NEY WA MITEGO AFUNGUKA CHANZO CHA KUTOKUWA KARIBU NA DIAMOND/ AWEKA MAMBO WAZI/ SITAKI TEAM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 чер 2024
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
  • Навчання та стиль

КОМЕНТАРІ • 16

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505 14 днів тому +1

    Sema hawa madogo wana Talent wanaweza kuziba mapengo ya wakina Dullah! Wana great Pottential! All the best

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c 16 днів тому +2

    Hio nyimbo walipga fresh ,yaan wakirud pamja kwa mtindo huo ,watafika mbali sana Zaid walipo Sasa na watakosha mashabiki wengi

  • @AlfroLyd
    @AlfroLyd 17 днів тому +3

    Chemistry ya DIAMOND PLATINUMZ Na NEY ilikuwa Kali Sana Na wakirudi Tena pamoja ineza kuwa fresh Sana sababu NEY Kweli ana kipaji kweli

  • @manp9091
    @manp9091 18 днів тому +7

    Patamu apo waachie mawe ayo

  • @osmankhoke254
    @osmankhoke254 16 днів тому +1

    Duu Richie ako na sauty ya utangazji na vibe kwa snaa 2

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 18 днів тому +2

    Ww dogo ambae upo km anchor, unashida gan na vivanja vyako, hutuliagi, pekechapekecha muda woote, nilikuona kuanzia kwenye interview ya

  • @Official_bizedd
    @Official_bizedd 17 днів тому +1

    Mala bange mala matusi sa ndo mziki ganiu
    Hi ni hip,hoo nanananan malafiki wa nyumban
    Daah collabo nzuri sana rudin tena ila sasa mond kuna ka msitar
    Kwamba hiyo michezo yenu ya kutoboa pua chaajabu yee ndo katoboa.

  • @Jumamussa.-gm1eo
    @Jumamussa.-gm1eo 16 днів тому +1

    We mwamba unaongeaga vibaya afu mjuaji sana na nguo zako nyeusii

  • @MonarqueMso-YaJr370
    @MonarqueMso-YaJr370 18 днів тому +1

    Hm!!😮

  • @natanaelsantos5286
    @natanaelsantos5286 18 днів тому +4

    COMEÇAM LOGOO

  • @officialhansi4462
    @officialhansi4462 18 днів тому +2

    😅

  • @anolddavid2585
    @anolddavid2585 17 днів тому +1

    week nzima mnamuongoloea Diamond, kwel mond ni staa aisee

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 17 днів тому

      Kwani wee ndo unajua leo kuwa Mond ni staa au kipindi chote hicho ulikuwa kuzimu nn

    • @daylight1707
      @daylight1707 17 днів тому

      😂😂😂😂​ Tobaa@@IbniAbbas-yz3kt