Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
Mdogo wangu usikate tamaa. Nakuona mbali sana. Cha muhimu weka nguvu zako katika ubunifu wako. Utakuja kuwa mtu mkubwa hapa nchini na nje ya nchi. Mungu akulinde sana.
Waafrica tunaakili ya kuzaliwa lkn tunapotezwa na hii elimu ya vyeti na kuachana na elim ya ubunifu na kubakia masikini na tegemezi hongera mdogo wng hakika hiki nikitu kikibwa sana mungu aendelee kukupa baraka uendelee zaidi na zaidi
Sasa Pikipiki veta muda wote inafanya nini huko? Wanataka waseme walitengeneza wao au, dogo kwani kasema alikwama? Wanashindwa kutengeneza za kwao na dogo atengeneze za kwake? Mpk mtangazaji anasema imechukua muda means huko veta wanaduaa tu au ndiyo figisu watu washaingilia. Boxer na mchina hawatauza tena? Kwann hawakuacha dogo amalizie mwenyewe na Kwa maelezo yake sio kwamba alikwama, si watengeneze za kwao basi
Alafu mabeberu wanatuita sisi hatuna akili watu weusi huyu ni engineer mkubwa sanaaa ningekua na uwezo ningekusupport kwa uwezo wangu wote ila mm pia uwezo wangu bado upo chini natokea kenya 🇰🇪
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
Haya ndiyo mambo ya kuwatuma watu wasiojua kumpa moyo mtu mbunifu kama huyu mwandishi wa habari unamhoji dogo tena unamwambia makolokolo uchafu uachafu siyo poa kama angaekuwa Milad Ayo mwenyewe asingeongea hayo maneno ya kumkatisha tamaa mwandishi badilika muombe Mungu akupe maneno ya hekima unapomhoji mtu bila kujali ana mapungufu gani. Nashukuru amekujibu kwa busara
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
watanzania tuko nauwezo mkumbwa san niviongozi kuweka nguvu kwetu vijana nawaweke imani kwawatanzania kua tunawenza bira ya msada mkumbwa sana kutoka nje ya Tanzania 💪
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
Aisee nimekubali sana huyu kijana, kwa kweli alivyosema atasikika kwa nchi za mbali ni kweli, nipo Nairobi na nimepata vizuri sana, anafaa kupata support ya kutosha ana ubunifu wa hali ya juu, yani huyu ni full house, nakumbuka nikisoma historia ya kina Microsoft walikuwa hadi wanalala ili waote jinsi ya kuunda kumpyuta hadi wengine wakienda India kuwatembelea Bhuda ndo wapate ufahamu ila huyu IQ yake ipo juu sana, TCRA Imupe vibali bila masharti. He need unlimited and condition-less freedom.
kwa Tanzania yetu hasa TCRA ndo wakwanza kuuwa vipaj kama hiv badara ya kuvikuza, lakn nafikir ni kwasababu ya kuona wataaibika wanao jiita Ma engineering na Mawazir lakn hawaja buni kitu chochote so wataona dogo anazingua Mashart yatakuwa mengi Mwisho wa siku dogo atapotea hii ndo Tz hii ndo Africa....
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Badoo tunaa naishi kwenye Slave Hivyoo hatuna jins yakuishi kwa aman sikuzote Tunavipaji tuna Ubunifuu tunaweza nani hahika tunawezaa sisi sio wakuishi masikin kias hikii sisi siio wakutegemea vya wenzetuuu Why Tanzania why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
"I converted the radio instead of receiving the frequency it send the frequency" he said. This is totally true you can try this,take any mp3 player and play the music then take FM radio switch it on and search the frequency put it near the mp3 player,the music of mp3 Plyer it will play in your FM radio at a certain frequencey,nahic utakuwa umeelew bos
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man
Tanzania y viwanda ndio hii sasa so kwanin mnashindw kuwashik mkono hawa kw kuwasomesh.. mko tial pesa za umma ziliwe tu na mafisad badala y kuwasomesh hawa watoto wa kitanzania
Serikali yetu jamani pesa hiyo jamani muwezesheni Tanzania ipate wabunifu wa Mambo mbalimbali na pia itokee miaka kadhaa nasi tuwe tunamiliki vitu vikubwa kama nchi zingine,( wazo langu) ukute nchi hizo zilizo endelea serikali zao ziliwasapoti wabunifu wao mpaka wakaweza kufikia katika nchi zenye maajabu...mfano urusi.. silaha. Nakadhalika .naomba tusiishie kwenye sifa tutengeneze pesa .thanks 🙏 Mungu akubariki Sana ndugu.maombi yangu kwako.i like it
Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿
Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen
Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)
Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦
ua-cam.com/video/v2_xwnpUH00/v-deo.html
Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana
Yani wanaweza kumpeleka pasipojulikana
Ni kama nn nimelia sana MACHOZI yananitoka pia
Nimelia pia kiukweli kiubinadamu amenigusa🥲🥲
@@bakariathumani8105 😀😂😂😂😂
Dar
Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.
Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏
Amina sana 🙏
Hakika na iwe hivyo
Amiin
Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA
Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah
Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍
KWELI!! hawavumi lakini wapo. Mungu akupe afya, utafanya makubwa zaidi
More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏
Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea
He’s talented boy
1/technology
2/presenters
3/journalists
Tanzania 🇹🇿 got talent
Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?
@@omaradan3442 😳😳
You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga
Umeamua uongee cha st......
@@jsamtz4460 nothing
HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪
Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH
Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi
Hadi raha yani, Mungu azidi kukusogeza mbele na kukubariki🙏💪
This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪
😂From Mombasa tena
Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣
Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️
Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.
Grace julius, thanks for the interpretation
Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏
Serikali imeshamuona Mungu Ni mwema
Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢
Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa
@@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli
Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌
Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani
Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana
Waambie kuongea umbea tu
Ndo apo sasa
Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!
Naapo kaishia darasa la sita tu
Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.
Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana
@@khalfanseiph491 Changamoto kivip
Mashallah upo vizuri sana mdogo wangu mungu hazidi kukuinua zaidi na zaidi
Big up kijana pambana dogo hulu Bashu wa TAMISE kafanyake. Hamna aja yakwenda schl
Yan tanzania tupo vzr jaman
Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata
Mungu ibarik 🇹🇿 yangu
Inshallah Utafika mbali kijana
Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!
Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa
@@Commentsplus
Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....
@@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea
@@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee
@@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150
Mdogo wangu usikate tamaa. Nakuona mbali sana. Cha muhimu weka nguvu zako katika ubunifu wako. Utakuja kuwa mtu mkubwa hapa nchini na nje ya nchi. Mungu akulinde sana.
Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali
Waafrica tunaakili ya kuzaliwa lkn tunapotezwa na hii elimu ya vyeti na kuachana na elim ya ubunifu na kubakia masikini na tegemezi hongera mdogo wng hakika hiki nikitu kikibwa sana mungu aendelee kukupa baraka uendelee zaidi na zaidi
genius ni mtu mwenye matumizi mazuri ya akili,hivyo huyo ni genius sio wale wanangu wa degree holder .
Kijana hongera sana nakuombea kwa Mungu ufike mbali sana
Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania
So amaizing talented boy,tunaomba serikal imsupport kijana mwenzetu 💥💪
Uyu jamaa ni Genius🙌
Tisha mbaya
Hongera bro mwenyezi mungu hakujalie upate Itaji lako
Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania
Iwachu Raha Sana kigoma Ina talents za kutosha
Tupo pmj
Good job 👍 Kijaanaaa wetu from kigoma
Sasa Pikipiki veta muda wote inafanya nini huko? Wanataka waseme walitengeneza wao au, dogo kwani kasema alikwama? Wanashindwa kutengeneza za kwao na dogo atengeneze za kwake? Mpk mtangazaji anasema imechukua muda means huko veta wanaduaa tu au ndiyo figisu watu washaingilia. Boxer na mchina hawatauza tena? Kwann hawakuacha dogo amalizie mwenyewe na Kwa maelezo yake sio kwamba alikwama, si watengeneze za kwao basi
High confidence intelligent daah bro umenienspire xana kutokukata tamaa kweny ubunif
Alafu mabeberu wanatuita sisi hatuna akili watu weusi huyu ni engineer mkubwa sanaaa ningekua na uwezo ningekusupport kwa uwezo wangu wote ila mm pia uwezo wangu bado upo chini natokea kenya 🇰🇪
Hogera kakagu kazi nzuri sana ❤️ mbarikiwa
The boy needs a proper support bcs he has a beautiful talent. Guys go and support this boy
Hongela mungu akuongoze ktk maisha yako yote ili malengo yako yatimie
Dah!!Kipaji kinapotea tu bure,ungekuwa ulaya wewe kijana kipaji kingeendelezwa.Ila nakutakia kila la kheri,njia za mafanikio zifunguke kwako!!!
