ONA MAFUNDISHO YA ZINAA YALIVYO KUMBA KANISA EV PASCHAL CASSIAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лип 2024
  • #0766998994 #call0688199370 #
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 74

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 19 днів тому +11

    Hallelujah Hallelujah,
    Ni wakati wa toba na matengenezo
    ukitubu, na kutengeneza na Bwana. kukaa katika kauli na sheria za Mungu utainuliwa bila kupokezwa baraka za uongo. Wachungaji wa mchongo ambao wameenea kila mahali na kuhubiri kubarikiwa wanawalaani wengi sana utabariki aje mtu aliyeasi na kumwambia pokea mchumba, nyumba, gari haiwezekani kupokea chochote kama wewe mwenyewe dhambi.
    Ukishatubu na kuomba rehema kwa Bwana omba kama ni mke au ni mume na kwakweli roho wa Bwana atakuelekeza mpaka kwa yule aliye wa kwako. Lakini mahusiano yeyote bila kuwa na msingi kwa Kristo mtasalitiana.
    Ubarikiwe sana mtumishi kanisa liko topeni watu wamefungwa katika maneno za watu na hawako tena katika NENO la Kristo. Ni wakati wa kurejea kwa Bwana ni sekude chache na Kristo atareje

  • @upendoshija2235
    @upendoshija2235 19 днів тому +9

    MUNGU wa Mbinguni akulinde mtumishi çasian adui asikuguse kwa jina la yesu

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9z 19 днів тому +4

    Tukirejea katika injili ya TOBA kwa hakika kila mmoja atakuwa salama. Kila mmoja ataenenda kwa hofu ya Mungu na kutunza uaminifu wa Mungu mahali popote.
    Ubarikiwe sana mtumishi.
    Asate kwa neno hili nimepiga hatua ingine mbele.🎉

  • @maxinenaibei
    @maxinenaibei 16 днів тому +1

    Listening from Kenya be blessed I always follow your teachings

  • @JacklineMroso-gy6ej
    @JacklineMroso-gy6ej 18 днів тому +5

    Njia pekee ya kumwona Yesu ni kutubu dhambi na kuacha

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому +1

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah umeubiri INJILI YAKWELI

  • @joycefaida6548
    @joycefaida6548 17 днів тому +1

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu🙏🙏,,,,,nabarikiwa Sanaa na na pia unanifundisha na kunikemea pale nimekosea🙏🙏,,,
    Mungu akutunze daima🌎

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj 19 днів тому +4

    bwana asifiwe sana mtumishi wa Mungu akubariki sana

    • @RachelKabwe-mw5ne
      @RachelKabwe-mw5ne 18 днів тому

      Mungu akutunze Mtumishi

    • @SafiAkinyi8361
      @SafiAkinyi8361 18 днів тому

      bwana ni mume wa mtu ama boss lakini BWANA ni wa juu mbinguni Amen

  • @ImaniKalinga-z8e
    @ImaniKalinga-z8e 18 днів тому +1

    Hallelujah!!! Tuwapate wapi wasema kweli kama huyu ndani ya makanisa!!!!!!

  • @PastroryMasanja
    @PastroryMasanja 16 днів тому

    Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu aliye hai
    Ubarikiwe sana na Mungu akulinde sana

  • @jovettedenise2591
    @jovettedenise2591 18 днів тому +1

    Amena Mungu akubariki sana Ev Paschal Mungu akupe nguvu🎉🎉🎉🎉

  • @DanielNasibu
    @DanielNasibu 13 днів тому

    Ubalikiwe mtumishi wewe ni sauti iliae nyikani mungu aendelee kukupigania ❤❤❤

  • @bhavinjani4415
    @bhavinjani4415 19 днів тому +2

    Amen sana hakika Mungu akubariki

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 18 днів тому +1

    Oooh hiii ni injili ya kwel .Mungu akubaliki

  • @Deborah-dl4ug
    @Deborah-dl4ug 14 днів тому

    Hii ndio injili tunayoitaka, barikiwa mtumishi wa Mungu Caccian

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v 18 днів тому +1

    Ubarikiwe mtumishi wa bwana 🙌

  • @Zawadijoelmkonda
    @Zawadijoelmkonda 18 днів тому +1

    kwajina la yesu mitego na shauri za adui shetani zishindwe Amina mungu akulinde

    • @SafiAkinyi8361
      @SafiAkinyi8361 18 днів тому

      Yesu ama YESU MUNGU ama MUNGU c mungu tafadhali ama c yesu

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 18 днів тому +1

    Amen ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 16 днів тому

    Ujumbe wenye nguvu, tunakuombea upaze sauti zaidi,kila mwenye mwili asikie neno la Mungu ambalo Roho anakumbusha kanisa.

