Unaju tatizo kubwa mungu anakuangaza ulitumia nguvu kubwa kutuaminisha kuwa ileilikua ndoa yakweli watanzania wote wakaamini kuwa nikweli sasa unatumia nguvu hiyohiyo kutuaaminisha kuwa ilikuwa sikweli nilana zakudanganya wakubwa kwa wadogo laana hiyo itakutafuna mpaka mwisho wamaisha yako tubu kikamilifu usamehewe usichukulie mzaha nakikos chako mwambie mchungaji angalie mchungaji hatumiki hivyo asicheke sijampenda kabisa
Achana na mitandao bibi wewe unazidi kujidhaliisha wacha lipite fanya mambo yako mana kila ukifanya interview kutaka kuaminisha watu kua ni Kiki unaambulia kichambo ambacho kinazidi kukupatia stress wacha kufanya interview litapita. Hadi kipimo cha mimba mtandaoni hee!! Ili iweje sasa! Mama unazidi kuwatia stress na wtt wako kila siku mitandaoni namuonea huruma sana yule mtt wako mkubwa tuliemuona akihojiwa very sad unawaathir wanao kisaikolojia ujuwe.
ila mama jaman unazidi kujidhalilisha na kuwadhalilisha watoto wako sijui mtoto wako mkubwa anajisikiaje kwa kipindi hiki mungu amsimamie uwe unafanya mambo kwa kufikiria ona madhara ya kutembea na vitoto vidogo sasa ivi unadhalilika kila leo
Mama yangu mzazi anamiaka 64 ukimuona leo ni kama anamiaka 35 jamani miaka 50 unayo kabisaa wewe ni kibibi mbona unakataa miaka yako. Mara ulifungiwa ndoa kwa rafiki yako leo unasema kanisani duh wajiaibisha sana
Na kama ulumuona basi alimdanganya kijana kua ana mimba. Hata kama walikwenda kupuma basi alikua amebeba mikojo ya mtu mwenye mimba akayapeleka.wanawake tuna vitimbi sana
Mama Mungu anakuona kwelii tena huoni haiyaaa unamdanganyaa uyo mtoto umembemendaa unamzaa uyoo , mulberry huruma mtoto wa mwanamke mwenzioo , KIKI gani ???
Unazidi kujichanganya tu ulisha kosea mpaka na mwanao ulikuwa unamshirikisha wa Nini kwenye mahojiano Kama ilikuwa Kiki kwa nn uhusishe watoto mpaka kwa waandishi ilitakiwa Kiki yako iishie kwako na aiz mm ungeleta kesi kwangu ningekuweka ndani sk tisi ili usiludie Tena
Sifahamu ukiaminisha watu ndio inakusaidia nn mpaka upume mimba live ♥️ mkatuonesha mikojo hapa ata ingekuwa ukiwa una mimba mtt utalelewa na tv basi sio hivi tena kashfa tu 😄
Kapima Maji huyo Mbona ana haha!! SI akae Kimya!! Kama NDOA Ilikuwa ya UWONGO shida ya KUONGEA sana ni nini!! KIJANA HAKUTAKI TENA.... MALAYA MZEE WEWE!! JIMAMA OVYOO KABISA, KAJAMBE MBELE... KWENDAAAAA
Mtume kasema tusifanye mashara katika dini huyu mama amekosea Sana Hilo lkn jengine Yule kijana amemkosea Sana huyu dada alijitoa Kwa moyo alikubali matusi fedheha zoote lkn Leo ana mlipa maovu
Wema wako umekuponza maskini Pole sana ndio utubu sasa maana kuzalilika ushazalilika sana Ila hapo kwenye kupima mmefeli sana mnataka ku prove nin wew mama em achana na haya mambo
Na bado mtatapatapa sana nitazidi kuwaambia kuwa hamkutudanganya sisi bali mlimdanganya mungu ndoa ni mpango wa mungu sasa mnautafuta ukweli kwa nguvu mpaka mahakamani
Hapana, kama alikuwa nayo na akatoa bado ingejionesha kuwa ana mimba, maana ni wiki tatu tu, homoni zinafutika mwilini kuanzia wiki 4 mpaka 6.Hivyo inaonyesha hakuwa na mimba
Wewe mwananmke mwenzetu acha uongo. Kwa taarifa yako ndoa ni ndoa huwezi kusema ulikuwa unaigiza. Kama uliingia kanisani na mchungaji alikuwa madhabauni akiwafungisha hiyo ndoa basi hiyo ni ndoa halali kbs. Kwa sababu mchungaji alishiriki, pamoja na wasimamizi. Ni bora ukatulia kuliko kujirusha kwenye mitandao.
