Stamina Ft Atan - ASIWAZE (Official Video) Sms 9560614 to 15577 Vodacom Tz
Вставка
- Опубліковано 7 січ 2020
- Stamina Featuring Atan
Song Asiwaze
Audio Produced By Bear (Kiri Records)
Video Directed By Deo Abel In Dar Es Salaam, Tanzania.
ALL RIGHTS RESERVED.
Safina ► • Stamina Ft Barnaba - S...
Now You Know ► • KHALIGRAPH JONES x ROS...
Kibamia ► • Video
HIvi Ama Vile ► • Rostam (Roma & Stamin...
Kaolewa ► • Rostam - Kaolewa (Off...
ParaPanda ► • ROSTAM - PARAPANDA | ...
Kijiwe nongwa ► • Rostam x Nay Wa Mitego...
Tunao endelea kufatilia Goma hili hadi 2024 gongeni like hapa
💯
🎉
Kenya onyesheni upendo 👊 👊
Rdcongo tuko,butembo
Skizeni ujumbe wa Stamina kwanza LIKES mtaomba baadae..
Nataka kukupigia Lake marambili but imekataa badala tusikilize ngoma tuomba Lake
Yuko vizuri nice song
Exactly
Nimeipenda sana
Tangu enzi za sikati Tama Badoo naganda sitamina ujumbe mzito Papa Davio from+254
2024...❤🇰🇪🇰🇪....😢cjai pata likes jameni
From uganda 🇺🇬 wapi likes za Uganda 🇺🇬. We love u man talented
"Asiwaze " imenikuna sana hii ngoma alafu nahisi huyu ndo stamina wengi tunaomjua gonga like kama tupo pamoja....nampa 5 producers kwa kusimamia kazi nzuri kama hizi...natamani nisign kwenye hii label inaonyesha uhalisia wa mziki na maisha yapo hapa ..hii ndio sanaa kamili.
Masanja Mkandamizaji alivyopokelewa UK kwa mara ya kwanza
ua-cam.com/video/pkAe_pXmyN0/v-deo.html
Daddy Owen anafaa kuskiza hii ngoma
Don't gv up ...
Nilicho gundua kwenye huu wimbo stamina ametoa ya moyoni kabisaa tena kwa hisia.
Ila ujawahi kosea bro salute 🔥🔥
Wimbo umeimbwa ukaimbika....imagine wa Uganda 🇺🇬 hawawezi elewa huu wimbo watanzania big love ❤from 🇰🇪 🇰🇪
Kiswahili ilikuwa mob 🤗lakin tumeelewa ✌🏿🇺🇬🫡
"Akisikia nimekufa, mwambie asilie sana, aite rafiki wafurahi wachome nyama, nitazikwa na ndugu-marafiki na mafans kibao" kwa wale wote waliotuacha kwa sababu za kijinga
peace
Dah hii ngoma inawagusa wengi japo like 100 jmny
Biblia imetuagiza kuishi kwa akili na wake zetu. Angalizo Kama huna akili usioe utakuja kuimba ujinga kama huyu mpuuzi utafikiri tulimtuma.
Akili za wanawake wazijua wenyewe
Sanaaaaa
Ah simchezo stamina kaongea maneno makali sana
Baby Pendo mamae ndo mhn wanyamwezi tunachap nakuacha
Kwa kweli bonge la ujumbe, kama umeulewa gonga like kwake!!!!
Mwambieni yule dogo alie ichezea club ya Simba kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda😢😢,mstari ulionikosha na kuniumiza zaidi
😅
Kipaji kilishaishaa sijui anacheza ndondo
Life nayo na ndoa...aty unaeza kumpamia mkongo mkeo na usimridhishe, alfu anaempakia mkorogo ndo akamfanya amridhishe.... Daaaah.... 254....stamina is killing yo
Roma this song is gonna touch the whole society man!kazi ya msanii ni sanaa na umedeliver....no matter how painful it is!
Ni Stamina
Ni stamina baby, check your shit
#fact
Hehe😂
Bora wew ametoka mwenyewe broo me alibeba na vyombo vya ndan vyote daaaaaa ASIWAZE
Daaaah kwl asiwaze
Duuu wanawake akili zao
Not only a song but a life lesson❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪254
Kama umesikiliza hii ngoma zaidi ya marambili gonga like hapa twende sawaa
Amin kwamba jamaa nizaid y Kipaji cha Hipapu ngoma kali acha like kam umeanglia zaid y mal100
Hayo ndo mapungufu yakutanguliza cheti badala ya mtihani so tahasisi ya mahusiano irekebishe kufungu cha ndoa tuwe tunaanza mtihani chet baadae ahsante starmina
Kwer mzee iwe ivyo!!
