ALI KAMWE NA AHMED ALYY USO KWA USO UTACHEKA/ MPANGO KAZI WAO UPO HIVI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 вер 2024
  • ALI Kamwe Ofisa Habari wa Yanga na Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari ndani ya Simba uso kwa uso walikuwa na tambo zao kila mmoja kwa namna yake katika kuibua mabosi wapya wajao.

КОМЕНТАРІ • 82

  • @Orgy-go1gj
    @Orgy-go1gj Місяць тому +3

    Hawa ndio watani original,big up sana brothers manara hii haiwezi

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd 7 місяців тому +5

    Mungu aendelee kuwapa moyo wa kupendana hivyo hivyo , wanasoka wote hasa watani wa jadi tunapaswa kujifunza kitu hapa, ahsante sana mbali na kuchangia kukuza vipaji mmetoa somo pia, ahsanteni sana.

  • @marystambuli8045
    @marystambuli8045 8 місяців тому +10

    Mimi pia Ally Kamwe na Ahmed Ally nimewapenda bure. Kuna kitu cha kujifunza hapo. BRAVO!!! Upendo na udugu

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 8 місяців тому +16

    Huu ndo utani unaotakiwa wa simba na yanga, nje ya mpira urafiki uwepo,kila la heri Ally na Ahmed

  • @TedyMshi
    @TedyMshi 7 місяців тому +3

    Nawapenda San Viongaz wa mchezo ongera San na mungu awape nguvu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 8 місяців тому +8

    AHMED ALLYNA ALLY KAMWE MMENIFURAHISHA SANA NIMEWAPENDA SANA. UKWELI MNAPENDANA SANA. SAFI SAAAANA. HAO WANAOWACHONGANISHA WAACHE HY TABIA NYIENI MARAFIKI SANA. MNAFAA SANA KWENYE TIMU ZETU ZA MPIRA. ASANTENI SANA VIJANA

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 8 місяців тому +17

    Hawa jamaa wanajuana vizuri sanaa nje ya mpira

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 8 місяців тому +30

    Ahmed Ally & Ally Kamwe,...nawapenda sn,Mimi Simba damu....huu ndio Utanzania,tutaniane tunavyoweza but udugu wetu ubaki pale pale,Kuna nyakati nilikuwa naumia sana, sisi mtaani Simba na Yanga tunapendana na pia ni ndugu,...lkini Kuna jmaa yule msemaji feki WA Yanga a.k.a Man......r HUYU kiumbe alitaka kupanda mbegu ngumu sn ktk TAIFA letu,...lkini ameshindwa.

    • @dizoclick
      @dizoclick  8 місяців тому +1

      Tanzania ni Amani na Upendo

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 8 місяців тому

      Usimhukumu mtu...kwani hakuwahi kusema baya alivokua kwenu???!! Ninyi mna roho za vinyongo na visasi...mtu anenda anapoona pana mfaa usilazimishe mambo!! Hata wachezaji wanahama kutokana na maslahi ni mjinga tu ndo atabakia na ushabiki wa kutojiongeza😏

  • @ShawejiKaneka
    @ShawejiKaneka Місяць тому +2

    Simba na yanga ni wapinzani ila so kama awapatani maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani

  • @MarckyCholla
    @MarckyCholla 8 місяців тому +17

    Nawakubali sana hawa jamaa sio yule manara matusi mengi na kelele mingi

  • @IssaMbilikira-t4x
    @IssaMbilikira-t4x 2 місяці тому +1

    Nimeipenda sanaa hiiii imeenda kweli hakuna uaduii

  • @husnasimba1659
    @husnasimba1659 7 місяців тому +3

    Nawapenda sana hawa

  • @fettyabuu2644
    @fettyabuu2644 7 місяців тому +1

    Mpira ni amani furaha na upendo sio uhadui ,,,safi Sana vijana

  • @kituhilel.j9747
    @kituhilel.j9747 Місяць тому +1

    Nawaelewa sana

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 8 місяців тому +8

    WAPO WATU HAMSALIMIANI SABABU YA MPIRA😂😂, HALAFU WANAO UPAMBA MPIRA NDO HAOOO WANAENDA MADUKANI PAMOJA KAMA UNAVYOONA NDUGU MTANZANIA. 😂😂😂 #mpira ni utani usiweke kwenye damu utakutesa😂😂