Ila Aisha kwa nini uliwaaminishia watanzania kuwa mlifunga ndoa, kiki ya namna hiyo sio nzuri na kama ni kiki kwa nini mliweka kanisan? Naomba wazazi wa izee waitwe ukweli utapatikana. Wazazi wa izee jitokezeni kuelezea jambo hili
Huyu mama simpendi anatumia nguvu nyingi kujisafisha soon anaingia miaka 50 mme wake kasema kazoea kuchezea watoto wa watu kubwa jinga hili aibuuu 😂😂😂😂
Hiyo mahakama ya kumhukumu huyo kijana lamda uhonge lakini laa sivyo wewe uko hovyo.ulitamba mwenyewe kua hadi tumefanana., hadi kwa mkuu wa mkoa wa temeke mlienda kama mke na mume, hadi mwanao alihojiwa akakiri kua huyu ni baba.umejichafua mwenyewe mama, mastaa kibao wanafanya kiki na haina madhara yoyote.ushauri wangu ungekaa kimya tu usizidi kulisambaza.
Duh!! Huyu Dada had huruma😳🙄Weee kwanza umekosea Mungu sana ulikiri kuwa ume badili dini yaan wewe dada Mungu hatokuacha ndio Maan wewe watu wengi hawakuamin kwa sabab umekosea sana utadhalilika tuu Ila pole sana ndio mambo mzee wa kwaya😩😢🙄Mhh hii movie sijui itaishaje jaman 🔥Mpk sasa cjui nishike wapi Ila Izii kwangu iman kwake ipo asililimia 90 au 99 wewe nakupa moja tu 😂😂
Mama acha hayo mambo,umri huo hapana.hutapungukiwa chochote hata kama ilikuwa kiki ,kwanini ufanye WW ni mtu mzima kujiabisha TU ungeendelea kufanya KAZI Yako ulipungukiwa Nini .
Kweli hakuna geti na watoto pia hakuna sasa jamani huyo Izee achukuliwe hatua au labda pia hii ni kiki wajifanye wamepanga wagombane haki siamini tena kiumbe Mtu
Ameshatoa hiyo mimba maana ndiyo kazi yake huyu malaya kikongwe kulala na watoto wa wenzio!! mbwa mwitu wewe! ndiyo maana mume wako halali alikuacha na sasa umetoka kwa Izee unachukua wanaume wa watu!
Mwenyezi mungu amekulani wewe.muisilamu umeenda kubadilisha dini kwa kitoto kidogo ona sasa unavo aibika umebaki kutapatapa kama mfa maji mtu mzimaovooooo lana hiyo
Mtumzima ovyo umemdanganya adi mweshuniwa Joketi na kumuwaminisha ni mke wa Izee Mungu anakumbuwa vibayaa miaka 38 uitoe wapi unajitahidi kushinea mawivini Ili uwonekane Binti wakati kilometa zimesoma
Huyo muongo mimba katoa na pia umri wake ni mkubwa 49 . Umri sio sura ni namba hata akiongea macho yanaonyesha ni uongo anaongea wanasaikollojia tunaelewa what is going on
Kweli wema Waweza kukuponza sana na pia labda kuna Jambo Mungu amekuepushia janga kwa njia hii Izee ananitumia mi nakupa pole nalikuwa nimekuchukia sana kwa sababu niliona mwanamke ni awe na maadili lakini nimefikiria nikiaona Aisha awe Mungu atende kazi yake basi dada fanya maombi
Dada sijui kama unasoma hiz coment acha na mitandao ww umeshaonekan kwa watu ww muongo haina haja ya kufanya yote hayo hata hap umepima lakin inaonekan umetoa mimba ndiy maan haipo hata ufanyej aizii ndiyo anaonekan mkwel ww muongo
UKIANGALIA KWA UMAKINI MKUBWA HAIKUWA NDOA ILA ALICHOKOSEA NI KUWAAMINISHA SANA WATANZANIA HAPO TU.
