NTEMI Swahili Movie || Bongo Movies Latest || African Latest Movies || Episode 1

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 23 лют 2022
  • NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
    NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
    Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
    Hakika utajifunza kitu kikubwa.
    Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
    Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
    Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
    KAPAYA THE GREAT FILM
    Contact:
    0655 218 331/0753 318 331
    email. kapayamic75@gmail.com
    Instargram
    Kapayathegreat
    TANZANIA.
  • Фільми й анімація

КОМЕНТАРІ • 215

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 2 роки тому +10

    Hyo mpiga picha Ibrahim kitimbu jamn n rafiki yangu tumeish sana magomen dsm

  • @mzalendoonlinemedia7170
    @mzalendoonlinemedia7170 2 роки тому +10

    Uzalendo kwanzaaaa! Geita Tanzania Na Afrika ni sasa! 🙏 tuamke kuwasapoti vijana wetu!

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 Рік тому +4

    Nic movi inaonyesha uarisia wa kitz adi raha,, mpe Salam uyu baba mwenye panga nimempenda amejua kunichekesha,

  • @ashurachenga8673
    @ashurachenga8673 2 роки тому +7

    Wasukuma nawapenda sana jamani muvi nzuri sana ntemi

  • @emmajmmasuke1497
    @emmajmmasuke1497 Рік тому +4

    Asanteni saana waandaaji wa hii movie proud to be ngosha

  • @ibrahimmartine9185
    @ibrahimmartine9185 Рік тому +3

    Movie nzur san nmeipenda, nakfaham san ksukuma maana ndo kabila letu hongera kwa washirk

  • @rachelmartin516
    @rachelmartin516 2 роки тому +10

    Nzuri Sana😘

  • @maliamgeorge7126
    @maliamgeorge7126 2 роки тому +4

    Nzuri sana wasukuma oyeee

  • @WilliamMMgila
    @WilliamMMgila Рік тому +2

    Naombeni Na mm Nafasi humo kwenye kampun lenu jmn

  • @jellynesssemu9406
    @jellynesssemu9406 2 роки тому +4

    Waooh. Asante sana Wapendwa movie tamu sana ❤🔥😍

  • @Nsemwabrand6665
    @Nsemwabrand6665 2 роки тому +6

    Nakubari brother never give up

  • @rosefredy5398
    @rosefredy5398 2 роки тому +6

    lafudhi gani ni wasukuma au

  • @neylove7790
    @neylove7790 2 роки тому +3

    Kazi nzuriiii Sana gheke Oleyombha luga ke

  • @gabrielbwai5422
    @gabrielbwai5422 2 роки тому +3

    😄😄😄😂Ntemi anajua adii anaboa, bro umevaa uhusika vizur saf san👏👏👏

  • @jeanclaudeakili2372
    @jeanclaudeakili2372 2 роки тому +2

    Jamani movie hii nzuri kbsa shusha one more time

  • @halimasulaiman3229
    @halimasulaiman3229 2 роки тому +3

    Kapaya jamani penda sana my love

  • @sadajasonie7346
    @sadajasonie7346 2 роки тому +2

    M/mungu akuongoze ufike mbliii zaidiiii pale unapotaka

  • @pendopascal1899
    @pendopascal1899 2 роки тому +3

    Nimekuwa wakwanza nawapenda sna ila naitaji kuingiza Kaka angu

  • @khadijatanzania7817
    @khadijatanzania7817 11 місяців тому +1

    😂😂😂Ahsanten sana kwa Filamu zenu nzur❤❤❤

  • @rahmaclaudine9984
    @rahmaclaudine9984 2 роки тому +4

    Kuanzia leo nawafwatilia mkovizuri

  • @husnaaliy1595
    @husnaaliy1595 2 роки тому +2

    ❤❤❤❤❤❤❤😂😂naipendaje sana hii movie wasukuma tunajitahid sana

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 2 роки тому +2

    Kazi nzuri Sana bro Allah awajalie kwa kazi yenu nzuri

  • @yusuphyasri4626
    @yusuphyasri4626 2 роки тому +1

    Mko vizuri naomben namimi nafas Niko kagera Nina kipaji hicho

  • @johnmajondokitulla
    @johnmajondokitulla 3 місяці тому +1

    Ninajivunia Lugha yangu ya KISUKUMA naitazama kutoka Dar es salaam NTEMI

  • @rachelthomas5468
    @rachelthomas5468 2 роки тому +1

    Naenjoy sana movie hizi nawtch nkiwa Kilimanjaro hapa lakin nafurahia sana location za kwetu gt pia nafurahi nkisikiliza lafudhi ya kokaya 🥰🥰🥰🥰🥰. Hongera sana kapayathe great film💪💪💪💪

