwa Sana.

  • @hawachriss9675
    @hawachriss9675 3 роки тому +2

    Amen ubarikiwe nimejifunza kitu hapo🙏🙏

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 3 роки тому +1

    Amen Najifunza mingi sana natumai nikifikia Hapo nitakua nmejua namna ya kuishi

  • @estermpwan4739
    @estermpwan4739 3 роки тому +1

    Unanibariki Sana mtumishi Mungu akubariki Kuna vingi najifunza

  • @rachelmanema9044
    @rachelmanema9044 3 роки тому +2

    Asante pastor Mungu akubariki sana unaponya ndoa zetu🙏

  • @linetokuku5390
    @linetokuku5390 3 роки тому +1

    Amen Amen mtumishi

  • @lydiamajula5083
    @lydiamajula5083 11 місяців тому

    Amina pastor nimejifunz kitu hakika bwn ataniongoza kw hili

  • @barakadockita2105
    @barakadockita2105 3 роки тому +4

    Nimeipenda.yani somo.nizuli

  • @JofreyJeremia-gm7jv
    @JofreyJeremia-gm7jv 7 місяців тому

    Amin

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 роки тому +1

    😃😃😃Ndo maana mahusiano yanavujika mapema skuhiz 😝😝😝😝aiseee ahsante sana Mungu akubariki sana mtumishi Mungu akupe maono zaid na zaid 🙏

  • @eunicendegea6865
    @eunicendegea6865 3 роки тому

    Amina mchungaji, Mungu atusaidie kuzifikia hatua 5

  • @godfreybaraka5787
    @godfreybaraka5787 3 роки тому

    Mungu akubariki sana past na akuzidishie maisha marefu

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 3 роки тому +1

    Mungu awe pamoja nawe Pastor.

  • @innoboy2853
    @innoboy2853 2 роки тому

    Hakika mchungaji unatoa nondo
    ,Ubarikiwe sana.

  • @charlottendayishimiye6650
    @charlottendayishimiye6650 3 роки тому

    Asante sana.Mungu akubariki kwa somo zuri.

  • @AbiudJames-m4d
    @AbiudJames-m4d 19 днів тому

    Amina

  • @frank_luminous
    @frank_luminous 3 роки тому +3

    Ahsante sana Pastor

  • @tinakabyemela3593
    @tinakabyemela3593 11 місяців тому

    Asante sana mchungaji mahubiri yako yananibariki sana

  • @user-me5lk7uw6w
    @user-me5lk7uw6w Рік тому

    Somo zuri sanaaa!!Mungu akubariki

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 роки тому

    Amina, Mungu anisamehe,zaburi 103:3Barikiwa PR.Mmbaga

  • @imgracesamwel3999
    @imgracesamwel3999 3 роки тому +3

    Mungu akubariki mchungaji nimejifunza mambo ya muhimu asante

  • @philesombongi5793
    @philesombongi5793 3 роки тому +1

    God bless you pastor David am blessed

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 роки тому +1

    😀😀😀😀aminaa ubarikiwe pastor Mmbaga

  • @rosepatrick1777
    @rosepatrick1777 3 роки тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @Louez-l-ÉternelTV
    @Louez-l-ÉternelTV 6 місяців тому

    Asante pastor !

  • @hatibusaid6924
    @hatibusaid6924 3 роки тому

    Nimejifunz meng pastor🙏🙏🙏🙏 barikiwa

  • @ellenmbota1241
    @ellenmbota1241 3 роки тому

    Amen amen pr ubarikiwe yani nimecheka sana umeongea pointi

  • @benjaminwafula9623
    @benjaminwafula9623 2 роки тому

    Pst barikiwa sana sijaoa ila nipo kwenye uchumba ila hichi kijisehemu nimekipenda kinamafunzo mazuri kweli-kweli

