[51]SISI WAKRISTO HATUNA DINI KWASABABU YESU HAKULETA DINI.. DAAWAH MITAANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 15 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 182

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 роки тому +10

    Wallah kenya ukristo unaenda kuzikwa, hongeren sana

  • @abdur-rahmanmuhammad2898
    @abdur-rahmanmuhammad2898 4 роки тому +10

    May Allah open their hearts & guide them to Islam
    May Allah bless our sheikhs & protect them from evils

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 роки тому +4

    AL ISLAMUL DIINUL HAKKI💖💖💖👌👌👌🇰🇪

  • @janawchannel3797
    @janawchannel3797 4 роки тому +4

    Shiekh yahya nampenda you're hard work. Manshallah mungu akupeleke pahali pazuri

  • @swalehiddy2468
    @swalehiddy2468 4 роки тому +4

    Mashaaalah.spreading the light in different languages.may Allah forgive us all.

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  4 роки тому

      Allahuma Amin

    • @naturalist9517
      @naturalist9517 4 роки тому

      there is nothing like spreading the light its just proving how fake all that is

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 роки тому +6

    '""Maashaallah mashekh wetu kazi nzuri ya daawa..Allah awalipe kheri inshaallah.

  • @aishaabdulraheem1913
    @aishaabdulraheem1913 4 роки тому +2

    Allah awalipe kheriy wahadhiri wetu

  • @abuujureyjkhaniy.5520
    @abuujureyjkhaniy.5520 4 роки тому +1

    ماشاءاللہ ماشاءاللہ
    Nipo zanzibar ....جزاكم الله خيرا و احسن الجزء

  • @khadijamohanani6476
    @khadijamohanani6476 4 роки тому +3

    Mashallah Allah awahifadhi umri ulomrefu. Muuzidi kuitetea dini ya haki ya UISLAM INSHAALLAH

  • @feisalaliahmad8730
    @feisalaliahmad8730 4 роки тому +2

    In Shaa Allah,Allah awazidishie kueneza dini ya haki ulimwenguni,nayo ni Laailaha illallah,Muhammadun Rasuulullah.

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 4 роки тому +1

    Wallahi aawape umri na uzima muendelee kuitangaza dini nasi pia tunanufaika lnshaAllah. Japo nimecheka sana

  • @salehesengiyanka5397
    @salehesengiyanka5397 4 роки тому +1

    Duh! mtaa kwa mtaa, safi sana mashekh. Vunjen makanisa yote huko watu waache kuabudu sanamu la gogo la msalaba wa yesu, na kulivaa shingon kama kamba ya mbuzi, au mtu aliyejipa kitanz

  • @safimabelle8230
    @safimabelle8230 4 роки тому +5

    Ma sha Allah

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 4 роки тому +1

    Mashaallah Sheikh ishaqa kazungumza lugha 4 😍 na Sheikh Yahya tukiacha daawa anacomed ndaniyake🤣 Allah alipemema kwa kazinzur. awajaalie utajiri wa nafsi na afya pamoja na waislamu woote in sha Allah🙏🙏🙏

  • @islamicnewschannel2551
    @islamicnewschannel2551 3 роки тому

    Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.

  • @sharifahamisi9812
    @sharifahamisi9812 4 роки тому +2

    Maa shaa Allah Allah awalipe kher kwakazi kubwa mnayoifanya kwa ajili ya Allah

  • @Zaisma7700
    @Zaisma7700 4 роки тому +1

    my Allah bless these sheikhs

  • @farahfarah3604
    @farahfarah3604 4 роки тому

    Masha allah islam thrue allah is the only one to worship

  • @yussufalawy3848
    @yussufalawy3848 4 роки тому

    Kipindi kizuri mashaa Allah Allah awape uwezo wa kuwafikia zaidi ila ningependekeza mtumie kiswahili zaidi ili somo liweze kuwafikia wengi kuliko kutumia lugha za makabila hio mnatuchanganya wengi na ujumbe hautafika mbali

  • @mwanamwinyibmwakinalo4094
    @mwanamwinyibmwakinalo4094 3 роки тому

    Mashallah masheikh wetu ALLAH awape umri mzidi kulingania dini yetu inshaallah, nawapenda sana

