[52]DADA;NIMESIKIA QURAN IMEFUNZA KUUWA WAKRISTO JE NI UKWELI? DAAWAH MITAANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024
  • KASARANI LOISAMBO NAIROBI COUNTY

КОМЕНТАРІ • 134

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 роки тому +8

    MashaAllah ukweli inaendelea kusambaa, nasikia raha (ndacha na kasinah watakufa kwa uzuni wakiona uisilamu unaendelea kukita mizizi) masheikh jazzakAllah mwenyeziMungu amzidishie umri na aendelee kumuongoza kwa njia iliyonyooka

  • @zaisule9171
    @zaisule9171 4 роки тому +3

    Ma shaa Allah... Welcome brother to the right path Islam

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 4 роки тому +3

    Asalaam aleykum warahmatullahi wabarakatu nafurai sana kwa ajili kaka zetu na baba zetu wamepewa ujasiri wakufundisha dini ya Allah niliumia mda mrefu nikiwa mama waislam kuishia mskitini kumbe Allah ataarisha muda wake Allah awalinde maustadh wetu awape afya njema awalinde na kila dui🤲🤲🤲💪💪💪

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 4 роки тому +6

    Maa shaa Allah kazi nzuri Allah awajalie kila lenye kheir masheikh zetu

  • @malawatoaliasse7369
    @malawatoaliasse7369 4 роки тому +2

    Mr, Dani kasha fahulu mungu amenjalia kumpa akili ya kiachana na ukristo kwa sababu za msingi
    Na sanabu zake ni kwamba ukristo ni ajira kama ajira nyingine

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 4 роки тому +2

    Mashallah ndugu zetu wanaelimika na kupata dawaah

  • @zaisule9171
    @zaisule9171 4 роки тому +2

    Ma shaa Allah

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 4 роки тому +3

    Maashaallah sheikh wetu akujaalie kila la kher jazaka Allahu khair

  • @alimasigasaleh8659
    @alimasigasaleh8659 4 роки тому +2

    Allah awazidishie ilm na neema ya ilm yenu na awape Jannat Firdaus kwa kazi mnayofanya ya daa'wah. Na Allah awape umri na afya njema na imani zaidi.

  • @user-hk2om2ef7m
    @user-hk2om2ef7m 4 роки тому +8

    I loved how he took them slowly to realise the mistakes which have been made inside the BIBLE.

  • @nooor1120
    @nooor1120 4 роки тому +1

    MaashaaAllah masheikh wetu
    Allah awahifadhi awalinde na adui zenu popote walipo
    Allah awazidishie afya nanguvu na ilmu yenye manufaa muzidi kututoa katika giza
    Kwakweli wakiristo wanakurupuka km upepo unafuata bendera hawasomi bible kiundani wakaona vipi wanadanganywa

  • @islamicnewschannel2551
    @islamicnewschannel2551 3 роки тому +1

    Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.

  • @mulusaeunice4402
    @mulusaeunice4402 4 роки тому +8

    MashALLAH .Allah awazidishe kher hàpà nà ÀKHERÀ ÀMEEN

  • @abubakarikikina7544
    @abubakarikikina7544 4 роки тому +7

    Laailaha illallah Muhammad rasulu llah

  • @pilimusa7770
    @pilimusa7770 4 роки тому +1

    Mungu awabariki katika kueneza dini yetu. Nimefurahi sana mungu awabariki sana

  • @yunisboshe7227
    @yunisboshe7227 4 роки тому +4

    Allahu Akbar may Almighty Allah gave u guys enough strength and health to do the work of Allah, its never easy but wallai mutapata Malipo kwa Allah sw

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 4 роки тому +7

    This Guy has no sins from now he's clean as a New Born baby

  • @aminaamulavu1338
    @aminaamulavu1338 3 роки тому +1

    Allah awalipe mema insha Allah.. Amiin

  • @doyohuqa9467
    @doyohuqa9467 4 роки тому +1

    MashaAllah Mashekeh wetu wanajitahidi sana... inshallah Allah hawajalie Bustani ya firdouws... inshallah...

  • @jabirmohamudey1770
    @jabirmohamudey1770 3 роки тому +1

    I love doing this work. Ustd ninaweza kufuata nyinyi kivipi? Katika Dawah mtaani

  • @princebabu6977
    @princebabu6977 4 роки тому +4

    Allah awalipe Kheiri nyingi sana bila hesabu, hakika mnafanya kazi kubwa

  • @dahabomohammed870
    @dahabomohammed870 4 роки тому +1

    Mashaa Allah...Allah awajalie kheir,afya na maisha marefu muzidi kuelimisha dini ya Allah.