Mama unajidhalilisha sana kumbuka wewe ni mwanamke,ona aibu basi
Kwanini utudanganye mnatumalizia mabando pumbavu nakizazi chako hats mama aliekuzaa ni feki ungekuwa Moshi tungekupiga mawe ngurue wewe
Kweli maneno yako
@@aminakawawa5800 kwer
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😛😛😛
Unaju tatizo kubwa mungu anakuangaza ulitumia nguvu kubwa kutuaminisha kuwa ileilikua ndoa yakweli watanzania wote wakaamini kuwa nikweli sasa unatumia nguvu hiyohiyo kutuaaminisha kuwa ilikuwa sikweli nilana zakudanganya wakubwa kwa wadogo laana hiyo itakutafuna mpaka mwisho wamaisha yako tubu kikamilifu usamehewe usichukulie mzaha nakikos chako mwambie mchungaji angalie mchungaji hatumiki hivyo asicheke sijampenda kabisa
Achana na mitandao bibi wewe unazidi kujidhaliisha wacha lipite fanya mambo yako mana kila ukifanya interview kutaka kuaminisha watu kua ni Kiki unaambulia kichambo ambacho kinazidi kukupatia stress wacha kufanya interview litapita. Hadi kipimo cha mimba mtandaoni hee!! Ili iweje sasa! Mama unazidi kuwatia stress na wtt wako kila siku mitandaoni namuonea huruma sana yule mtt wako mkubwa tuliemuona akihojiwa very sad unawaathir wanao kisaikolojia ujuwe.
Ata mimi nimeshangaa sana Kila kukicha yupo mitandaoni.na icho kipo Cha mimba tena ndio kujidhalilisha
Huyu mamaHana piliadi hiyo mimba ataipataje jamani hili ni zeee tuu hamna mimba
Mtu nzima oyoooo ulikua unamkubatia mitandaoni yoooo Lana wew unamtia aibu mwanaotu na ukiwi ukapime
@@mwanakhatib5825 ukimwi pia aje atupimie kama hivi alivopima mimba nyoko zake
Huyu mama mtyumzim ni muongo san mpk sura yk imemchoka kwa kweli
Usimpe hongera huyo mama muhuni tuu
Msituletee uyo mama atumtaki kabisa leteni watu wenye shida apa
ila mama jaman unazidi kujidhalilisha na kuwadhalilisha watoto wako sijui mtoto wako mkubwa anajisikiaje kwa kipindi hiki mungu amsimamie
uwe unafanya mambo kwa kufikiria ona madhara ya kutembea na vitoto vidogo sasa ivi unadhalilika kila leo
Tumemchoka hasaa asijikoshe buree yeye ni muongo aliolewa anaona aibu huyo mjinga
Si ulisema pete mlinunua tandika? Wewe mama embu tulia achana na mainterviw. Naona hutunzi kumbukumbu?
Mama yangu mzazi anamiaka 64 ukimuona leo ni kama anamiaka 35 jamani miaka 50 unayo kabisaa wewe ni kibibi mbona unakataa miaka yako. Mara ulifungiwa ndoa kwa rafiki yako leo unasema kanisani duh wajiaibisha sana
Wee yure ni mtoto wako Tena mmefanana sanatu achauongo wako
Shangaa nawewe anavyohangaika kikongwe huyu
@@ramlamburi9743 hana adabu 50 huyo achunguzwe mpaka ajulikane na uongo wake
Na kama ulumuona basi alimdanganya kijana kua ana mimba. Hata kama walikwenda kupuma basi alikua amebeba mikojo ya mtu mwenye mimba akayapeleka.wanawake tuna vitimbi sana
Mama Mungu anakuona kwelii tena huoni haiyaaa unamdanganyaa uyo mtoto umembemendaa unamzaa uyoo , mulberry huruma mtoto wa mwanamke mwenzioo , KIKI gani ???
Unazidi kujichanganya tu ulisha kosea mpaka na mwanao ulikuwa unamshirikisha wa Nini kwenye mahojiano Kama ilikuwa Kiki kwa nn uhusishe watoto mpaka kwa waandishi ilitakiwa Kiki yako iishie kwako na aiz mm ungeleta kesi kwangu ningekuweka ndani sk tisi ili usiludie Tena
Bibi wewe Mungu hatakuacha salama. Tubu na mwombe Mungu akusamehe. La sivyo utapata tabu.
Yani uyu dada ovyo kabisaa yule mtoto saizo hana raha kabisaa nahatuwezi kumuona kwenye huu ujinga sikuzote ujapima ulikua wp wee danga tuu
Mama na utu uzima wote unahangaika nini na watoto wadogo?