  • @mwanamkuuchilagane1321
    @mwanamkuuchilagane1321 4 роки тому +4

    Mashaallah

  • @cabdisiciid6504
    @cabdisiciid6504 3 роки тому

    Manshallah kaka

  • @Da-cr6ow
    @Da-cr6ow 4 роки тому

    Masha Allah Allah awalipe kheir Insha Allah kwa kila jema mnalo fanya na awazidishie umri mrefu muzidi kuzindua watu wa amini dini ya Allah

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 3 роки тому

    Masha Allah

  • @jamilajarso4095
    @jamilajarso4095 3 роки тому

    Mashaallah mungu awape nguvu ya kuyeneza nini ya haki

  • @aminaamulavu1338
    @aminaamulavu1338 3 роки тому

    Allah awaongoze insha Allah

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 4 роки тому +1

    MashaAllah tabarkallah!

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 3 роки тому

    jangombeboys1999 safi

  • @siyaaraentertainment6973
    @siyaaraentertainment6973 4 роки тому

    Mashaaa allah

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA Рік тому

    MASHAALLAH 🙏 🤲

  • @eliyakalangula3833
    @eliyakalangula3833 4 роки тому

    Acheni kufuatilia mambo ya dini chakufanya ni kuitafuta kweli ya mungu tangazeni habaki ya kuubili neno la mungu jamani

  • @ritharitha1685
    @ritharitha1685 4 роки тому

    Yesu ni kristo wafuwasi wa yesu ndio wakristo

  • @selemanmohamed4958
    @selemanmohamed4958 4 роки тому

    Mashehe wetu mungu awabariki sana.Ila msiwe mnazungumza kiluga kama mtu mnaezungumza nae anajua kiswahili.mnatunyima raha.kama huku Tanzania hatuna hata ile idea kidogo ya lugha mnayochanganya

  • @jaffarumar5258
    @jaffarumar5258 4 роки тому +1

    Masha’Allah mmefika hii mitaa

  • @mdmalik8484
    @mdmalik8484 3 роки тому

    Mingy akupe umri mrefu

  • @mrboma4343
    @mrboma4343 4 роки тому +1

    Mashallah

  • @jnrhassan4629
    @jnrhassan4629 4 роки тому +1

    Salim nisalimie sheikh yahya

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  4 роки тому

      Imefika waalaykum salam warahmatullah wabarakatuh Habib

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 роки тому

    ALLAHU BARIK

  • @hamisikassim3726
    @hamisikassim3726 4 роки тому

    MashaAllah Allah awape kila la heri inshaAllah

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh203 4 роки тому

    ❤❤❤❤

  • @abdallamohamed2676
    @abdallamohamed2676 4 роки тому

    ALLAHU AKBAR

  • @hamsouledi17
    @hamsouledi17 4 роки тому

    Ma Shaa Allah

  • @zayfahmi5130
    @zayfahmi5130 4 роки тому

    kama yesu alikua na dini moja na manabii wote kwa mn mnasema kuwa yesu n mungu mara n mwana wamungu mbona hamuelewek ndugu zangu wachristo mnapotea lakin hamtak kuambiwaa I'm

    • @ushershaniyah7449
      @ushershaniyah7449 3 роки тому

      wacha tupotee wewe na waislamu kaeni huko huko musipotee.mbona munataabika na yesu?

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 роки тому +1

    Mkristo mjinga ndio anaweza sema Yesu hakuleta Dini duniani na muislamu mwehu nae anaweza sema ivyo, maana kwanza ufahamu tafsiri ya neno DINI kabla ya kujibu lolote.
    Neno DINI kwa tafsiri nyepesi ni NJIA.
    Sasa msome YESU mwenyewe anajiita nani...

    • @kibaikiramadhani1475
      @kibaikiramadhani1475 4 роки тому

      Ww unajua muislam hamtambui yesu tunamtambua km mtume wa mungu sio mungu biblia inasema mungu si mwanadam na yesu anaswma nauzima wa milele ndio huu wakujue ww mungu wa pekee na yesu kristo uliemtuma soma

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 ua-cam.com/video/tPz6lPqn0VM/v-deo.html
      Hebu pita umo kidogo

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 ua-cam.com/video/A2KmLEFqvmk/v-deo.html jifunze kidogo

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 umesema vyema tatizo hujui uungu wa Yesu kaa kwa umakini uisome biblia vyema utaelewa Yesu ni nani....
      Swali dogo unaweza kunambia kuna sehemu yeyote katika biblia Yesu anasema mimi sio MUNGU msiniabudu?

