WITO WANGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Mungu akikuita umtumikie hukuita katika wakati sahihi.Hata kama wewe unajiona bado lakini tafuta kujua Yeye anakuonaje.Hii ni safari ya Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando kuanzia siku Mungu aliyomuita amtumikie hadi sasa,ni nini kilitokea,baada ya hapo ikawaje na Mungu kamfikisha wapi hadi sasa.#PastorSunbella#Wito#Wangu
Ahimidiwe Mungu kwa ajili yako baba mchungaji, nabii na mwalimu mzuri.
Najifunza meeengi na ninafunguliwa sana kwa huduma yako ingawa ni kupitia youtube.
I connect kwenye uzao wangu awepo mtumishi wa Mungu atakayebeba kusudi la Mungu.Amen🙏
Mungu akuzidishie mtumishi wa Mungu
Pastor sunbela& pastor john❤❤❤
Amen amen amen
Allelujah
Pastor sia😢❤❤
Kweli Mungu awabariki wote mliomuunga mkono Mtumishi Sunbella bila ya Tashwishwi na maagizo ya Mungu, Daaahhh.. Mmetoka mbali ninaiheshimu tena hii huduma na watumishi wote, I salute everyone.
Utukufu,Heshima vina Mungu wetu.
Amen blessed
Mungu azidi kukupigania
Amennnnnnnnnn Daddy, nimebarikiwa sanaaaaa na nimejifunza mengi pia, MUNGU azidi kukutunza na kukuzidisha umekuwa Baraka sanaaaaa Kwenye maisha ya wengi💯🙏
Gaby kama Gaby ❤🙏
Pastor john😢😢😢❤
There's something so special about this man of God.
You're such an inspiration and may you rise to even greater dimensions of God's grace.
Glory to God
Nina NENO moja tu kwa MUNGU ASANTE MUNGU kwa kunipa Baba wa kiroo Baba Sun Bella na John Riality Na ASANTE kwa ulikowatoa walipo na wanakokwenda MUNGU endelea kuwatunza na her zikaambatane nawo na Shari kuwaepuka Kila Engo ya maisha yao Leo na milele AMINA
Nabarikiwa mno ck yangu inakuja
Yani nnavokupenda Baba eh🤫
Acha tuu,, I thank God for your life foreal.
Hope to see you someday
Nakumbuka nilipoona mafundisho yako kwa mara ya kwanza, nilitamaani kujua kuhusu wito wako.
Glory to God, thanks for your servant amefanyika baraka kwangu na kwa familia yangu
MUNGU akubarik jaman baba Kama sio mahubir yako ningekuwa nimeshajiua muda sana
Nimefrahia moyoni mwangu kufaham mwanzo wa with wako Mungu naazidi kufanya mambo ya ajabu kwaajili ya utukufu wake utukufu kwa Mungu
Amen nimejifunza MUNGU akuinue zaidi Baba
NAKUPENDA sana.my Dad pastor Sanbella.. kiukwel bila mafundisho yako nilitaka niache WOKOVU...toka nmekujua sijawai juta.. umenifanya niendelee na Imani yang ktk KRISTO YESU...bless you pastor Sanbella. thanks
Just sit here and waitin for the good history from the good man who luckly changed my life.
Oooh, Glory to God. You have a true anointing Man of God.. Mmetoka mbali sana na PastorJohn. Mungu awape maisha marefu na kuwaongezea hekima kila iitwayo Leo. God bless you🙏
glory to God kwa kukuongoza kwa watu wa kulea wito wa Bwana, pastor sanbella
Amen, nimebarikiwa sana, hongera sana mtumishi, uliposema ulienda chini ya bahari na kukemea, kisha uliporudi ukajiona pale kitandani, nimewaza sana na nikajifunza vitu anavyofanya shetani ameiga kwa MUNGU.
