ALI KAMWE NA AHMED ALYY USO KWA USO UTACHEKA/ MPANGO KAZI WAO UPO HIVI
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- ALI Kamwe Ofisa Habari wa Yanga na Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari ndani ya Simba uso kwa uso walikuwa na tambo zao kila mmoja kwa namna yake katika kuibua mabosi wapya wajao.
Hawa ndio watani original,big up sana brothers manara hii haiwezi
Mungu aendelee kuwapa moyo wa kupendana hivyo hivyo , wanasoka wote hasa watani wa jadi tunapaswa kujifunza kitu hapa, ahsante sana mbali na kuchangia kukuza vipaji mmetoa somo pia, ahsanteni sana.
Mimi pia Ally Kamwe na Ahmed Ally nimewapenda bure. Kuna kitu cha kujifunza hapo. BRAVO!!! Upendo na udugu
Huu ndo utani unaotakiwa wa simba na yanga, nje ya mpira urafiki uwepo,kila la heri Ally na Ahmed
Nawapenda San Viongaz wa mchezo ongera San na mungu awape nguvu
AHMED ALLYNA ALLY KAMWE MMENIFURAHISHA SANA NIMEWAPENDA SANA. UKWELI MNAPENDANA SANA. SAFI SAAAANA. HAO WANAOWACHONGANISHA WAACHE HY TABIA NYIENI MARAFIKI SANA. MNAFAA SANA KWENYE TIMU ZETU ZA MPIRA. ASANTENI SANA VIJANA
Classic
Hawa jamaa wanajuana vizuri sanaa nje ya mpira
Ahmed Ally & Ally Kamwe,...nawapenda sn,Mimi Simba damu....huu ndio Utanzania,tutaniane tunavyoweza but udugu wetu ubaki pale pale,Kuna nyakati nilikuwa naumia sana, sisi mtaani Simba na Yanga tunapendana na pia ni ndugu,...lkini Kuna jmaa yule msemaji feki WA Yanga a.k.a Man......r HUYU kiumbe alitaka kupanda mbegu ngumu sn ktk TAIFA letu,...lkini ameshindwa.
Tanzania ni Amani na Upendo
Usimhukumu mtu...kwani hakuwahi kusema baya alivokua kwenu???!! Ninyi mna roho za vinyongo na visasi...mtu anenda anapoona pana mfaa usilazimishe mambo!! Hata wachezaji wanahama kutokana na maslahi ni mjinga tu ndo atabakia na ushabiki wa kutojiongeza😏
Simba na yanga ni wapinzani ila so kama awapatani maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani
Nawakubali sana hawa jamaa sio yule manara matusi mengi na kelele mingi
Nimeipenda sanaa hiiii imeenda kweli hakuna uaduii
Nawapenda sana hawa
Mpira ni amani furaha na upendo sio uhadui ,,,safi Sana vijana
Nawaelewa sana
WAPO WATU HAMSALIMIANI SABABU YA MPIRA😂😂, HALAFU WANAO UPAMBA MPIRA NDO HAOOO WANAENDA MADUKANI PAMOJA KAMA UNAVYOONA NDUGU MTANZANIA. 😂😂😂 #mpira ni utani usiweke kwenye damu utakutesa😂😂
Kabisa yaani😂
Safi sana
❤️❤️mko vizuri
Nyie vijana mna mambo lkn vizuri sana vijana wa mateam makubwa Tanzania
Nawapendaaaa
Yule zelu zelu haelewi
Napenda mkiwa hivyo
Mnaitajika muendelee kuhudumu Kwenye timuzenu
Inapendeza sana jaman muwe vivi hivi siku zote
Wako vzur sanaaa
Inapendeza sana
Nimewakuli maafisa abli yanga na simba❤
Hapo kweli mmechangia lakini sio kwakuupenda hiyo tecno
Wenzetu wanapendana sisi twagombanaa 🤣🤣🤣🤣
Aahhhhhh hamed we
Dah utadhan sio wao wakiwa kwenye issue serious za timu zao, sio yule babu matusi ndio kipaumbele chake 😅
Ahmed Aly kashinda
Yan apo Ahmed Ally asha salenda Kwa Ally Kamwe!! Mpole huyoooo😂😂😂😂 lakin ally acha mateso yako kwa ahmed
Acha utoto tangazo hili wewe
Mlikua wapi miaka yote? Mmeufanya utani wa jadi uwe wa amani sana.Nawakubali
Hawa jamaa tofauti na mpira wanajuanna
Ameeeen
Huwezi nunua simu kubwa kama hiyo kwa ngojera kama za ahmed ally za mpaka kadi toa hela nimeipenda😂😂😂😂
safiii
Kuwa shule sio kujua English ahmed jaman
Ahmed Aly haache tabia za kunyanyua vidole juu mtoto wa kiume
Ni wapi apo
👍👍👍
Ndio unabust vpaj au kuftengenza
Wewe ni Kuma
Hawa jamaa bwana wanafurahisha sana😂😂
Nyinyi asaa muna ubumbavu 😂😂😂
Hawa jamaa wanajuana
kumbuka wamefanya kazi wote azam media
Babu edi na babu ali 😅😅😅😅😅
Utanzania ndiohuu sijelas
Classic
500000 nahitaj
Hii combination ni noumer
Hawa jamaa wanaelewana sasa, cc tunauana bure
Classic
Me ndo mana sa hivi,sitaki kuumia na mpira Wala kumchukia msemaji yoyote😅😅😅,tunaumbuka sie mashabiki
😂😂😂 kisipiker vs miwani 😂😂kizazi jeuri
Si mchezo
😅😅😅😅😅
Hahahahahah Et Unaandika Kwa Kulemba San Aisahihishwi
😂😂😂
😂😂😂
Yan bongo kwel mipango ziroo
Tuoneshe uwo wako uliosoma😢
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
SIMBA NGUVU MOJA 🇹🇿 ♥️ ❤️ 💖 mashabiki bora barani Africa
Huo ubora kwenye mashindano gani?
Kwenye ndondo huko
Ndio mafanikio yenu😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂@@masoudmwakoba2757
Hamasa mnazo kwakweri
Tecno kweli aisee
Bonge la tangazo; hongera kwa aliyelibuni na kulitengeneza!
Hawa jamaa inabid wawe Tim moja
Hapana mpira hauta noga hivyohivyo ndio safi
Hivyo ndio vizuri mashabiki maandazi wana vingi vya kujifunza
Natoa ya kufananaaa na wee we we
Mkovizuri wasemaji wetu
io laki4 na 20 ni pro au