Imani ya dini haipo kwenye hilo tu mdogo wangu mwijaku ebu angalia hiyo cheni hapo shingoni je dini inaruhusu? Amelaaniwa mwanaume alievaa mavazi ya mwanamke na hiyo cheni pia ni vazi là wanawake ...kwa hiyo wewe na Juma nani Shoga? Au wenyewe mnajuana? Halafu jaribu mdogo wangu kupunguza mambo ya udaku kuongea ya wenzio ya kwako huyaoni wacha kabisa fanya yako
Naku support 100/ mdogo wangu tenaa walaa usijaribu hataaaaa robo kumsogeleaa pale alipo kharaaaam tupuu zinazo mnig'hiniaa so plzz na haoo wanao kuhoji na kukusogezea hataa hilo jina lakee wakomeshee
Wallahi wewe mwijaku khabithi subhanallah wewe alafu dayuthi umlete mkeo watu wapige picha miguu huna akili mambo mengine ficha ya mkeo ni yako basi niletee mimi niifanyie kazi
Haya juma shoga kwake motoni. Wewe nawe Dayyuti kwa kauli ya mtume Dayyuti ni jitu liso na wivu na mkewe yani kumuanika mke mitandaoni mara kwa mara na Dayyuti mahala pake ni motoni mtume kasema.
Mwijaku usimuhukumu mtu yyt kua huyo anaenda motoni hio ni siri ya allsh wewe sio mtoa hukumu za waja mbona wewe ni kuadi wa wasanii na watu wanalijua hilo kujifanya unajua dini na unafiki umekujaa kazi yako kuomba kisaikolojia
Kwaio utatuonesha miguu ya mkeo ili kumjibu huyo umuitaye shoga ili ufurahishe vyombo vya habari na watanzania Mm naisi na wewe utakua ni zaidi ya shoga Maana mwanaume rijali hafikirii vitu vya kipuuzi vya kumuasi mungu kwa ajili ya watu
Huwa napenda mtu wa kawaida ambae anajua Uwepo wa Mungu na Utukufu wake kuliko Kiongozi wa Dini. Cheni na mengine ni ujana tu ALLAH amuongoze yeye na sisi. AMIIN
Brother mwijaku.. Leo umenifurahisha uyo jamaha ni shogaa kweli nishoga kbisa tunamjua
Yani mwijaku akimuongelea mke wake rahaa tupu wanaume jifuzeni kusifu wanawake wenu igeni kwa mwajiku
MAISHA MATAMU hala lolote mshamba mwijaka
Basi kaolewe na wewe na Mwijaku
Maisha matamu nicheki basi baadae
Unavyotaka wewe tuwasifu kwenye mitandao?
Siwez sifia upuuz
Mwijaku umejua kunichekesha😂😂,jamani lokole
Kweli kabisa mwijaku uko right kabisa thank u
me napenda vile mwijaku huwa ana msifia mkewe
Mwijaku wew sio mtu mzuri usijifanye unasifia wanawake lakini nyuma unawaebisha wew shetani mojakwa moja nidhahiri motoni itaenda
Kwakwel umenifurahisha mwijaku
🤣🤣🤣 tundu la 7 Juma kapata kiboko yake xaha xaha Mwijaku nyoko kweli
Imani ya dini haipo kwenye hilo tu mdogo wangu mwijaku ebu angalia hiyo cheni hapo shingoni je dini inaruhusu? Amelaaniwa mwanaume alievaa mavazi ya mwanamke na hiyo cheni pia ni vazi là wanawake ...kwa hiyo wewe na Juma nani Shoga? Au wenyewe mnajuana? Halafu jaribu mdogo wangu kupunguza mambo ya udaku kuongea ya wenzio ya kwako huyaoni wacha kabisa fanya yako
Mxiuuuuuuuuuuuuuuu....ebu mwache juma wetu
Hahaha kaka hongera piga kelele kwa mwijaku ake eeeeh
Hua nakuelewa sana mwijaku
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tundu la saba 🤣🤣🤣
Ooooooh jumbe Juma lokole ni shoga ooooooh ndio maana haposti watoto kumbe n shoga