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika 18 днів тому +1

    Mm hakuna mafundisho ya kweli zaidi ya mafanikio eee BWANA sababisha moyo wangu kuwa na Toba ya kweli kweli kabisa kusema kweli umeitwa na BWANA MUNGU atusaidie kuyashika mafundisho ya kweli ya MUNGU

  • @user-gj2gc4en3t
    @user-gj2gc4en3t 18 днів тому +1

    Sema kweli mtu wa mungu tuko pamoja, asante nakutizama kutoka mombasa

    • @TatuOmar001
      @TatuOmar001 18 днів тому

      Atammi niko OO1 Abarikiwe sana mtumishi wa mungu 🙏🙏👏👏👏

  • @ChristinaSanga-pl5jm
    @ChristinaSanga-pl5jm 13 днів тому

    Piga kelele usiache mtumwa wa Bwana ni kweli injili ya kuacha dhambi haihubiriwi tena Mungu atusaidie turudi kwenye toba

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i 19 днів тому +1

    Amen sema tupone Mtumishi wa Mungu.

  • @user-pp1mp2sr6b
    @user-pp1mp2sr6b 17 днів тому

    Kaka paschal nakuombeya kwa mungu akupe afya njema ili uzidi kutufungu tuokoke

  • @user-ef7pn5wt7g
    @user-ef7pn5wt7g 17 днів тому

    Hakika Kila mtumishi anashika mahali pake ili ajaze kanisa... pascal Mungu akutunze wewe ni sauti iliyotumwa kuleta matengenezo....Mungu akulinde daima

  • @brianshomi722
    @brianshomi722 18 днів тому +1

    Hii nilikuwa naisubilia injili ya namna hii❤

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c 18 днів тому

    Mungu wangu nisaidie kunyenyekea. Miguuni Pako unisamehe maovu yangu.nitubu Toba ya kweli.Aminaaaa.

  • @laurentbulabo5002
    @laurentbulabo5002 16 днів тому

    Hakika mtu huyu anafundisha kweli ya Mungu, ni ngumu sana katika kizazi hiki. Kumuelewa

  • @tausipaschel155
    @tausipaschel155 16 днів тому

    Amina mtumishi wa Bwana unachokisema ni kweli kabisa

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 18 днів тому

    Amina mtumishi mungu aendelee kukuinua na kukuweka viwango vya juu ili uendelee kutukumbusha juu ya kumtumikia mungu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому

    Yan nilikua namuuliza Mungu naifanyaje Huduma yangu zaidi nimepata nyongeza zaidi...yakufanya kazi ya Injili zaidi.....

  • @maxinenaibei
    @maxinenaibei 16 днів тому

    Hoping by grace of God you'll come Kenya expecially my.elgon

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому

    Naumenipa kitu chakuongezea katika huduma yangu barikiwa Sana mtu wa Mungu aliye HAI.....

  • @kalungirugoye2607
    @kalungirugoye2607 18 днів тому +2

    Go go goooooooooo Ev.!

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 13 днів тому

    Mungu akubaliki sana 🙏

  • @AdamJulius-z5i
    @AdamJulius-z5i 19 днів тому +1

    YESU tusaidie tuvuke salama, maana injili imevamiwa.

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому

    Kutubu dhambi kunakupa mpenyo wa Maisha uwiiiiiiii barikiwa Man of GOD

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 19 днів тому +1

    Twende twende twendeeee Aminaaaaa ✊✊✊🙏🙏

  • @rosewacharo3336
    @rosewacharo3336 6 днів тому

    Amen... barikiwa

  • @GodloveMwaijande
    @GodloveMwaijande 19 днів тому +2

    Niukwel mtupu

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому

    Leo nimekuelewa sanaaaaaaaaaaaa huko kwingine sikuelewagi

  • @godfrelykitundu3323
    @godfrelykitundu3323 18 днів тому

    Napenda injili ya namna hii

  • @LovenessAugustino-he7xh
    @LovenessAugustino-he7xh 18 днів тому

    Amen sana🙏.. Mtumishi wa Mungu

  • @MichaelWallace-sz7mu
    @MichaelWallace-sz7mu 16 днів тому

    Wapatikane wapi watumishi Kama huyu,Hali imekua mbaya ndani ya Kanisa duniani.