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 alafu waislamu hamumtambui YESU ni nani japo Quran inamtaja ni mtakatifu na unashindwa kuelewa neno utakatifu katika maneno ya MUNGU lina uzito gani...
      Mungu peke yake ndiye mtakatifu so unapomuita Yesu Mtakatifu alafu unashindwa kumtambua kua ni MUNGU wewe ni waajabu na kitabu chenu

  • @MohamedHussein-ey9ub
    @MohamedHussein-ey9ub 4 роки тому

    Mashllaha sheik

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Unamfananisha yesu na Muhammad kweli mnamatatzo uyo ajui ukristo na hata ww unae muoji yesu ni kristo na mnafkilia yesu ulivyo zaliwa nkama ww au Muhammad weye dhambi na kwama aliondoka duniani aliondaje unafikili alikuja kucheza mtachomwa

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Waisilam mnafamu yesu kuliko mtu yoyote na ammfaam Muhammad aya atawapeleka njia yake

  • @hamidahamida1473
    @hamidahamida1473 4 роки тому

    Inshalha shukrani

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 4 роки тому

    MashaAllah kwa kweli ujumbe umefika

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Dini ni njia na ndomaana yesu alisema yeye ndie njia ya kweli na uzima yoyote awezi kwenda kwa mungu bila yeye mbona ausomi maneno ayo msilazimishe mtu asilmu asiejua

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 роки тому

      Njia yake alkua akisujudia mungu kama waislamu.je nyinyi munajidai wafuasi wake munasujudu?

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Mnapaswa mafundishwe wote

  • @esthermacharia6667
    @esthermacharia6667 4 роки тому

    Great revelation, Jesus brought a kingdom.

    • @teamallyracing1780
      @teamallyracing1780 3 роки тому

      Acha kutengeneza maneno soma Bible ukweli upo wazi Dini ya haki utaona usifate Kwa mazoea

    • @ushershaniyah7449
      @ushershaniyah7449 3 роки тому

      @@teamallyracing1780 there is nothing like dini in quran or bible..am very sure you haujasoma hiyo quran au bible no wonder mwapenda kujibizana.Tafuteni pastors sio watu mtaani. alafu abuduni huyu Mungu wanu mbona Yesu anawasumbua sana? Na ndio maana mwapenda ushirikina na kuvuga majini nyi

    • @teamallyracing1780
      @teamallyracing1780 3 роки тому

      @@ushershaniyah7449 wenye macho huona na wenye maskio husikia Kwani Hao wanaowafundisha si walikua mapastor wenu ,na izo Aya si wanazitoa kwenye biblia acha Kua mwanachama wa bure ukapisha Kama unaswali uliza uambiwe

    • @teamallyracing1780
      @teamallyracing1780 3 роки тому

      @@ushershaniyah7449 na pia wanaopenda majini Ni Hao mapastor wenu wenyewe kutumia nguvu za Giza na kuwandannya nyie mungu kasema na kuponya kwa nguvu za Giza hii Dunia ya mwisho msiwe wadhaifu mkandanywa na matapeli wanaojiita mitume

    • @ushershaniyah7449
      @ushershaniyah7449 3 роки тому

      @@teamallyracing1780 its just the same thing happening in this generation fake pastors and fake sheikhs...There is no prove which religion is true muslims love arguing instead of preaching love. Bullshit

  • @ritharitha1685
    @ritharitha1685 4 роки тому

    Muhamad alikopi bible msidanganywe waislamu mumepotea

  • @kimsi682
    @kimsi682 Рік тому

    Hacheni upotofu wa uislamu. Enda uongee na wenye kuelewa na Biblia. Emanuel katika biblia inamaanisha nini??...
    ina maana gani??
    Swali kwa huyu mkikuyu bandia. Kwa biblia, kuna neno muhammad? Sura gani, mmstari gani? Maswali yako yooote unao uliza hawa wakamba, uliza mtu aliyekaa venturi kama pastor. Namuache ujaja na unafiki wa maandiko kusukuma mtu kwa corner fulani. Amelaaniwa yeye uleyaye njia za uwongo. Yesu akasema mwenyewe, taadharini, nyuma yangu kutakuweko managing wa uwongo. Tafadhari, acheni kipotosha watu.

