Watuhumiwa wa Ubakaji Wakana mashtaka, wanyimwa dhamana, kesi kusikilizwa wiki hii yote hadi Ijumaa

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 112

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 23 дні тому +22

    Alie watuma,alie rekodi video waliofanya huo unyama,haki itendeke wakamatwe wooote,iwe fundisho kwa watu wa hovyo kwenye nchi yetu 🇹🇿

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 23 дні тому

      Hii kesi haipatikani ushaghidi ujuwe kwanza qliewatuma ni afande yaonekana nikubwa kwaiyo kesi haitofikia sehemu stahiki

    • @shanimbaruku2071
      @shanimbaruku2071 23 дні тому

      😢​@@shaviercharvinho18

  • @Saidiamiri-s8i
    @Saidiamiri-s8i 23 дні тому +22

    Hakuna watu ninao wachukia kama polisi,huwa wanatabiq ya kuteteana na kuwabambikia watu makosa ebu ona ile kauli ya RPC eti ni kama alikuwa anajiuza hata kama anajiuza ndo afanyiwe vile hadharani,hawa watu wanaona kama dunia ni yao ila ipo siku ssi hatuna uwezo wa kuwa fanya kitu MUNGU atawawajibisha polisi kwa haya yote muyatendayo.INAUMA SANA KWASABABU HAUWEZI KUJIBU KAULI KAMA ILE WEW UKIWA UNAFANYA KAZI YA KUSIMAMIA SHERIA JESHI LA POLISI LIJITAFAKARI.YULE MAMA ALITAKIWA KUONDOLEWA MOJA KWA MOJA NA SI KUAMISHWA NA KUBADILISHIWA KAZI HUKU NDO KUBEBANA KWENYEWE.

    • @Agath45
      @Agath45 23 дні тому

      Hata mm nilitarajia atafutwa kazi kwa hiyo kauli aliyoitowa

    • @mvukamto
      @mvukamto 23 дні тому

      Ukiskia neno kama hili nje ya familia yako unaweza ukaona kama ni kituko au story,ndio maana ameonge upuuzi huo likimkuta kama hili utamuona anavyotumia vyeo vyake kutafuta haki yake na huku akilialia...

  • @gabrielnybala2165
    @gabrielnybala2165 23 дні тому +8

    Hao wote walio husika inafaa wanyongwe na nitashangaa sana hawa watu wakipewa dhamana hakuna dhamana na inavaa wanyongwe maana hawa ni wanyama

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 23 дні тому +5

    Let be the lessons kwa wengine,Na wafungwe maisha

  • @Mojabo-qi7sv
    @Mojabo-qi7sv 23 дні тому +3

    Apo safi kabisaa tume waona adabu washikishwe wa one nyuso zao😢😢😢

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 23 дні тому +8

    Sisi tunamtaka na alie watuma

  • @Ogtydan
    @Ogtydan 23 дні тому +9

    Yule alie mnyima Maji
    Yeye asipewe mpaka chakula

    • @Mobileglover
      @Mobileglover 23 дні тому +1

      🤣🤣🤣

    • @felisteronesmo3091
      @felisteronesmo3091 22 дні тому

      Mlioiona video mnaraha, mnawajua Hadi walionyimwa maji .. mkumbusheni wakili basi

  • @user-ht8kf3rx5w
    @user-ht8kf3rx5w 23 дні тому +6

    Masela Mavi hAo

  • @ainessmbise1009
    @ainessmbise1009 23 дні тому +4

    Wanajeshi wangepimwa wote'baadhi yao ni wavuta bangi;

  • @HappyBooks-dj6oy
    @HappyBooks-dj6oy 23 дні тому +4

    Mbona hamsemi kama wao ni police au ndio kamchezo flani mambo yakudanganyana

  • @user-jz7bn2kx9o
    @user-jz7bn2kx9o 23 дні тому +3

    Kungekua Kuna sheria ya mtu akibaka abakwe mm ningefurah Sana nap wabakwe vizur

  • @user-sj1rf8ij7f
    @user-sj1rf8ij7f 23 дні тому +11

    Hii kesi ilitakiwa iwe imeshaisha.. aliyewatuma yuko wapi..!??

