Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

SHEIKH MZIWANDA AWALIPUA MASHIA ATOA SIRI ZAO ~ DINI HAIITAJI UJANJAUJANJA ~ PESA ZITATUUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 січ 2023

КОМЕНТАРІ • 48

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 Рік тому +1

    Maa sha Allah shukran habibi Mziwanda wape vitu hao wenye kupenda dunia ukweli ndio Allah kashamaliza kusema zamani piga vitasa kuliko hivyo

  • @MohamedMeja
    @MohamedMeja 13 днів тому

    Ust mziwandaa asemaa kweli kabsaa Hao masha ni watu wa pesa

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019 Рік тому

    Shekhe njoo ktk usalafi hayo unayo yasema wanaoyatekeleza nisisi masalafi njoo tutakuhami karibu sana

  • @mjedamjeda4734
    @mjedamjeda4734 Рік тому +1

    Mashaallah mashaallah nakupenda sana shekh wg mziwanda

  • @suleimansaidi6913
    @suleimansaidi6913 Рік тому

    Allah akupe umri mrefu wenye KHERI tupambane nao hao tupo nyuma yako shekh

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 Рік тому

    Shekhe Allaah akulinde Isha allaah 🙏 🙏🙏 tuko nyumayako

  • @islahil3878
    @islahil3878 Рік тому

    Shukran shekhe wangu kwaku sema ukweli nakupenda sana shekhe pia Mawahabi utupe ukweli wao nao wako sawa shekhe?

  • @thuwaibahassan5225
    @thuwaibahassan5225 Рік тому

    Mashaallah Allah akuhifadhi sheikh wetu mziwanda Allah akujalie msimamo wako uendlee hivohivo na Allah atakulinda na wabaya wako....

  • @huseinhamidu7367
    @huseinhamidu7367 Рік тому

    Shehe wetu upo sahii Sana Yan mashia hawawezagi kukujibu hata siku moja zaidi yakukutusi tu Ila ukweli wangu unaongeaga point sana

  • @abuunajmah404
    @abuunajmah404 Рік тому

    Aisee Allah akulipe kila la kheri baraka allahu fiika
    Ukweli nimefurahi Hawa mashia woote niwaongo

  • @raiyaaaraiyaa6054
    @raiyaaaraiyaa6054 Рік тому

    Allah. Akuhifadh sheikh Mziwanda

  • @husenimmussa6479
    @husenimmussa6479 Рік тому

    بارك الله فيك

  • @jamalmohamed2559
    @jamalmohamed2559 Рік тому

    Mungu akulinde shekhe letu

  • @sulekato4330
    @sulekato4330 Рік тому

    Naaam
    Maa Shaa Allah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Рік тому

    انشاء الله شكرا.

  • @jujanreeves6925
    @jujanreeves6925 9 місяців тому

    Lkn kwenye maulid Khitma na Arobaini mmechukua kutoka kwa Mashia nyinyi Masufi hilo vipi

  • @mrsultanzimbwe6746
    @mrsultanzimbwe6746 Рік тому

    Bakwata hawataki ukweli wanatka kula kwa jina la dini lkn dini kwao haina thamani

  • @omaryteddy535
    @omaryteddy535 Рік тому

    Mashaallah

  • @khamischega2418
    @khamischega2418 Рік тому

    Sahihi mwamba

  • @abdililahahmed3095
    @abdililahahmed3095 Рік тому

    Sheikh Muharam upo sahihi kabisa, niliwahi kusali swala ya Eid kwenye msikiti wao Kigoma, kabisa nilitoka pale nilijiona hamna kitu, wana vitissue paper wanagawiana na mawe yani vurugu mechi.

  • @alwyjahdhamy8094
    @alwyjahdhamy8094 Рік тому

    Hio kauli ni dhaifu shekhe mziwanda katika biharul anwar. Umejibiwa kuhusu hio kauli ya Ali ibn Hussein.

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 3 місяці тому

    hamna shekh hapa unafuata akida ya uongo halafu hakuna kitu kwenye quran kwa unachokifuata

  • @wakizimbaniwakizimbani6596
    @wakizimbaniwakizimbani6596 Рік тому

    Wambie ukweli hao vijisenti vina matatizo.

  • @user-wu5dk2jd2r
    @user-wu5dk2jd2r 8 місяців тому

    Huna elimu yoyote ww njoo nikupe dogo langu tu akufundishe din

  • @husseinmohamedjama6316
    @husseinmohamedjama6316 Рік тому

    Mimi huwa najiuliza sana hawa jamaa ni dini gani hiyo inayoruhusu kujipiga mapanga kichwani na usoni kwa kukumbuka kifo cha Imam Hussein?

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Рік тому

    Ninachojua huyu sheikh huwa mtu kunyoosha tu.nyeupe nyeupe kama nyeusi nyeusi

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed4124 Рік тому

    Habibi kipenzi chetu Mziwanda tunakuomba ndg zako au wanao hao usiwajibu ww waachie tuu ila ukiona hivyo jiwe limewapiga gizani vitasa kwenda mbele tuu

  • @SHAFIIAbdully
    @SHAFIIAbdully 11 місяців тому

    Shekhe nataka unisomeshe je nakupataje

  • @kingbassai5329
    @kingbassai5329 Рік тому

    Sheikh kishki talaka tatu

  • @jafarshossy5830
    @jafarshossy5830 Рік тому

    Shehe mziwanda watuaibisha maaswari wenzio waonekana humuezi kijana wa kishia kwa elimu afadhali unyamaze

    • @rashdhamdun
      @rashdhamdun Рік тому

      We sio answari ni shia acha uongo

    • @shabanhassan9224
      @shabanhassan9224 Рік тому

      Sio kutiabisha anaongea ukweli, Kuna mmoja ktk hao mashia anaitwa sheikh Mohammed mm alikuwa mwalimu wng wa chuon , akapata nafas ya kwenda kusoma mwaka 1996 au 97 ,akatuaga uzur kurudi ndo Kawa shia

  • @abubakarnyere1792
    @abubakarnyere1792 Рік тому +1

    Bahna kila mtu aende upande anao taka, ila ushauli wangu, Muslim tusiishie kuambiwa tu, tusome kwanza kwani ndo maana yakupewa akili na Allah, kama hapo amesema mjukuu wa mtume amesema abubakar na omary ni makafili Sasa wewe unakataa ni yupi wewe, tumia akili apo

    • @mkude
      @mkude Рік тому +4

      Wewe itakuwa unaumwa ugonjwa wa akili maana hata ulichokiandika hakieleweki vizuri,nyoosha maelezo, acha unafiki

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Рік тому +1

      Sheikhe ww umeisha chukuwa mzigo Acha fitina waislam wenzako wapate mzigo kama ulivyopata ww

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Рік тому +1

      Achakuwa kuku

    • @ahmadnonela3215
      @ahmadnonela3215 Рік тому +1

      Elim yako imeishia hapo Ndiyo Maana huwezi kuwaeleza hunak

    • @abubakarnyere1792
      @abubakarnyere1792 Рік тому

      @@ahmadnonela3215 hutaki au