Maombi yetu yote kila wakati mungu awatuze nimefutahi kumuona yao na max na mzize Clement mungu watuze wote wachezaji wetu tunawapenda sana mashabiki zenu
Ewe Mola wetu waajaaaliye wachezllaji wetu wazidi kushirikiana kwa pamoja wazidi kuwa na maelewano mazuri kwa pamoja na viongozi wote... tunawapenda sana na tunayo matumaini makubwa kwenu nyinyi kwa msimu ujawo...
Ee Mungu nakuomba hawa uliotupatia msimu huu uwalinde kwa jina lako, nakuomba wote wawe na umoja na kunia mamoja. Asipotee hata mmoja kati ya hawa uliotupatia. Ukawajalie utulivu, maarifa, hekima na afya njema wakiwa katika kazi hii ngumu lakini yenye kuleta furaha kwa watu wako.
I say tulikuwa tumelimis sanaaaaa jeshi letu la young Africans ama kweli Yanga rahaaaaaaaaa na kiburudisho toshaaa all the best INSHAALLAH 🤲🤲🤲 nikiwa QATAR 🇶🇦🇶🇦 kila la kheri chama langu
All the best INSHAALLAH to my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR DOHA INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila Jambo na hatua na atujaalie ushindi kwa kila mchezo kwenye msimu huu wa 2024-2025 INSHAALLAH YAAA RABBAL AALAMIN 🤲🤲🤲
Hapo naona mmenenepa vya kutosha mnatakiwa huyo unene utoke atakaeshibdwa itakula kwake.pkila mtu ajipambanie nawapenda sana mna miili siyo ya mcheza kandanda.nakosea wenzangu?
Kuna team azitoludi kipindi Cha pili uwanjani 🤣🤣 nyie gongeni like za dube hapa 🗣️
Mungu Mwenyezi awajalie kushinda na zaidi ya kushinda makombe yote ya msimu huu tukayaongezee kabatini 🎉🎉🎉
Malaika wa MUNGU aliye hai wawalinde wachezaji wote wa Young Africans, pamoja na viongozi wote
AMEEN 🙏🙏🙏❤
Ameen Ameen....🙏🙏🙏
Amen
Amina
unasali lakin au ndo yanga tu😅😅😅 unakumbuka malaika
Maombi yetu yote kila wakati mungu awatuze nimefutahi kumuona yao na max na mzize Clement mungu watuze wote wachezaji wetu tunawapenda sana mashabiki zenu
Mola wafanyie wepes katik safar yao na Kwa pamoj tunawaombea Daima mbele nyuma mwiko❤❤🙏🙏🙏👍👍💛💛💛💛💛💛
Amin
Kiukweli NZENGELI
ANA NIDHAMU SANAA!
Safi kaka
Mungu ibariki young Africans yote wachezaji,viongozi,mashabiki na wanachama uwape nguvu na subra siku zote
Mashaallah nakuomba M/Mungu wape afya na nguvu Inshaallah
Ewe Mola wetu waajaaaliye wachezllaji wetu wazidi kushirikiana kwa pamoja wazidi kuwa na maelewano mazuri kwa pamoja na viongozi wote... tunawapenda sana na tunayo matumaini makubwa kwenu nyinyi kwa msimu ujawo...
Amen
Amen
MUNGU IBARIKI Dar ES SALAAM Young Afrcans Sports Club
Mungu awatie nguvu tunawaombea sana kila atakae kuja mbele yetu afungwe i love yanga❤❤
Jeshi la Kijani💚 na Njano💛 Mashujaa wetu wameanza kazi
Safi sana wanajeshi wetu Daima mbele nyuma mwiko
Waoooh nimeipenda hiyo safi sana vijana wetu Mungu awalinde
Allah awatangulia kuanzia mwanzo wa msimu mpk mwisho wa Msimu tunawapenda sanaaa 💚💛
Yang mbele nyuma .mwiko yanga naipenda daima naitwa hilary medady shirima kutoka dodoma mail mbil
Mungu awajalie nguvu ya mapambano wananchiiiiii
Hii team ikiwa salama kunakitu kitarudiwa chazamani sana kuna mtu alicheza kipindi kimoja tu! Hakurudi chapili
wengine bado kilejea kambin jaman ili jeshi likitimia. litskufa jitu 💚💚
Ee Mungu nakuomba hawa uliotupatia msimu huu uwalinde kwa jina lako, nakuomba wote wawe na umoja na kunia mamoja. Asipotee hata mmoja kati ya hawa uliotupatia. Ukawajalie utulivu, maarifa, hekima na afya njema wakiwa katika kazi hii ngumu lakini yenye kuleta furaha kwa watu wako.