  • @PercqauolBulendu-l1m
    @PercqauolBulendu-l1m Місяць тому +1

    Safi sana

  • @maryhaule5625
    @maryhaule5625 Місяць тому

    ❤️❤️mko vizuri

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 3 місяці тому

    Nyie vijana mna mambo lkn vizuri sana vijana wa mateam makubwa Tanzania

  • @TullySwai
    @TullySwai 8 місяців тому +1

    Nawapendaaaa

  • @ChingaPambakalii
    @ChingaPambakalii Місяць тому

    Yule zelu zelu haelewi

  • @Media-zz8ec
    @Media-zz8ec 6 місяців тому +1

    Napenda mkiwa hivyo

  • @AbdulkarimNgosha-e1g
    @AbdulkarimNgosha-e1g Місяць тому

    Mnaitajika muendelee kuhudumu Kwenye timuzenu

  • @AndrewkabekeAndrewkabeke
    @AndrewkabekeAndrewkabeke 6 місяців тому

    Inapendeza sana jaman muwe vivi hivi siku zote

  • @RemmisonSangatiti
    @RemmisonSangatiti 6 місяців тому

    Wako vzur sanaaa

  • @thedickisonilinusi
    @thedickisonilinusi 8 місяців тому

    Inapendeza sana

  • @KarimlimbalileLimbalileyahya
    @KarimlimbalileLimbalileyahya 5 місяців тому

    Nimewakuli maafisa abli yanga na simba❤

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 8 місяців тому

    Hapo kweli mmechangia lakini sio kwakuupenda hiyo tecno

  • @ZamyIsmaily
    @ZamyIsmaily 28 днів тому

    Wenzetu wanapendana sisi twagombanaa 🤣🤣🤣🤣

  • @JuxNdeleboe
    @JuxNdeleboe 8 місяців тому +1

    Aahhhhhh hamed we

  • @SaidyJanuzaj
    @SaidyJanuzaj 6 місяців тому

    Dah utadhan sio wao wakiwa kwenye issue serious za timu zao, sio yule babu matusi ndio kipaumbele chake 😅

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 8 місяців тому +1

    Ahmed Aly kashinda

  • @ZiadaMlowe-pz4pe
    @ZiadaMlowe-pz4pe 2 місяці тому

    Yan apo Ahmed Ally asha salenda Kwa Ally Kamwe!! Mpole huyoooo😂😂😂😂 lakin ally acha mateso yako kwa ahmed

  • @OsmanBey-f8n
    @OsmanBey-f8n 7 місяців тому

    Mlikua wapi miaka yote? Mmeufanya utani wa jadi uwe wa amani sana.Nawakubali

  • @bahatisilvesta
    @bahatisilvesta 7 місяців тому

    Hawa jamaa tofauti na mpira wanajuanna

  • @SALOMEISULULU
    @SALOMEISULULU 2 місяці тому

    Ameeeen

  • @LinusEdward
    @LinusEdward 8 місяців тому

    Huwezi nunua simu kubwa kama hiyo kwa ngojera kama za ahmed ally za mpaka kadi toa hela nimeipenda😂😂😂😂