Anatombana na watoto wake
@@siashao169 😂😆😂😆😆😂
Umetowa iyo mimba mwenyezi mungu akusamehe naimani mimba umeitoa
Lakini mama ndoa Si mliitangaza wenyewe mabusu kama yote ushachezewaaa
Na keki walilishana mdomo kwa mdomo
Mtu mzima kisheti wanasheria walio kusikiliza itakuwa wanatumia simu za tochi hawajaona ndoa yenu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mmmh, maximum tv mumenishiinda Hadi mimba mumempimaa ,nyny kiboko TV zote wamelishindwa hili lkn nyny mumeweeza ,
Sifahamu ukiaminisha watu ndio inakusaidia nn mpaka upume mimba live ♥️ mkatuonesha mikojo hapa ata ingekuwa ukiwa una mimba mtt utalelewa na tv basi sio hivi tena kashfa tu 😄
Kapima Maji huyo
Mbona ana haha!! SI akae Kimya!!
Kama NDOA Ilikuwa ya UWONGO shida ya KUONGEA sana ni nini!!
KIJANA HAKUTAKI TENA....
MALAYA MZEE WEWE!! JIMAMA OVYOO KABISA, KAJAMBE MBELE...
KWENDAAAAA
Mume wa Kwanza labda alimshindwa kwa umalaya tu kaamua kujisepea!!
Huo sio mkojo hayo ni maji wewe adidanganye watu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ana 50
@@aminakawawa5800 😆😆😆😆😆.
Uyu mama sio mwisilamu kwanza malaya kwenda zako kwann ulidhalilisha uisilamu wewe
Auliwe
Hanadini
Ivi akunasehem ya voice natamani kutuma voice nichambe mbwa uyu mama mtu mzm ovyoooo utakuja kufa wew choko wew
Aisha gani uyo akwende kabisa, aliukana uislam zaidi ya mara 3
Ilo nalo neno mtihani kwa kweli dah kuna mambo si ya kufanyiwa mzaha hata kdg.
Mtume kasema tusifanye mashara katika dini huyu mama amekosea Sana Hilo lkn jengine Yule kijana amemkosea Sana huyu dada alijitoa Kwa moyo alikubali matusi fedheha zoote lkn Leo ana mlipa maovu
Huyu mama lakini nimkweli msimtukane jamani ilikuwa nikiki mimi nimemuamini anasema ukweli🇰🇪
Huyu mwanamke ni mnafiki sana ! Kwanza lazima APIGE SHAHADA TENA ! AMEKUFURU SANA , HATA ALLAH HAYOKO RADHI NAE !
Nyie nae sasa tunaamini mnatudanganya kule TIKI tv mlisema pale cio kanisani leo unasema pale ni kanisa la Pentecost sasa tuamini lipi
Subhanaallah tenda wema wendezako usingoje shukurani lakwaza nyumba haina geti ewe mwenyezi onyesha ukweli yaarabi
Wema wako umekuponza maskini Pole sana ndio utubu sasa maana kuzalilika ushazalilika sana Ila hapo kwenye kupima mmefeli sana mnataka ku prove nin wew mama em achana na haya mambo
Yaan apo ametu hakikishia kwamba alifanya kaenda kupima mimba ya nn sasa 🙄🙄🙌🙌kweli ume kanyagwa😂😂😂😂
Tutaamini vp Kama mmepima mkojo wake au wa mwingine, au ametoa
Mama juliet hongera kwa ukweli wako. Yule kijana atapata aibu mwishowe. Pole mum
Sasa wewe unataka kumpoteza mtoto watu kisa mapenzi Acha ivyoo Bana wewe unamuona Tu mtoto WA watu wakati alikuowa kweli
Na bado mtatapatapa sana nitazidi kuwaambia kuwa hamkutudanganya sisi bali mlimdanganya mungu ndoa ni mpango wa mungu sasa mnautafuta ukweli kwa nguvu mpaka mahakamani
We mama unatuaibisha wanawake wenzako ! Unaongea uongo mwingi! Mara ilikuwa kiki anatoa mziki mara mimba! Duh nahisi unamapungufu
Kiki ya mavuzi yake huyu malaya pori
Kaishiwa hana jipyaaa
@@siashao169 hahahaa malaya mchafuu huyu cha uongo
Ww B Aisha nakushauri kaa kimya tu .