Ndoa ni nouma bro, japo wachache wanahesabika thank my brother for good song
*Hata Posa niliyotoa mwambieni aingize vikoba* daah hyu jamaa katisha san like hapa chin tulisongeshe mbele goma la mkali rostam tz
Ndoa ni kama boti haiwezi ikapaki stendi
Huyo manzi mwizi arudishe hela za stamina za posa
Bongo la ngoma stamini
Wew ambae hujasikiza hii ngoma
Kabla ya kuomba like hebu kwanza anza kusonya
Classic music stamina wew ni mkali
Mxiiiiieeewww
Wimbo wa kwanza kuwa namba moja kwenye trend. Then ukatoka arafu baadae ukarudi tena namba moja.
Kama umegundua ilo dondosha like.
Duuu!! Bonge la ngomaaaa
Sio wa kwanza seduce me wa alikiba ulotolewa na zilipendwa then ukarud
Duu!!
Nyimbo Zuli sana
Staminaa
Duuuu inauma sana kaka pole sana wanawake viumbe vya ajabu wote madelila
❤❤❤❤😍😍😍 hisia za kweli kwa stamina
Kama nawwe unaamini huwimbo unaujumbe mkubwa ndani yake gonga like apa
👇👇
Good sana iyo nyimbo conk sa naaah
Ezekiel Charles nikweli kabisa
Naaamini
Cheed Madebe nisahhi 😎
Ndoa ndoano
Huu wimbo mimi napenda chorus tu!!! 👑👑🙌🙌🙌
am addicted to this song, i have to listen it daily before i sleep
Kama uko USA 🇺🇸🇺🇸🇺🇸na upo ndoani same time umemuelewa stamina NIPE LIKE ZAKE 🔥🔥🔥🔥✈️✈️✈️ ndoa shemo la wahuni
0scarnaiza Oscar sisi ambao atujaowa tuwe makini sana kuowa hapa marekani, ndoa ndo wano.
Acha tu brow niulize mm ndoa za America 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 utadeal na 911 kila siku 😂
Stamina
Mhh
Poleni wasmamizi, kwa ujinga mlosimamia. 100%💥
Khabla hujjafunga ndoa ,,sikiliza vizuli iyi ujjumbe ...........ndoa ndoano 🤷🙆✌️🇺🇬
Kama bado unatazama huu wimbo weka like yako hapa
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪niwakilisha wakenya wote tunamkubali stamina 100/100
Tuko ndani
@MR KANTOROKE egg of foggy GGT
Namkubali sana hta nlimtumga bro namuita stamina
What country flag is this ?
254 tuko wengi
Be wise as you engage yourself with women.
Aisy!!! Stamina ushasema. Bonge la hit. 💯💯💯
moses bariuh hatari sana
Zimefanana.. ua-cam.com/video/1N_f8LpIJTc/v-deo.html
Kama Umerudia this song two times wapi likes.. Im from Kenya 👊👊👊👊
Not only 2 times bro but every day ✌️🇺🇬👊
Hii ngoma ilitakiwa iwe on trend zaman sana cjui ilikuwa inakwama wap
What goes around comes around..
Pole sana kaka
"Kaka yake Nilishakula so ruksa kutoa vyombo", "Ila atakayemuoa mwambie ampe mtaji wa Bodaboda",
Wimbo mkali kila nikisikiliza natamani kurudia, Ujumbe kwa masela na wanandoa. Take it from Stamina
True that
Mwita Range .
Aya bulol
Heart touching song,,,big up brother stamina for great job
Big up Kaka kwa nyimbo nzuri sana ,iyi nyimbo inagusa watu wengi sana ...
Kama Leo Umeview Tena Hii Ngoma Gonga Like Chap.!!
Uchebe O
nline TV
Ni shida
Bro mtandao una tatizo…..ningegonga like100🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaaaah blother katugusa tulio single
Like utatisha Sanaa
Aiseee hii inakubalika 💯 akunapinga mizi yoyotee 🇹🇿🤛🤛🤛🇰🇪🇰🇪💯💯💯
Mad respect Stamina.Huku Kenya tumekubali 👏👏👏
"Unawez mpakia mkongo mkeo na usimlizishe, arafu anae mpakia mkorogo ndo akafanya amridhishe"
mstari nime ukubali sanahuu big up 🙌🙌🙌
Mapande Jr ndugu yangu, mwenzio hapa nataman kujua kamaanisha nin ila naon huu mstari unanipa utata...