  • @paulosarumbo1888
    @paulosarumbo1888 3 роки тому +2

    Natamani kazi hii pia ingefanywa huku Tanzania pia....kwenda mitaani na kuwalingania watu face to face.

  • @omaryrashid1873
    @omaryrashid1873 4 роки тому +1

    Jazaka Allah haira mungu awajalie ufahamu zaid ya kuwatoa watu gizan

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 3 роки тому +1

    Maa Shaa Allah

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 4 роки тому +1

    Mwenye Enzi Mungu awa zidishie kheri na awa hifadhi na awape subra na nguvu kwa kuitangaza dini ya Mwenye Enzi Mungu. Allahumma ameen yaarab.

  • @amirhassankamau871
    @amirhassankamau871 4 роки тому

    Masha Allah..... Kazi nzuri mnayo ifanya

  • @abujole8649
    @abujole8649 4 роки тому

    Daawah mitaani nawatakia kaazi nzuri na mimi Niko Baraawa Nchi ya Somalia

  • @AbdulmajidHyder
    @AbdulmajidHyder 4 роки тому +1

    Allahu Akbar

  • @bilalomar1185
    @bilalomar1185 4 роки тому +1

    MashaAllah
    KENYA DAAWAH ONLINE TV,

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 роки тому +1

    TAKBIIR 🇰🇪

  • @bidallahamadi4036
    @bidallahamadi4036 4 роки тому +1

    MashaAllah ,Allahuma Bariq🤲🤲🤲

  • @omarabeid1363
    @omarabeid1363 4 роки тому +2

    Masha Allah 🙏🤲 Allah awajaze kula la kheri Inn Shaa Allah

  • @dawahisourduty1311
    @dawahisourduty1311 4 роки тому

    أحبابي في الله جزاكم الله خيرا ... استمروا بالدعوة إلى الله ، الله سينصركم .

  • @mrbubaaside4388
    @mrbubaaside4388 4 роки тому +1

    mashalah mungu awajalie nguvu zaidi na afya zaidi

  • @sahalanali5287
    @sahalanali5287 Рік тому

    Mashaalla brothers may Allah bless you inshallah.kindly mupitie Hadi mwihoko githurai Sana Sana uku dini aijachanganya vile

  • @ambarnelly6304
    @ambarnelly6304 2 роки тому

    Mungu awabari masheh kazi nzuri

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 2 роки тому

    Mashallah jazakallah kheir

  • @adinanijackobo1328
    @adinanijackobo1328 4 роки тому +1

    manshaAllah Allah awelipe masheikh zangu awape afya njema,karibu hata tanzania

  • @djuninhoramisos2453
    @djuninhoramisos2453 3 роки тому

    Mashallah Allah awape pepo

  • @ummua5006
    @ummua5006 3 роки тому

    Jazakumu Llaahu khairan

  • @nuruabdallah6692
    @nuruabdallah6692 4 роки тому +1

    Mashallah

  • @jafarykahera1727
    @jafarykahera1727 4 роки тому +1

    Mashaalah masheha. Mungu atawalipa heri

  • @amirhassankamau871
    @amirhassankamau871 4 роки тому

    MashaAllah nawapenda sana kwa ajil ya Allah

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 4 роки тому +1

    Maa shaa Allah Allah awajaalie Afya masheikh wetu

  • @rashidkalimbo2451
    @rashidkalimbo2451 4 роки тому

    Mwenyezi Mungu Awabariki mashekhe kwa kuelimisha umma ulioghafilika na uzushi wa wanadamu, Allah vilevile Awaongoze wapate kujua haki IshaAllah...

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  3 роки тому

      Allahuma Amin

    • @muddymdigo5164
      @muddymdigo5164 2 роки тому +1

      Hawa maustadh wetu kutoka kikuyu yaani niwalinganiaji ktk kz ya ALLAH masheikh kutoka mombsa muige analau mwangaza upatikane INSHALLAH

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 4 роки тому +1

    Allahu Akbar!

  • @sumbamkali8435
    @sumbamkali8435 11 місяців тому

    Mashalah

  • @hamadamabali2895
    @hamadamabali2895 4 роки тому

    Takbir

  • @fatmamombasa3430
    @fatmamombasa3430 4 роки тому

    Masha Allah kwa hakika mnafanya kazi nzuri sana Allah awape nguvu na subra

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA Рік тому

    MASHAALLAH 🙏 🤲

  • @jaffarumar5258
    @jaffarumar5258 4 роки тому +1

    Masha’Allah

  • @salimamry9432
    @salimamry9432 4 роки тому

    Alhamdulilah Allah awazidishie kheri na imani mpaka siku ya wisho.

