Barnaba feat Yammi - Nibusu (Visualiser)
Вставка
- Опубліковано 1 тра 2024
- Music Video by Barnaba featuring he one and only Yammi, This is big. (NiBusu) is a sweet sound created by an amazing team. We all know that this was long awaited and it didn’t disappoint. The best Tanzanian vocalist Barnaba along with the beautiful and talented artist from ‘The African Princess Label’ Yammi, has been long overdue. This song is for the lovers and for the ones who can’t keep their hands off eachother.. The two excelling artists have put their work together to create this masterpiece and this is only the beginning of them. Special thanks to Barnaba’s english songwriter who has also written ‘All I Need’ and also been a part of production Rinaaldn for helping this masterpiece come to life, along with the one and only Majorkizy in producing. Video shot Directed by Wayan.
Get it now "NiBusu":ziiki.media/Nibusu-Barnaba
Stream/Download:linktr.ee/barnabaclassic
Listen to Barnaba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/barnabaclassic
Apple Music: / barnaba
Boomplay: www.boomplay.com/share/artist...
Spotify: open.spotify.com/artist/3ICwB...
Deezer: www.deezer.com/en/artist/5244406
Catch Up With Barnaba on Social Media:
Instagram : / barnabaclassic
Facebook: / barnabaofficial
Twitter: / barnabaclassic
Catch Up With Yammi on Social Media:
Instagram: / yammitz
Twitter: / yammi_tz
TikTok: / officialyammi
Facebook: / itsyammitz
UA-cam: / @yammitz
+For More Information Booking Yammi:
Contact:yammymanagement@gmail.com
+For More Information Booking Barnaba:
Contact:Barnabamanagement@gmail.com
Digital Distribution by Ziiki Media (PTY)
©2024 Barnaba.All rights reserved.
#Barnaba #Yammi #Nibusu
Kwa tuliokuja kuangalia hii video ili kuona barnaba alivyoshika hicho kiuno cha mtoto yammy like hapa 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Lakini mother in law mwenyewe anazigua...kati yake na msichana wake nani anapaswa kuogea aliyongea...
Hivyo ndivyo mother in law wanaaribu doa za watoto wao kwa kuigilia Mambo yasio wahusu
hahahaaaa niwengi
Yammi you got this❤️📌
Tulio penda verse ya Yammi gonga like tujuan❤❤❤❤
I'm here
Dada ameisha sauti kama beyonce❤❤
Dah hii ngoma ni noma 🎉🎉🎉km umeipenda hii gonga like bc
Hii collabo noma sana🥰Sauti zimeendana MashaAllah...likes kwa wingi bas🤣🤣👏
auya ni angushaka chanson makali sana ✌️✌️
Saaaaaana
❤❤
kama umerudia zaidi ya mara tano gonga like hapa😜😜
❤❤❤ nipitie uku
Mm ndo nimeweka ijirudie tena
Nimeirudia siku nzimaaaa
🎉😊😊😊😊😊😊
Wa Congolese🇨🇩🇨🇩🇨🇩ambao Wana mpenda Barnaba Barnaba nipini likes
😂😂😂
aya
ua-cam.com/video/66Qq6RjxAjI/v-deo.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
Tupo apa
jifunze kuandika
Japo kuchelewa msini nyime like ...kila hatua ishala❤❤
nyimbo nzuri ila vedio mbaya
❤
@@hanamakamba373 nikweli
uje uchukue na kiss na muhogo wa jang'ombe si likes tu
anaogopa kufanya zaid ya hp siunajua mke wake kakimbia@@hanamakamba373
Bongo La Ngoma Huyu Yammi Sio Mtu Mzuri❤ Kabisaaaa
Oyaaa barnaba nakukubali sana nimeisifia nyimbo mpaka nimewachwa mwenzio nipo single Kwa kusifia Ngoma yako
Weuh!!...the lady's voice 🙌👌
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri ❤️🎧
❤
👍👍 @@user-fd2lm5uz8v
Kama unapenda yammi na barnaba wawe wapenzi gonga like twende sawa😂
Makimbo kuja uku usome hiii comment😅😅😅😅😅
Ila Yammi jamani 🥰 anajua mpaka anakera kila ngoma Hana friendly yeye kwake final tu🙌🥰🥰♥️
Naomba like zenu za Kizungu kitamu ya BarnabaClassic 254 Kenya,,, na 255 kwa mandungu zetu na wanadada wetu wa Tanzania kwa hii Ngoma mpya weka hapo like tukisonga.