Atari xn hp
Mi sijauelewa🙄😳
@@waltermfikwa4361 njooo inbox nikuambie kamanisha nn 0714333699
Hahahaaaa bro kweli cha mkongo hatari sana ,huo mstari tunaelewa Wa chache
Sana
Straight outta kenya,,, we are asking for likes here but this guy has represented all men, we keep things inside us with leads to depression,,, big up
Special agent bullet sm Sm ua-cam.com/video/x1-jSq-yEeU/v-deo.html
Special agent bullet sm Sm 👇👇👇
ua-cam.com/video/x1-jSq-yEeU/v-deo.html
Daaaah Inafundisha
Pole kwa kutoswa kama mm ningemto sadaka pole sana stamina
Jikaze mana syo ridhiki yako
3years and can't get enough of this song 🙂💔
Tulio owa na tunapambana na Hali zetu Gonga like za kutosha bigup kwa stamina
Km umesha sikiliza zaidi ya mara mbili 😣😣😣😣😣😣 gonga like yako
Eliud Changamike 👇👇👇👇👇👇👇👇👇ua-cam.com/video/x1-jSq-yEeU/v-deo.html
Kama umejifunza kitu kipitia huu wimbo achia like
Leave out real reason for the song.... And take the song as a real life story situation that can can happen or ever happen to anyone..... THUMBS UP STAMINA My guy👍.... U delivered💯🔥🔥🔥
Haikuwa muda sahihi wa wewe kuoa na haukupata mtu sahihi wa kumuoa, ukifika muda sahihi na mtu sahihi utaoa tuu stamina, the problem is watu wanaangalia pisi kali halafu inawaingiza kwenye mateso makali, how can you read a mind of a woman una date nae for a months na unaingia nae kwenye ndoa? Haya mambo yanahitaji hekima ya Mungu pekee tukienda kiubinadamu tunakutana na mambo ambayo hatukuyatarajia !!
The first one from Mozambique.
Personally me ni shabiki wa WCB, lakini napenda sana music wa huyu jamaa. Stamina is an awesome guy 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Kamaww tem rostam tujuane kwaku piga like hapa
Nakubal
Check
ua-cam.com/video/nfBI5dRtlcc/v-deo.html
Frank Mgaya kama kawa
Mhh!!!
@@charlesmahundu252 fresh tu
Romaaa😭😭😭wimbo wako was ASIWAZE Ni kitu kinacho nisumbua mpaka Leo yaani badala ya kusikilza na kufurahi najikuta nalia tuu kwani Kuna misemo Ni adhabu kubwa kwenye ndoa.aliesema neno ndoa ndoano aliharibu sana.na aliefundisha mapenzi alisahau na tendo.ukweli cheti Cha ndoa hakina mchongo popote.bora sonara nilikula nusu asara.kama hujui ndoa uliza Kwanza upewa maelekezo ili usije ukajuta Kama walio kutangulia.big up Broo stamina😭😭😭🙏🙏🙏🙏god bless you
Kuolewa apana Doa huumiza🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️wacha nikae single
"Aliesema ndoa ndoanoo hivii huyo mjinga ni naniii" !!!
Oya me namjua anapoishii
@@dullahbeats7539 ntumie no zake kudadeq
Tunaoiba wake za watu ...tuonane hapa gonga like apa😀
Kama unamku bari stamina gonga raiki
Daah 😂😂😂😂
@@mohammedsudi5151 noma
@@meronstudioz hatar😀😀
Daudi Chawo ukipakwa Mafuta pia uje kugonga Like
Kwakwer inaumiza sana brooo🤭🤭
NO LADIES!! ON THE COMMENT'S SECTION.when a man truly airs his grievances
Dah gonga like kama Moyo wako umeuma kwa hii stori ya kweli😭😭😭
Kuna mwingine amepanga kwenda kununua ile pete ya Stamina kwa nusu bei pale dukani😂😂😂
Onore Mbeleci k
Nimemuelewa sana
Duh
Rostam ni majembeeee kama unakubali hiyo piga like tuwe wazalendooo
A song like this never get old it remain on the top all years
Nimekuelewaa #siminaaa#
Poleeee
Ndoa # doa
Upo kwenye mahusiano ila hujui yanausiana na nini🙌🙌🙌🔥🔥😁😁
Kwa kifupi alifata mkumbo tu bila kujua anakumbana na nini😁😁😀
@@eneolatukio8493 eiwaa rafiki yake kaoa na yeye akaoa😁😁😁😁
Hahahahahaha
Hahahahah
Nipo
Stamina anahitaji cancelling hayuko sawa anaonekana kweli amemaanisha maneno aliyo ya sema
Immaa Bukuku counseling
hapana huu ni mziki kuna vitu lazima ameongeza na vingine kapunguza lakini kuna asilimia kubwa sana ya ukweli.