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe4274 4 роки тому

    Ma sheikh's hongera kwa kazi njema ya Allah bless love u big

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 роки тому

    Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie umri mrefu muzidi kuzindua watu wa amini dini ya Allah

  • @aminashaib6956
    @aminashaib6956 2 роки тому

    Allah Awajaalie wote walopotea Azidi kuwaonyesha jia ya haki uislam

  • @swalehiddy2468
    @swalehiddy2468 4 роки тому +1

    Ustadh Yahya mtambulishe huyu ustadh mwingine ili tumfaham...kazi nzuri.

  • @Kokotokwenyekiatu
    @Kokotokwenyekiatu 3 роки тому

    Huyo bwana anasema wakristo ni marafiki wa waislamu lakini kitabu chake inasema;Sura 5:51. Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. Na kuuhusu kuua watu hebu soma Sura9:5. Na ikisha miezi mitukufu basi wauweni washirikina popote mwakutapo, na washikeni na wazungukeni, na wavizieni katika kila njia. Lakini wakitubu, wakashika Sala, na wakatoa Zaka, basi waachilieni. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. Kumbuka kwamba muislamu anatuona sisi wakristo kama watu wanaoabudu miungu . Eeeh huo ni urafiki wa Allah na mtume wake

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 роки тому

      Kwanza kumbuka Qur-an ilikua ikishuka kufuatana na matendo yanayotokea. Kipindi kilichoshuka hayo waisilamu walikua wakiuawa na walikua hawajawahi kupigana wanakhofia. Na ndio mana Allah akaleta aya hiyo kusudio wale wanaoua waisilam wasiachiwe. Waisilam wapigane nawao. Sasa utakua unachekesha ukiiquote aya hiyo na kuanza kuua kila mkiristo japo kua hana hatia. Au ww ukaichukua aya iyo ambayo haikuhusu ukasema ati waisilam wauuaji mana hata Qur-an inasema hayo.
      Kwani bible haielezei mauaji, kisasi n.k? Msidanganywe someni bible mushuhudie wenyenu msidanganywe na pastor tu mkaambiwa mpende jirani yako.

    • @Kokotokwenyekiatu
      @Kokotokwenyekiatu 3 роки тому

      Una maanisha ya kwamba Qurani haiwezi kuaminika kma neno la Allah ya daima? nilidhnai kwamba muislamu anaamini kwamba ni neno la Allah na ni ya milele. At least Qurani yenyewe inadai hivyo. Labda nimekosea. Halafu nadhani unahitaji kusoma historia kwa makini zaidi, watu hawakuwashambulia waislamu, bali walishambuliwa na jamaa mmoja aitwaye Muhammad... nakushauri wewe pia soma Qurani, na vitabu vingine vya kiislamu. Na kwa msaada zaidi oyesha kama andiko fulani lime kansuhwa na andiko iliyotangulia. Kwa upande wa Biblia ni vema kutofautisha kati ya Ak na AJ. Agano la kale ilitumika kwa wakati wake ila kwa leo tunaamin kwamba ni Agano Jipya iliyo na nguvu na hapo huta kuta fundisho ya kulipa kisasi. Nadhani unajua aliye leta AJ Yesu mnayemuita Issa.@@alhamdulillah5796

  • @kareemalamoody6345
    @kareemalamoody6345 4 роки тому

    ALLAHU AKBAR

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 роки тому

    🤲🤲

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha9077 Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-sj3di5wy9p
    @user-sj3di5wy9p 4 роки тому

    Mungu awasamehe kwa kuwapeleka watu motoni

  • @axmedcabdi3660
    @axmedcabdi3660 4 роки тому

    Shukran,....kazi nzuri

  • @mgenisaid6544
    @mgenisaid6544 4 роки тому

    Ajali mwendo kas dare salam

  • @mwanzomwisho6968
    @mwanzomwisho6968 3 роки тому

    tell her also about,
    S9:29. why do u have to fight them to believe in Allah and if they don't they are forced to pay jizya and if they don't kill them.
    Q5:51 tell Muslims not to take Christians and Jews as friends.

