GHARAMA YENYE FAIDA - PASTOR SUNBELLA KYANDO
Вставка
- Опубліковано 29 лис 2022
- 1 Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti, 2akaona mashua mbili zimekaa kando ya ziwa, lakini wavuvi wametoka, wanaosha nyavu zao.
3.Akaingia katika mashua moja, ndiyo yake Simoni, akamtaka aipeleke mbali kidogo na pwani. Akaketi, akawafundisha makutano akiwa katika mashua.
4 .Na alipokwisha kunena, alimwambia Simoni, Tweka mpaka kilindini, mkashushe nyavu zenu mvue samaki.
5. Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.
6.Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
7.wakawapungia mikono washiriki wenzao waliokuwa katika mashua nyingine, waje kuwasaidia; wakaja, wakazijaza mashua zote mbili, hata zikakaribia kuzama.
Amen Amen. Niko tayari bwana Yesu kulipa gharama
Bwanayesu naomba unipe ufumilifu wa kusubili wakati wako AMEN,,mtumishi asate kwa mafusho umetupea❤
I RECEIVE IN JESUS NAME AMEN
Amen
My hero
Asante Kwa ujumbe muzuri
❤
Bwana Yesu Kristo naomba neema,neema ya kutosha kusubiri umalize kuhubiri nitupe nyavu kama mitume wako. Amina. Asante Mtu wa Mungu kwa neno na huduma. .
Amen mtumushi barikiwa sana
Mungu yupo mahali apa,nimeona moto wa roho mtakatifu
Mungu nipe unduma kubwa namiye
Amen amen amen
AMEN
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Asante Roho mtakatifu
Amen daddy 🙌🙏
Gharama Yenye Faida 🙏🙏😘
Amen
AMEN
Amen
Amen