Stamina ft Phina - YULE (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- #Stamina #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/stamina...
Written & Performed by Stamina
Video Directed by Deo Abel
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Saraphina nlikua nataka kuthibitisha unajua...nimeamini kwamba unajua saaaannaaaaaa👌
Nice video nice song love you my Zanzibar beautiful island location 🏝🌊⛱🌇🏖🐬
Shorwe bwenz kumetisha, kwenye hilo coras la kimataifa la huyo mDada
Thiz guy is powerful in music
Dah hawa watu wananguvu sana stamina kasahau kabisa na sasa kaanza kusifia haya bwan ngoja tusubir mwisho wa picha sijui utaimba nn tena yakikukuta ndugu yangu maan wanawake wote mwalimu wao kipofu.
2022 bado tunaishi nayo...
Kenyans in the house mikono juu...
Mr bonaventure mob love from Nairobi Kenya we ni king huku kenya tunakuita kiongos
Kama nanuona Vanessa mdee within sarafina ...! She so talented
Mr shorobwezi ndoga limejaa mistari nimeamini
Huyu sarafina ni kwanini hajafika mjini kwa nguvu zote maana ni bonge moja la mwanamuziki
Stamina sholobwenz we jamaaa ayo maneno yako sjui unatoaga wap itabid tukupe uking wa wa hip hop🔥
Naomb Young Dee atumiwe link imfikie
akae akijua huu ndio mziki wa real Hip hop music si kupiga kelele kwa media kma muimba taaarab
shenzi snaa
much respect from +254
mmeandika viingereza saaana mm nakuja na swahili hii ngoma ili ujue hajabaatisha fuatilia album nzima ya PARADISO mwana n katili kinoma
Kaka hii ndo ngoma yang ya mwaka 🙏🙏🙏🙏maana akuna ngoma niliyo sikiliza mwaka huu nikaielewq
Brazza Stamina , I got every thing it's takes am telling you..
Am always here when i see my comment is liked ..i return to comment again ..this guy is a vybe
Atema anahema stamina no one like yu🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪nuff love
mwamba hajawai kufeli Like nyingi kwa stamina🔥🔥🔥
Mm masai ila ngoma zako nazielewa kinoma kaka salote 👏💯💯💯
aka ka bwana ni msani bora wa hip hop
stamina so fresh
My comment ain't worthy to be here.. much love and blessings from KENYA 🔥🔥🔥..
Good music ninacho kumbuka tu kwa ex ni kile kiuno kigumu 😂😂
Halafu unapata katoto kana leta utoto 😅😅😅 mwambie yule Young bado anahitaji kukua,😀#wamemchokoza mbeya
Ww huko vizuri lakini viva roma ndie emetuboa kweli mwaka huu
Hongeraaa Dada yanguu ongezaa bidiiii nahisiiii ukoo vizuriii umeshatoboaa
24th dec 2021 history was made by stamina... it's a hit 🔥🔥🔥
Matiasi mzee wa Ibadi
👇 BONYEZA
ua-cam.com/video/yoDnrBpreMk/v-deo.html
Ukiongea kuhusu stamina kwenye game ntakuaambia kuhusu Sharobwezi ndo stamina mwenyewe
Young dee umesikia io pg kazi acha majungu umekaa unamzungumzia mtu yy anatoa kazi2 acha bangi
Kaka utawauaaaaaaa by Epa Tone
Daaaah
Stamina remains my favorite he never disappoint always ❤️❤️💪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I can see how all the compliments went so stamina but yoooh Saraphina did the great job here...she is damn the best❤️♥️
mwanangu stamina🔥🔥🔥piga kazi achana na YULE young dee
We ndo sweet, tenaa sweetie wa mchongo!! Ur de only one!! Nikikuona .... Kula Hadi..... Shwashwaainii waooooh hatariii!! Siwez kukuumiza m cna pakwendaaa!!
Goma langu Bora Kabisa Huwa Sichoki Kulisikiliza Until Die ✊
Yule Stamina has never disappointed
👇 BONYEZA
ua-cam.com/video/yoDnrBpreMk/v-deo.html
Aaaf Young Dee anaenda kwenye media aaf anasema stamina haujui huu mziki wa rap, huyu D anawazaga kweli?