  • @shukrihassan9479
    @shukrihassan9479 4 роки тому

    Kitabu yoyote mstari namba

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 роки тому

    Hammuelewi Yesu katika mwili ni nani na katika roho ni nani....
    Na quran ilikuja kupinga kua YESU sio MUNGU na wala si MWANA WA MUNGU
    kwa sababu iyo ni kazi ya shetani kupinga kila kilicho cha MUNGU

    • @shabanawino9426
      @shabanawino9426 4 роки тому

      Maoni kama yako tumeyazoea!

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@shabanawino9426 kuyazoea umeyazoea ila uwezo wa kuyaelewa ndio shida

    • @shabanawino9426
      @shabanawino9426 4 роки тому +1

      @@zenassylvester125Hauna hoja ya kueleweka,soma biblia ipasavyo!

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@shabanawino9426 najua mpaka hapa nimesoma vya kutosha ndio maana nikaeleza hayo sasa sijui unataka nisome nini zaidi

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@shabanawino9426 "I have heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal. He was a sturdy black man with long flowing hair, inflamed eyes, and dark ruddy cheeks. He used to come and talk with the Prophet and listen to him. He would carry what he had said to the hypocrites. Nabtal said, 'Muhammad is all ears. If anyone tells him something he believes it.' Allah sent down concerning him: 'To those who annoy the Prophet and say that he is all ears, say, 'Good ears for you.' For those who annoy the Apostle there is a painful punishment."

  • @kalamajulius6107
    @kalamajulius6107 4 роки тому

    Mnahoji watu ambao hawajui maandiko nyinyi

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 4 роки тому

    Hawa jamaa wanajua sana kuchezea akili za watu wasiosoma maandiko. Huu jamaa wamemuokota barabarani hajui chochote masikini.

    • @jackiekerry324
      @jackiekerry324 3 роки тому

      Pia wanawadanganya kwa kutumia biblia ya kiafrika ambayo imeandikwa na wakatholiki ambayo ndio walianzisha uislamu

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 роки тому

      @@jackiekerry324 hii yathbitisha bible si kitabu cha mungu.

  • @shukrihassan9479
    @shukrihassan9479 4 роки тому

    Asc shekh yahya madiko namba kidoģo asomwe vizuri

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 роки тому

    Yesu alikua na dini ya musa na ibrahim na adam namanabiwote

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 роки тому

    Muhammad hakuwa muislamu maana wazazi wake wote walikua wakiabudu miungu 360 pale al kabbah ndani ya makkah hata alipozaliwa babu yake alimpeleka kumzungusha al kabba na kumuimbia mashahiri ya miungu yao...
    Muhammad kazaliwa miaka minne baada ya baba yake kuzaliwa sasa hapa ndipo maajabu je! Mama ake muhammad alichepuka au alizini?

  • @ritharitha1685
    @ritharitha1685 4 роки тому

    Hakuna mohamad kwa bible na hats kuweko

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 роки тому

    Hayo maswali mngeniuliza mtu kama mie mbona mngekimbia na msingerusha hata kipande kimoja cha maneno yangu maana msingeambulia kitu zaidi ya kuwabana kwenye kona...

    • @kibaikiramadhani1475
      @kibaikiramadhani1475 4 роки тому

      Ww hujui kituunafata mkumbo km unajua dini andikk linasema kristo ni juna la kupanga sasa ww jina la mtu unafanya dini unaakili kweli ww?

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 aliyepanga jina la Kristo nani hebu nipe iyo taarifa

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@kibaikiramadhani1475 kwakua unawasikiliza wapotoshaji bila kujua uwezo wao utaniona mimi sina akili ila ukizingatia mafundisho kwa usahihi wake utajua nini namaanisha

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Na taasibii mmeipata wapi na mila ya kkuyu ya zaman unafanansha vtu wakikuyu waliongea kialabu

  • @francinensavyimana5601
    @francinensavyimana5601 4 роки тому

    Dini ni njia sasa kama hauna dini ambayo itakuongoza nakukuonesha cema na kisico cema utafikahe ? Jamani wacristo wenyewe wanasema hawana dini ni musiba

  • @ushershaniyah7449
    @ushershaniyah7449 3 роки тому +1

    Instead of preaching peace and tell people to live in love and harmony you are busy want to make people believe that Jesus is not God. Stay where you are and worship who you want stop fooling people and mocking Jesus! Islam is full or arguments and jinns which God do you worship? Your faith is poor but you love arguing as if any of you met God. Preach stop justifying and mocking Jesus the way and life!

