NTEMI Swahili Movie || Bongo Movies Latest || African Latest Movies || Episode 1
Вставка
- Опубліковано 23 лют 2022
- NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA. - Фільми й анімація
Hyo mpiga picha Ibrahim kitimbu jamn n rafiki yangu tumeish sana magomen dsm
Uzalendo kwanzaaaa! Geita Tanzania Na Afrika ni sasa! 🙏 tuamke kuwasapoti vijana wetu!
Nic movi inaonyesha uarisia wa kitz adi raha,, mpe Salam uyu baba mwenye panga nimempenda amejua kunichekesha,
Wasukuma nawapenda sana jamani muvi nzuri sana ntemi
Asanteni saana waandaaji wa hii movie proud to be ngosha
Movie nzur san nmeipenda, nakfaham san ksukuma maana ndo kabila letu hongera kwa washirk
Nzuri Sana😘
Nzuri sana wasukuma oyeee
Naombeni Na mm Nafasi humo kwenye kampun lenu jmn
Waooh. Asante sana Wapendwa movie tamu sana ❤🔥😍
Nakubari brother never give up
lafudhi gani ni wasukuma au
Kazi nzuriiii Sana gheke Oleyombha luga ke
😄😄😄😂Ntemi anajua adii anaboa, bro umevaa uhusika vizur saf san👏👏👏
Jamani movie hii nzuri kbsa shusha one more time
Kapaya jamani penda sana my love
M/mungu akuongoze ufike mbliii zaidiiii pale unapotaka
Nimekuwa wakwanza nawapenda sna ila naitaji kuingiza Kaka angu
😂😂😂Ahsanten sana kwa Filamu zenu nzur❤❤❤
Kuanzia leo nawafwatilia mkovizuri
Karibu sana mpenzi wangu
❤❤❤❤❤❤❤😂😂naipendaje sana hii movie wasukuma tunajitahid sana
Kazi nzuri Sana bro Allah awajalie kwa kazi yenu nzuri
Mko vizuri naomben namimi nafas Niko kagera Nina kipaji hicho
Ninajivunia Lugha yangu ya KISUKUMA naitazama kutoka Dar es salaam NTEMI
Naenjoy sana movie hizi nawtch nkiwa Kilimanjaro hapa lakin nafurahia sana location za kwetu gt pia nafurahi nkisikiliza lafudhi ya kokaya 🥰🥰🥰🥰🥰. Hongera sana kapayathe great film💪💪💪💪
Eeh Bhana Geita Sehem Pendwaa naupenda Mkoa Wangu 💞💞Nipo Moshi Pia
Punguzen kiluga wengne atuelewii tamthilia nzur sana🥰😍
sawa lakini kunamaadishi ya kiswahili hapo chini tazama vizuri
@@kapaayathegreat wengine macho hayaoni vzur namba ndogondogo
@@kapaayathegreat mandishi hayaonekani vizur ongezeni kidogo mandishi mana wengine wabovu wa maco😔
@@zou7470 sawa ntafanya hivo
Mzee saimon sio muha kweli ? 😂😂😂
Hapo sasa baba, itabidi uende shule, Smart movie Next episode basi cos twaingoja kwa hamu na gamu dia. Keep it up.
Kila alhamis inatoka mpenzi wangu
@@kapaayathegreat ok dia
Kazi nzuri san ila wakurya tujuane. Mie ndo gati mwenyew sasa
♥️♥️🥰🥰🥰 movie nzur 💃💃💃🔥🔥❤️
🔥🔥🔥🔥
Ntemi
Wazee wenye busara ktk uposaji 💗
Aisee napenda kazi zenu adi npo Tyr kuchangia shooting 🙌🙌🙌 ntemi kaka kipaji unacho brw,. Sema Yule mzee alolishiwa mazao endeleen kumtmia anajua kusmamia uhalisia haigizi kweny camera ila anaigza anachokfanya
🤣🤣🤣🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣😄🤣😄🤣😄😄🤣😄🤣nyieeee hyo mzeee saimon 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu mzeee mkorofi sanaa inaonyesha hata kwenye fimilia yake maan akitoa hilo jicho🤣🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳🤣😳🤣😳🤣😳🤣😳😳😳😳
😂😂😂😂😂
Wow movie nzuri saana sana 😘😘😘😘
Kapaya bana...unaniacha hoi....🤪😆Mungu akulinde kapaya wangu eee.🙏
Kwanini jamani
Good job bro keep moving.