  • @graceb2398
    @graceb2398 3 роки тому +6

    Aki this pastor make me laugh 😂😃😂🤣🥰 it’s true what he say🙏

  • @alicefaraja7712
    @alicefaraja7712 Рік тому +1

    God bless you Pastor

  • @mariammaricha9125
    @mariammaricha9125 3 роки тому

    Amen somo zuri sana Mungu atusaidie

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 3 роки тому

    Amen barikiwa pst kwa mafunzo tamu

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 3 роки тому +2

    AMEN, God 🙏 bless you

  • @mercyurio2105
    @mercyurio2105 Рік тому

    Mungu akuongeze kipaji pastor

  • @dorcangaga2377
    @dorcangaga2377 3 роки тому +1

    Asante kwa somo mchungaji umenigusa sana

  • @dennisgona3328
    @dennisgona3328 Рік тому

    Karibu kenya pastor 🇰🇪🇰🇪

  • @priscasulle9391
    @priscasulle9391 3 роки тому +1

    Amina , somo limenibariki sana

  • @marykamene5859
    @marykamene5859 3 роки тому +2

    Blessed by mahubiri T.v pastor mmbaga please pray for me Anthritis inanimaliza

  • @bonykitereja7658
    @bonykitereja7658 3 роки тому +2

    Laiti ningepata hili somo mwaka mmoja uliopita nisingemwacha mwanamke wangu ubarikiwe sana pastor

    • @fatumachagudadui3138
      @fatumachagudadui3138 3 роки тому

      Hujachelewa kama unampenda unaweza mrudia na mkasonga mbele tena

    • @damah8431
      @damah8431 3 роки тому

      Mtafute ikiwa bado ajaolewa

    • @reginatsaxara4600
      @reginatsaxara4600 3 роки тому

      Upendo wa kweli haufi kirahis kama unampenda mrudishe

    • @zuhratyrico5147
      @zuhratyrico5147 3 роки тому

      💞💞💞💞 hujachelewa Kama na yeye anaupendo wa kweli kwako

  • @pendojovenary4787
    @pendojovenary4787 3 роки тому

    Amina Sana Pastor

  • @user-ub9vm4cc2s
    @user-ub9vm4cc2s 11 місяців тому

    Pastor mungu akubariki

  • @mwasiyusuph8985
    @mwasiyusuph8985 3 роки тому +2

    Hakika nazidi kubarikiwa na mahubiri yako pastor

  • @zuberysaid9201
    @zuberysaid9201 3 роки тому

    Nakuoma mjomba mungu akubrki sana

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo6571 3 роки тому +3

    Thanks much.👊🤣✈️🛩️

  • @thomasthobias3369
    @thomasthobias3369 3 роки тому

    Barikiwa Pr

  • @kulwamatutu559
    @kulwamatutu559 3 роки тому

    Hii nimeipenda pastor, pia nina swali

  • @sarahnyithambe6726
    @sarahnyithambe6726 Рік тому

    🙏🙏🙏

  • @lydiachembe9376
    @lydiachembe9376 3 роки тому

    Jaman mungu akuonekanie akuweke daima nimejifunza mengi

  • @racheljosiah7549
    @racheljosiah7549 3 роки тому

    Asantee kwa fundisho hili

  • @labanintunzwe9689
    @labanintunzwe9689 3 роки тому +2

    Abwene misuri ya imani

  • @elisonministry5630
    @elisonministry5630 3 роки тому

    Barikiwa sanaaa PR

  • @wajenzifamily5661
    @wajenzifamily5661 3 роки тому

    Hakika nimebarikiwa Sana Pr.

  • @glorialaizer9450
    @glorialaizer9450 3 роки тому

    Your so right

  • @nattie0226
    @nattie0226 8 місяців тому

    amen be blessed

  • @Leo200981
    @Leo200981 3 роки тому +3

    I wish Somo hili ningelisikia kabla.......

  • @holinessamisi1239
    @holinessamisi1239 3 роки тому +3

    eeh jamni Mungu wangu yani sijawahikuona harusi yenye kupendeza kama hii sisemi hivi kwa sababu hii ni arusi ya ki Christo au kwa sababu mimi naipenda hii youtube channael maubiritv ila kila mtu njisi yule dada wakwanza macho yake yalivyo kuwa na ngaa lakini Bwana harusi alimkazia mkewe macho pekehe yake tuu. awww hii ndoa ina sura yakudumu hadi kihama milele.