  • @user-wz6zb7wh1n
    @user-wz6zb7wh1n 18 днів тому

    Amen 🙏🙏🙏🙏 iende mbele injili ya toba

  • @user-fh7gu7eb2d
    @user-fh7gu7eb2d 17 днів тому +1

    habari ya mahusiano ipo ndani ya biblia,kwa hiyo sio dhambi kufundisha,toba,mafanikio,mahusiano,utumishi nk,lakini msingi ni kristo mafanikio ndani ya yesu sio dhambi,kanisa linatakiwa kufundishwa,watu wapate maarifa,kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi,watu wakishaokoka wanafundishwa mafundisho kuyashika yote alitufundisha ila ukihubiri toba ndiyo msingi maana ni kristo,mafundisho ya ndoa ,utumishi,kuwaleta watu kwa yesu nk ,paulo na petro wamefundisha sana mahusianona kufanya kazi

  • @user-yb2uh9vc9w
    @user-yb2uh9vc9w 16 днів тому

    Amen mtumish wa Mola

    • @user-pq1hy4gh4n
      @user-pq1hy4gh4n 16 днів тому

      Amen I wish all the best,my god bless you

  • @EzekiaMwaiga
    @EzekiaMwaiga 15 днів тому

    Amena balikiwa pia

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 18 днів тому

    Msema kweli anachukiwa ninachojua wewe si waulimwengu huu kaza mwendo baba

  • @MargrethMloka
    @MargrethMloka 16 днів тому

    Amina❤❤🎉🎉

  • @rosemassawe4187
    @rosemassawe4187 18 днів тому

    Barikiwa tuambie tupone

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 17 днів тому

    Kweli tumebaki na pesa na bikini aaaa shetani hana adabu tz ole wetu MUNGU MIKANISA YA AJABU IMEJAA NA KUJICHUBUA NA MIKOPE NA MASENGENYO KIBAO

  • @user-cr6fc7nt8k
    @user-cr6fc7nt8k 18 днів тому

    Amen amen

  • @RamondLema-po6py
    @RamondLema-po6py 18 днів тому +2

    HUU NDIO MUDA TUNAHITAJI KWELI WALA SII FARAJA

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 17 днів тому

    Ukinikuta nahubiri stand au wapi Injili yangu ni Toba tu.....wananichekaga wanaona sina content
    Ila sibadilishi nahubiri TOBA TU

  • @angelamos2261
    @angelamos2261 18 днів тому

    Mtumishi hio Shirt inakubana mwili

  • @thembarikiwa
    @thembarikiwa 18 днів тому

    Great is HIS NAME JESUS

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 18 днів тому

    Yes ssss

  • @neemamsanga253
    @neemamsanga253 13 днів тому

    🤝🙇😭😭😭 tunapotezwa jmn huku kwenye makanisa yetu,,,😭😭😭 MUNGU tusaidie Dunia inawayawaya 😭😭😭 natamani nisimame nihubiri neno la Mungu kanisani kwangu MUNGU niinue😭😭😭🙏 YESU kristo nitie nguvu 😭😭😭😔😔😔

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 18 днів тому

    Wewe mnona ulimuacha.mke wako. Kakuuguza wee alafu umemuacha

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 17 днів тому

      Mbona alieleza hafanyi kazi maana alipata shida kwenye uume wake alipopata ajali , mke wake kaona aondoke

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 17 днів тому

      Barikiwa saana KWA KAZI YA MUNGU ALIYE HAI

  • @CarolineNafula-rx8bs
    @CarolineNafula-rx8bs 18 днів тому

    Amen

    • @JeniNachega
      @JeniNachega 18 днів тому

      Mbinguni ni kwa watu wario tubu dhambi nakuziacha usipo tubu wewe ni wamotoni

  • @dicksonmangah1648
    @dicksonmangah1648 18 днів тому

    Amen mtumishi,thambi haikemewi siku hizi makanisani .