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj 23 дні тому +3

    Asiye funzwa na Mamae hufunzwa na ulimwengu yani hapo wakumiwe kinyongo tu wallahy

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op 23 дні тому +4

    Hakuna kitu hapo wanazuga tu
    Utaona mwisho wa kesi wataachiwa au watapewa hukumu ndogo

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 23 дні тому +2

    mbona walirecord au walijua ni kawaida tu ???

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 23 дні тому +2

    Na huyu mama ameongea mbaya sana akwende na huko

  • @beautyandfashiontipsforbot4524
    @beautyandfashiontipsforbot4524 23 дні тому +2

    Watafutiyeni wa name nawenyewe wafanyiwe unama waliyo mufanyiya uyo dada

  • @RechoMzava-gt7so
    @RechoMzava-gt7so 23 дні тому +3

    Wanakataaa nini

  • @MgishaFerd
    @MgishaFerd 22 дні тому

    Yaani kweli selikali ye2 yakichoko police wenyewe hawajui kaz yao. Kwa hiyo mpk tuwafundishe sheria ss raia. Tunaomba hao watuhumiwa wafungwe maisha au kunyongwa ili iwe fundisho....

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 23 дні тому +4

    Akamatwe hadi yule aliyeweka wimbo wa jaiva 😂😂😂 wote jela imeishahiyo

    • @user-do8fe2od4i
      @user-do8fe2od4i 22 дні тому

      mnajifanya mnaumia kwani alitumwa atembee na mume wa mtu kubabakee..

  • @hamidayahaya2304
    @hamidayahaya2304 23 дні тому +2

    Safi sana

  • @bestpriceafrica
    @bestpriceafrica 23 дні тому +3

    Afande ni yupi mbona mnaficha

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 23 дні тому +5

    Sasa wanakataa wakati aliomba maji na hawakumpa😂😂

  • @user-sw2id5wc6g
    @user-sw2id5wc6g 22 дні тому

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢mungu atusaidie dunia imeharibika

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 23 дні тому +2

    Wanakana na video ipo?🤔😳
    Makubwa

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 23 дні тому +2

    Hivi huyo RPC malya bado yupo hapo kazini anasubili nini? anaingia makanisani kuhubili neno la MUNGU, kumbe ni umbwa mwitu,, kauli zake chafu sana,, hata kama yule binti anajiuza,, hakupaswa kumnenea vibaya,, sisi wakristo! Tunapaswa kuwaombea watu waache mabaya, na si kuwa hukumu kwa fedheha. Na hata kama, yule binti anajiuza! Hakupaswa kutendewa unyama vile

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 23 дні тому +2

    Namkiwacha msije laum wanaichi

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de 23 дні тому

    Binafsi nashukuru sana jeshi la police na wananchi kupaza saut mbarikiwe sana mana hwa watu wasingekamatwa wangeendelea kufanya unyama kila siku kw kujua hajuna haki duniani * hawa sio binadam n wanyama na wengine wajifunze kupitia wao

  • @veronicamokiwa4315
    @veronicamokiwa4315 5 днів тому

    Angefanyiwa mwanawe haya au nduguye

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 23 дні тому

    Watuhumiwa wote nisawa hakuna uheshimiwa kwenye uchafu mfano wa hu tunamtaka nahuyo mwanamke aliewatuma

  • @rehemahamadi3382
    @rehemahamadi3382 22 дні тому

    Kama Tanzania ni nchi ya haki tunasubiri nini hukumu ya hawa waliofanya unyama huku na wao Wana wazee na wanafamilia wanawake😢

  • @annamussa185
    @annamussa185 23 дні тому +1

    Tena huyo wa pili mrefu ndo alikuwa akisema zamu yake ikifika anataka mavi😢

  • @DavisEnglishTv
    @DavisEnglishTv 23 дні тому

    Watu wanajirekodi wakitenda kosa la ubakaji. Cjui akili ya wapi..Kweli kosa mali pata akili leo nimeamini.

