XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024
  • XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

КОМЕНТАРІ • 191

  • @FatmaMohammad-tm9cd
    @FatmaMohammad-tm9cd 5 місяців тому +1

    Barnaba mzuri ana heshima sana charming face always

  • @صالحالصوافي-غ5و
    @صالحالصوافي-غ5و 5 місяців тому +8

    Pia mama kimbo hana adabu mutu mzima unamwambia mukwe hana adabu kweri barnaba mupole wallah

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 5 місяців тому

      Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 5 місяців тому +10

    Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 5 місяців тому +1

      Sawa lakini huyu mama nae anawezaje kuliongelea hili mitandaoni aache kuongea hivyo kwanini wasingeongea nyumbani hata kama amekosea hii siyo sawa

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 5 місяців тому +2

      Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge

    • @NasraMudi
      @NasraMudi 5 місяців тому

      Kabisaa iyooo imeendaaaaaaaa😅😂😂😂

    • @NasraMudi
      @NasraMudi 5 місяців тому

      ​@@taseleli9181jamani mam mkwe nae anawivu piya duuh

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 5 місяців тому

      Hata huyo mkeo anakaaga uchi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 5 місяців тому +8

    Muacheni aoe mwingine hiyo familia wanachonga sana bora hajapanda mbegu oa mwingine wanawake tunaokubali kazi zako tuoe khaa

  • @NajmaMaawiya
    @NajmaMaawiya 5 місяців тому

    Mwanifurahisha wallahi mazugumzo yenu ❤😂

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 5 місяців тому +2

    Barnaba utaumiya iyo family watakupelekesha paka utaingiza hakili mama mkwe hana shahuri nzuri kwa mwanaye bro utaumiya

  • @SakinaWanjemu
    @SakinaWanjemu 5 місяців тому

    Barnaba anampenda mkewe namke yuko sahihi anatetea ndoa yake chamsingi wamalizetu tofauti zao mungu atasadia watakuwa pamoja ndoa yake

  • @veredianavitalisi5785
    @veredianavitalisi5785 5 місяців тому

    Umejizalilisha sana bro barinaba daa nilikua nakuelewa sana

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 5 місяців тому +1

    Mama kimbo kaa kwa utuo Mo kashaseme yy muislam mke wa pili sooooooooon aja

  • @barineokech1196
    @barineokech1196 5 місяців тому +12

    Barnaba ameuwa kwa huu wimbo hapa hata hile ya mondi haifiki tue wakweli.

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 5 місяців тому +1

    Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.

  • @SalmaSelemani-o9b
    @SalmaSelemani-o9b 5 місяців тому +4

    balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 5 місяців тому +1

      Mapenzi haywezi kumsuperseed Mungu

  • @NajmaMaawiya
    @NajmaMaawiya 5 місяців тому

    Hebu sema kweli mtoto amekugusa😂😂😂😂

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 5 місяців тому +3

    Achanae mkeo chula ana maajabuu adii mama mkwee utumboo

  • @despinadamian8693
    @despinadamian8693 5 місяців тому +2

    Yani hapo mama mkwe na mke wote hawako sawa mambo gani ndoa ya mtu inaongelewa kwenye mitandao kama sijui kitu gani, mama anamuharibu mwanae

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 5 місяців тому +7

    Nikweli anavyo sema km mtu umempenda lazima wivu uumiye km mwanamke hakuulizi ukae wiki nje halafu hakuulizi hpo kuna namna

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh 5 місяців тому +5

    Mama wakwe wengine bana barnaba kayatimba😂😂😂

  • @SaraKimati
    @SaraKimati 5 місяців тому

    Sameheaneni maisha yaendelee mi nitafurahi sana kuona mmerudiana kosa sio kosa kosa kurudia kosa

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 5 місяців тому +2

    Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia
    Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 5 місяців тому +1

    Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu

  • @saidadam6731
    @saidadam6731 5 місяців тому

    Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki

  • @BeliBeli-n9h
    @BeliBeli-n9h 5 місяців тому

    Kwanza unaendana Na yammy kwani nisiri😂😂😂😂😂😂

  • @Vokali02
    @Vokali02 5 місяців тому +5

    Kizaz sana

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 5 місяців тому

    🤣 🤣 🤣 Mama kimbo😅😅😅

  • @HumphreykirutuKirutu
    @HumphreykirutuKirutu 5 місяців тому +1

    Barnaba ni mjinga sana

  • @PendoSilayo-ri4wg
    @PendoSilayo-ri4wg 5 місяців тому

    Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 5 місяців тому

    Bora asingevaaa 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @RoseCharz-q8u
    @RoseCharz-q8u 5 місяців тому

