NTEMI EPI 72||Swahili Movie ll Bongo Movies Latest II African Latest Movies
Вставка
- Опубліковано 5 жов 2024
- Huu ni mwendelezo wa filamu ya NTEMI na hii ni Season 3. Ni moto!. Endelea kuifuatilia hautajuta!
NTEMI ni moja kati ya filamu bora za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie nchini Tanzania.
NTEMI ni kijana wa Kisukuma mwenye juhudi katika ufugaji wa Ng'ombe. Tatizo lake anathamini sana Ng'ombe kuliko hata mwanae kumsomesha.
Kupitia series hii Swahili Movie /Bongo Movies utajifunza zaidi kuhusiana na kabila la Kisukuma pamoja na makabila mengine yanayowazunguka Wasukuma.
Hakika utajifunza kitu kikubwa.
Hii ni moja kati ya Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania series itakayokujia kila Alhamisi saa Tisa na Nusu Alasiri.
Endelea kufuatilia hadi mwisho,usisahau kulike,share zaidi kusubscribe.
Tunaomba support yako kwa kushare kwa wengine, ila zaidi uendelee kujifunza kupitia filamu zetu za Swahili Movie/Bongo Swahili Movie/Swahili Movie za Tanzania. WE LOVE YOU ALL. ...........................................................................................................................................................................................
KAPAYA THE GREAT FILM
Contact:
0655 218 331/0753 318 331
email. kapayamic75@gmail.com
Instargram
Kapayathegreat
TANZANIA.
Huyo alie tunga hiyo story ya hiyo move kuanzia mwanzo hadi sahivi.Apewe mauwa yake ❤😂
Mimi hatamsipo nipa like lazima ntazeme hata nikiwa hamam
Siku ukibambwa na waigulu huko hamamu ujue fulusi utaisikia tu
Jamani Yale matukio ya kukumbuka ya nyuma msiwe mnaonyesha Tena yanajirudi yanapoteza muda
Jmn hongereni sana, Zena na Maria chukueni maua yenu🥳🌹🌹🌹🏵️💐💐💐🥰
Jaman hongeren sana wote wahusika wa tamuthiriya ya ntemi mm nipo huku mpakani na zambia nawazooom sana kwan nimeona dhamira kubwa sana kutoka kwa zena ameonekana kuwa na MAPENZI YA DHATI Kwan anafaa kuigwa na jamii
Aisee waigzaji wa ntemi mmenenepa sana sijui mnakunywa maziwa ya ng'ombe wa ntemi😊😊
😂😂😂😂
Ahsante sana NTEMI mimi nawapenda mpaka sielewi ❤❤
Kweli?
Nakupenda sana kwanza ire abanyo inaitwa kosa ra mama irinibaba sana🎉🎉
@@kapaayathegreat kabisaaaaaa nawapenda sana nyie watu
@@janeombati2290 tunakupenda pia
Sina zawadi mm Ya kuwapen maria na zena lakin mungu awape mnachositahir kupewa❤❤❤❤❤❤🎉
😂😂😂😂😂 ntemi na mwanae😂😂😂😂but zena l love you so much 💕
Zena hongera xn pmj na ntemi
Zena hongera yako pmja n maria❤❤❤❤🎉 mashimba Mungu uwakuona 😢ntemi na tedy wake mwanikosha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mpeleke shule jmn 😂
Ww ntemi ni noma sana
Kwani kesho aifikagi, mpelekea kajere kwa mganga mnajikokota sana😢
Shukuran sana mtemi tunawapenda sana mashabiki zenu❤❤❤️
Wowo🎉🎉🎉
Napenda kuwaona wazee wakishauriana!
Ntemi habadilishagi nguo si zitakuwa na chawa😂😂😂
Hahaha,ndo asili ya matajiri wafugaji,anawakilisha vema,anaweza kuwa na ng'ombe Mia tano lkn nguo Moja tu
😂😂😂😂😂😂duh nalo neno
Ata Mzee Simon pia abadilishi nguo sharti moja nyeusi kutwa nzima yupo na panga lake tu mtaani 😄
@@@ mnatufurahisha pigen kazi nawapenda sana ❤❤❤❤❤
Boke anawivu jaman 😂😂😂😂😂
Zena wangu Asante ❤❤❤🎉
❤
Jamani temi namwanae mwanikosha eti usinishe
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongereni sana 🎉🎉🎉
Jaman japo kwa kuchelewa zifike 10 please 😊
Ntemi punguza kuwa mnaweka matukio ya nyuma inachosha
Ntemi na Teddy ❤❤❤ 😂😂😂😂
Ntemi anawaigizaji wazur😅
Leo nmewai jamani
Selina mbona Hana mimba kajifungua au
❤❤❤
Mimi wakwanza Leo ila ushauri wangu jaribuni kutoa kazi mnachelewesha
Mmh ww nae ata awachelewi
Waoneshe mfano kwa kutoa yako harakat haraka
Sijachelewa 😂😂
Misingi😅😅😅😅😅😅
Zena na Maria😅😅😅😅
Mze simon umetsha mze.
Michael kwan Zena kaolewa? Nimempenda hivyo hivyo hata kama anaigiza
Wewe umempenda Zena mi nimempenda ntemi.Nahivo hajuwi kutongoza wala asiahangaike kumsubili Jere apone
Sasa mbona mnailudia ludia😠ata havinogi mnazingia hamleti mwendelezo😏
😂
😂😂😂😂😂