Almaroohumu Maalim Seif Shaif bin Hamadi ni weapon...Huwezi kumfananisha hata Julia's Kambarage Nyerere na Maalim...Ali Hassan Mwinyi aliwaambia CCM wasije wakaa kwenye meza moja na Maalim wakafanya nae mazungumzo watamfuata kile anacho taka yeye okay¿thanks
Mungu amueke atuongoze kwenye njia ya haki na ukweli
Hatafuni maneno yakhe
Pambana baba tunakuombea Dua Kila siku inshallah Allah sw atakulinda tunakupenda sana kwa ajili ya Allah sw
Talent parson from pba
Allah amlinde mtetezi wetu
Kichwa hicho mashallah
Great sir
Mh Rais mh Osthman Masoud Osthman
Kiukweli OMO ni kiongozi wa kipekee ni kiongoz na nusu ni mtu mweled mtaratibu ni mzalendo wa kweki kweli
🤔Ushabiki tuweke kando Othman Masoud ni mzoefu na msemaji mzuri kwa kweli. Anaweza kushika nafasi yoyote nchini Tanzania.
Tunakuaminia baba mpaka kieleweke
Uwoni wa baadae sio ss I believe on omo
G O L D
This is an asset kwa wazanzibari
Naenda piga kura marahii Kama Tanzania tungekua na uraiya pacha ,kenya na kipigia chama cha professor cha root part kenya
HII MEETING SAFI SANNA HONGERENI PAMOJA NA MAKAMU WA KWANZA WA RAISI ILA MMEBOWA LOCATION IYO MEZA APO HAIPO VYEMA NINGESHAURI MBADILISHE HAIENDANI🤞
Huyu jamaa hatariiii,anajuwa mpaka basiiii,kila lakher Mheshimiwa OMO
Raisi ajae
Almaroohumu Maalim Seif Shaif bin Hamadi ni weapon...Huwezi kumfananisha hata Julia's Kambarage Nyerere na Maalim...Ali Hassan Mwinyi aliwaambia CCM wasije wakaa kwenye meza moja na Maalim wakafanya nae mazungumzo watamfuata kile anacho taka yeye okay¿thanks
Tena wala asijifananishe na marehem maalim seif sharif hamad hata kidogo hampati
Weee mwanamme nyanyua sauti hio mwanamke yuko juu kuliko wewe
Nassor,sauti sio shida,la muhimu ni uzito wa maneno,na kwa hilo amejieleza vizuri.
Wew cholo tulia shoga yako uyo mwanamke mwenzio apo naon mmenyoa saw mnafanana san
@@ahmedalbalooshi8518Nakusudia huyo mtangazaji mwanamme sauti yake iko chini sana muheshimiwa yuko vzr Masha Allah Allah atuekee
@@nassorseif7907 mhh umejitetea vyema ungekuwa karibu yao eehe wangekupiga, walivyo na usongo wa uhuru wa nchi yao
kwanza kasome dini ndio utajua kuishi Uislam umekaza hicho unacho kizungumza wew?shut up!