HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE
Вставка
- Опубліковано 1 жов 2024
- HELA ZIKO HUKU RAFIKI ZANGU/MASANJA AWEKA WAZI HATUA ZOTE.
KUMEKUWA NA WIMBI KUBWA LA WATU KUTAMANI KUJISHUGHULISHA NA MAMBO YA KILIMO SASA MFATILIE MASANJA AMBVAYE AMELIMA KWA MDA MREFU NA HAA ANAKUWEKEA WAZI HATUA KWA HATUA KUHUSIANA NA KILIMO CHA MPUNGA MAENEO YA KAPUNGA WILAYANI MBARALI MKOA WA MBEYA FATILIA UJIFUNZE ZAIDI
Mr. Masanja Mimi niko Marekani my No is +18164893199 tuwasiliane nihoji kuhusu hicho kilimo
KAMA UMEELEWA KAMA MIMI GONGA LIKE👇
SHACK UB Asante
Umetisha bro nimependa sana stori yako
Safi sana mudogowangu
Wangapi wameelewa kama mimi big up masanja such a good soul🔥🔥🔥
Jaman nime subscribe kabisa wewe ni genius👏👏
Hongera sana Ndg!na shukran sana kwa elimu nami najipanga kwa ajili ya msim ujao
Njau Son Sawa karibu sanaa
Hongera sana brother Mgaya, Huko kwetu usangu ni zaidi ya Mererani, Ni kuanzia hapo Kapunga, Ubaruku hadi madibira ni utajiri tu.
@@Feelfreechurch ni zaidi ya asante mtumishi,,,,, shukrani sana
Brother nahitaji kuja shambani Niko Iringa town
@@godfreymagoso5334mm 4:07 4:10 k 4:15 k 4:18 4:20 4:20 4:21 kkkkk
braza mimi n mwanafunzi wa chuo npo mwaka wa mwisho kaka nashukuru kwa darasa umeniongezea idea nyingi nashukuru kaka kwa somo hili natamani hata siku moja nipate nafasi ya kukaa na wew ili kuendelea kujifunza mengi kutoka kwako natumai siku moja nitapata hiyo nafasi ila ahsante kwa darasa na endelea na moyo huohuo ilui wengine tujifunze kutoka kwenu
Bei ya kupanda ni shingap mkuu
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁,,😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁,, Jaman mkoaa w Mbeyaa,, unavivutio vingii,,, karibun sanaa wageen ,,, asaa pande za Mabarali Kama,, Helaa zipoo ukuuu jamn
'Inspiring!' Can you pls put english subtitle to this video!
Nahitaji kuja huko brother nahitaji kuja shambani Niko Iringa Mjin hapa 0785278779 place
Daaaah nimechelewa kinyama, brother unafanya bonge la kazi yani. Yani mi nimeona una share siri za mafanikio kinagaubaga kabisa. Mungu akupe nguvu uendelee kutema vitu.
du ..?wewe noma mungu azid kukupigania ktk kaz yako
Kaka umenishawishi Mno hongera sana sana Namba Yangu 0655408252 nibeep tuyajenge Barikiwa mno
Mungu akubari zaid kwakushea nawengine maujanja
Habali mtumishi huwa nakufuatilia Sana nikijana ambae Ninandotonyingisana naomba muongozo mtumish naomba unishikemkono
Una maaakili wewe kaka. Mungu endelea kumtunza, mkandike ma info aendelee kutubariki.
Nimekutunuku shahada ya uzamivu ktk kilimo Kutoka chuo cha Sokoine University of Agriculture SUA, Hongera sana
Data yang imeenda kihalali,,,,,,,
Asante mtumishi
Ana roho nzuri lakini pia mlimaji uwe na roho ngumu ya kupambana hadi kieleweke. Ina hitaji kujitoa kukubwa na kuvumilia sana magumu.
Siwezi kuelewa maana wewe unawakamua baadhi ya watu kwa kigezo cha sadaka then unakuja kuwekeza mashambani na kusema kilimo kinalipa, aidha watu wa sadaka wengi wanatumia sadaka kwa kuwekeza mashambani, anafanya higyo elionora, askofu wa efatha n.k hivyo tunataka mtu from scratch ndiye atueleze kilimo kinalipa
Hongera sana kaka Mtumishi! Nakukubali sana kakaangu, endelea kubarikiwa!
Masanja mbongo mwenye akili utampata wapi? Akusimamie
Soko lipo la uhakika lakini?
Nisaidie mamba ya muwekezaji tunashuru kwa elimu ya Burr ubarikiwe mungu akupe umri mrefu zaidi
shukrani bro
Nissidieni aina bora ya mbolea inayotumika na hiyo dawa inayotumika baada2 ya kupanda
Napenda kilimo inshallah 🙏
Uko vizuri kaka napateje conection yako
Nimejisikia raha sana kwa jinsi ulivyo ichambua future yangu
Brother masanja hivi ktk kulima unaweza kuivisha vizuri lakini wakati wa kuvuna zinakuwepo issue za uchawi watu wanavuna mpaka mpunga wako naomba unisaidie kujua hili
Kukodisha hizo heka 15 Zina garimu kama pesa gapi am mtu awe namutaji wa pesa gapi
Asante bro Masanja tuko pamoja kuijenga nchi
Wewe mwenyewe jifunze kwani bado Una kilimo cha kizamani
Safi Sana brother naitaji ukupita kusoma sms hii naomba unisaidie namba yako
dhuuu hayo maelezoo huwezii kuyapatahata kwa graduate wa sokoine university
Masanja ww ni noma
Hayo mashamba ya huko pembeni ya wawekezaji wao hawalindi ndege?
