Mch: Daniel Mgogo - Kwa nini Wanawake ni Wepesi wa Kuamini?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 296

  • @gladyschiringa5959
    @gladyschiringa5959 4 роки тому +1

    Mch.Mgogo Mungu akubariki, umenifungua macho na injili hii ilyo hai,endelea kupiga nondo baba kanisa lipone.ahsante

  • @wilycsterkwatera9880
    @wilycsterkwatera9880 4 роки тому +4

    Amen injili ya yesu na iendelee mbele

  • @ndenitoriakimaro9631
    @ndenitoriakimaro9631 4 роки тому +12

    AMEN baliķiwa mno Baba mafundisho yako yananibaliki mno kila nisikilizapo ama kuangalia yananipandisha kiwango kingine

  • @issajohn9415
    @issajohn9415 4 роки тому +31

    Mim ni muislam ila nakupenda wew baba mungu azidi kukuweka hakika unatufunza mengi

  • @lucykimonyi713
    @lucykimonyi713 4 роки тому +1

    Asante Sana pastor kwa mafudisho mazuri Baba Mungu azini na kukuinua

  • @maureenfondo6222
    @maureenfondo6222 4 роки тому +2

    Amen. ....mtumishi barikiwa kwa mafundisho.....umetuelimisha sana barikiwa

  • @fatmafa1896
    @fatmafa1896 5 років тому +11

    Amen mchungaji Mungu akubariki Sana kwa jina la yesu kristo aliye Bwana na mwokozi wetu amen

  • @gesegofrancis2004
    @gesegofrancis2004 5 років тому +6

    Niliumia sana baba. Ukiwa utawala mlitangaza siku ya jumamosi mngeanza mkutano saa moja. Nikatoka mbali nije nikusikize lakini nilipofika nikaambiwa uko kwingine. Niliumia sana aisee.

  • @victoriamuthoni9112
    @victoriamuthoni9112 5 років тому +2

    Mchungaji Mungu akubariki..mimi hufwalia sana mafundisho yako lakini leo umenisamba kofi la maisha ulipotaja msukule - kwani mimi ni mama mkenya mtoto wangu kachukuliwa kwa hali hiyo na mtatibu mmoja wa kitanzania kanisaidia kumrudisha ila sasa ni miaka kumi natapeliwa kwa malipizi yasiofika mwisho ilinikabidhiwe na kuhofia mtoto wangu nafwata tuu ila nilishafika mwisha lakini lakufanya sijui..mchungaji ukiona huu ujumbe naomba tuu utusaidie kwa vyovyote vile..Mungu akubariki sana..

    • @AminaAmina-sx1jn
      @AminaAmina-sx1jn 5 років тому +1

      Pole sana my dear .Chukua namba ya WhatsApp hapo chini ili umtafute.

    • @victoriamuthoni9112
      @victoriamuthoni9112 5 років тому

      @@AminaAmina-sx1jn asante nimechukuwaya hapo chini kwa screen..

  • @zawzdimsafiri6839
    @zawzdimsafiri6839 4 роки тому +2

    Barikiwa mno Kila ninapoyasikiliza mahubir yako Mungu akubariki mno

  • @wainainarachel1047
    @wainainarachel1047 8 днів тому

    Thank you for your message. Amen 🙏 🙏. God bless you so much

  • @jamesmnyawami9825
    @jamesmnyawami9825 4 роки тому +6

    Mungu akubariki sana sana👏👏👏👏

  • @rizikiwakibale8760
    @rizikiwakibale8760 4 місяці тому

    Maubiri yako imejenga sana unyumba wangu 🙏🙏🙏

  • @felicity3159
    @felicity3159 5 років тому +17

    Rev mgogo I don't regret at all listening to you.Continue blessing many

  • @lydiakinara9849
    @lydiakinara9849 3 роки тому +3

    Am really blessed With your preachings Man of God

  • @keiyokimarujoel.2701
    @keiyokimarujoel.2701 5 років тому +4

    Mchunganji umetuletea injili ya ukweli kabisa inayotuletea uhuru.
    Mwenyezi Mungu akubariki sana Mchunganji #Daniel#Mgogo:

  • @abdultandala9600
    @abdultandala9600 4 роки тому +1

    Mchungaji nakukubali Sana mungu akupe Maisha marefu;!