Kwanini unafurahia kizungu wewe mkenya
Barnaba sio mkeya ni mtanzania
Dude likiwa Kali ni Kali Tu,wapi likes za yammy na barnaba❤
SHIKAMOO ..... .. Barnaba yaan kiukwel tuache unafiki hii ni Ngoma ya mwaka
Kama umekubaliana na mimi kuwa hii ni Bonge la ngoma❤❤❤❤ gonga likes
Ngoma kali imeibwa Kwa utulivu wa hali ya juu kabisa haya ndiyo mambo ninayo yapendaga❤
On fire 🔥 niihh busuu ❤
Bonge la Ngoma barnaba umepitia ki legendary zaidi na huyu mtoto yammi anajua balaa....i can't wait to see it ontop trending soon...
Always proud of you bro man keep up the good work Burnaba classic, wa Kwanza nipeni like zenu jamani 🇲🇼🇲🇼🇲🇼🇲🇼
Hai bro
ua-cam.com/video/DFg8mU1_2E4/v-deo.htmlsi=kj5hCEvUUkNXW04Q
Akitoka alikiba anae fuata kua King ni huyuuuu barnaba na hii collaboration tunapenda iendelee,mana imekua kali kuwai kutokea .❤
acha uongo na mbwembwe bana🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
Nilisema napita mwishowe nimezama...gonga like hapa kama unaupenda huu wimbo.
Walio Tiririka hapa sababu ya Yammy nipe like zenu....Barnaba u the King.
Naomba tu likes zenu kw mara ya kwanza kama unapenda hii NGOMA 🔥 🚬 & 🧯
Ngoma ipo vzr san
ua-cam.com/video/66Qq6RjxAjI/v-deo.htmlsi=R31i56idKbO29Oe1❤
@@meshacksanga5660 ✊
Mopao🎉🎉🎉
@@mariamhamissi4428 🔥
Barnaba wimbo mzur broo upewe maua yako🎉🎉🎉🎉
aliyegundua kuwa mwanetu mopao anapoa sana akiimba ñgeli gonga like hapa twende sawaa...🙌🙌🙌
Bonge la song kaka!! Huyu sasa ndio barnaba ninaemfahamu hii ngoma lazima iende mjini🤝🤝
Kaka umeuwa mnoooo English waaaaaah kutoka uganda🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Mbona picha sio quality au ni tbc ukweli na uhakika
Tuliokuja kujihakikishia kama barnaba anajipakulia minyama tujuane kwa like jamani😂😂❤
Wale wa kuona barnaba akiendelea kushika vitu laini tunyoonye mikono juu yaani bonge la ngoma 🇹🇿
Kweli ngoma nzuri like ❤❤❤
Bonge moja la hit 🔥🔥
Vocals : 💯
Mziki mzuri unajieleza
Yammi ujawayi kuniangusha kwenye utunzi wako sema kama una mukubali yammi gonga like apa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nimesikiliza huu wimbo zaidi ya mara 100❤
Fire fire🔥🔥 nini hiki,mziki mtamu mpaka unausikilizia kwa moyo ebhana eeehh!!!!nasemaje nasemajee ngoma kali sana nani anapinga hilo,🎉🎉 yako chukua #BarnabaFtYammy
HONESTLY BARNABA UMENI SUPRISE NA KIINGEREZA ❤
😂😂😂
Anajua mbona 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Ila master jay alishawahi sema wasanii wanaojua kuimba nimeamini hapaaaaaa❤❤❤
Barnàba never grows old
Noma sana gonga like from Kenya 🇰🇪 huku #barnabas fun
Nimwisikiliza zaidi ya mara tano sijui @barnaba aliwaza nn kuimba Kwa kizungu haki amenikosha mbaya na ukizingatia vina vimekaa mahala paka @yammi🎉🎉🙌🙌
ua-cam.com/video/DFg8mU1_2E4/v-deo.htmlsi=kj5hCEvUUkNXW04Q
Naona Ndoa ya Barnaba linaenda kuvunjika make wamepewa ya moto 🔥 Yammi
Let us make it number one on trending
Proud to be East African! Great work from Tz!