    Wasikuzingue muddy unasautiii

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 5 місяців тому

    Looooooooh mama mkwe akutukane pole weeee

  • @MendradNyimbi
    @MendradNyimbi 5 місяців тому

    Kaz ni Kaz mapenz kazin ni masihar bos watu wanawkeza mam

  • @Pendomamafay
    @Pendomamafay 5 місяців тому +1

    mama kasimamisha mishipa ya shingo kama vile barnaba ni mumewe 😮jamani

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 5 місяців тому

    Barnaba kayakanyaga hapa ila aliyataka mwenyewe Bora ungebaki kwenye dini yako

  • @Muna-t7m
    @Muna-t7m 5 місяців тому

    Banaba.🎉🎉🎉.yupo.vizur

  • @ChristinaKayela
    @ChristinaKayela 5 місяців тому

    Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 5 місяців тому

    Life ya Nandy na Bill itakuwa poa sana❤😊

  • @Nicelovetz
    @Nicelovetz 5 місяців тому

    Barnaba umenichekesha sana

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 5 місяців тому

    No comment!!

  • @OweniEdward
    @OweniEdward 5 місяців тому

    Unyama mwingi barnaba nakukubari brother

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 5 місяців тому

      Unamkubalia nini hajui kuimba anaimba kama analia😁😁😁😁 saiv ndio kaona aje na kiki ya kushika nyonga na vichupi, hamna kitu muhuni tu wa mjini

  • @FaizahAbdallah
    @FaizahAbdallah 4 місяці тому

    Kwalichokifanya sahii au

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 5 місяців тому

    Ila kiukweli hatujapenda barnaba kubadili dili huo ni ukweli maana mwanamke anampelekesha kuliko hata 😢

  • @AggyMusoma-wb2kn
    @AggyMusoma-wb2kn 5 місяців тому

    Barnaba kayatimbaaa mama mkwe anabeba mpaka na wadogooo Zake na mwanaumeee duuuuh mama mkweeeee hatariiii uyu

    • @vannie-gggg
      @vannie-gggg 5 місяців тому

      Ni mjanja hataki binti aachwe wanatishia tu

  • @reveliancyprzacharia6967
    @reveliancyprzacharia6967 5 місяців тому

    Ila adamu akili zake et bora hasingekuwa nayo nguo ya ndan😂😂😂😂

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 5 місяців тому

    Banarba huyo mama keshapiga hodi kwako muonja chumvi haonji mara moja sasa subiria yajayo utasikia utamu wake 😂😂😂😂

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 5 місяців тому

    Ndio muziki Wa kisasa sasa aje kuimba na Dera

  • @EsterEmanueljelly
    @EsterEmanueljelly 5 місяців тому

    Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 5 місяців тому

      Kubadili dini sio tatizo unajuaje kama angebaki upande ule ule
      haya yasingetokea.

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 5 місяців тому

    😂😂😂aaah uyo mamkwe mnafki angekua yy angekubal acjishaue bureee yaaan km mie ndo Barnaba cmrejei uyo mwanamke 😂😂😂si kaondoka mwnyw kwake

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 5 місяців тому +1

    Akalazimishwa na kubadiri dini mama kimbo waache watoto wapendane

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 5 місяців тому

    Unite kitanzi kisa mwanamme ulizaliwanae acha uzi bwana

  • @levinatharwekenya5202
    @levinatharwekenya5202 5 місяців тому +2

    Yaan mchonvu bwana unanifanya nafurahi sana interview zako kaka

  • @KhadijaMasoud-m6u
    @KhadijaMasoud-m6u 5 місяців тому

    Yupo uchi kweli yammi hana adabu kawa malaya ile chupi tu tn km bigin

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 5 місяців тому

    Adamu unasuluhisha au unachongea?

  • @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh
    @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh 5 місяців тому

    Ukikataa shika viuno maana una a a maxi jee pesa itakuja aje?