  • @rizikiwakibale8760
    @rizikiwakibale8760 4 місяці тому

    Mutumishi wa Mungu, ubarikiwe sana nakufutaka ni kiwa Canada

  • @rachelmwaki7454
    @rachelmwaki7454 5 років тому +2

    Yesu ni mwema,Bwana na hakutumie mtumishi

  • @anastasiatitus1490
    @anastasiatitus1490 5 років тому +2

    Baba Mchungaji Mungu akubariki sana pamoja na familia yako. Tunakuomba na huku Lushoto tupone baba.

  • @julesngama2508
    @julesngama2508 4 роки тому +1

    Ubarikiwe saaaaaaana ndugu yangu, iyi ni kali na nusu. Mungu apewe sifa saaaaaaana. Jitahidi uwe una fanza mazowezi ya Mwili

  • @epifaniamutelani4109
    @epifaniamutelani4109 5 років тому +4

    Mungu akubariki mch. Mgogo kwa neno la Mungu.

  • @jeandedieundereyimana7750
    @jeandedieundereyimana7750 4 роки тому +1

    Really, l'm from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧
    I like the way a pastor preaching, he's a good preacher into our neighbor's country.
    May God bless you forever and ever my preferred pastor. 🇮

  • @khalayirose633
    @khalayirose633 4 роки тому +2

    Mtumishi napenda saaaana mafunzo yako Ubarikiwe na Jehovah 👏👏👏👏🙌🙌🙌

  • @zaitunimsigwa8056
    @zaitunimsigwa8056 2 роки тому

    Mungu akubaliki sana🙏🏽🙏🏽

  • @byaombeswedy1674
    @byaombeswedy1674 5 років тому +4

    Amen, ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 5 років тому +3

    Da!!! Mtumishi Mungu akubariki saaaaaanaaaaaa,Amina.

  • @gabrielmasanyiwa3889
    @gabrielmasanyiwa3889 5 років тому +1

    Amina Mchungaji. Chapa kazi baba. Mwenyezi Mungu awe nawe.

  • @happytimes9747
    @happytimes9747 4 роки тому +4

    Huyu mchungaji nampenda sana😂😂😂😂😂😂😂mchungaji funga na kuniombea Kkkkkkkkkk am done

  • @kitulasitta6627
    @kitulasitta6627 3 роки тому

    Uko vizuri mchungaji

  • @costansiaburongo7919
    @costansiaburongo7919 3 роки тому

    Mungu akubariki mchungaji. Ponya baba ujumbe umefika

  • @leticiakibona7055
    @leticiakibona7055 5 років тому +3

    Amen Mchungaji nabarikiwa sana

  • @gracealexander5309
    @gracealexander5309 5 років тому +2

    Ameeen Ameeen Barikiwa sana baba yetu kwa upako.huo.Mungu azidi kukubariki sana

  • @fridahsamwel5356
    @fridahsamwel5356 4 роки тому +3

    Oh hallelujah praise wonderful name of Jesus

  • @hawawilliam9598
    @hawawilliam9598 4 роки тому +1

    Mungu azidi kukubariki mtumishi wa Mungu.mafundisho yako yana antivirus

  • @imaniamani7671
    @imaniamani7671 5 років тому +6

    Mchungaji we kiboko shikamoo yaani watakukoma.ubarikiwe na Mungu aendelee kukulinda

  • @jenifanyondo7295
    @jenifanyondo7295 Рік тому

    Barikiwa sana baba nabarikiwa sana na mafundisho yako

  • @constantinennonjela3922
    @constantinennonjela3922 5 років тому +4

    Baba upo na nguvu za Mungu kweli nakupenda na mahubiri yako

  • @fistprovider66
    @fistprovider66 2 роки тому

    Yani mm nakukubali pastor

  • @moghaneliud3940
    @moghaneliud3940 5 років тому +6

    Naomba mchungaji /mwinjirist kuwa tunamwalika aje kwenye usharika wetu wa kivule,matembele,Dayosisi ya mashariki ya Pwani karbuni sana

  • @beatricenjoki283
    @beatricenjoki283 3 роки тому +2

    Amen Amen 👏👏👏👏👏

  • @laurentjoseph5646
    @laurentjoseph5646 4 роки тому +2

    Amina tutaelewa tu hata kama tuna vichwa vigumu, makofi paaaaaa!! Tutazinduka tu na huo mgawanyiko wa akili lazima ujiunge, barikiwa sana baba

  • @constantinkalimba8376
    @constantinkalimba8376 4 роки тому +3

    Kwa maubiri na mafundisho unayo tutolea, mungu azidishe ufaamu wa injili kwa kuubiri na kutabiria mataifa, kwa kuwa siyo wewe unaye sema bali uwezo wa Yesu kristo.
    Mimi ni mkongomani DR apa Kalemie