  • @adidjaadidja2578
    @adidjaadidja2578 4 роки тому

    MANSH Allah awarip kir raher

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu9318 4 роки тому +1

    Mbona hii nitofaut na iliyo somwa apo ustadhIsaya 23:17 BHN
    Baada ya miaka hiyo sabini, Mwenyezi-Mungu atauadhibu mji wa Tiro, nao utarudia kufanya uzinzi kwa kujiuza kwa mataifa yote ya dunia.
    BHN: Biblia Habari Njema
    husisha wengine/jumuisha
    Soma Sura Nzima

    Apu ya Biblia

    Apu ya Biblia ya Watoto
    Kiswahili

  • @abujole8649
    @abujole8649 4 роки тому

    إ ن شاء اللة

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 роки тому

    Mungu afanye ukahaba tena? Inamaana wakiristo mnaemuita Yesu Mungu ni kahaba? Astaghfirullah! Tatizo lenu original hamna mnabururwa tu.

  • @malawatoaliasse7369
    @malawatoaliasse7369 4 роки тому +1

    Kuelewa ni vigumu kama sio mwelevu
    Ninakwelewa Mimi wa Mozambique na kwanini mkenya asielewe?

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 роки тому

    N'a furkana

  • @mwajumamwajuma3756
    @mwajumamwajuma3756 4 роки тому

    Mashaallah i

  • @kibeginiblue7188
    @kibeginiblue7188 3 роки тому

    Wakenya bwana, songea kidogo

  • @masungwasalumu1278
    @masungwasalumu1278 4 роки тому

    Hamna.kitu hao soma Qruan 02:102 utajua

  • @abubakaribyabato4384
    @abubakaribyabato4384 3 роки тому

    Sheihk Ismail Gitau siku hizi yuko wapi

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 4 роки тому

    Maskini huyu dada . TV and media news ime mdanganya Mwenye Enzi Mungu amhidi yaarab

  • @user-sj3di5wy9p
    @user-sj3di5wy9p 4 роки тому

    Kama Muhammad ni mtume WA mungu mbona akafinywa mbavu ndio a kubali kuwa mtume

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 роки тому

      Elimu haipatikani kiwepesiwepesi, inapobidi lazima mwanafunzi atishwe/aadhibiwe(adhsbu inayolingana na kuwa kwa mengi is kustawisha kwa lengo la kujeruhi/kuumiza) ili mwanafunzi atoke ktk ujinga awe mwelevu.
      So kusoma ni muhimu na ndomana mwanagunzi/wanafunzi huadhibiwa baadhi kwa kuchapwa ili upatikane umakini, uwelevu na mazingatio ktk kujifunza.
      Wazungu wanatuletea destuli/mila ya kuondoa viboko mashuleni/mwanafunzi asichapwe ili wanagunzi/watito wawe wajinga na wakose adabu kwa Walimu wao na Wazazi wao/Walezi wao.

    • @user-sj3di5wy9p
      @user-sj3di5wy9p 3 роки тому

      @@alhaddajmohammed4768 uongo huu mbona Muhammad mwenyewe kasema mimi sio mmoja WA mitumi walio tumwa na mungu kumbe Allah sio mungu Allah mwenyewe kaambia Muhammed yesu kanitusi heti mimi sikuumba manake Allah kaumbwa ndio maana anahapa kwa lieumba ndio maana kasilimishwa na Muhammed nakuamuru Muhammed aende kuwasomea Quran majini Quran sio kitabu cha mungu penda usipende shetani ndio Allah hio ndio ukweli upende usipende

    • @aminatatu5692
      @aminatatu5692 2 роки тому

      Aca kujicanganya nawona hawutaki kuwe lewa polesana😀

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 11 місяців тому

      ​@@user-sj3di5wy9ptupe ilo andiko linalosema kuwa Yeye mtume muhammad alisema kuwa yeye sio mtume na hakutumwa na Mungu

  • @giloogilo6589
    @giloogilo6589 3 роки тому

    Warongo.mbona wasoma kiarabu sio Kislamu.Wayahudi ndio watu wa kweli.

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 роки тому

    Kafiri ni kupinga ukweli wa Allah dada yani kukata kitu kiko wazi na ni kweli wa Allah

  • @user-sj3di5wy9p
    @user-sj3di5wy9p 4 роки тому

    Allah sio mungu muumba WA mbingu na arthi ndio nyinyi mnakana yesu na ndio a tarudi mbona Muhammad harudi basi yesu ndio atawahukumu kwa kumkana mjiepushe na Islam qur an sio kitabu cha mungu ni cha shetani mnapeleka watu kuzimu nyinyi

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 роки тому

      Sasa hujajijibu tu mwenyewe km kwa nn Yesu anarudi? Nikusaidie, Yesu anarudi kwa sabbu yy ni mtu nasio Mungu. Na ndio mana anarudi aendeleze maisha yake na kufa km wanavyokufa viumbe wote. Kila nafs itaonja mauti.