  • @AnjelinaWilliam-o7y
    @AnjelinaWilliam-o7y 5 місяців тому

    🔥🔥🔥barnaba

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 5 місяців тому

    Barnaba jubadilisha dini sio kwasababu ya mwanamke bali nikwasababu kaijua haki na kaijua Dini ya kweli na mungu wakweli na wakurudiwa kwahaki bila kushirikishwa na kiumbe chocolate mungu ambae hakuzaa Wala kuzaliwa Hana mwana wala mjomba yeyetu ndio alie umba mbingu na aridhi

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 5 місяців тому

      Kaijua haki wapi ni mwanamke na vile mtanga kidogo apo kilihusika

    • @lilywei2967
      @lilywei2967 5 місяців тому

      Kwani Dini nyingine hazina mungu wa kweli 😢

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 5 місяців тому +1

    Rudi kundini, Yesu anakuita.

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 5 місяців тому

    Mmmhh ndoa za wasanii ni kama maigizo tu" mama mkwe mwenyewe mmh" kwani kushika kiuno ndo kafanyeje!?

  • @kamalibakari4263
    @kamalibakari4263 5 місяців тому

    Adam wewe mimi nakuamini sana mshauri dogo mo huyo mwanamke siyo sahihi kwake ni mtungi wa ges huwo

  • @EliudMagoma-i6v
    @EliudMagoma-i6v 5 місяців тому +28

    Ningekuwa Barnaba asee nisingemrudisha binti yake na huyo mama moja kwa moja mm ningetoa talaka maana ushenzi mwingine ni upuuzi kwani huyo mke wake na huyo Barnaba hajui kazi ya mume wake?

    • @sisifaty9183
      @sisifaty9183 5 місяців тому +5

      Ndio maana ukienda kuowa angaliya tabiya za wakwao .uyu kijana alijidabganya kabisa sababu anaadqbusana.mama mkwe wala hana dini kabisa .ila namuomba Barnaba usiache uislam

    • @mwajumsleman9070
      @mwajumsleman9070 5 місяців тому +1

      Umeona eeeeh

    • @hamidamadaya724
      @hamidamadaya724 5 місяців тому +2

      We unamawazo kama yangu yani alivyoondoka talaka ingemfata

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 5 місяців тому +2

      Naacha huyo mwanamke Ili ajifunze yeye na mama yake

    • @Narubega-ql3dz
      @Narubega-ql3dz 5 місяців тому +1

      Kwa sababu hujitambui

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 5 місяців тому

    Sunaaaaaa! Mtumeeeee!!!!

  • @RizyAbel
    @RizyAbel 5 місяців тому +1

    Mchomvu kamchamba kizungu

  • @NajmaMaawiya
    @NajmaMaawiya 5 місяців тому

    😂😂😂😂

  • @AishaAli-d7t
    @AishaAli-d7t 5 місяців тому

    Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 місяців тому +1

    Wakikata owa mke mwengine

  • @irenemalunda1804
    @irenemalunda1804 5 місяців тому

    Aje kwangu, mie nipo kwaajili ake

  • @JuliethMwanga-ut8lc
    @JuliethMwanga-ut8lc 5 місяців тому

    Ilaaa nyiee Barnabas nzuriii SNA tnaa akichekaa huuu

  • @giningionlineTv
    @giningionlineTv 5 місяців тому

    Muonekano wake tu unatosha kudhihirisha kuwa ni muhuni sana, na wala hakuna kusilimu kitu hapo amefata PAPA tu na maslahi yake mengine

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 5 місяців тому

    Barnaba usiende kuomba msamah tafta mke mwingn weka ndani huyo mama kimbo akome

  • @Lulucut
    @Lulucut 5 місяців тому +4

    Waongo nyoko hao wana promote wimbo na mama mkwe anamsaport

  • @Mlilapi
    @Mlilapi 5 місяців тому

    Kwahiyo nandy aliiibiwa 😂😂😂😂😂😂

  • @omanmct135
    @omanmct135 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 5 місяців тому

    Adamuu, mchokozi sanaaaaa!😅

  • @ruthchaz4536
    @ruthchaz4536 5 місяців тому

    😂😂

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi 5 місяців тому +3

    Barnaba umefeli nilikuwa nakukubali ila sasa umebadilika unabadili dini umeacha ukristo umepotea

    • @KhadijaMasoud-m6u
      @KhadijaMasoud-m6u 5 місяців тому +1

      Kapotea kubadili dini Kwa hiyo dini yetu inapoteza au tabiya ya Mtu ww vp umepotea ww naona kwani dini si dini tu huo ubaguzi wk na ubinapsi