  • @dusabeclaudine4276
    @dusabeclaudine4276 5 років тому +7

    Nakupenda saana kabisa kwa mahubiri ya kweli Mungu akubariki saana.From USA

    • @mariekapongo2041
      @mariekapongo2041 5 років тому

      Kwakweli namupenda huyu mutumishi wa mungu. Mungu azidi kumutumiya mtumishi wake. From UK

  • @mwasubilasaimoni8506
    @mwasubilasaimoni8506 4 роки тому

    Nabarikiwa Sana mtumishi unanitia nguvu na ujasiri

  • @rahandile7654
    @rahandile7654 5 років тому +4

    Hallelujah, kwa msaada wa Mungu tutapona. Barikiwa sana mtumishi

  • @siryahames4754
    @siryahames4754 3 роки тому

    Nakupenda sana mchungaji ubarikiwe sanaa

  • @victorbugobola2276
    @victorbugobola2276 2 роки тому

    ila ww mchungaji Mungu anakuona et ata mshono wa suruali utaona tu akili zmegawanyka aaah, mtumishi Ubarikiwe

  • @emmanuelmagigejacob6800
    @emmanuelmagigejacob6800 3 роки тому

    Mchngaji wewe ni noma mashine.Ubarikiwe

  • @sterahdavid8164
    @sterahdavid8164 4 роки тому

    Pastor Mungu akubariki sanaaa

  • @georgemangazini8167
    @georgemangazini8167 5 років тому +4

    Amen baba nabarikiwa sana

  • @furahafedrick8501
    @furahafedrick8501 4 роки тому +1

    Nilicho gundua mungu kaampa upeo wa kuelimisha kuliko mahubir japo nayo ni mahubir lakn yuko tofaut sana na wamafuta

  • @amootiesther1558
    @amootiesther1558 4 роки тому

    Mtumishi. Mwema Mungu akubariki

  • @clausemsemwa297
    @clausemsemwa297 5 років тому

    Watumishi wa Mungu wamegawanyika makundi mengi wengine wanafundisha.....nk hii sio injili ya makofi......anafundisha watu kuishi ktk maisha ya kawaida

    • @victormtani7170
      @victormtani7170 4 роки тому

      Una maanisha nini kusema injili ya kawaida? Clause Msemwa.....Unataka Injili ipi?

  • @samwelsaimoni1613
    @samwelsaimoni1613 2 роки тому

    Amina

  • @dativafaustine6248
    @dativafaustine6248 5 років тому +4

    Mchungaji mungu akubariki Sana

  • @restutamjuni4739
    @restutamjuni4739 5 років тому +1

    Kweli zime gawanyika nakupenda sana mchungaji

  • @dannyvadina2116
    @dannyvadina2116 5 років тому +2

    Amina pasteur

  • @winchlausonbanjuneki3430
    @winchlausonbanjuneki3430 5 років тому +9

    Hakika ninakuelewa vizuri sana injili unayopiga inagusa kila kona barikiwa Mchungaji (rusha nondo ukisikia kelele ujue shetan limempata)

  • @ricksonmrema86
    @ricksonmrema86 4 роки тому

    Mungu akubariki Mchungaji

  • @echungobabake6426
    @echungobabake6426 4 роки тому +1

    Amen papa pastor god bless your😍😍😍😍

  • @bihizaclement9868
    @bihizaclement9868 5 років тому +2

    Asante mchungaji

  • @nehemiajohn1851
    @nehemiajohn1851 3 роки тому

    Dah! Natamni sikumoja nkutane naww ndontalizka mchungaji ubalikiwe sana bba

  • @brandimsanii5947
    @brandimsanii5947 5 років тому +5

    kazi nzuri haya mabomu na kwetu kakamega

  • @barakaluvanda2174
    @barakaluvanda2174 3 роки тому

    Barikiwa sana mch.

  • @eliyadaniely5172
    @eliyadaniely5172 3 роки тому

    Amina sana

  • @zoomdance9627
    @zoomdance9627 4 роки тому

    Amen amen ubarikiwe

  • @germanamrosso3188
    @germanamrosso3188 5 років тому +4

    Unaishi na mtu usiemjua, ni kweli kabisa maana moyo wa mtu ni kiza kinene sanaaaa

  • @judylilian575
    @judylilian575 4 роки тому

    Nashukuru Sana. Nimejifunza mengi sana

  • @isackkazimili373
    @isackkazimili373 4 роки тому

    Amina pastor

  • @alexnatojeshilamtummoja689
    @alexnatojeshilamtummoja689 5 років тому +3

    Baba Mchungaji Nakukubali Sana kila Siku Najfunza Vitu Vingi Sana Kuptia Mafundsho Yako

  • @renatharaphael8217
    @renatharaphael8217 5 років тому +2

    Ubalikiwe mtumishi

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 4 роки тому +4

    Kweli mshono ya suruali kaweka wengi kwa shida,,,jamaniiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂😂😂😭😭

  • @paulinusmtega4171
    @paulinusmtega4171 4 роки тому +2

    Karibu kwetu iringa mtumishi wa mungu?