zere 50 years hana adabu
Pole sana nilijua kiki maana bar ndio mlifanya kanisa watu walikuwa kumi
Pole dada kama ni kweli
Malaya mkubwa acakusema uongo
Mngepima kesho yake Baada ya Ugomvi, hapo kashaitoa,
KWENDA Malaya wewe
mimba kama kwelii alikuwa nayo basi aliitowa huyu muhuni
Hapana, kama alikuwa nayo na akatoa bado ingejionesha kuwa ana mimba, maana ni wiki tatu tu, homoni zinafutika mwilini kuanzia wiki 4 mpaka 6.Hivyo inaonyesha hakuwa na mimba
Uyu mama umalaya sana kamuqlibia mtoto wawatu bado anatumia nguvu kumuangamiza mtoto
Achana na mambo ya mitandaoni,kaa utulie nyumbani mama
Mama kwa sura mzuri lakini nafsi yako mbaya rudi kwa mungu na ufanye ibada sana yote unayoongea ni uongo mtupu
Ww mama wajitanza .ulisema ndoa ilikua kwa wale wasimamizi nyumbani kwao.leo wasema ni kani kanisani mhh mama weee kua na kauli moja tuu
Anajikanyaga uyu mama Muongo
Alopokojoa ulimuona?
mkojo sio wake huyo mnafik
Wewe mwananmke mwenzetu acha uongo. Kwa taarifa yako ndoa ni ndoa huwezi kusema ulikuwa unaigiza. Kama uliingia kanisani na mchungaji alikuwa madhabauni akiwafungisha hiyo ndoa basi hiyo ni ndoa halali kbs. Kwa sababu mchungaji alishiriki, pamoja na wasimamizi. Ni bora ukatulia kuliko kujirusha kwenye mitandao.
Uyu Kama hajitambui
Ameshakwenda kuflash mimba ya aiziii kitenge........kwa hivyo hatuamini sisi
Unaigiza wapi Wewe mbona utambuliki sehemu yoyote kwenye sanaa
Ila Aisha kwa nini uliwaaminishia watanzania kuwa mlifunga ndoa, kiki ya namna hiyo sio nzuri na kama ni kiki kwa nini mliweka kanisan? Naomba wazazi wa izee waitwe ukweli utapatikana. Wazazi wa izee jitokezeni kuelezea jambo hili
Kwani hapo unaonekana Mdogo?
Ushez uu tumechoka mjue.tuko bize na mawe yeny inarushwa kule itaishaje.ii ya mimba haituhus
Kakosea kumwita mchungaji wa kweli na kakosea sana kusema kabadilisha dini
Yaan aya mawe yanatuchanganya kweli
🤣🤣🤣
Ukwel tuko bize na mawe😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 na nabii kaombea na mawe yanaendelea
Cha mitandao na shuhuli iendelee km ulifanya Kiki mungu anajua munatuchanganya kichwpa
Tumechoka Kila kukicha mambo ni tofauti..wacheni kutuchanganya akili zetu
Huyu mama simpendi anatumia nguvu nyingi kujisafisha soon anaingia miaka 50 mme wake kasema kazoea kuchezea watoto wa watu kubwa jinga hili aibuuu 😂😂😂😂
Dada mahakamani unaenda kudhalilika zaidi
HUKUJIHESHIMU HATA WATOTO WAKO UMEWAAIBISHA SANA
Kwahiyo ulikuwa unamdanganya unamimba sizes?jitu zimaa ovyoooo
Wallah mama umeuwa juu umkomoe izee amethoa mimba hyooo....
😂😂😂😂😂😂😂
@@aishachambo8663 ameuthoa ujauzito hili ambiwe hna.
Apo mwanzo ulisema mulifungia nyumbn kwa rafiki ako Leo kanisani Pentecost wew Mama ebu fanya utulie maana hutunzi kumbukumbu
Hapo ndio anapojichanganya huyu bibi ila yule Izee interview zake zote maneno yamenyooka ni bora tu atulie anazidi kujidhalilisha.
Muongo uyu mama
Mipaka umeivuka bibi weee kucheza na dini ya Allah eti usanii wewe Mungu hadhihakiwi hilo ni jambo zito mbele ya Allah ujuwe
Ni mpuuzi huyu mama hajielewi kabisa mshenzi Sana
Hahahahahah jimama weeeeee
Hiyo mahakama ya kumhukumu huyo kijana lamda uhonge lakini laa sivyo wewe uko hovyo.ulitamba mwenyewe kua hadi tumefanana., hadi kwa mkuu wa mkoa wa temeke mlienda kama mke na mume, hadi mwanao alihojiwa akakiri kua huyu ni baba.umejichafua mwenyewe mama, mastaa kibao wanafanya kiki na haina madhara yoyote.ushauri wangu ungekaa kimya tu usizidi kulisambaza.