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 5 місяців тому

      Dini sio shida shida ni matendo

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 5 місяців тому +1

    Ila Adam mchovu MTu na nusu😅😅😅😅

  • @NiyogushimaOscar-rd6ur
    @NiyogushimaOscar-rd6ur 5 місяців тому

    Barnaba nadhani amelogwa kabisa Mimi ningemuachia binti yake nikaoa mwingine

  • @Rahima-v5j
    @Rahima-v5j 5 місяців тому

    Mama Kimbo wala ana shida

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 5 місяців тому

    Hivi huyu kijana ana akili sasa anajiua kwa Sababu ya mwanamke 😂😂😂😂 duuh pole sana haya tangulia kaka

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 5 місяців тому

    Mama mkwe anazidisha ogovi raya hajakasirika kaona ni kazi why wewe nikupatanisha suo kugombanisha

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 5 місяців тому +1

    We barnaba oa mke anaekuelwa huyo hamfiki mbali

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 5 місяців тому

    Afute nini hiyo nikazi afute nini sasa

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 5 місяців тому

    Barnabas angemuoa tu na huyo mkwe wake tukajua 1

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 5 місяців тому

    Kwahiyo hakujua Kama mkwewe ni msanii??!!huyu mama jamani hao cwanae,kwann akubali kuongea hayo kwenye kipindi,makubwa jongo,hiyo sio biashara tena hakuna MZIKI hapo,kupangiana Tena??!!kiuno ndio kimemuuma aisee,akiangalia mwanae kiuno chake hakifanani na kile 🤣🤣hasiraaaa

  • @Mlilapi
    @Mlilapi 5 місяців тому

    Barnaba ajifunze kwa Mr Blue maana sijawahi kumuona babylon busy anafanya ujinga wa aina hiyo maana na blue naye ameowa

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 5 місяців тому

    Yamy ndo hajitambui hapo

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 5 місяців тому

    Barnaba rudi kwa mkeo achanana watu

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 5 місяців тому

    Uyo yammy ndo uvaaaji wake achen povuuuu

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif5229 5 місяців тому

    Kwani hakujua kama anaolewa na msanii? Raya amempa sana nafasi mama yake, kama hawataki maskendo waelewe na walimu 😅😅

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 5 місяців тому

    Sawa mamamkwe uchungu WA nini.

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 5 місяців тому

    Usifanye hivyo ni dhambi lkn mama kimbo yuwamuoneya

  • @olewakoukirudinyumbanituta9606
    @olewakoukirudinyumbanituta9606 5 місяців тому

    Kumbe barnaba unakuaga lofa ujitie kitanzi acha ufala Yammi pia wakike huyo

    • @AshuuuBakari
      @AshuuuBakari 5 місяців тому

      Mimi nimemuelewa hakumaanisha kujinyonga kamaanisha ataoa mwingine

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 5 місяців тому +3

    Kwanza Barnaba kalogwa huyu, yaani kawekwa kwenye chupa

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 5 місяців тому

    Eti bora asingevaa nguo ya ndani! Mweeeeee!! Adamu

  • @vanjizzle122
    @vanjizzle122 5 місяців тому +5

    Kama umegundua Barnaba Ni Comedian sanaaa Nipe like Zangu😅

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 5 місяців тому

    Muziki wa kitanzania upo kisenge kisenge yani serikali utazani ndio wenye muziki ... Kumamake yani kama mimi ndio Barnabas naacha yule mke kabisa aendelee kukaa kwa mama yake ni usenge tu ... Wacheni muziki uongee

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 5 місяців тому +2

    Mchomvu unaakili sana

  • @EagerOrangeJuice-uu2ne
    @EagerOrangeJuice-uu2ne 5 місяців тому

    Sawa unajua kaka mana ya mapenzi

  • @RuthCharles-u4j
    @RuthCharles-u4j 5 місяців тому

    Lakn yummy nae jamn lile vazi jmn embu muelekezen jmn yan eeh sijui lkn kwayeye amejisikiaje

  • @HIDAYASAID-ue1df
    @HIDAYASAID-ue1df 5 місяців тому

    Doh kwel hii kiki nimegundua

  • @milkaaloyce197
    @milkaaloyce197 5 місяців тому

    Barnaba kwani hukuwaona kina Jack

  • @dominickmfoi8486
    @dominickmfoi8486 5 місяців тому

    Huyu kijana amaeamua kujiharibu