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 3 роки тому

    Ameen sana

  • @jessicapeus2964
    @jessicapeus2964 3 роки тому

    Asante kwa neno

  • @ngassa1tv331
    @ngassa1tv331 2 роки тому

    Pr makini

  • @loycesinko9621
    @loycesinko9621 2 роки тому

    Nimekwelewa leo

  • @frankchiwango1300
    @frankchiwango1300 3 роки тому

    Mungu akutumie we jamaa

    • @tajitunzo1664
      @tajitunzo1664 3 роки тому

      Ubarikiwe Mchungaji ila Masomo Haya yamechelewa kufahamika maana wengine wamefikia Hata mbaya mapaka wameuana Mimi sijui itakuwaje. Mambo mengine ni magumu mno

  • @emmanuelkidai5953
    @emmanuelkidai5953 Рік тому

    Swal ni mme au mke akifanya kosa gan huwez kumsamehe

  • @benedictojakobo4425
    @benedictojakobo4425 3 роки тому +1

    Wape maneno

  • @priscamwita6469
    @priscamwita6469 3 роки тому

    Amen

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 роки тому +1

    😂😂😂😂😅😅😅😅😅😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😁😂😂 Asante Mtumishi

  • @EricMtemi
    @EricMtemi Місяць тому

    Duuuuu

  • @emmasan9638
    @emmasan9638 2 роки тому

    Uwepo wako by Reuben k

  • @rosehenry8627
    @rosehenry8627 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣 ni kwel kabsa mtumish nimebarikiwa... Stage ya pil hatr et anakoroma

  • @michirasilvia-theyouthstew7956
    @michirasilvia-theyouthstew7956 3 роки тому

    Eti tungebaki stage ya kwanza watu hawangeenda kazini...😂😂😂nimecheka sana😂😂😂

  • @anetivicent8663
    @anetivicent8663 3 роки тому

    Pastor,,, hivi inawezekana mtu akapitia hiyo hatua ya nne kama sikosei hiyo kuweka petrol kwenye pikipiki,,,, kabla ya kuingia kwenye ndoa,,,,??Yaani kumpenda mtu kwa hivohivo tuu???

  • @mabalozichoirtz1185
    @mabalozichoirtz1185 3 роки тому +1

    Sawa

  • @deborahelias3931
    @deborahelias3931 3 роки тому

    Nimejifunza vitu vingi San

  • @leahsimba7159
    @leahsimba7159 3 роки тому

    Natamanii

  • @rebeccasamuel3563
    @rebeccasamuel3563 2 роки тому

    Mchungaji m ni muadventist nipo sumbawanga nahitaj maomb ndoa yang ipo hatian nahitaj msaad wa maombi nimechelew kupat mtoto nna miak 3 na nus

  • @gabrielkatana7930
    @gabrielkatana7930 3 роки тому

    Hapa umesema.....Ni Kama unanambia mmi

  • @vionanyagechanga4503
    @vionanyagechanga4503 3 роки тому

    🤣🤣🤣 Hii nayo pastor

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @magesamstiko3182
    @magesamstiko3182 3 роки тому

    Naitaji hii video naipataje

  • @annamkongo5084
    @annamkongo5084 3 роки тому

    😀😀

  • @anithawimbe3440
    @anithawimbe3440 3 роки тому

    Hili kanisa liko sehemu gani Tz?

    • @evelinankayamba217
      @evelinankayamba217 3 роки тому

      Kanisa la Waadventista wasabato lipo kila mahali!!! Unaweza kulitafuta maeneo yako. We upo wapi?

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz2755 3 роки тому

    nimejifunza kitu

  • @julianaelias4062
    @julianaelias4062 3 роки тому +1

    Napnd

  • @princemotih..2749
    @princemotih..2749 3 роки тому

    Ifike wakati psychology na uhalisia muutofatishe kwani BWANA ndiye aamuaye kesho yetu

  • @janejoseph9009
    @janejoseph9009 3 роки тому +2

    mbona saa saba😂😂

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 3 роки тому

    Uwiiiiii mimi huyu

  • @sulekisaka2081
    @sulekisaka2081 3 роки тому

    Kutafuna vitu ni upungufu wa vitamin jmn 🤣

  • @mutwimapungu2079
    @mutwimapungu2079 2 роки тому

    Iyo hatuwa ya kwanza yani ni HORMONE inaitwa DOPAMINE ndo inapanda juu sana.

  • @maxlove2668
    @maxlove2668 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣Binadamu wewe

  • @Eloge066
    @Eloge066 6 місяців тому

    Amina