Hallelujah Hallelujah, Ni wakati wa toba na matengenezo ukitubu, na kutengeneza na Bwana. kukaa katika kauli na sheria za Mungu utainuliwa bila kupokezwa baraka za uongo. Wachungaji wa mchongo ambao wameenea kila mahali na kuhubiri kubarikiwa wanawalaani wengi sana utabariki aje mtu aliyeasi na kumwambia pokea mchumba, nyumba, gari haiwezekani kupokea chochote kama wewe mwenyewe dhambi. Ukishatubu na kuomba rehema kwa Bwana omba kama ni mke au ni mume na kwakweli roho wa Bwana atakuelekeza mpaka kwa yule aliye wa kwako. Lakini mahusiano yeyote bila kuwa na msingi kwa Kristo mtasalitiana. Ubarikiwe sana mtumishi kanisa liko topeni watu wamefungwa katika maneno za watu na hawako tena katika NENO la Kristo. Ni wakati wa kurejea kwa Bwana ni sekude chache na Kristo atareje
Tukirejea katika injili ya TOBA kwa hakika kila mmoja atakuwa salama. Kila mmoja ataenenda kwa hofu ya Mungu na kutunza uaminifu wa Mungu mahali popote. Ubarikiwe sana mtumishi. Asate kwa neno hili nimepiga hatua ingine mbele.🎉
Mm hakuna mafundisho ya kweli zaidi ya mafanikio eee BWANA sababisha moyo wangu kuwa na Toba ya kweli kweli kabisa kusema kweli umeitwa na BWANA MUNGU atusaidie kuyashika mafundisho ya kweli ya MUNGU
Hakika Kila mtumishi anashika mahali pake ili ajaze kanisa... pascal Mungu akutunze wewe ni sauti iliyotumwa kuleta matengenezo....Mungu akulinde daima
habari ya mahusiano ipo ndani ya biblia,kwa hiyo sio dhambi kufundisha,toba,mafanikio,mahusiano,utumishi nk,lakini msingi ni kristo mafanikio ndani ya yesu sio dhambi,kanisa linatakiwa kufundishwa,watu wapate maarifa,kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi,watu wakishaokoka wanafundishwa mafundisho kuyashika yote alitufundisha ila ukihubiri toba ndiyo msingi maana ni kristo,mafundisho ya ndoa ,utumishi,kuwaleta watu kwa yesu nk ,paulo na petro wamefundisha sana mahusianona kufanya kazi
🤝🙇😭😭😭 tunapotezwa jmn huku kwenye makanisa yetu,,,😭😭😭 MUNGU tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭 natamani nisimame nihubiri neno la Mungu kanisani kwangu MUNGU niinue😭😭😭🙏 YESU kristo nitie nguvu 😭😭😭😔😔😔
Hallelujah Hallelujah,
Ni wakati wa toba na matengenezo
ukitubu, na kutengeneza na Bwana. kukaa katika kauli na sheria za Mungu utainuliwa bila kupokezwa baraka za uongo. Wachungaji wa mchongo ambao wameenea kila mahali na kuhubiri kubarikiwa wanawalaani wengi sana utabariki aje mtu aliyeasi na kumwambia pokea mchumba, nyumba, gari haiwezekani kupokea chochote kama wewe mwenyewe dhambi.
Ukishatubu na kuomba rehema kwa Bwana omba kama ni mke au ni mume na kwakweli roho wa Bwana atakuelekeza mpaka kwa yule aliye wa kwako. Lakini mahusiano yeyote bila kuwa na msingi kwa Kristo mtasalitiana.
Ubarikiwe sana mtumishi kanisa liko topeni watu wamefungwa katika maneno za watu na hawako tena katika NENO la Kristo. Ni wakati wa kurejea kwa Bwana ni sekude chache na Kristo atareje
MUNGU wa Mbinguni akulinde mtumishi çasian adui asikuguse kwa jina la yesu
Tukirejea katika injili ya TOBA kwa hakika kila mmoja atakuwa salama. Kila mmoja ataenenda kwa hofu ya Mungu na kutunza uaminifu wa Mungu mahali popote.
Ubarikiwe sana mtumishi.
Asate kwa neno hili nimepiga hatua ingine mbele.🎉
Listening from Kenya be blessed I always follow your teachings
Njia pekee ya kumwona Yesu ni kutubu dhambi na kuacha
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah umeubiri INJILI YAKWELI
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu🙏🙏,,,,,nabarikiwa Sanaa na na pia unanifundisha na kunikemea pale nimekosea🙏🙏,,,
Mungu akutunze daima🌎
bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu akubariki sana
Mungu akutunze Mtumishi
bwana ni mume wa mtu ama boss lakini BWANA ni wa juu mbinguni Amen
Hallelujah!!! Tuwapate wapi wasema kweli kama huyu ndani ya makanisa!!!!!!
Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai
Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana
Amena Mungu akubariki sana Ev Paschal Mungu akupe nguvu🎉🎉🎉🎉
Ubalikiwe mtumishi wewe ni sauti iliae nyikani mungu aendelee kukupigania ❤❤❤
Amen sana hakika Mungu akubariki
Oooh hiii ni injili ya kwel .Mungu akubaliki
Hii ndio injili tunayoitaka, barikiwa mtumishi wa Mungu Caccian
Ubarikiwe mtumishi wa bwana 🙌
kwajina la yesu mitego na shauri za adui shetani zishindwe Amina mungu akulinde
Yesu ama YESU MUNGU ama MUNGU c mungu tafadhali ama c yesu
Amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu
Ujumbe wenye nguvu, tunakuombea upaze sauti zaidi,kila mwenye mwili asikie neno la Mungu ambalo Roho anakumbusha kanisa.