  • @hildajoshua2906
    @hildajoshua2906 4 роки тому +1

    Amen

  • @dreamyhouse44
    @dreamyhouse44 5 років тому +1

    Thank you Jesus tunajifunza mengi na yanaonekana

  • @kwandusamson8186
    @kwandusamson8186 5 років тому +2

    Mungu akubaruki na kukuinua ktk viwango vya juu.

  • @marrymethew1245
    @marrymethew1245 4 роки тому +1

    Hahaha jaman Kwa kweli akili za wanaume Imegawanyika kama surual zao ... Amen dady

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 5 років тому +6

    That's true man of God

  • @lovenesswotee4716
    @lovenesswotee4716 4 роки тому +2

    Naipenda mahubiri yake

  • @ezechieltsongo1061
    @ezechieltsongo1061 5 років тому +3

    Asante nime barikiwa sana

  • @eddygaville5061
    @eddygaville5061 5 років тому +1

    Mungu azd kukutianguvu

  • @rosenight272
    @rosenight272 4 роки тому +4

    Amina. Lakini watu hawataki ukweli ndio maana wanakosoa wachungaji.

  • @josephgagala2588
    @josephgagala2588 5 років тому +1

    Ahsante sana mchungaji ubarikiwe na Bwana

  • @AishaAmiri-ey3qn
    @AishaAmiri-ey3qn Рік тому +1

    Baba una mafundisho mazur saan MUNGU akupe miaka mingi

  • @wa-mbeyaTv4725
    @wa-mbeyaTv4725 4 роки тому +2

    Mwanaume ni chombo cha swagger ahahaaaa 😀😀😀😀

  • @wamburamwikwabi7155
    @wamburamwikwabi7155 3 роки тому

    BArikiwa saaaaaana mchungaji

  • @lawrencebenjamin9943
    @lawrencebenjamin9943 5 років тому +1

    mungu akubariki mchungaji umenigusa ameen

  • @mdegeratoure351
    @mdegeratoure351 5 років тому +6

    hahahaaaaaaaaaa mafundisho hayaa yamenigusaaaaa balaaaaaaaaaa

  • @mpendaradio2164
    @mpendaradio2164 4 роки тому +2

    Tangu nikufuatilie kwenye huu mtandao wa youtube aaah napenda na kufurahia mafundisho yako Mchungaji.

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 5 років тому +5

    Baba yetu Mgogo big up

  • @rizzyambinson6679
    @rizzyambinson6679 5 років тому +1

    Aminaaa

  • @panfiliusnestory34
    @panfiliusnestory34 5 років тому

    Amina amina mchungaj

  • @devothadevothaabela2653
    @devothadevothaabela2653 4 роки тому

    Ubarikiwe sana

  • @saimonkasanga6883
    @saimonkasanga6883 4 роки тому +1

    Nimependa

  • @rwechungurajohn3592
    @rwechungurajohn3592 5 років тому +4

    Kweli mch mm nakubali piga kazi

  • @mercimerci7334
    @mercimerci7334 4 роки тому

    Kira kitu Mungu mbere .

  • @mareenemuhonja9244
    @mareenemuhonja9244 5 років тому +3

    Eeeh!!,mchungaji ,Mungu akubari sanaaaa nko Kenya najiona nkiwa Tz

  • @mercyemmanuel8536
    @mercyemmanuel8536 5 років тому +6

    ha ha haaaaaa...Amen

  • @gloriousnp
    @gloriousnp 5 років тому +17

    Mchungaji Mgogo bwana
    Naona umeenda KUSHUSHA MABOMU Kenya 😆😆😆😆😆😆

    • @lydiaaruba6670
      @lydiaaruba6670 5 років тому +2

      Hivi yuko Kenya??
      Laiti ningalikuwa nimetoka ughaibuni jamani😂😂😂

    • @gloriousnp
      @gloriousnp 5 років тому

      Lydia Aruba poleee