Kaongea ya moyoni yupo sawa
Hello ivi ni mmi narudia kuplay au tuko wengi jamani weka like kaa ulishakata tamaa ya kuolewa/kuoa Kwa kuogopa matokeo kama hii
Siogopi kuoa lakini naogopa kupenda
Kama umerudia i nyimbo zaid yamaramoja kama mm gonga like
Godfrey Kessy 👇👇👇
ua-cam.com/video/x1-jSq-yEeU/v-deo.html
Kama uko single na ujumbe umeuelewa gonga like
Hahaa sifun wee oa tu bwana.. Ndoa hazifanan
@@felisterkamuli1893 somo Zuri sana kwetu
Mi ndo mana cnaga shobo na hiz mambo za ndoa ubachela ndo naulewaga tu
Hii nyimbo nimeiyelewa
@@aminajohn9678 !
tulio single ii nyimbo ina tuusu🔥
Gusa like kama umeelewa✋🏿
weee usijishauli we owa ikifa tunazka
Inatuhusu sana
😂😂
@@eddymenas 🤗
@@andrewmsofu3390 dahh sijui itakuaje😊
Thank for speaking to many
Wanaume hupitia mengi Sana na machozi hudondoka tumboni
Stamina!! Stamina!! Unajua sana😥😥😥😥
Kama umesikiliza interview ya Roma ndo ukarud kusikiliza wimbo gonga like.
we do go wa club ya simba
et akija msiban nitafufuka nimzabe vibao
Kama umeludia zaidi ya mala 2 like🇹🇿
Alie ielewangoma hiii gonga like!
😉pesa aingize vikoba🤣🤣🤣
Hii mara 3
Nilike nini kwani ni wewe umeimba?? We kima au??
Saiz mtaan kwel nyimbo hii unaisiliza bila bando mstali hunyumba hii huu nyumba ile ad nyimbo inaisha
Somo kwa vijana tulio mwelewa stamina tumpe zake like Kama zote
Tuliorudi huku wakati wa Corona tupo wengi sio 😂😂
Sitamina kweri Kaka jipe moyo utapata wa kwako dear
Walio ludia huu Mara mbili huu wimbo gonga like tujuane
ua-cam.com/video/C_oUN-VndWA/v-deo.html tizama biashara kaka
Zaid ya Mara 5
5x
😂😂😂daaah,.. Stamina katiiiisha saaana,...:
"Pole wasimamizi wa ndoa,
Kwa ujinga mliosimamia,
Mngesimamia ukucha,
Mngekuza hata familia"
😂😂😂HIVI JAMANI,..MSIMAMIZI WA NDOA YA STAMINA SI ALIKUWA PACHA WAKE " ROMA" ??
😂😂
"Nikiziona picha za harusi,
Najisikia vibaya,
Namuonea huruma padre,
Pamoja na waimba kwaya"
😂😂😂😂
Saaaaaaaaaluuuute kwako STAMINA
bora mngesimamia kucha mngeongeza familia hahaa!!
Ukucha ndo nini?!
Hahahaha bora wangesimamia ukucha😂😂😂
🤣🤣🤣
Wangapi wamekuja huku baada ya refresh kumhoji stamina na kusema kajuta kufanya hii ngoma
Wasimamizi wa ndoa kwa ujinga mlosimamia ,,,,stamina bhn
tuliokubali huu wimbo tujuane hapa kwa like🙂🙂🙂
ile posa niliyo toa mwambieni aingize vikoba
Mwambie Yule dogo anayechezea club ya simba
Imeandikwa tuishi nao kwa akili
Na ile cake
Na yule mshenga
Noma saaaaaaaaaaaaaaaan
Duh!!! Mimi nimeielewa sana hii ngoma kwa ambae ameielewa kama mimi agonge like hapa!! Ndoa bhana walio kwenye ndoa wanatamani kutoka ambao hawapo wanatamani kuingia 😭🙏🙏
dah true man
DaaaaaH!!! Amakwel nDoa inamitiHani migimUsana thus why vyetiVyake vnaanZa kutoka kabla yamitiHan xo pole sanaBroo c0z wew nikakayake ushakula so muache2 atoeVyomBo
R.s.t in PC ndoa ya star kama hyu
"Mwambieni yule dogo aliyechezea club ya Simba..kutembea na mke wangu asijione kama ameshinda..mi samaki, mapenzi yangu yana shombo..kaka yake nishakula, so rukhsa kutoa vyombo.."..