Mm hakuna mafundisho ya kweli zaidi ya mafanikio eee BWANA sababisha moyo wangu kuwa na Toba ya kweli kweli kabisa kusema kweli umeitwa na BWANA MUNGU atusaidie kuyashika mafundisho ya kweli ya MUNGU
Sema kweli mtu wa mungu tuko pamoja, asante nakutizama kutoka mombasa
Atammi niko OO1 Abarikiwe sana mtumishi wa mungu 🙏🙏👏👏👏
Piga kelele usiache mtumwa wa Bwana ni kweli injili ya kuacha dhambi haihubiriwi tena Mungu atusaidie turudi kwenye toba
Amen sema tupone Mtumishi wa Mungu.
Kaka paschal nakuombeya kwa mungu akupe afya njema ili uzidi kutufungu tuokoke
Hakika Kila mtumishi anashika mahali pake ili ajaze kanisa... pascal Mungu akutunze wewe ni sauti iliyotumwa kuleta matengenezo....Mungu akulinde daima
Hii nilikuwa naisubilia injili ya namna hii❤
Mungu wangu nisaidie kunyenyekea. Miguuni Pako unisamehe maovu yangu.nitubu Toba ya kweli.Aminaaaa.
Hakika mtu huyu anafundisha kweli ya Mungu, ni ngumu sana katika kizazi hiki. Kumuelewa
Amina mtumishi wa Bwana unachokisema ni kweli kabisa
Amina mtumishi mungu aendelee kukuinua na kukuweka viwango vya juu ili uendelee kutukumbusha juu ya kumtumikia mungu
Yan nilikua namuuliza Mungu naifanyaje Huduma yangu zaidi nimepata nyongeza zaidi...yakufanya kazi ya Injili zaidi.....
Hoping by grace of God you'll come Kenya expecially my.elgon
Naumenipa kitu chakuongezea katika huduma yangu barikiwa Sana mtu wa Mungu aliye HAI.....
Go go goooooooooo Ev.!
Mungu akubaliki sana 🙏
YESU tusaidie tuvuke salama, maana injili imevamiwa.
Kutubu dhambi kunakupa mpenyo wa Maisha uwiiiiiiii barikiwa Man of GOD
Twende twende twendeeee Aminaaaaa ✊✊✊🙏🙏
Amen... barikiwa
Niukwel mtupu
Leo nimekuelewa sanaaaaaaaaaaaa huko kwingine sikuelewagi
Napenda injili ya namna hii
Amen sana🙏.. Mtumishi wa Mungu
Wapatikane wapi watumishi Kama huyu,Hali imekua mbaya ndani ya Kanisa duniani.
Amen 🙏🙏🙏🙏 iende mbele injili ya toba
habari ya mahusiano ipo ndani ya biblia,kwa hiyo sio dhambi kufundisha,toba,mafanikio,mahusiano,utumishi nk,lakini msingi ni kristo mafanikio ndani ya yesu sio dhambi,kanisa linatakiwa kufundishwa,watu wapate maarifa,kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi,watu wakishaokoka wanafundishwa mafundisho kuyashika yote alitufundisha ila ukihubiri toba ndiyo msingi maana ni kristo,mafundisho ya ndoa ,utumishi,kuwaleta watu kwa yesu nk ,paulo na petro wamefundisha sana mahusianona kufanya kazi
Amen mtumish wa Mola
Amen I wish all the best,my god bless you
Amena balikiwa pia
Msema kweli anachukiwa ninachojua wewe si waulimwengu huu kaza mwendo baba
Amina❤❤🎉🎉
Barikiwa tuambie tupone
Kweli tumebaki na pesa na bikini aaaa shetani hana adabu tz ole wetu MUNGU MIKANISA YA AJABU IMEJAA NA KUJICHUBUA NA MIKOPE NA MASENGENYO KIBAO
Amen amen
HUU NDIO MUDA TUNAHITAJI KWELI WALA SII FARAJA
Ivi huumii sauti
Alie ndani ya yesu akuna kitakacho muumiza
Ukinikuta nahubiri stand au wapi Injili yangu ni Toba tu.....wananichekaga wanaona sina content
Ila sibadilishi nahubiri TOBA TU
Mtumishi hio Shirt inakubana mwili
Great is HIS NAME JESUS
Yes ssss
🤝🙇😭😭😭 tunapotezwa jmn huku kwenye makanisa yetu,,,😭😭😭 MUNGU tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭 natamani nisimame nihubiri neno la Mungu kanisani kwangu MUNGU niinue😭😭😭🙏 YESU kristo nitie nguvu 😭😭😭😔😔😔
Wewe mnona ulimuacha.mke wako. Kakuuguza wee alafu umemuacha
Mbona alieleza hafanyi kazi maana alipata shida kwenye uume wake alipopata ajali , mke wake kaona aondoke
Barikiwa saana KWA KAZI YA MUNGU ALIYE HAI
Amen
Mbinguni ni kwa watu wario tubu dhambi nakuziacha usipo tubu wewe ni wamotoni
Amen mtumishi,thambi haikemewi siku hizi makanisani .