Ukijaliwa bro mtafute kijana anaitwa #Kanganwa yy ni kijana ambae ni mzr kwa utangazaji katokea Kenya 🇰🇪
Inshallah naamini ipo siku allah atakukunjulia na utafikia ndoto zako na mafanikio yako kwa uhalali kabisa.....
Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha
Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.
Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu
Duuuu huyu wala haihitajiki kumfungia,kama inawezekana tuwekee namba tuanze kukuchangia ujenge kituo cha kueleweka.
Hongera sana kijana,sema huo mnara kuuweka juu ya paa la nyumba ni hatari kwa radi
I can I support You Boy!!
Hongera sana kijana pambania ndoto zako
Hajakosea kabisa ila kaonyesha uwezo wake cha msingi ni kumuelewesha zaidi
Haya ndiyo mambo ya kuwatuma watu wasiojua kumpa moyo mtu mbunifu kama huyu mwandishi wa habari unamhoji dogo tena unamwambia makolokolo uchafu uachafu siyo poa kama angaekuwa Milad Ayo mwenyewe asingeongea hayo maneno ya kumkatisha tamaa mwandishi badilika muombe Mungu akupe maneno ya hekima unapomhoji mtu bila kujali ana mapungufu gani. Nashukuru amekujibu kwa busara
Daa huyu akiendelezwa ni mtu mwingine sana mungu amfungulie milango
Shida viongozi wetu hawangalii wao wanawaza siasa vipaji kama hivi wanapuuzia
Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe
Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni
Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!
Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake
Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO
Huyu dogo akiwezeshwa anaweza kuisaidia hii kwa asilimia kubwa sana naamini watu wa Dizaini wapo wengi sana hapa tz
Serikal yetu wako na kina bongo zozo ndo wanawaona wa maana wanaacha kupambania vjana kama hawa wadogo wakomboz wa taifa la kesho 😢
Sasa hapo kipaji kipo wapi yani watanzania mnahemukwaa
Acha chuki ndugu,Mambo ya Bongo zozo na kipaji cha huyu dogo vinaingiaje?
@@Commentsplus we unaweza
@@Commentsplus kafie mbele uko na roho mbaya yako mxxx😏
Kazi anayofanya bongo zozo sio ya kubeza
watanzania tuko nauwezo mkumbwa san niviongozi kuweka nguvu kwetu vijana nawaweke imani kwawatanzania kua tunawenza bira ya msada mkumbwa sana kutoka nje ya Tanzania 💪
Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.
Hii nch yan jamani huyu dogo angeitwa ikulu
Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥
Kwakweli acha tujivunie kigoma yetu
Ofcourse hujakosea
Kabisaa
Kabisa
Nikweli
Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..
Mungu asaidie sana. Ila Asante kwa kuzaliwa kigoma
Watu kama hawa serikal haiwapi thaman wakina babalevo ndio wanapata ela
Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏
Nchi zetu zakikolon unaweza tupwandani ukapewa kesi ya uhujumu uchumi watu Wana rohombaya sana nchii
Nmekupata vzr mdgo wngu,,,M/Mungu akuzidishie Inshallah
Lete namba dogo
mbona namba imeoneshwa hapo mwisho wa mazungumzo
ALHAMDULLILAH MWENYEZI MUNGU AKUONGOZE,,,,AINUE PIA VIPAJI VYA VIJANA WENGINE TULIOPO NJE,,,AMIN
Mim nilishaga wahi kufungua ilikuwa mwaka 2011 ila nilizuiliwa.
Ila ongera kwa kazi nzuri.
Acha uongo
@@captenndunga6745 😆😆😆😆😆😆
@@captenndunga6745 🤣🤣🤣🤣🤣
@@captenndunga6745 siyo uongo Kama unataka kuakikisha ingia UA-cam andika ( aka shegena ) utaona.
Nilikuja kuhojiwa baada ya miaka 2 nikiwa tiyari nimefungiwa.
😁😁😁😁😁😆iloooooo
God bless you brother
Aisee nimekubali sana huyu kijana, kwa kweli alivyosema atasikika kwa nchi za mbali ni kweli, nipo Nairobi na nimepata vizuri sana, anafaa kupata support ya kutosha ana ubunifu wa hali ya juu, yani huyu ni full house, nakumbuka nikisoma historia ya kina Microsoft walikuwa hadi wanalala ili waote jinsi ya kuunda kumpyuta hadi wengine wakienda India kuwatembelea Bhuda ndo wapate ufahamu ila huyu IQ yake ipo juu sana, TCRA Imupe vibali bila masharti. He need unlimited and condition-less freedom.