Dada hatuamin hicho kipimo sisi watanzania yaan kama ameweka mate au tone LA maji hakuna kitu hapo
🤣🤣🤣🤣
Katia maji bana au kachukua wajilani kauficha alivoambiwa kup8ma kadumbukiza kipimo
Kwakipindi toka ishuitokee huenda keshafrashi ili kupoteza ushahidi
Kutoa mimba ni only 6hrs and in 2weeks uchafu yote ishatoka ukipima ni mstari mmoja mungepima immediately izee adipose mbona mlichukua mda
Duh!! Huyu Dada had huruma😳🙄Weee kwanza umekosea Mungu sana ulikiri kuwa ume badili dini yaan wewe dada Mungu hatokuacha ndio Maan wewe watu wengi hawakuamin kwa sabab umekosea sana utadhalilika tuu Ila pole sana ndio mambo mzee wa kwaya😩😢🙄Mhh hii movie sijui itaishaje jaman 🔥Mpk sasa cjui nishike wapi Ila Izii kwangu iman kwake ipo asililimia 90 au 99 wewe nakupa moja tu 😂😂
Mama acha hayo mambo,umri huo hapana.hutapungukiwa chochote hata kama ilikuwa kiki ,kwanini ufanye WW ni mtu mzima kujiabisha TU ungeendelea kufanya KAZI Yako ulipungukiwa Nini .
Bi. Mwandishi wa habari ungenusa ukathibitisha Kama ni mkojo kweli au rangi ya mabuyu.
Kweli hakuna geti na watoto pia hakuna sasa jamani huyo Izee achukuliwe hatua au labda pia hii ni kiki wajifanye wamepanga wagombane haki siamini tena kiumbe Mtu
Mie nastaajabu huyo dogo anangangania kwani lazima kama mwanamke hamtaki atakama alimuoa nakama kamfumania siamuache kwani lazima aundio kazoea dezo mteremko sasa kakosa inabidi alazimishe nakuomba misaada kwa watanzania mtu unanguvu zako kafanye kazi au rudi kwenu mwanamke hakutaki siolazima anamgangania nimemuoa nimemuoa sasa hakutaki sibasi kwani lazima jamani
Kashatoa uyo 😂😂😂😂😂😂
mimba katoa huyu au alikuwa hana
Yes Ametoa iyo mimba
@@nadyasalim7956 katoa kaona heka heka imepamba😂
Katoa mimba huyo bibi🤣🤣🤣
@@naomisanga6980 😂😂😂
Ningependa sana kuona hizo movie anazo Igiza huyu mama
Mtu mzima hovyooooo
Pole sana dada Mola atakulipia
Acha ujinga wewe malaya mzee ! eti una miaka 38!! puuuu! wewe ni 55 huna aibu kulala na mtoto wako!
hana adabu
Hiyo siyo kiki ya mji huu, dohh
Lisula lenyewe limekomaa kama nini
Wacha kumwita malaya kama angekua ni dadako atukanwa hivyo ungeskiaje? Please stop nonsense!!🇰🇪
Hiyo mikojo pengine niyamtu mwengine tutajuaje
Ameshatoa hiyo mimba maana ndiyo kazi yake huyu malaya kikongwe kulala na watoto wa wenzio!! mbwa mwitu wewe! ndiyo maana mume wako halali alikuacha na sasa umetoka kwa Izee unachukua wanaume wa watu!
