list ya wasanii ni weng sana pale so ratiba yake ilpangwa apafom mchana na si vbaya wala si k2 cha ajabu about tht and kumbuka hili kuna baadh ya wasanii kutokana na ratiba kubana kwasbb ya wasanii kuwa weng sana kuna baadh yao hawakupafom, so diamond kuweza kupafom pale ni heshima kubwa sana kwa Tz na east africa nzima..
Kikubwa tumefanya sio kdg
list ya wasanii ni weng sana pale so ratiba yake ilpangwa apafom mchana na si vbaya wala si k2 cha ajabu about tht and kumbuka hili kuna baadh ya wasanii kutokana na ratiba kubana kwasbb ya wasanii kuwa weng sana kuna baadh yao hawakupafom, so diamond kuweza kupafom pale ni heshima kubwa sana kwa Tz na east africa nzima..