Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭
Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke
Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge
Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.
balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen
Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari
Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu
Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki
Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini
Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani
Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole
Barnaba jubadilisha dini sio kwasababu ya mwanamke bali nikwasababu kaijua haki na kaijua Dini ya kweli na mungu wakweli na wakurudiwa kwahaki bila kushirikishwa na kiumbe chocolate mungu ambae hakuzaa Wala kuzaliwa Hana mwana wala mjomba yeyetu ndio alie umba mbingu na aridhi
Ningekuwa Barnaba asee nisingemrudisha binti yake na huyo mama moja kwa moja mm ningetoa talaka maana ushenzi mwingine ni upuuzi kwani huyo mke wake na huyo Barnaba hajui kazi ya mume wake?
Ndio maana ukienda kuowa angaliya tabiya za wakwao .uyu kijana alijidabganya kabisa sababu anaadqbusana.mama mkwe wala hana dini kabisa .ila namuomba Barnaba usiache uislam
Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako
Kwahiyo hakujua Kama mkwewe ni msanii??!!huyu mama jamani hao cwanae,kwann akubali kuongea hayo kwenye kipindi,makubwa jongo,hiyo sio biashara tena hakuna MZIKI hapo,kupangiana Tena??!!kiuno ndio kimemuuma aisee,akiangalia mwanae kiuno chake hakifanani na kile 🤣🤣hasiraaaa
Muziki wa kitanzania upo kisenge kisenge yani serikali utazani ndio wenye muziki ... Kumamake yani kama mimi ndio Barnabas naacha yule mke kabisa aendelee kukaa kwa mama yake ni usenge tu ... Wacheni muziki uongee
Barnaba mzuri ana heshima sana charming face always
Pia mama kimbo hana adabu mutu mzima unamwambia mukwe hana adabu kweri barnaba mupole wallah
Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭
Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke
Sawa lakini huyu mama nae anawezaje kuliongelea hili mitandaoni aache kuongea hivyo kwanini wasingeongea nyumbani hata kama amekosea hii siyo sawa
Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge
Kabisaa iyooo imeendaaaaaaaa😅😂😂😂
@@taseleli9181jamani mam mkwe nae anawivu piya duuh
Hata huyo mkeo anakaaga uchi
Muacheni aoe mwingine hiyo familia wanachonga sana bora hajapanda mbegu oa mwingine wanawake tunaokubali kazi zako tuoe khaa
😂😂😂 akuje tu
Hahahah
Mama mkwe hamtaki barnaba
Mwanifurahisha wallahi mazugumzo yenu ❤😂
Barnaba utaumiya iyo family watakupelekesha paka utaingiza hakili mama mkwe hana shahuri nzuri kwa mwanaye bro utaumiya
Barnaba anampenda mkewe namke yuko sahihi anatetea ndoa yake chamsingi wamalizetu tofauti zao mungu atasadia watakuwa pamoja ndoa yake
Umejizalilisha sana bro barinaba daa nilikua nakuelewa sana
Mama kimbo kaa kwa utuo Mo kashaseme yy muislam mke wa pili sooooooooon aja
Barnaba ameuwa kwa huu wimbo hapa hata hile ya mondi haifiki tue wakweli.
Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.
balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen
Mapenzi haywezi kumsuperseed Mungu
Hebu sema kweli mtoto amekugusa😂😂😂😂
Achanae mkeo chula ana maajabuu adii mama mkwee utumboo
Yani hapo mama mkwe na mke wote hawako sawa mambo gani ndoa ya mtu inaongelewa kwenye mitandao kama sijui kitu gani, mama anamuharibu mwanae
Nikweli anavyo sema km mtu umempenda lazima wivu uumiye km mwanamke hakuulizi ukae wiki nje halafu hakuulizi hpo kuna namna
Sio kweli
Mama wakwe wengine bana barnaba kayatimba😂😂😂
Sameheaneni maisha yaendelee mi nitafurahi sana kuona mmerudiana kosa sio kosa kosa kurudia kosa
Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia
Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari
Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu
Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki
Kwanza unaendana Na yammy kwani nisiri😂😂😂😂😂😂
Kizaz sana
🤣 🤣 🤣 Mama kimbo😅😅😅
Barnaba ni mjinga sana
Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini
Bora asingevaaa 😂😂😂🙌🙌🙌
Wasikuzingue muddy unasautiii
Looooooooh mama mkwe akutukane pole weeee
Kaz ni Kaz mapenz kazin ni masihar bos watu wanawkeza mam
mama kasimamisha mishipa ya shingo kama vile barnaba ni mumewe 😮jamani
Barnaba kayakanyaga hapa ila aliyataka mwenyewe Bora ungebaki kwenye dini yako
Banaba.🎉🎉🎉.yupo.vizur
Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani
Life ya Nandy na Bill itakuwa poa sana❤😊
Barnaba umenichekesha sana
No comment!!