Mnajitahid Sana nawakubali
Kiukweli mv zuli Sana nawaobea muedeleze
Mwendelezo jaman
Kazi nzuri sana hongereni sana....!!!! Ni suala la muda tu kuna mahali mnaelekea kwenye tasnia...!!!
Daaah, kaka ahsante sana kwa neno lako limenipa nguvu sana
Hongera sanaa hakika mnaelimisha jamii
Daaah kaka Safi sana nimemuona baba yangu mzazi ambaye ameigiza baba jeni daaaaah nashukuru sana hapo ndo nyumban kijiji cha mshinde
Hahahaaaa uko wapi wewe
Nipo Ifakara Morogoro ila nimejenga nyumba yangu ipo magogo geita kwenye tanki magogo senta
Kazi nzur Sana 💕
Nice kapaya na wengine wote
Ndio nmewasili huku 😂😂kuchelewa c kukosa ntafuatilia hdi mwisho 🎉❤❤
Movie nzuri Sana tatizo part 2
Hongeraa sana kapaya great films kazi nzurii
Tamu sana❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏
Nyanda hii ya lini
Move nzr sana
Wow 🥰 mm nimewapemda sana,,kwa kua kazi yenyu ni nzuri muno,,muendelee hivyo
Umetisha sana sana
Nice one ❤️❤️❤️
baba jeni hayupo series
Wasukuma oyeee3eee
Kali sana
Kazi nzuri sana
Saf sana
Movie IPO vzur sana
Ila Jeremia ananogeshaga muvi za kapaya the greet saf sana
Big up 👏👏👏
Movie nzuli sana.yenye kuvutia
🔥🔥🔥
As ntemii mianane ngombe
Waaah Ntemi mwanamme huyo nae kapata kichuna kwl 🤣🤣🤣🤣
Ntemi swahii
The nature is wow❤️
😅😅😊😊😊😊😅
Well done kijana
Nimependa kazi nzuri🎉 nawapa mauwa yenu
Wow so great watching nkiwa Dubai ,haha ntemi Aki anakaa tu kuhurumiwa yaani haha thanks so much bro kapaya for your good movies mob love
Muvi nzuri. Sana
Good morning Grandmother 😂😂😂😂😂
Nc ❤️❤️
Sitoiii entem
New challenge in town
Movies kali kutoka Buhalahala geita 🎉
Mmh😄
Wow ❤
Very nice
Nice 👍🏻
Atuelewi luga
Hebu turete Hilo limuendelezo bwazo bwana 🤣🤣🤣 wasukuma bana mnanibamba Sana na hiyo lugha yenu
Mzee saimon ni kiboko Hilo jicho
Maneno mengine yanipita Ata sielew domoniiiii🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Kuna maandishi ya tafasiri hapo usome
Napenda Sana unavyopambana kapaya japo sijawahi kuonana na wewe hata mm nipo mwanza ni C.E.O KWA MCHELE PICTURE napenda Sana unachokifanya ipo siku nitakuhitaji kwenye kazi zangu
Huyu kapaya amemuacha salama kweli huyo mdada aliezaa na ntemi mana mashallaa kidada cha watu me mwenyewe nimekitamani🤣🤣🤣
Deo bigapuu san
Asnt mzee sainon umecheza ntemi pia natimu yako hatujalizika tunaita mzigo mwingine bira kusahau part 2 ya kosa ramama
Kabisa tunasubir
Kazi nzuri bro
Nice movie 🇴🇲
Wabheja sanha ngosha ulhechiza Sanhaa aseeee
Kapaya unajuwa kunifulahisha
Poa sana
Movie kali ahk
Bil unafki haki napenda san kazi yen sabab zinamafunzo san
Hahahahaaaa ntemi kiboko kwakweli et sasa si toi sasa hahahahaahahhaaaaaa
Hongera kaka kapaya kazi zuri
Tunasibilia episode ya 2 sijui inatoka lini
Kila alhamis mpenzi wangu
@@kapaayathegreat ok Asante 🙏 nimekuelewa my dear 💞
Good
Safi sana 🤣🤣🤣🤣🤣
Vp
Kazi nzur ubunfu mkubwa
Umetisha mudogo wangu