Naku support 100/ mdogo wangu tenaa walaa usijaribu hataaaaa robo kumsogeleaa pale alipo kharaaaam tupuu zinazo mnig'hiniaa so plzz na haoo wanao kuhoji na kukusogezea hataa hilo jina lakee wakomeshee
Kaumuluthwi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 huyu mwijaku ki Arab chake sikiamini kabisa 😂😂😂😂😂tundu la saba 😂😂😂😂
Inalillahi wainailayhi rajiun Mola akuongoze ampemwishomwema
Like za waschana wanaosifiwa na mwijaku
Leo nimekukubali bro
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Nakubal utaki ushogaaaaa mamae @ Big up kaka mwijaku
Mmmmmh hamna kitu hapo wakawaid a tu
Kaka unanifirahisha sana ukimsifia mkeo najisikia poa
😂😂 sana mwijaku.umeongea kitu Cha ukweliii 🤝🤝..... Wap lokolee🙉🙉
Mwijanku hongera kwa kumsifu mkeo
Noma sana daaaa tundu la saba😄😄😄😜
😂😂tundu la saba 😂😂mung tunusur nalo
nilikuwa cjui kama mwanadam anamatundu 7 mwijaku amenifanya nihesabu matundu yangu
😂😂😂😂😂😂Mwijaku umenifulaicha San ❤️❤️❤️💕
Daa kaka umeongea vitu vyamana Sana Juma choko
Daaaah huyu jamaaaaa ,🤣🤣😂😂🤣🤣
Wawaaa mwijaku kweli a napeda mkewe Sana..
Saf sana mwijaku umenifuraisha sana.
Mwijaku na mkewe wote miguu vijiti vya kiberiti
😂😂😂huyu kaka kanishinda tabia😂😂tundu la 7
@Ali Ali Kumbe nilikuwa sijui 😂😂😂😂
@@mariamsayari7880 ww
Wallahi wewe mwijaku khabithi subhanallah wewe alafu dayuthi umlete mkeo watu wapige picha miguu huna akili mambo mengine ficha ya mkeo ni yako basi niletee mimi niifanyie kazi
Sie eti na yeye, anamsifu mke wake kwenye mtandao, dayusi kwisha kazi
Anakurupukia kutoa hukum bure yeye anaona anapo sema kumleta mkewe akaguliwe ndio kumsifia mpeni pole tu!
Haya juma shoga kwake motoni.
Wewe nawe Dayyuti kwa kauli ya mtume Dayyuti ni jitu liso na wivu na mkewe yani kumuanika mke mitandaoni mara kwa mara na Dayyuti mahala pake ni motoni mtume kasema.
Iyomigu unasema Sasa ushawapima mingu wanawake wote ukajuwa wanamigu mibaya wako njo mwenye migu mizuri?
We mwijaku we ukweli unauma ukitajwa Tu unaumia sana unauakika gani na wewe unafanya nini
Mwambie kweli choko uyo
Huku na pitwa kumbe 🤣🤣🤣🤣
Tunndu la 7🏃🏼♀️🏃🏼♀️🏃🏼♀️ acha ni cheke tu
Iyo imekuuma
Yaani cjui hata nisemeje ok cc wageni tume toka mbinde
Ndio maana nimbea Ivo Mungu anavumilia maovu mengi ....dunia jamani
Iyo imekuuma una jipya we una pesa gan umiliki mke mzur
We kaka maashaallah kweli unajua kusifu we kweli dume
Kwahiyo mwijaku unasema huwezi kujifunza ushoga kumbe Ni mtaaram wa (u------).umefuzu. Daa! Hungera sana
Ila Mwijaku una Sura ya kike jaman nisamehe kama nimekukosea sijaongea kwa ubaya
Bro tundu la Saba uliesabu ha ha ha
Wow this man loves his wife wow
Too bad he has married a 2nd wife really disappointed
me ua situmie tundu la saba hahahaha mwijaku umetisha
Sipendi mtu anaeongea na mtu huku anatafna tafna kitu aaah! Ovyoo unawezaje kusem mtu anaenda jehanam. Wwje?
Wewe mwijaku mbona kama haujielewi? Unamsifiaje mkeo kwenye uma?