Unyama mwingi barnaba nakukubari brother
Unamkubalia nini hajui kuimba anaimba kama analia😁😁😁😁 saiv ndio kaona aje na kiki ya kushika nyonga na vichupi, hamna kitu muhuni tu wa mjini
Kwalichokifanya sahii au
Ila kiukweli hatujapenda barnaba kubadili dili huo ni ukweli maana mwanamke anampelekesha kuliko hata 😢
Barnaba kayatimbaaa mama mkwe anabeba mpaka na wadogooo Zake na mwanaumeee duuuuh mama mkweeeee hatariiii uyu
Ni mjanja hataki binti aachwe wanatishia tu
Ila adamu akili zake et bora hasingekuwa nayo nguo ya ndan😂😂😂😂
Banarba huyo mama keshapiga hodi kwako muonja chumvi haonji mara moja sasa subiria yajayo utasikia utamu wake 😂😂😂😂
Ndio muziki Wa kisasa sasa aje kuimba na Dera
Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole
Kubadili dini sio tatizo unajuaje kama angebaki upande ule ule
haya yasingetokea.
😂😂😂aaah uyo mamkwe mnafki angekua yy angekubal acjishaue bureee yaaan km mie ndo Barnaba cmrejei uyo mwanamke 😂😂😂si kaondoka mwnyw kwake
Akalazimishwa na kubadiri dini mama kimbo waache watoto wapendane
Unite kitanzi kisa mwanamme ulizaliwanae acha uzi bwana
Yaan mchonvu bwana unanifanya nafurahi sana interview zako kaka
Yupo uchi kweli yammi hana adabu kawa malaya ile chupi tu tn km bigin
Adamu unasuluhisha au unachongea?
Ukikataa shika viuno maana una a a maxi jee pesa itakuja aje?
🔥🔥🔥barnaba
Barnaba jubadilisha dini sio kwasababu ya mwanamke bali nikwasababu kaijua haki na kaijua Dini ya kweli na mungu wakweli na wakurudiwa kwahaki bila kushirikishwa na kiumbe chocolate mungu ambae hakuzaa Wala kuzaliwa Hana mwana wala mjomba yeyetu ndio alie umba mbingu na aridhi
Kaijua haki wapi ni mwanamke na vile mtanga kidogo apo kilihusika
Kwani Dini nyingine hazina mungu wa kweli 😢
Rudi kundini, Yesu anakuita.
Mmmhh ndoa za wasanii ni kama maigizo tu" mama mkwe mwenyewe mmh" kwani kushika kiuno ndo kafanyeje!?
Adam wewe mimi nakuamini sana mshauri dogo mo huyo mwanamke siyo sahihi kwake ni mtungi wa ges huwo
Ningekuwa Barnaba asee nisingemrudisha binti yake na huyo mama moja kwa moja mm ningetoa talaka maana ushenzi mwingine ni upuuzi kwani huyo mke wake na huyo Barnaba hajui kazi ya mume wake?
Ndio maana ukienda kuowa angaliya tabiya za wakwao .uyu kijana alijidabganya kabisa sababu anaadqbusana.mama mkwe wala hana dini kabisa .ila namuomba Barnaba usiache uislam
Umeona eeeeh
We unamawazo kama yangu yani alivyoondoka talaka ingemfata
Naacha huyo mwanamke Ili ajifunze yeye na mama yake
Kwa sababu hujitambui
Sunaaaaaa! Mtumeeeee!!!!