Aisee Braza Masanja mm ni moja kati y wadau ambao wanaamini ktk kilimo ila bad sijaingia huko lakn naamin one day kuanzia mwishon mwa mwak huu naweza kufanya kitu
Tunawasiliana vipi mchungaji nasisi tujiunge huko
Masanja,nikiwa na milioni 5 naweza kuingia kwenye program hii?
Nataka niingie kwenyemchongo wakilimo
Naomba namba zako napenda Sana kilimo hicho nijifunze kaka
Asante Brother endelea kutuelimisha zaidi🙏🏽🙏🏽 unatupa hamasa vijana wenzako
Namba yako mtumishi please!!!
Maua yako makandamizaji natamani kuungana na ww
Shalom nauliza mashamba yapo mbeya sehemu gani
Kwa Mimi ninayekuwa na mtaji wa eka moja tu ya mpunga Nifanyeje bosi?
Namba ya simu plz, ya Mtumishi naihitaji
Asant braza nimejifunza meng kupitia wewe
Uko vizuri naomba namba yako
Kilimo nakielewa🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Yaani umenikumbusha kapunga kwetu duu
Pastor sijasikikia cost za mbegu
ASANTE SANA MTUMISHI WA BWANA
Mi mpunga nafahamu procedure zake ila kilichonifurahisha ni #StandYaUbungo
Masanja unatisha masanja mutajishigao
Masanja ni mbolea ipi mnatumia
Bro nimekufatilia, nimekuelewa! Kwa Neema za Mungu, mwakani msimu ujao tutakua pamoja
HUKO NI WAPI MASANJA?
Braza Elimu unayo toa nikubwa mmno Mungu akupe MAISHA marefu
Asante sana kwa kushare bro, lkn waombe dereva wa fuso wawe makini sana
Masanja kwakweli unapambana
Kilimo ni kizur br..changmoto ni mtaji,lkn pia tunaangalia na mazingir ya kilimo pia..kw mfano kama ww hutegemei mvua..kuna watu kilimo hicho ili kiende lazima kuwepo na uwepo wa vvua
Kaka bonge la mchongo
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mwanawane sante
Heka moja shng ngapi
Ninaomba namba yako
Tafuta mashine ya kupandia
Nimekuelewa kaka Umenigusa I will personally find you
Nitafute shamba ekali kumi
Daah saaafi kwa upendo huo
Mi naimani mtu ukipata mafanikio kidog una ambiwa mengi sahiv una ishi dar una ambiwa una uza madawa lakin ungekua kijiji ungeambiwa una ela za kichawi ...mm naamin
Bt mi naamini broo uyo ongoe uko sahihi kabisa yan alie elewa ameelewa wajinga wana imani za kijinga kwer yan mwishi naweza kusema NAPENDA SANA KAZI YAKO MASANJA NA NATAMANI SANA KUFANYA KAZI NA WEWE
Mawasiliano yatatusaidia
Hakika utabarikiwa kwa hili sio wote wanaweza kufanya ulichofanya ungeweza kukaa kimya na kufanya mambo yako ila moyo wako ni mzuri unataka tupate wote na si ww tu..MUNGU AKUONGEZEE KAKA
Kweli toa pesa ingiza pesa jamani msimjaji mtu anautajiri wa nguvu za Giza wakati hamjajua historia yake na maisha yake ongera kaka kwa kazi nzuri
nikweli kabisa mkuu ubarikiwe kwa kazi izo za kilimo.
Bei ya viwanja huko ni ngapi
Broo nashukuru kwa elimu hiyo nifanyia kz
Kaka mimi na kwelewa sana
Masanja, kiukweli napenda sana, uhamasishaji wako.
Mungu akutie nguvu zaidi.
Mimi nimezaliwa Mbarali, yote unayoongea ni ukweli mtupu
Vp kuhusu bei ya mbegu
Ni wapi huko
Asante kaka ila kichwani kwangu nafikilia kilimo ila bado sijapata mtu wa kusimamia kilimo nachokitaka
Nakukubali sana ndg ktk KRISTO YESU, ila hukusema garama za mbegu ya awali kabisa
MUNGU akubariki sanaa maana hio sir sio wote wanaweza kusema nakufatilia sanaa niko omani nikilud ishaallah
Mwana hapo umepiga jiwe tunduni mm ni mchizi wako tulicheza filam ya itunyama mwaka 2006😢Baobab bagamoyo
Huko. Ni wapi
Naomba number zako baba
Nahitaji shamba huko masanja connection plz......0753653269
i really appriciate you brother,you are a genius and thanks for the knowledge
Nakukubal sana masanja
Masanja mbegu inapatikanaje?
Usangu apo
Brother, brother ,brother wewe ni genius
Nitakutafuta mkuu
Nimekuelewa xna @mkandamizaji
Unajua kupambna mwanawane, amini xna mungu akibariki natamni kuja huko
Yaani nimepata somo saaafi Asnte mchungaji
Thanx for your time brother and your education about farming
Dah hii biashara naijua vzuri sema seem niliyopo maji ndo tatzo
Bei sasa masanja
Ni kiwa ndani ya Dubai..wanipa moral... masanja ubarikiwe Sana.... wanibariki na Mungu akubariki pia nafatilia yote ufanyayo
Dah nimenunua shamba Ruvu huko heka mbili yani nimelimankila kitu nikakata tamaa ila nimeangalia hii video kesho naingia shambani aiseee dah m inspired
Nmekuelewa brather nakukubali sana
Asantee
vp nataka nakuwa mmoja ya watako kuwepo kwenye tour
Asante sana kaka maana mpango wangu naona umekaa kwa mstari mwakani namimi natia miguu