SARAPHINA SARAPHINA OOOOOWWW SARAPHINA WEEEE 💚💚💚💯
BUg up my brother
Ninacho kumbuni kiuno kigumu kwa yule x
Sarphina kwenye Corus Hajawai fell Bonge moja la hits song🔥🔥🔥
Underrated rapper but always proving critics wrong. Nice one Stamina mungu akuzidishie. Much love from Kenya
Jamaa unajuwa paka unabowa💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Kazi safi,na hakika hujai tuangusha mafuns sugu🙌.... Honestly this has been the best Album for 2021.. hakuna Album imeshinda repeat mode kama hii... More love Mr. Bonventure from 254🇰🇪🇰🇪
if your reading this @2060 ..know this man was our best creative rapper during them hey days
Wakitaka uniteme ndio kwanza unanimeza💯💯💯🙈🙈🙈
You real killed it ,, stamina umekaa kwenye content and saraphina umenogesha Sana hiyo wimbo
Hiyo sauti ya saraphina na uo uwezo wa stamina sasa sijui 2ite dude au tuitaje saraphina wewe stamina wew
Huyu dada kaupiga mwingi sana humu 🍾🍾🍾🍾
it's moro town baby💥💥💥
Kazi Kali Sana Watoto Wadogo Wanapiga Kelele Tu Interview Zao,,,,,,
🥰🥰🥰Huyu Demu Mkali Sana
Sure staminaa uko juu nmetamani npige ngoma na wewe buh uwezoo ndo sinaaa,buh hope one day ndoto yangu itatimiaaa
Umetisha saana broo unyama ni mwingi saana humu🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Stamina anakumbuaka zaidi alipo wekewa sumu🤾
Umeuwaaaa kak tisha mbaya yaan ni bonge la nyimbo hilo.congratulation broo we2 wa morogoro
Stamina is the King after Roma✊
Phina's voice is magical. 💯💯🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Big tune
Stamina nakukubali Sana mtu wangu ukosei kabisa magoma yako yanakimbiza Sana
eti kuna mtu alisema bila roma huyu mjomba hawezi🤔🤔🤔🤔🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪
Stamina unacho kumbuka kw Yule Ex ni kiuno kigumu big up bro
Mamaaa lyrics cama hakuna yeyote mwenyenazo stamina pekeyake
Yeyote Yule Anasalute hii Banger...... Big up Mr Bonventure....
Weee sarafina ❤️🥰 wewe ni🔥🔥🔥🔥🔥kaza mama upo juuuuu🥰🥰❤️
Kichwa cha habari Tz kishatoa habari mpya. Asante sana kaka
Phina yan nakupenda bure una vocal za hatar uko vizur sana natural beauty Africa.
Oiiii Kaka stamina Mimi mistari zako zanimaliza bro,hivi naeza sema kuwa wewe ni msanii unayejua assignment yako na kile ambacho sisi kama mashabiki wako tunachotaka
Much love and respect toka +254
Stamina 🔥🔥🔥🔥🔥balaa la Africa
saraphina ulikuaga wapi siku zote hizo plz welcome to the game coz ur fireeeeeeeeeeeeeeeeeee
Naunga mkono hoja ww ndo rapa bora mwaka huuu stamina🔥🔥🔥🔥
I love Stamina and I highly recognize him as one of the gifted MCs in Africa, I understand and speak Swahili well, his writing is just mind blowing as the context is ever accurate and well connected with him. Hongera sana. Salam kutoka Uganda 🇺🇬.
Uko poa kenya nimekuwakilisha stamina
Shorwebwezi unaweza kabisa.. big up sana broda ... Holla at ya
Dah ila msenge unajua kuandika🔥🔥🔥🔥🥰🥰🥰
Yule mkenya hapa, much love for my G Stamina
Stamina hii ngoma umeua kuanzia mwanzo hadi mwisho 🔥🔥🔥
Sarah kauwa sana big up Stamina never disappointed
Mr Boniventure
$alute kwako my brother 👏👏Yule is 🔥🔥
This is the smoothest Chorus i've heard in a while. Saraphina ni kiboko❤🙌🏿
Stamina hajawah kosea
Goma kaliiii, melody Kali kwenye CHORUS, mwisho feeling Kali ya wimbo
Muziki kama baiskeli ukishajua umejua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hahaaah, shorwebwenzi hiyo mistari haainichoshi Mzee ,hujawahi feli ,kichwa amplifier
Vanessa umemkava kabisa 🔥🔥🔥Talent
Waukaee unatishaaa upo tayari kutoa adi ini
Konkiii snaaa... Hii chemistry motoo💪💪✔️💯💯💯💯
Saraphinaa voice is such a 🔥
Always Naenda Gym ju ya ngoma za stamina
This Guy stamina 🔥🔥🔥 legendary . can't get enough of you much love from 254🇰🇪🇰🇪
Phina kasimama vzr sn kwa chorus
Mkali wangu stamina
Nyimbo Kali sana Ila huyu saraphina ana hatari sanaaaaaaaaa
stamina ylemmmoja na rhymes za kiajabu... kuna vingi vya kupa ya nini nikupe stress...unatiiiiisha bro
Kabisa, voice ya Saraphina ya tisha mno
Good Collaboration Stamina
Daaah bonge langoma 100+100 huyo Dada kwenye chorus Ametisha yaEla yote💪💪💪Much love@mziki mtamu sio lazima tuimbe vidude😂
Kenya we stand up 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. wamemchokoza tena 🐐🐐🐐💪🏼💪🏼💪🏼
Dada anasauti nzur jaman...kajua kuunogesha wimbo
Big up big up my star for every time
Another one
I luck it
Brother stamina uko Moto sana.. mziki mazur kinoma my brother
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥umetisha sana kaka🙌🙌🙌🙌🙌
Saraphina voice turned me on 🔥🔥🔥
Mwaka unaisha kilaini sana. Umetisha Stamina. Hivi ndo inatakiwa.