    • @edinamalecha8157
      @edinamalecha8157 Рік тому

      Eeh Bhana Geita Sehem Pendwaa naupenda Mkoa Wangu 💞💞Nipo Moshi Pia

  • @sanaiyyaabdallah2874
    @sanaiyyaabdallah2874 2 роки тому +3

    Punguzen kiluga wengne atuelewii tamthilia nzur sana🥰😍

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 роки тому

      sawa lakini kunamaadishi ya kiswahili hapo chini tazama vizuri

    • @assfzainab912
      @assfzainab912 2 роки тому

      @@kapaayathegreat wengine macho hayaoni vzur namba ndogondogo

    • @zou7470
      @zou7470 2 роки тому +1

      @@kapaayathegreat mandishi hayaonekani vizur ongezeni kidogo mandishi mana wengine wabovu wa maco😔

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 роки тому

      @@zou7470 sawa ntafanya hivo

  • @festomishita3303
    @festomishita3303 Рік тому +3

    Mzee saimon sio muha kweli ? 😂😂😂

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 роки тому +3

    Hapo sasa baba, itabidi uende shule, Smart movie Next episode basi cos twaingoja kwa hamu na gamu dia. Keep it up.

  • @ishatybeauty5254
    @ishatybeauty5254 2 роки тому +1

    Kazi nzuri san ila wakurya tujuane. Mie ndo gati mwenyew sasa

  • @aminaamina-xj6qs
    @aminaamina-xj6qs 2 роки тому +1

    ♥️♥️🥰🥰🥰 movie nzur 💃💃💃🔥🔥❤️

  • @godwinkishiwa150
    @godwinkishiwa150 Місяць тому

    🔥🔥🔥🔥
    Ntemi

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 2 роки тому +1

    Wazee wenye busara ktk uposaji 💗

  • @davidjumanne-pq7dw
    @davidjumanne-pq7dw Рік тому

    Aisee napenda kazi zenu adi npo Tyr kuchangia shooting 🙌🙌🙌 ntemi kaka kipaji unacho brw,. Sema Yule mzee alolishiwa mazao endeleen kumtmia anajua kusmamia uhalisia haigizi kweny camera ila anaigza anachokfanya

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 2 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣nyieeee hyo mzeee saimon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzeee mkorofi sanaa inaonyesha hata kwenye fimilia yake maan akitoa hilo jicho🤣🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳😳😳

  • @zuhuzuli.5150
    @zuhuzuli.5150 2 роки тому +1

    Wow movie nzuri saana sana 😘😘😘😘

  • @bahatiagape7121
    @bahatiagape7121 2 роки тому +1

    Kapaya bana...unaniacha hoi....🤪😆Mungu akulinde kapaya wangu eee.🙏

  • @gabrielbwai5422
    @gabrielbwai5422 2 роки тому +3

    Good job bro keep moving.

  • @boytz202
    @boytz202 2 роки тому +1

    Mnajitahid Sana nawakubali

  • @hojaerenest7543
    @hojaerenest7543 Рік тому +1

    Kiukweli mv zuli Sana nawaobea muedeleze

  • @francismjuba8143
    @francismjuba8143 2 роки тому +2

    Mwendelezo jaman

  • @danrevelian
    @danrevelian 2 роки тому +1

    Kazi nzuri sana hongereni sana....!!!! Ni suala la muda tu kuna mahali mnaelekea kwenye tasnia...!!!

