Ukosefu *wa kuungwa* *mkono* - ni *usaliti* kwa Mwenyezi Mungu,na Mtume Wake, na waumini wote.✔️ Na usaidizi (unao fanywa na inchi za kiarabu) kwa mzayuni mhalifu, *Adui* wa Mwenyezi Mungu na Palestina, ni *(usariti na ushiliki wa inchi za kiarabu kumwaga dam ya wapalestina)* 😭 Ikiwa *(mnadai)* uungaji mkono(na msaada) wa Shiah kwa Palestina si wa Mwenyezi Mungu,‼️ *Basi je* ,⁉️ ukosefu wa msaada wa Masunni kwa Palestina, ndio utiifu (wasunni) kwa Mwenyezi Mungu.⁉️ 😭😭😭😭😭
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenzao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote
ALLAHU AKBAR ALLAH AKUHIFADH AKULINDE UKWEL MUTUPU NA MUSEMA KWELI NI KIPENZI CHA ALLAH....❤❤❤
Allaahu akuzidishie kheir nyingi sheikh Mohammed Kwa kusema kweli
Sheikh umewaambia ukwer hela ndio inamkoroga amemsahau allah
Ukosefu *wa kuungwa* *mkono* - ni *usaliti* kwa Mwenyezi Mungu,na Mtume Wake,
na waumini wote.✔️
Na usaidizi (unao fanywa na inchi za kiarabu) kwa mzayuni mhalifu,
*Adui* wa Mwenyezi Mungu na Palestina, ni *(usariti na ushiliki wa inchi za kiarabu kumwaga dam ya wapalestina)* 😭
Ikiwa *(mnadai)* uungaji mkono(na msaada) wa Shiah kwa Palestina si wa Mwenyezi Mungu,‼️
*Basi je* ,⁉️ ukosefu wa msaada wa Masunni kwa Palestina, ndio utiifu (wasunni) kwa Mwenyezi Mungu.⁉️
😭😭😭😭😭
Innalillahi wainnaillahi Rajionn Allah atustiri na vizazi vyetu amin ya Rabb
KWELI MASHIA ARUSHA WAMEANZA KUONYESHA MAKUCHA YAO KUPAMBANA NA AHLUSUNNAH WALJAMAA!!
Allah akuhifadhi na akufanyie wepesi wa kuingia jannah kama unavyo ifanyia haki wepesi wa kufahamika
Jazaka llaah kheira
BAKWATA ILIUNDWA KUUSAMBARATISHA UISILAM TANZANIA !!
LEO WAMEUZA NYUMBA NA PLOT ZA WAKFU ZA WAISLAMU!!
Nenda mahakamani
Nyie mpingao maelezo hayo ya Sh. Muhammad Issa, katika watetezi wa Mashiia au Mashiia wenyewe, Cha kufanya ni KULETA HOJA DHIDI YA KAULI YAKE. SI kubwabwaja TU. :- Qul haaatuuu burhaanakum inkuntum Saadiqiin.
Allah akuongoze ktk sunna
😀😃😄😁😆🤣😂 shekh anajiwekea kinga ya usalama kwa kuielezea answari inavyofanya kazi zake nchini
Mohamed isaa
Umefeli sanaa
Hadi huruma watoa comment umu wengi munaonekna ni mashiaaa....badilikeni.
Hatariiii!!!!
mpaka mseme mashia ni bora kuliko waisilam wengine , hampambani na mambo mengine kila siku mashia na mashia wana elimu ya kutosha ila ninyi hamna elimu yoyote
Yani kweli watu wanawatukana maswahaba munafurai ALLAHU atatuadhibu siku ya kiamaaaa
Maskini Shaykh wetu mweupeee huwajui mashia itikiadi zao! Wala huijui Historia ya Kiislamu, rudi Suudia ukasome tena. Ongea kwa hoja na siyo kupayuka.
mashia ndio wakweli masuni waongo sana
Acha kupotosha watu weeeee naona ushalambishwa za wa Iran
Wewe shiba ukalale
Shiyah laanatul Allah
Unakuta kuna mtu ana akili zake timamu anawafuata na kuwasikiliza masheikh wa BAKWATA
Kama hawaogopi kuwasapoti mashia, wataogopa kuwaongopea waislamu?
BAKWATA ni sehemu ya kupiga pesa tu
@@Kekulebenzenebaarakallahu fiyka
Bakwata hawana maana pesa mbili moto wanao
Kumbe Kuna wakati mashia wanakuwa siyo waislam na wakati mwingine ni waislam,nasema haya baada ya kuwaona waislam wengi wakiwasapoti Iran kwamba ni waislam wenzao lakini mijadala kama hii mnawakataa kwamba siyo waislam
Maneno ya hekma mwenye kutaka kuelewa ataelewa uko sahihi kabisa
Hata sisi tulizaliwa tu tulikua hatujui uwahabi
Hakuna ulicho ongea ni kupiga kelele tu ongea kwa dalili acha kutupigia kelele
Pelekeni ujinga huko shehe zima unaongea utadhani una elimu na hshia. Eti wanamuabudu husein. Acha kupotosha watu kwaajili ya chuki. Usisambaze uongo shehe mzima utakuja kujibu mbele ya mungu. Acheni chuki nyie mawahabi maana mnajiona kama nyie ndio mtaingia peponi kwa kuona wenzenu makafiri.
BAKWATA WAPATA PESA KWA MASHIA NJAA ZIMEWAWEKA MOYONI BUSTARDS
Mashia hawana sifa ya uislaam hata
Wewe rudi darasani ukasome hekima huna elimu yadini
Yani huyu anavyoongea anaonesha wazi kwamba hana alijualo kuhusu mashia bali nikuropoka tu
hamna shekh hapa sasa hivi anawasifu nyerere na madiba wakati alinza kumponda ayatollah khomeini kwa kupinga umagharibi na kusimamisha dola ya kiisilam ya iran , hamna akili hapa bali ni hasira
Huyu ni Mzuri kwa kupiga kelele na ni Jahili.
Wee mzee wewe hapo unawapaka mafuta .au jamaii gani kwani hiyo jamii mashia hawao we tengeneza nchi yako uhamie
Huyu mzee muongo nyie mawahabi na salafy sindo mmenza kuwatenga wenzenu mkawaita watu wabidaa na makhuraf leo wasema mlikua pamoja mzee acha uongo
elimu ndogo haongei kwa kutoka kwenye kitabu cha hadith wala quran bali apapatika toa hoja ya kidini sio kuongea usichokijua . kazi ni kuponda hamna lolote
Ukiingia mtandaoni Mawahabi utadhani nchi nzima wamejaa wao ila uhalisia uwahabi wachache sana.
Mawahabi wazee wa Mtandao