    • @nawabfayadh802
      @nawabfayadh802 3 роки тому +1

      😂😂😂😂go read the bible illiterate Kila andiko lenye pumzi ya Mungu lafaa kwa mafundishoo😂😂hauez jisomea mpka usomewe na pastor😂

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 роки тому

      Kuna peace zaidi ya neno la mungu. Shetani ww

    • @ushershaniyah7449
      @ushershaniyah7449 3 роки тому

      @@maherzain615 shetani ni wewe ..dini yako inakufunza kutusi watu na kuchukia mtu akiasi maana its an occultic religion.

    • @maherzain615
      @maherzain615 3 роки тому

      @@ushershaniyah7449 sijatusi ni sifa ya shetani kukataa mungu ama kumpa mungu washiriki kiwa Jesus mwenyewe alisema mm mwaana wa adam ww unalazimisha awe mungu.kisha shetani hataki watu wahubiriwe Jina la mungu anachukia kama ww

    • @ushershaniyah7449
      @ushershaniyah7449 3 роки тому

      @@maherzain615 shetani ni wewe na uislamu yako na hizo chuki munazo kwa Yesu kwa maana anavuruga majini zenu...Keep off and worship your god amd prophets who was a womanizer lol

  • @goodlucklendey238
    @goodlucklendey238 4 роки тому

    Yohana 26 - 62 kwanza yesu akukata na pia amujui kusoma kiswaili yesu alise mtamuona mwana wa adamu sio kusema mtu napia nkuelewa yesu alkuwa roho zen alvyo kuja kuuvaa mwili ndo maana maana ametoka kwenye roho ndo maana ya mwena wa adamu

    • @azizymachadeson3577
      @azizymachadeson3577 4 роки тому +1

      We mwenyewe hujui kiswahili afu unaongea nini , kasome kwanza mshamba wewe!

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 4 роки тому

    Waislamu mnamfwata mtu ambaye aliwaongopea kapasua mwezi katikati tendo ambalo halipo katika historia popote isipokua kwenye hadithi zake mwenyewe na uko makka na madina..
    Wakati mwezi unaoandama Tanzania unaonekana pia arabuni..
    Muhammad anasema mbegu za kiume zinatokea kwenye uti wa mgongo na za kike zinatoka kwenye mbavu na kifuani...
    Pia anaendelea kusema wakati wa tendo la ndoa ataewahi kumwaga mbegu kati ya mwanamke au mwanaume mtoto atafanana na uyo aliyewahi kumwaga...
    Muhammad anatisha anavisa vingi vya ujinga kuliko kawaida

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 4 роки тому

      Clack Bonny
      changamsha ubongo wako na uzidi kumuomba mungu akuonyeshe njia ya haki ili uifuate kabla mauti hayajakufika!!

    • @zenassylvester125
      @zenassylvester125 4 роки тому

      @@sokakilumbi9293 njia ya haki ni Yeshua ( Yesu Kristo)

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 4 роки тому

      Clack Bonny
      nipe dalili kuwa yesu ndio njia haki!!?

    • @sokakilumbi9293
      @sokakilumbi9293 4 роки тому

      Clack Bonny
      إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللَّهِ الْإِسْلَامُ ۗ وَمَا اخْتَلَفَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ إِلَّا مِن بَعْدِ مَا جَاءَهُمُ الْعِلْمُ بَغْيًا بَيْنَهُمْ ۗ وَمَن يَكْفُرْ بِآيَاتِ اللَّهِ فَإِنَّ اللَّهَ سَرِيعُ الْحِسَابِ
      (AL I'MRAN - 19)
      Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

    • @kibaikiramadhani1475
      @kibaikiramadhani1475 4 роки тому

      Ww ni mpuuzi hao mabwana zko washaanza kukukimbia ww unabeba tu biblia mmzoea kila kitu ndio soma uelewe acha jazba

  • @aichaabdul5844
    @aichaabdul5844 4 роки тому

    Badala ya kuhangaikia mambo yenu mnaangaika yasiyo wahusu

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 4 роки тому +1

    Maa shaa Allah

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar2004 4 роки тому +1

    Masha Allah

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 4 роки тому +1

    Masha Allah