Utukufu kwa MUNGU BABA ALIYEHAI
Nimeipendaaaa
ROHO WA MUNGU ALIYEHAI
Aendelee na anaendelea kumimina mafuta mapya juu yako na juu ya kanisa hili
Tufundishe tuombee,
Dady Bella🙏🙏🙏🙏
Amen, Mungu aendelee pia kutumia Mtumishi wa Mungu
Nampenda sanaa huyu mtumishi wa Mungu actually huyu ndo mchungaji wa kwanza kumuamini kwenye maisha yangu. Amebarikiwa sana na Mungu namuitaga Nabii Elia.
Mungu azidi kukuinua na kukubariki dad bella.
Mungu aedelee kukutunza hakika Mungu amekuweka kwa makusudi❤❤
Glory to Almighty God,Listening and following from Kenya.
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu.napenda unavyofundisha.hongera kwa kutunza maono
Waiting
Holy spirit alinihakikishia Kansan kwako n Mahal sahihi.na kwa hii vdeo imezd kunibark
Yuko mkoa gan Huyu mpakwa mafuta?
Mungu awatunze kwa ajili ya utukufu wake amen
Nabalikiwa katika mahubiri yake Mungu alibariki
UBARIKIWE SANA PASTOR
Mungu ni mkuu sana.... Nimejifunza mengi na hii historia ya wito wa Mtumishi Sunbela.. Namshukuru sana Mungu kwa ajili ya hili kanisa... Kuna mengi sana najifunza kila siku kwenye mafundisho ya Mtumishi Sunbela na hakika nipo kwenye nyumba ya ibada salama sana.... Hata hapa tu kusikiliza hii kwangu imekua baraka kubwa sana..... Utukufu hadi utukufu.. Mimi nipo pamoja na hii huduma na hakika ni Reality of Christ na nazidi kumuona Mungu sana sana kupitia hili kanisa na mafunzo .. Neema ya Mungu inatosha.. Asante kwa baraka hizi Mtumishi Sunbela.
Kiukweli Mimi sio wa kabisa hilo, lakini kiukweli kabisa nimemfuatilia UA-cam na video zake, siku moja asubuhi nikiwa namsikiliza nikajiwa na usingizi mzito sana na kuona Pete za vifungo kwenye mkono wangu, ni mengi nimeshuhudia kwa kumsikiliza UA-cam. Natamani kukutana nae nishuhudie ya kwangu
Amen hallelujah
Muchungaji Nakupenda Sana natena nimeshukulu kwa kuku Pata wewe kama mwalimu wangu
Thank You LORD For connect me Kwa Hyu Mtumishi...
Amina Pastor
Amina
Ubarikiwe sana Mtumishi wa BWANA, nakupenda sanaaaaa, natamani siku moja nikuone
Hakika MUNGU NI MUNGU MKUU MNOO JINALAKE NIJINA LIPITAYO MAJINA YOTE NA UFALME WAKE HAKIKA NIZAID YAFALME Nimejifunza kitukikubwa sna kupitia kwako mtumish wa MUNGU EeeMUNGU nijaze moyo wauvumilivu kwakila hatua nayoipitia🙏🙏
Asante Sana kwa kushare Baba. Nimebarikiwa. More grace and anointing over your life. Nawapenda na Mama Siya.
amina baba nabarikiwa sana
Barikiwa kwa huduma njema baba, wewe ni baba yangu kiroho kabisa, Mungu akubariki Sana umenifundisha mengi Sana, baba asante sana
Historia nzuri Sana mtumisi. Binaries nimefurahi Mungu aendelee kuwa nawe.na huduma izidi na kuongezeka zaidi na zaidi nakuombea zaidi k🙌
Blessed be the name of the lord God almighty for this grace.