Exactly my dear friend
kwa Tanzania yetu hasa TCRA ndo wakwanza kuuwa vipaj kama hiv badara ya kuvikuza, lakn nafikir ni kwasababu ya kuona wataaibika wanao jiita Ma engineering na Mawazir lakn hawaja buni kitu chochote so wataona dogo anazingua Mashart yatakuwa mengi Mwisho wa siku dogo atapotea hii ndo Tz hii ndo Africa....
Nipo Oman nimesikia Nchi yangu Tz
Hongera sana Bro.
@@saumusalimuhassan2499swaumu
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Badoo tunaa naishi kwenye Slave
Hivyoo hatuna jins yakuishi kwa aman sikuzote Tunavipaji tuna Ubunifuu tunaweza nani hahika tunawezaa sisi sio wakuishi masikin kias hikii sisi siio wakutegemea vya wenzetuuu Why Tanzania why 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen
Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba
@@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa
@@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu
@@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr
kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.
unaweza mwqnangu
Pia Nimependa Anavyojiamini Alafu Hana Hofu Ata Kidogo Aisee Mungu Ni Mwema Kila Wakati
Amen
@@eshemagai4191 Amen
Hongera kijana hata mtoto wng anakipaji umaskini tatizo
Big up bro
I appricaite my question is where did you get the frequency.........(?)
"I converted the radio instead of receiving the frequency it send the frequency" he said. This is totally true you can try this,take any mp3 player and play the music then take FM radio switch it on and search the frequency put it near the mp3 player,the music of mp3 Plyer it will play in your FM radio at a certain frequencey,nahic utakuwa umeelew bos
SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH
Dogo Genius sana Aisee daah.! 🤔🤔🤔
Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man
Hongera Sana kijana......🙏🙏
Dogo yupo vizuri Huku dar Vijana wapo bize na ubishoo kidimbwi , madada wa telegram na kuangalia porn
Tanzania y viwanda ndio hii sasa so kwanin mnashindw kuwashik mkono hawa kw kuwasomesh.. mko tial pesa za umma ziliwe tu na mafisad badala y kuwasomesh hawa watoto wa kitanzania
Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro
Kigoma nihabari nyingine
Wazungu wakimjua huyo dogo watamuiba wampeleke kwaoo😂😂🤗🤗
Ndio kabisa lakini kwa sisi tcra watamkamata kwa kufungua redio kinyume Cha sheria
Umeonaaeee tz vipaji vipoo ilaa ndohvyoo kuenderezwa zsid ndohvyoo
Wamchukue tu😂
Wamchukuwe
@@hanirashuwesu4239 hahahhaah!!!watu wamekata tamaa
allah kareem azid kumpa nuru daima
Serikali yetu jamani pesa hiyo jamani muwezesheni Tanzania ipate wabunifu wa Mambo mbalimbali na pia itokee miaka kadhaa nasi tuwe tunamiliki vitu vikubwa kama nchi zingine,( wazo langu) ukute nchi hizo zilizo endelea serikali zao ziliwasapoti wabunifu wao mpaka wakaweza kufikia katika nchi zenye maajabu...mfano urusi.. silaha. Nakadhalika .naomba tusiishie kwenye sifa tutengeneze pesa .thanks 🙏
Mungu akubariki Sana ndugu.maombi yangu kwako.i like it
Safi sana kijana tunahitaji vipaji
Kumkamata hawawez ila watampa onyo Kali...kuna mashart ya kumiliki vituo vya radio .....Ila Hata serikali yetu ni sijui ipoje haina habari na vipaji
Anifanye niwe mtangazaji wa radio yake Tuanze na ubunifu wa vipindi😂😂😂😂😂
Serikali hapo ni kuunga mkono tu kazi iendelee
Huyu dogo angekua nchi za wenzetu angekua bonge moja la mtu aisee yani huyu ni zaidi ya prof
He need to be supported to progress his dreams his talented
Sidhani kama atatoboa hapa bongo maana yupo aliyetengenezahelkopta mpaka leo sijui alipo ana hali gani
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Dogo Kwa hatua hiyo wahusika watalifanyia kazi, ufike mbele zaidi
Asante Mungu. Kwa kuzaliwa kigoma