Nani mwengine 😂 amekuja kuona kiunj Cha Yammy kinacho mpa waswas mke wa barnaba 😂😂😂love from kenya 🇸🇦🇰🇪❤️❤️❤️like apa km wakubali hii song
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyimbo inavideo ngap
i love this combo,,you guys should do more of this❤️
Ngoma mpya tamu..piga kazi. Mke atakuelewa. maana ndo fani yako Barnaba Mungu akupe uzima wa milele
Uyu yammi wasipo muangalia vizuri wakina zuchu sijui, mtoto anaimba kama hataki Yani lkn napagawa dadek😇, Barnard always ni fundi🎉
Angepata uongozi imara wa kumpush kama Ilivyo zuchu,,Alikuwa internationaly levels
Barnaba unajua daah
Kama hii ngoma inakukosha nipe like usiwe mchoyo
kwani umeimba ww🤪🤪
We ndo umetunga au
Ni kama ww ndo umeimba😂😂😂
Tuache wivu 😂😂😂
Barbara is so talented he dominate the whole song
Ur verse is killing me barnaba❤
Congratulations broo hii collaboration ni nzuri sana an nikitaman sana kumsikia hichi kitu coz mnaendana sana kwenye mzki
Wangapi tume kuja hapa kuangalia barnaba ana vyoshika kiuono like hapa😂
MBNA sjaona kamshika kumbe zile n picha Tu za kuchangamsha views huku yutube😂
Haki ya MUNGU wallah tumepigwa na kitu kizito,kila nikisubiri hiyoo chupi kuiona siioni mpaka mziki umeisha
Khaa mmetuweka busy 😂
😂😂
Barnaba you did it again!!! 💖💯💯💖😍
Goma kali sana barnaba fanya promo zakutosha media tour ii goma litaenda sana 🔥🙌
Kama uko nami 🇨🇩❤️
Give me those like jamani na mpite kwangu,...🙏😍nawapenda
Haka kabint kanaimba sana sweet Melody 🔥hapa kweli mmefanya japo kwako nimezama sijui mbele malizieni
Barnaba chorus yako imeniharibia whoofer❤❤❤❤iko 🔥🔥💯💯💯🇰🇪
Tanzania unyama mwingi ❤
Barnaba will be dripping when he gets inside 😜😜 such a banger 🔥🔥🔥
Wuueh kazi nzuri from 254 ❤❤❤
Wapi wale Qatar, Saudi, Oman, Dubai nawanangu wa Canada hebu gongeni like ❤❤ nyimbo ni🔥🔥🫡🫡
Tupoooo
From USA amani ipo kweli kabisa nime shiba
Ningeshangaa,!! Nyimbo ivunje ndoa ishindwe kuvunja trending🔥🔥
Talk to me boy kamanaota tu anishiakilini ❤🔥🔥🔥🔥
Wimbo bora sana wa mapenzi kazi nzuri sana.
Always lit 🔥 my fvrt artist ❤ uhalisi wa nyimbo 🔥 📛 the feelings so high ❤yammy yummy 😋 😍
Uyu yamii kumbe fundi alaaaaah nilikuwa nachukia kama zuchu kumbe huyu kiboko😮
Piga ngoma kwanz Kaka Mapenzi Emergency 👏👏👏
Aka toto yammi kumbe kana juwa ❤naka penda ❤
Here from Uganda 🇺🇬. I love the song to the extent I translated line by line thanks to the subtitles. 👌🏽 Nibusu 😘😘😅
Barnaba hajawahi kukosea hizi ngoma 🙌🙌
Huu wimbo mtamu haki ntafia madina❤
Mopao kuna ujumbe wako kutoka kwa mama mkwe wako.......!
😂😂😂😂😂
Asimpangie kazi mkwe wake lishangax lake litalala njaa
Claassic.. barnaba best of the best.. fundi mjuaji asie na sifa wala kiburi.. damn this guy🎉
Barnaba the king of rythm
Gig love from Congo 🇨🇩
Unajua mpaka unajua tena 🤗tukupe tu maua yako 🌺🌺🌺
Mziki umeongea,,,much respect burnaba
The sweetest song right now in my heart❤ God bless my brother, yu true to this this
Unyama ni mwingi sana bro hi ngoma kali sana 🔥 💯
Hapa mke wako lazima awe na wivu bonge la vibes 🎉🎉🎉Mzee baba 😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Tanzania yangu barikiwa
Msanii wa moyo wangu Asante kwa kazi nzuri.
Tuseme ukweli yammy anajua kuimba jamani❤
Ukute zote zile zilikua Kiki Ili nyimbo tuje kuangalia kwa wingi .. big up
Mmetisha Yammitz mwenye sauti yake bongo ❤
Yammi to the world 🌎❤
254 well represented, verse one❤❤❤❤
Ujawai aribu mopao kaka Mutu ya watu❤
Barnaba ni fundi sana, nilisema napita mwisho nimezama mazima.
Iko 🔥🔥🔥
AKA BACHUCHU MOMBASA 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ngoma tunayo na tuna tamba nayo😃😄🔥🔥🔥🔥😍
😂😂
@@rechalmshana1293 usicheke 😂🤣
@@rechalmshana1293 usicheke 😂🤣
Wabongo jamanii🔥🔥❤❤more love and support from Kenya 🇰🇪 ❤
njoo..tz tufanyee ngoma yetu
daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah , mopao , hii ngoma nzito xn aseeee
ngoma kali kiongoz❤i imefika adi tulipo Mozambique 🔥🔥
Kamaaa umeikubalii like
Barnaba wewe ni jini...unaweza kufanya hata Bubu asiyejua kuimba aonekane star...10/10
Unauhakika kwa unacho sema 🧏yammi sio wasawa Yako bwana 😊uliza banaemjua👂
@@MukandoriChella sasa hauoni Yammy kabebwa hapo au hata muziki mzuri haujui?