Shalom.nimekuwa nikibarikiwa sana na mafundisho yako na kunivusha sana pia nakumbuka semina ya meals 2017 au 2018 nilihudhuria kea wiki moja na kea uhakika siku ya mwisho Mungu alinionyesha kazi ninayopaswa kuifanya wakati hui I was so desperate,jobless ,rejected and also hard drinker.Right now am saving God meaningful na nimeanza project ya kufuga kitimoto Bagamoyo.ndio nimeanza ila naamini itakuwa kubwa keani ni koi yangu kumtumikia Mungu kwa kila atakacho kiweka mikinoni mwangu na mimi niwe na furaha na amani ya uchumi.Najua nitakutana na wewe siku moja maana moyo wangu umejawa na hiyo shauku.kazi yako ni njema na Mungu akubariki.
Asante mungu kwa kukupa nafasi hiyo nabarikiwa sana na huduma yako hasa kwa kupitia wito wako nàzidi kubarikiwa mungu azid kutenda kwako na kwetu pia
God bless you our lovely pastor I'm truely blessed with your teachings may the Lord keep you safe Baba your lovely wife and kids
Nimebarikiwa Sana ,Mungu akupe maisha marefu saaaaana baba tunakuhitaji katika huruma hii siku zote
Thanks u Jesus
Naangalia na kusikiliza mpaka machozi yananitoka, Ubarikiwe mtumishi wa Mungu Sunbella.
Sanbelar mungu.anakuona.siku zamwisho utajibu.koment zote zuri.ila hii.izingatie.sana.mungu.sio aly
@@paulomtweve5952 unahisi ajaitwa au
Asante Mungu kwa wema wako yani adi mwili wangu umesisimka sana
Woow.Anafanana na babake
Hongera sana na mungu akutumie zaidi ya hapo naomba kua mwanafunzi wako ktk ualimu wako.
Aminaaa💓
Ubaliwe
Mungu aendelee kukutunza mtumishi. Amen.
Nakupenda sana pastor .
Umekuwa mwalim mzuri sana nakwakupitia kwako mungu atanifikisa anapotaka
uzidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu
Nakumbuka sana ulivyokuwa unakuja loyola High school...a true man of God
Mungu akubariki sana pastor
nimeisikiliza hii story nimejikuta waooo!! Na machozi yamenitoka
Yani one day nliona clip yake nikavutiwa naye ata kabla nimjue wito wake. God bless you man of God
Glory be to God Almighty, Mungu azisi kukuongoza. Akufiche kwenye mabawa yake na jani yoko
Am here waiting 🙇♀️
MCH YOU ARE A CHOSEN MAN OF GOD , NINABARIKIWA SANA POPOTE PALE NILIPO JINA LA BWANA LIBARIKIWE
I thank God for letting me to know about you.
daah touched mmetoka mbali Mungu awabaruki sana watumishi wake tunawapebda tunawaombea
A very humble servant of God may the almighty continue to enlarge your ministry in Jesus name
Umefanyika baraka sana kwenye maisha yangu, Mungu anamakusudi yake jmn 👐👐👐
Mungu nimkuu sana 💓
Wooow Glory to GOD 🙏🏾
Nmebarikiwa🙌🙏
Nimebarikiwa Sana,
Mungu akubariki Sana Mtumishi wa Mungu dady Sunbella Kyando.
Mimi nahitaji kukuona pastor niko ifakara naomba maelekezo.
Hallelujah. Prays the Lord. Kumtumikia Mungu faida sana. Mungu aendelee kuwatumia . I love you guys.
Awesome . Love your ministry.
Glory be to God! Hallelujah... Greetings from Bagamoyo, we are waiting patiently
Ameen!.
I was waiting for this
Mungu akubariki nimebarikiwa sana 🙏🙏🙏🙏
It's so heart touching..Mungu azidi kukutunza
Asante sana kwa hili.
Powerful👏👏👏… we Love you baba
Yes My Mentor am learning 😭😭😭
Glory to the Almighty God🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🔥🔥🔥🔥🔥! We thank God for you man of God!🙏🏽
Amen
Very powerful
Akika we ni mkweli niliwahi kukuona kwa Makandiwa.
Glory to God 🙏
Amen 🙏
Natamani one day nikutane nawe
I have learned a lot 🙏🏾
Glory to God
🙌