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 роки тому

      Daaah, kaka ahsante sana kwa neno lako limenipa nguvu sana

  • @graceelneus3043
    @graceelneus3043 2 роки тому +1

    Hongera sanaa hakika mnaelimisha jamii

  • @mussamashiku9278
    @mussamashiku9278 2 роки тому +1

    Daaah kaka Safi sana nimemuona baba yangu mzazi ambaye ameigiza baba jeni daaaaah nashukuru sana hapo ndo nyumban kijiji cha mshinde

    • @kapaayathegreat
      @kapaayathegreat  2 роки тому

      Hahahaaaa uko wapi wewe

    • @mussamashiku9278
      @mussamashiku9278 Рік тому

      Nipo Ifakara Morogoro ila nimejenga nyumba yangu ipo magogo geita kwenye tanki magogo senta

  • @judithjackson8216
    @judithjackson8216 2 роки тому +1

    Kazi nzur Sana 💕

  • @tausisasi8252
    @tausisasi8252 2 роки тому +1

    Nice kapaya na wengine wote

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 4 місяці тому

    Ndio nmewasili huku 😂😂kuchelewa c kukosa ntafuatilia hdi mwisho 🎉❤❤

  • @sosoalsos9912
    @sosoalsos9912 2 роки тому +5

    Movie nzuri Sana tatizo part 2

  • @jamesmwihaki4675
    @jamesmwihaki4675 2 роки тому

    Hongeraa sana kapaya great films kazi nzurii

  • @Christine-qq2gy
    @Christine-qq2gy Рік тому +1

    Tamu sana❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @vnhcstudios1943
    @vnhcstudios1943 2 роки тому +2

    Nyanda hii ya lini

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 10 місяців тому

    Move nzr sana

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Рік тому

    Wow 🥰 mm nimewapemda sana,,kwa kua kazi yenyu ni nzuri muno,,muendelee hivyo

  • @rosembasha1470
    @rosembasha1470 2 роки тому +1

    Umetisha sana sana

  • @solangerechol6881
    @solangerechol6881 2 роки тому +2

    Nice one ❤️❤️❤️

  • @sharifaalazri5096
    @sharifaalazri5096 2 роки тому +1

    baba jeni hayupo series

  • @user-pq8ro1ky4g
    @user-pq8ro1ky4g 5 місяців тому

    Wasukuma oyeee3eee

  • @alhajikipingu1661
    @alhajikipingu1661 2 роки тому +1

    Kali sana

  • @rechokizumbe7314
    @rechokizumbe7314 Рік тому +1

    Kazi nzuri sana

  • @aminasaid6906
    @aminasaid6906 2 роки тому +1

    Saf sana

  • @jackutou5536
    @jackutou5536 2 роки тому +1

    Movie IPO vzur sana

  • @gracerichard8145
    @gracerichard8145 2 роки тому +1

    Ila Jeremia ananogeshaga muvi za kapaya the greet saf sana

  • @bahatiluck8640
    @bahatiluck8640 2 роки тому +1

    Big up 👏👏👏

  • @djazilaramadhan6166
    @djazilaramadhan6166 2 роки тому +1

    Movie nzuli sana.yenye kuvutia

  • @KhadijaKhadija-ee5kr
    @KhadijaKhadija-ee5kr 2 роки тому +1

    🔥🔥🔥

  • @dy5624
    @dy5624 Рік тому +1

    As ntemii mianane ngombe

  • @bbrsssaad1282
    @bbrsssaad1282 2 роки тому +1

    Waaah Ntemi mwanamme huyo nae kapata kichuna kwl 🤣🤣🤣🤣

  • @benardchristopher8655
    @benardchristopher8655 Рік тому +1

    Ntemi swahii

  • @mukyalamuwuulu8647
    @mukyalamuwuulu8647 2 роки тому +4

    The nature is wow❤️

  • @sicaliusthobias2789
    @sicaliusthobias2789 2 роки тому +1

    Well done kijana

  • @josephpatrick4450
    @josephpatrick4450 Рік тому

    Nimependa kazi nzuri🎉 nawapa mauwa yenu

  • @ailcemuthoni3339
    @ailcemuthoni3339 2 роки тому

    Wow so great watching nkiwa Dubai ,haha ntemi Aki anakaa tu kuhurumiwa yaani haha thanks so much bro kapaya for your good movies mob love