    • @user-sj3di5wy9p
      @user-sj3di5wy9p 3 роки тому

      Yesu sio mwanadamu Bali ni roho wamungu ndio maana Quran inawapoteza hamjui kuwa yesu ni roho,,, Muhammad alifinywa na shetani ndio a kubali kuwa mtume mbona mitume WA mungu hawakufinywa lkn Muhammad peke kafinywa,,,, ikuulize paradise yenu mliadiwa nini wanawake 72 na sisi yesu a nasema nitawapa uzima WA milele lkn waislam pombe na maziwa ilio oza Waaaaa mungu asamehe waislam Allah ako na ubaguzi WA rangi hapendi watu weusi Sasa na wewe una ngangana tu na kuran unatangaza na wewe ni mweusi Hata hivio Quran ililetwa kwa waarabu peke wewe ni mwarabu ama unajiona je

    • @user-sj3di5wy9p
      @user-sj3di5wy9p 3 роки тому

      Yesu anarudi kunyakuwa walio mkubali na kutii neno lake na sauti yake lkn wenye wanamkana kama nyinyi sijui mtaelekea wapi Bali nawaombea mfunguke macho muone mbele maana yesu ndio njia na uzima WA milele niambie wewe Sasa Allah na Muhammad wako na nini kwako mm kwangu hakuna faida

    • @user-sj3di5wy9p
      @user-sj3di5wy9p 3 роки тому

      Yesu alisema pendaneno jinsi mm nili vio wapenda lkn ukija kwa waislam wapendi wakristo na wayaudi maana Muhammad alikufa kwa sumu alie muua muyaudi,,,,, na vitabu vilioliwa mvunguni mwakitanda cha aisha wakati Muhammad amekufa viko wapi kama ukweli Quran ni kitabu cha mwenyezi mungu mbona kikaliwa mungu hakukilinda na mbona hakukinga mtume asife kwa sumu mtume akasema ukila date 7 kama umekula sumu hautakufa yeye ako wapi

    • @user-sj3di5wy9p
      @user-sj3di5wy9p 3 роки тому

      Soma Quran 2:97

  • @abujole8649
    @abujole8649 4 роки тому

    Nawasikia Daawah yiinu

  • @user-sj3di5wy9p
    @user-sj3di5wy9p 4 роки тому

    Ni nini Muhammad na Allah aliwaahidi kwa paradise yenyu wanawake 72 huyo ni mungu Aina gani

  • @akeem1221
    @akeem1221 4 роки тому

    GIve the guy your phone number wafikirie , and they should call you when ready.

  • @user-sj3di5wy9p
    @user-sj3di5wy9p 4 роки тому

    Biblia sio kitabu cha uchawi kama qur an

  • @mrboma4343
    @mrboma4343 4 роки тому

    Mafunzo mazuri kabisa

  • @malindaramadhani9271
    @malindaramadhani9271 4 роки тому

    Kafiri naweza kuwa mtu yeyote anaye pinga Allah / Mungu

  • @davidchesco1150
    @davidchesco1150 4 роки тому

    Wapotoshaji.biblia haitafsiliwi kizembe ivo

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 роки тому

      Yesu hajawacha Biblia , hajawacha Ukristo wala hajawacha Kanisa.
      Wakristo mmeongopewa na Wapagani/Makafiri wa Antokia ili mpotee.
      Yesu alikuwa anasali ktk Masinagagi/Misikiti ya Wayahudi, Yesu amewacha Kitabu cha Injili na alikuwa Muislamu jinalake ni Issa ila Wapagani wakageza Yesu!.
      Biblia ni kitabu cha wapotoshaji wamechaguwa baadhi ya maneno wayatakayo na sheria wazitazo kutoka ktk Zaburi, Taurati na injili ili kuwapoteza wajinga.

    • @alhaddajmohammed4768
      @alhaddajmohammed4768 3 роки тому

      Wakristo walokuwa karibu/marafiki wa Waislamu ni Wale wa Zama zilizopita walokuwa wakitumia Kitabu cha Injili ya Yesu (Issa) kabla hakijachakuchuliwa na King James na kukusanyawa/kuingizwa ktk Biblia!

  • @kijanahodari2080
    @kijanahodari2080 3 роки тому +1

    Maa Shaa Allah

  • @saidbakhlaaofficialchannel3950
    @saidbakhlaaofficialchannel3950 4 роки тому

    Mashallah

  • @hamsouledi17
    @hamsouledi17 4 роки тому +1

    Ma Shaa Allah

  • @salamamohamed6762
    @salamamohamed6762 4 роки тому +1

    MA SHA ALLAH

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 роки тому

    Masha Allah