Mchomvu kamchamba kizungu
Kabisaaa kachambwa kizunguuu❤😅
😂😂😂😂
Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako
Wakikata owa mke mwengine
Aje kwangu, mie nipo kwaajili ake
Ilaaa nyiee Barnabas nzuriii SNA tnaa akichekaa huuu
Muonekano wake tu unatosha kudhihirisha kuwa ni muhuni sana, na wala hakuna kusilimu kitu hapo amefata PAPA tu na maslahi yake mengine
Barnaba usiende kuomba msamah tafta mke mwingn weka ndani huyo mama kimbo akome
Waongo nyoko hao wana promote wimbo na mama mkwe anamsaport
Usikute raya yupo kwakeanatuchora tu😂😂😂
Kiki 5tttuuu
Unaakili kama zangu
Kwahiyo nandy aliiibiwa 😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Adamuu, mchokozi sanaaaaa!😅
😂😂
Barnaba umefeli nilikuwa nakukubali ila sasa umebadilika unabadili dini umeacha ukristo umepotea
Kapotea kubadili dini Kwa hiyo dini yetu inapoteza au tabiya ya Mtu ww vp umepotea ww naona kwani dini si dini tu huo ubaguzi wk na ubinapsi
Dini sio shida shida ni matendo
Ila Adam mchovu MTu na nusu😅😅😅😅
Barnaba nadhani amelogwa kabisa Mimi ningemuachia binti yake nikaoa mwingine
Mama Kimbo wala ana shida
Hivi huyu kijana ana akili sasa anajiua kwa Sababu ya mwanamke 😂😂😂😂 duuh pole sana haya tangulia kaka
Mama mkwe anazidisha ogovi raya hajakasirika kaona ni kazi why wewe nikupatanisha suo kugombanisha
We barnaba oa mke anaekuelwa huyo hamfiki mbali
Afute nini hiyo nikazi afute nini sasa
Barnabas angemuoa tu na huyo mkwe wake tukajua 1
Kwahiyo hakujua Kama mkwewe ni msanii??!!huyu mama jamani hao cwanae,kwann akubali kuongea hayo kwenye kipindi,makubwa jongo,hiyo sio biashara tena hakuna MZIKI hapo,kupangiana Tena??!!kiuno ndio kimemuuma aisee,akiangalia mwanae kiuno chake hakifanani na kile 🤣🤣hasiraaaa
Barnaba ajifunze kwa Mr Blue maana sijawahi kumuona babylon busy anafanya ujinga wa aina hiyo maana na blue naye ameowa
Yamy ndo hajitambui hapo
Barnaba rudi kwa mkeo achanana watu
Uyo yammy ndo uvaaaji wake achen povuuuu
Kwani hakujua kama anaolewa na msanii? Raya amempa sana nafasi mama yake, kama hawataki maskendo waelewe na walimu 😅😅
Sawa mamamkwe uchungu WA nini.
Usifanye hivyo ni dhambi lkn mama kimbo yuwamuoneya
Kumbe barnaba unakuaga lofa ujitie kitanzi acha ufala Yammi pia wakike huyo
Mimi nimemuelewa hakumaanisha kujinyonga kamaanisha ataoa mwingine
Kwanza Barnaba kalogwa huyu, yaani kawekwa kwenye chupa
Eti bora asingevaa nguo ya ndani! Mweeeeee!! Adamu
Kama umegundua Barnaba Ni Comedian sanaaa Nipe like Zangu😅
Muziki wa kitanzania upo kisenge kisenge yani serikali utazani ndio wenye muziki ... Kumamake yani kama mimi ndio Barnabas naacha yule mke kabisa aendelee kukaa kwa mama yake ni usenge tu ... Wacheni muziki uongee
❤❤❤❤
Mchomvu unaakili sana
Sawa unajua kaka mana ya mapenzi
Lakn yummy nae jamn lile vazi jmn embu muelekezen jmn yan eeh sijui lkn kwayeye amejisikiaje
Doh kwel hii kiki nimegundua
Barnaba kwani hukuwaona kina Jack
Huyu kijana amaeamua kujiharibu