Amen
Kila laheri ktk pre season, MUNGU wa mbinguni awalinde wachezaji wetu🙏
Yanga yangu naipenda sana na wapata nikiwa omani maskati
I say tulikuwa tumelimis sanaaaaa jeshi letu la young Africans ama kweli Yanga rahaaaaaaaaa na kiburudisho toshaaa all the best INSHAALLAH 🤲🤲🤲 nikiwa QATAR 🇶🇦🇶🇦 kila la kheri chama langu
Chama la wana, MOTO MCHIBUYU....👏👏👏👏
Mwanangu kibwana fanya mazoezi sana unakuwa bonge kasi itapuguwa
💛💚🖤Daima mbele nyuma mwiko ni mwendo wa mazoezi tu hahaha ngoja burudani lianze tu.maana si kwakuwamis huku my wetu
Daima mbele,
We're Yanga Africans 💚💚
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Love it my tim god bless Young African ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Mungu awaongoze msimu mzima mwisho minibike ma ushindi 🙏🙏🙏🙏
Amen
BismiLLAH ALLAH awajalie ulinzi wachezaji wetu inshAALLAH🙏🏼
God bless our team young African
Mungu awajalie khary na nguvu ktk msimu wet mpy wa mapambano🎉🎉🎉🎉
Nawatakia mwanzo wa msimu mwema na msimu bora zaidi Jeshi la kijana na njano "Daima mbele nyuma mwiko "
Nimefurah kuwaona vijana wa kitanzania Jaman
All the best INSHAALLAH to my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR DOHA INSHAALLAH MUNGU awalinde na awasimamie kwa kila Jambo na hatua na atujaalie ushindi kwa kila mchezo kwenye msimu huu wa 2024-2025 INSHAALLAH YAAA RABBAL AALAMIN 🤲🤲🤲
Mungu awape nguvu na nidhamu kwa bench la ufundi inshallah
Awape. Nguvu wachezaji wote wa yanga🎉🎉🎉🎉🎉
Mwalimu wa viungo yanga nakukubari sana
Nkane the future first eleven
Nilikuwa naitafuta hii comment
@@tujifunzepamoja2268 uhakika
Ndio maana yao ana energy yakutosha angalia anachangamkia zoezi anarotate mara kazaa zaidi yawenzake😊😊😊
Ligi kama inachelewa tumemiss maburudani 🤣🤣🤣💛💚💛💚💚💛💚
dube ana nuru sana😂🎉
🎉
Andaeni dozi tosha kwawanao tukejeli kila kukicha
Miamba ikipasha hakuna matata nikujifua tu hongera sanaaa wachezaji na bench zima kwa ujumla.
#daima_mbele_nyuma_mwikoooo💚💚💚💚💚💛💛💚💚💛💛💚
#tunamsubili___kiiii_tyuuuuu_mchana_huuu
Naipenda sana Yana jamani mungu aituze furaha yetu daima mbele nyuma mwiko
Kuna timu zitakula kumi msimu huu badala ya tano
Kazi Kazi
Dube ana rahaaaaa
Nzingeli anaonekana yuko siliasi kweli kweli
Kwa yanga hii litakufa jitu mwaka huuu
Kiii sijamuona jomoni
Ongera sana ....tupo imara
atimae jezi ya jini imepata mwenye nayo alhamdulillah 😂😂
MUANZE KUWEKA SUBTITLE ZA KINGEREZA SASAIV CC WAKIMATAIFA🎉🎉🎉
Bodya Man Yuko na Wananchi 🎉🎉🎉🎉🎉
Mm cjaona timu yakutisha ni yakawaida sana
Subiri mkishatoka KUZURULA huko mlipoenda KUZURULA ndio mtajua hili PICHA ni la KUTISHA au vp..
Jeshi kazini❤❤
Niliwamisi sanaaaa
Nice jeshi letu
Back 🔙 to the Business
Du!yaani kama hapo ullkuwa hufanyi Mazoezi hata kidogo lazima uumbuke tu
Unyama 🎉🎉🎉❤
Mshery anategea😂😂😂
Mbona Pacome, Aziz, Diara na Chama na skudu hawaonekani mazoezini??
Atutaki shobo na nyani wowote atakae ingia kwenye anga zetuu
Mungu aiongoze timu yetu iwe salama na makolo wakija Wale 8 😂😂😂amini 🤲azizi ki mbona simuoni jamaniii 😮
Yupo mwisho😊
@@faridaamiri9264 mbona sijamuona mieee😔😔😔
Utopolo Kiko wapi😂
Yanga nguvu moja
Wooote wapo hana shaka
Masha Allah ❤
Mmependeza na jezi za kijani jmn
Namuona Princeeeee
Jeshi letu limeanza maamdalizi ya Vita
Kazi kazi😅
Nahis furaha kuwaona wapambanaji wamerejea ten kutupa birudani
Kazi kazi
Like za chama akifika azikute😂
Jeshi kazi ni moto
Good starting
Aziz, Baka, Musonda, Pacome, Nondo, Diarra sijawaona babo 🥺
Aucho pia
❤❤❤mashallah
Yanga Raha sana
Tena kuna mtu atakula goli 10 apa 😂😂😂
Akina pacome mbona Wana mambo ya ajabu😢
Naiona an-beaten tena msimu huu
Khan Nkane hajaondoka😢
Yanga daima
💚💛 Yanga
Jeshiiiiiiii
mwana MFALME
Fei kafeli wapi jamani
Ni timu pekee inayojali hali za watu ,wakiwemo wasenge
Pakome Azizi na Diara wako wapi jamani
Msheri mbona kifadha sana
Najiskia furaha sana baada ya kukilipa kisasi chetu baada ya kumchukua dube vilevile kama walivyo mchukua fei😅😅😅
Mkude anazingua,hapo hajafika kweli
Hapo naona mmenenepa vya kutosha mnatakiwa huyo unene utoke atakaeshibdwa itakula kwake.pkila mtu ajipambanie nawapenda sana mna miili siyo ya mcheza kandanda.nakosea wenzangu?
AZIZI KI ndo hivyo tena
Akuna kazi nyepesi sio kitoto