  • @javanjosia7418
    @javanjosia7418 2 роки тому +2

    Good morning Grandmother 😂😂😂😂😂

  • @omanbahla1511
    @omanbahla1511 Рік тому +1

    Nc ❤️❤️

  • @dy5624
    @dy5624 Рік тому +1

    Sitoiii entem

  • @majorsonayoub2172
    @majorsonayoub2172 11 місяців тому

    New challenge in town

  • @user-gd1xb3yf7f
    @user-gd1xb3yf7f 9 місяців тому

    Movies kali kutoka Buhalahala geita 🎉

  • @catherinemutiembu5611
    @catherinemutiembu5611 Місяць тому

    Wow ❤

  • @allymtondo9028
    @allymtondo9028 2 роки тому +2

    Very nice

  • @florencekiza7436
    @florencekiza7436 2 роки тому +1

    Nice 👍🏻

  • @Juliet_Adolphine_Amisi1911
    @Juliet_Adolphine_Amisi1911 2 роки тому +1

    Atuelewi luga

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei5658 2 роки тому +1

    Hebu turete Hilo limuendelezo bwazo bwana 🤣🤣🤣 wasukuma bana mnanibamba Sana na hiyo lugha yenu

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 роки тому +1

    Mzee saimon ni kiboko Hilo jicho

  • @pwararirapwapwiiiii9730
    @pwararirapwapwiiiii9730 2 роки тому +1

    Maneno mengine yanipita Ata sielew domoniiiii🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @georgemchele8719
    @georgemchele8719 Рік тому

    Napenda Sana unavyopambana kapaya japo sijawahi kuonana na wewe hata mm nipo mwanza ni C.E.O KWA MCHELE PICTURE napenda Sana unachokifanya ipo siku nitakuhitaji kwenye kazi zangu

  • @drinozzsamson8676
    @drinozzsamson8676 Рік тому

    Huyu kapaya amemuacha salama kweli huyo mdada aliezaa na ntemi mana mashallaa kidada cha watu me mwenyewe nimekitamani🤣🤣🤣

  • @dy5624
    @dy5624 Рік тому +1

    Deo bigapuu san

  • @abeidramadhaniabeid1075
    @abeidramadhaniabeid1075 2 роки тому +2

    Asnt mzee sainon umecheza ntemi pia natimu yako hatujalizika tunaita mzigo mwingine bira kusahau part 2 ya kosa ramama

  • @sameerkulwa3980
    @sameerkulwa3980 2 роки тому +1

    Kazi nzuri bro

  • @uuuuiiii3917
    @uuuuiiii3917 2 роки тому +1

    Nice movie 🇴🇲

  • @PH10735
    @PH10735 2 роки тому +1

    Wabheja sanha ngosha ulhechiza Sanhaa aseeee

  • @paschaljoseph9778
    @paschaljoseph9778 Рік тому +1

    Kapaya unajuwa kunifulahisha

  • @irinechetum4240
    @irinechetum4240 2 роки тому +1

    Poa sana

  • @neemakarisa4167
    @neemakarisa4167 2 роки тому +1

    Movie kali ahk

  • @rahmanduwimana9595
    @rahmanduwimana9595 2 роки тому +1

    Bil unafki haki napenda san kazi yen sabab zinamafunzo san

  • @hadijahamis4080
    @hadijahamis4080 2 роки тому +1

    Hahahahaaaa ntemi kiboko kwakweli et sasa si toi sasa hahahahaahahhaaaaaa

  • @vailetmapolu6363
    @vailetmapolu6363 2 роки тому +1

    Hongera kaka kapaya kazi zuri
    Tunasibilia episode ya 2 sijui inatoka lini

  • @kingkolongo453
    @kingkolongo453 2 роки тому +1

    Good

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 роки тому +1

    Safi sana 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mugiremagesa7591
    @mugiremagesa7591 2 роки тому +1

    Kazi nzur ubunfu mkubwa

  • @agneskasande633
    @agneskasande633 2 роки тому +1

    Umetisha mudogo wangu