  • @farajambaza
    @farajambaza 8 місяців тому

    safiii

  • @givenjackson5449
    @givenjackson5449 6 місяців тому

    Kuwa shule sio kujua English ahmed jaman

  • @NeemaAloyce-q4l
    @NeemaAloyce-q4l 6 місяців тому

    Ahmed Aly haache tabia za kunyanyua vidole juu mtoto wa kiume

  • @edisondiokeresy2306
    @edisondiokeresy2306 8 місяців тому

    Ni wapi apo

  • @mengishabani5026
    @mengishabani5026 2 місяці тому

    👍👍👍

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 8 місяців тому +1

    Ndio unabust vpaj au kuftengenza

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 6 місяців тому

    Hawa jamaa bwana wanafurahisha sana😂😂

  • @abdullhamaidsalum1511
    @abdullhamaidsalum1511 2 місяці тому

    Nyinyi asaa muna ubumbavu 😂😂😂

  • @AbdulnasriHamisi
    @AbdulnasriHamisi 8 місяців тому +2

    Hawa jamaa wanajuana

  • @rahmaali8423
    @rahmaali8423 7 місяців тому

    Babu edi na babu ali 😅😅😅😅😅

  • @mohdseif2593
    @mohdseif2593 8 місяців тому +1

    Utanzania ndiohuu sijelas

  • @eaportBaraka
    @eaportBaraka 5 місяців тому

    500000 nahitaj

  • @kwangahudispensary7238
    @kwangahudispensary7238 8 місяців тому +1

    Hii combination ni noumer

    • @cornelphilipo2976
      @cornelphilipo2976 8 місяців тому +1

      Hawa jamaa wanaelewana sasa, cc tunauana bure

    • @dizoclick
      @dizoclick  8 місяців тому +1

      Classic

    • @DorahAlbert-e8w
      @DorahAlbert-e8w 8 місяців тому +1

      Me ndo mana sa hivi,sitaki kuumia na mpira Wala kumchukia msemaji yoyote😅😅😅,tunaumbuka sie mashabiki

  • @Zina-m2v
    @Zina-m2v 8 місяців тому +1

    😂😂😂 kisipiker vs miwani 😂😂kizazi jeuri

  • @JohnsonMartin-gc1lw
    @JohnsonMartin-gc1lw 2 місяці тому

    😅😅😅😅😅

  • @IsmailMakeo-ne3iy
    @IsmailMakeo-ne3iy 2 місяці тому

    Hahahahahah Et Unaandika Kwa Kulemba San Aisahihishwi

  • @PiliAbdallah-vc2no
    @PiliAbdallah-vc2no 7 місяців тому

    😂😂😂

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 8 місяців тому

    Yan bongo kwel mipango ziroo

    • @Shera806
      @Shera806 8 місяців тому

      Tuoneshe uwo wako uliosoma😢

  • @MariamHamiss-q8k
    @MariamHamiss-q8k 8 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 8 місяців тому +14

    SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa

    • @masoudmwakoba2757
      @masoudmwakoba2757 8 місяців тому +1

      Huo ubora kwenye mashindano gani?
      Kwenye ndondo huko

    • @ValerianaMdendele
      @ValerianaMdendele 8 місяців тому

      Ndio mafanikio yenu😂

    • @mayrose9772
      @mayrose9772 8 місяців тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂​@@masoudmwakoba2757

  • @AbdulkarimNgosha-e1g
    @AbdulkarimNgosha-e1g Місяць тому

    Hamasa mnazo kwakweri

  • @pendothomas7885
    @pendothomas7885 3 місяці тому +2

    Tecno kweli aisee

  • @BernardAbraham-e3q
    @BernardAbraham-e3q Місяць тому

    Bonge la tangazo; hongera kwa aliyelibuni na kulitengeneza!

  • @MussaRamadhan-v2c
    @MussaRamadhan-v2c 8 місяців тому +4

    Hawa jamaa inabid wawe Tim moja

    • @LawrencMbwana-dk7rb
      @LawrencMbwana-dk7rb 6 місяців тому

      Hapana mpira hauta noga hivyohivyo ndio safi

    • @DennisFandi
      @DennisFandi Місяць тому

      Hivyo ndio vizuri mashabiki maandazi wana vingi vya kujifunza

  • @amanlazaro
    @amanlazaro 5 місяців тому

    Natoa ya kufananaaa na wee we we

  • @KamgishaIsaya
    @KamgishaIsaya 6 місяців тому

    Mkovizuri wasemaji wetu

  • @danielmjema4316
    @danielmjema4316 7 місяців тому

    io laki4 na 20 ni pro au