Duh atal
Vipi Kuna anae mkubali huyu jamaa tugonge like
Nyimbo inameng sana
Check
ua-cam.com/video/nfBI5dRtlcc/v-deo.html
Tupo pamoja, pata biashara nzuri hapa ua-cam.com/video/C_oUN-VndWA/v-deo.html
Iv like zinkusaidia nn
@@batulemwamwaja6524 Kama hujui faida y like bonyeza hapa ua-cam.com/video/OWjp4jJpu_c/v-deo.html
"Sijui aliyenishauri nani" that's deep.
Wow Tanzania moto mungu awambariki 🎉🎉🎉🎉🎉
its a good song....they say you don't loose in an experience ... u either win or learn ...if u never won bro u have the lessons now ...don't focus on closed doors others have already opened
Kama umerud baada ya kusikiliza interview ya roma like tujuane
Daah sielewi
Bonge la ngoma
Mimi apa mana dah roma kaniliza
nicelly lyimo 😂😂😂sure nimerud kwa umakin
@@zakyahya4645 hahaha ndoa ipo mwaka huu kweli
Man I love Swahili hip-hop am from Kenya the flow of story Iko on top bro
Jamaan huu wimbo kwangu kama umetoka jana
😂😂😂😂 Pole Wasimamizi, Yakwamba Wangesimamia Ukucha Wangeongeza Familia! 👏👏👏🙌🙌🙌
gosbert buberwa kafumbo ako brother
Hahaha hayaa
@@ebenezerykimendo115 hatari Sana!
@Ashura Hamisi 😃😃😃😃😃 yaap! Yaap!
Nakubali Sana hii nyimbo aseee
Wale tunao iangalia iii ngoma kali uku tunaxoma comment tujuane kwa like 👇🏼👇🏼👇🏼
Tupo wengi
Daaah yn unaweza kosa cha kusema
Ngoma kali sana thanks you brother kwa ku2fundishi aujakosea ata kdg
Wangapa wana amini aliye kuwa dg wasimba ni ibra... ngonga like tujuane
Good boy sema fresh tu mapenz muda mwengine inabid upige fatya yan unakamat unamaliza na safi tu
Bonge LA ngoma hata like kumi tyu
Nakubaliana na wewe....tunakupa like zaidi ya Kumi tyu 👊🏼👊🏼👊🏼
Sasa nawashangaa nilike comments zako umeimba wew??
Like unazoomba kwani umeimba wewe?
Mke wangu katoroka nakuniachia mtoto mdogo ndani wa mwaka moja na miezi miwili sijui kaenda wapi natena kaondoka usiku tena mida ya 8:00 kasema Ana enda kununua mafuta ya kupikia ila kaenda mazima hajarudi ten a mpaka saa tisa usiku sijamuona ten a na saizi hajarudi saa tisa 3:05 nimeandika message kwa ukrasa wa stamina asante kaka maisha y angu kama umeyaona nitatuza mwanangu bila kujali mwanamke tena maisha yakumtegemea mwanamke yashaa nitoa imani nisito yataka tena
Pole mwanangu
@@khalifabiggy3439 asante kaka sasa mtoto ana miaka nne amjui mama ake
👊👊👊keep going brother
@@eliahrioba6679 asante kaka sasa dogo ana miaka minne na miezi mitano amjui mama yake
Polee😢
Jamaa aliyetembea na chorus ni fundi sana
Hata biblia inasema wanawake tuish nao vizur ila nilimpa mpaka sehem za sili.......... daaaaa AF mwisho wasiku ana kuacha......... Oa mdau kama inauma gonga like
Dah kama nawewe umeirudia rudia kama mm gonga like
Kama kuna kitu umejifunza kupitia Wimbo huu gonga like tujuane
Duuuh aiseeh
Nmejifunza sana
Niheshimu ndoa za watu sije kuwwvunjia malengo
Jckson Daudon 👇👇👇
ua-cam.com/video/x1-jSq-yEeU/v-deo.html
safi