Toka
Mmmmmh mwijaku wajifanya wajuwa dini Sana eeee??na menina yuwapi😄😄😄
I like this guy...he is an actor
Na kupenda bure
Hahahaha.... Mwijaku bana!!! Eti tundu la saba
We xi unaxemaga unataka pepo xaxa mbona hata mwanamke wako hajistili
Hapo cha-cha
mnafki na uyuu mke wake ajistili
@@shanimbaruku2071 huyu ni mshenzi hajui dini anavamia
Safiiiiiiiiii sana mwijaku
😂😂😂😂Mwijaku sio mzima wewe eti tundu la saba
Mwinjaku 🤣🤣🤣 💪
Mwijaku usimuhukumu mtu yyt kua huyo anaenda motoni hio ni siri ya allsh wewe sio mtoa hukumu za waja mbona wewe ni kuadi wa wasanii na watu wanalijua hilo kujifanya unajua dini na unafiki umekujaa kazi yako kuomba kisaikolojia
Atakufa na lahana uyo ,,,nimtu wa Kiki tu ana lolote ,,, ndomana nasemaga
Tz Amna mastar ,tofahuti na WCB tu wengine niwanawake tu
Nime Cheka mm jamani eee
Mwijaku shikamoo humfwati Shoga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwijaku nakupenda saana natamani nikuone tupge napcha
Kabisa mwijaku
shogaaa jumaa
😅😅😅😆😆😆
😁😁😁
Namuelewaga kinyama
Kwaio utatuonesha miguu ya mkeo ili kumjibu huyo umuitaye shoga ili ufurahishe vyombo vya habari na watanzania
Mm naisi na wewe utakua ni zaidi ya shoga
Maana mwanaume rijali hafikirii vitu vya kipuuzi vya kumuasi mungu kwa ajili ya watu
Seriously ni ukweli, yeye akisema wengine anaona raha, akiguswa anapanick, kweli kunya anye kuku, akinya bata kaharisha 😁
Yani wanaume wote wangekuwa wanasifu wake zao kama kaka mwijaku ,Wa Allahi ndoa hazingevunjika
Mukisifiwa munajiona
Broo mwijakuu naomba utuzibitishie Kama kwelii jumalokole anatoa ndogo
Mm sio mtumiaji wa tundu la saba
Mwijaku ndoto zang ili zitimie tuonane alfu npge pch na w nakukubal sn mwijaku
Aaaaaah
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mrembo wako sio wawote bimana siwote walimuona wakaona nimzuri lakini si vizuri kumtukana mwenzako ivo unauhakika jamani wa tz acheni ivo muwe naadabu
Kumbe nae anaumia mbon kila siku awasema kina uwoya ili nalo choko
Ata mung anasema msifie mkeo
Kabisa
Asee huyu jamaa😂😂😂
Hahaaaaa mwijakuuu weeee
Tundu la saba.balaaa
Juma kapata kiboko yake hahaha
Kamuludhwi 🤣🤣🤣tundu la saba
He he he mbavu zangu
Una masifa mengi wajifanya mjuwa dini sana we mwenywe apo uja kamlika una mapungufu yako ,mwanzo shingoni umevaa chain ya nn mtoto wa kislam ww
Mwijaku umeongea kweli juma lokole nishoga
Mwanaume ana ruhusiwa kuvaa chain ya silver ,kidini ni sawa
Kuvaaa silver ,ki dini nisawa mbona
@Ali Ali mwenzangu njoo unitoe maanake zimejaa sio mchezo ntakupata wapi vile
Hhhhhhh tunduu la sabaaa
Mkewe mzr sana
🤣🤣🤣 mwijaku u sooo funny
Mwijaku anajua kuongea si haba
MWINJAKU NA JUMA LOKOLE NI SAWA NA KENGE KUMUONGELEA MJUSI...WOTE WALE WALE
Hiyo tundu la saba ndio gani...niambieni wenzangu
Ni mkundu
Eti tundu la saba😂😂😂😂
Huna akili wewe unajifanya mtu wadini wakati nawewe una makosa iyo cheni shingoni wajifananisha nani wema awu adija kopa
Huwa napenda mtu wa kawaida ambae anajua Uwepo wa Mungu na Utukufu wake kuliko Kiongozi wa Dini. Cheni na mengine ni ujana tu ALLAH amuongoze yeye na sisi. AMIIN
😂😂😂😂😂😂😂 yaan uwa wanifraisha hhhhh
Mwambie uyo
Seven what. . ????
jamani tundu lasaba
Asha kujisifu saaana kizuri hakusifiwi
Ongeza speed ,storage na memory space ya simu
👇👇👇
ua-cam.com/video/l04JcHms-lQ/v-deo.html