Ata mimi nilihisi ivyo ivyo Ametoa mimba uyu
Hahaha
Na nyie maxmam tv hamna vya kufanya au
@@Mazoea 😆😆😆😆😆😆
Hilo lijimama limebeba ata chai rangi ,hiyo sio mkojo,huyo mkatili kabisa heri mchawi anayekuroga mara moja ukafa kuliko huyu kila siku yuakusema
Nampenda ayisha yuko makini isipokuwa msaada ulikuponza
Pole mama yatapta
Aceni kumtukana uyu mama, wawahoji wakiwa pamoja, ila apo kila mtu atajiteteya
watapigana wakiwa wote
Atatukanwa kwasababu Hana ukweli, namambo yote yalionekana Kwa video nyingi sana
Nani alokwenda kwake kumtukana si ujinga wake kujitoa mitandaoni mtumzima ovyoo asojielewa
Happy sio wake mnafiki mkubwa huyu
Hapo hapana ukweli atulie ache mambo ya kuhojiwa
Ni ukweli umearibia mtoto wa watu. A ngekua mtoto wako ungefurahisha. Limama usidwe na mauongo zako
Ndio muongo
Mwenyezi mungu amekulani wewe.muisilamu umeenda kubadilisha dini kwa kitoto kidogo ona sasa unavo aibika umebaki kutapatapa kama mfa maji mtu mzimaovooooo lana hiyo
HT avae mawigi uvae vimin BD umtumzima na umeliwa na Isee vzr kakunyandua ucku mchan kwendraaa namchukia yaan Bora angetulia Tu
Pole dada ni makubwa haya aber tumejifunza kitu kwa hii Story
Mtumzima ovyo umemdanganya adi mweshuniwa Joketi na kumuwaminisha ni mke wa Izee Mungu anakumbuwa vibayaa miaka 38 uitoe wapi unajitahidi kushinea mawivini Ili uwonekane Binti wakati kilometa zimesoma
Dada mtangazaji unatakiwa kuvaa glaves maradhi mengi sasa
Huyo muongo mimba katoa na pia umri wake ni mkubwa 49 . Umri sio sura ni namba hata akiongea macho yanaonyesha ni uongo anaongea wanasaikollojia tunaelewa what is going on
Nyiee ni Noma Sanaa
Je, huyu mwanamke bwege anaweza kuionyesha mahakama kuwa ana uanachama BASATA kwamba yeye ni msanii wa bongo movie. Au anatafuta afungwe ?
Hakuna msanii bwege kama huyu malaya! anadanganya Watanzania
Mtumzima unatagaza unazini vua mawigi uanze kutubu wee mama ni mtu mzima jamani
Nalo nenoo
@@mwanakhatib5825 38
Mmmh cn cha kusema
Jiangalie dada Mungu hadhihakiwii acha kuongea sanaa
Kweli wema Waweza kukuponza sana na pia labda kuna Jambo Mungu amekuepushia janga kwa njia hii Izee ananitumia mi nakupa pole nalikuwa nimekuchukia sana kwa sababu niliona mwanamke ni awe na maadili lakini nimefikiria nikiaona Aisha awe Mungu atende kazi yake basi dada fanya maombi
Kik inachukua miaka miwili?
Amesha itoa long time
Sanaa imekuingiza kwenye usanii
Kanunga alifanya Kiki nyingi sana za harusi na pia kuigiza kama yeye ni padre wa kanisa la kikatoliki... Mbona sasa hamfahamu hili Kiki...
Utjidhalilisha Sana Bora unyamaze achana na hayo mambo
wapigieni wazazi wa izee tuwasikie
Ee jamani kwani lazima kuonyesha kila kitu? Mwandishi Angeleta matokeo tu!
Kubali kataaa Izee amekulamba
Ww mama uruma cheti cha ndoa kiko ungesema after 2 weeks kwamba ilikua feki ww ni mtu mzima Hello 👋 😄
Wewe mtangazaji mkojo anaweza kuchukuwa WA MTU yoyote akauleta au mimba katoa
Dada sijui kama unasoma hiz coment acha na mitandao ww umeshaonekan kwa watu ww muongo haina haja ya kufanya yote hayo hata hap umepima lakin inaonekan umetoa mimba ndiy maan haipo hata ufanyej aizii ndiyo anaonekan mkwel ww muongo
Jamani hajana na mambo mingi nini inawasimbia na nyinyi wandishi wa habari, na wewe dada hajana mambo ya mitandao
Haki shetani kweli Ako hai...mama mzima Leo hii unamukana mtoto wa wenyewe baadae ya kumuhalipia maisha yake..ulaaniwe ww
Kwa nini hutulii au mna biashara
Endelea kumwaminisha uliyenaye maisha yako hayatuhusu
kitamburisho ana jamani kwenye kitamburisho cha taifa kina mwaka wa kuzaliwa
Mwambie huyo kahaba aende kortini awachane na uwongo
Na hio mimba akaitowe wapii jamani agh huyu mama ana miaka 50 hana tena period huyu tena
🤣🤣🤣🤣