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 23 дні тому +1

    😂wana kana na videos zipo

  • @HeriRamadhan-q7m
    @HeriRamadhan-q7m 23 дні тому +2

    Tupeni sisi raia hao wabakaji tutoe hukumu yetu yaaani hao jamaa mi naona mnachelewa jamani, hao walitakiwa wawe kuzimu.

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 23 дні тому

    Ivi angekua mwanaume ndokafanyiwa hu ukatili iliswala lingekua nauzito kama ivi? Ni swali tu.

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v 23 дні тому

    Hawa kunaitajika ushahidi wanini Hawa ilikuwa nikuwafunga tu siku hiyo hiyo mbwa hawa

  • @drallicemugasa3086
    @drallicemugasa3086 23 дні тому

    Hawa wanastahili wabakane wenyewe kwa wenyewe kwanza watatu watatu na huyo aliye watuma inawezekana ,maana wao niwatalam kutoa hukumu zakinyama kwa raia basi nao wabakane wajiharibu visaidio vyoa(mikundu yao nawalishane shahawa zao iliwaone utamuwake )

  • @user-qd5qp3dd2x
    @user-qd5qp3dd2x 23 дні тому +1

    Vijana wadogo mnawapeleka kama majambazisugu muhusika yukowapi aliewatuma

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 23 дні тому

    Wanakanaje sasa jmn😂😂😂😂😂

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 23 дні тому +2

    Aliyewatum ni nani

    • @dianaleo6067
      @dianaleo6067 23 дні тому

      Mbona anafichwa??? Na yeye ni muhalifu namba moja

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 23 дні тому

    Wabakaji tu km wabakaji wengine lock them up and tupa funguo

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde8061 23 дні тому +1

    mlikuwa mnaona laah wenyewe Wacha mjilie wenyewe mtajuta mtamtaja tuu uyo afande

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 23 дні тому

    Askari walioua mtwara kesi inaendeleaje?

  • @Keniihooks
    @Keniihooks 23 дні тому

    Hawa walikuwa jela hawanyolewi?

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 22 дні тому

    Kaz hakuna hadi askari anabaka🤔🇹🇿

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 23 дні тому

    Bora ametilewa mshezi kabxa nilimumin sana

  • @dismasdonathmunishi3987
    @dismasdonathmunishi3987 23 дні тому

    Mwanamke asiyelinda haki za mwanamke mwenzake,huyo sio malkia wa nguvu.Kisaikology ukimwngalia usoni utagundua moyoni kaficha kitu(katili),Huwezi kuongea ujinga kama huu ukiwa unatabasamu ili kutulainisha tuwe na roho kama yako.Toka ofisini mama kuntu naenda jogging hayo mashavu sio afya ni laana za haki ulizokula mpaka Leo sio Siri tena.Kwa heshima kubwa nampongeza mkuu wa jeshi la polisi,hiki kichwa kipo imara,ndani ya masaa 24 kanyoosha Mambo na mahamani tumeona,tuna imani na haki kwa dada😢 yetu.Hatuwezi kupoteza imani kwa polisi na jeshi,tumeona weledi wenu na ujali pia,Hiyo ndo TZ iliyodumishwa tangu enzi za Babu,lazima tujihisi salama tukiwa ndani ya hii ardhi.We love each other and we'll stand for each other ❤

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 23 дні тому

    Ila bado mmoja kibushuti mchukua video wabakiji wanne so niwa tano bado mmoja

  • @user-zd9hy1yd7c
    @user-zd9hy1yd7c 23 дні тому

    Aliye tumana mbona hakamatwi?

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 23 дні тому

    I wsh magu angekuwepo angetolewa kazin uyo

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 23 дні тому

    Vp hii ya kurikodi na kusambaza si kosa kisheria?

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 23 дні тому

    Hao mbuzi wa Katara Tu mwenye Ngoma yupo wapi😂

  • @mercydirisha8903
    @mercydirisha8903 23 дні тому

    Kusambaza huo uovu mtandaoni sio kosa?

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 23 дні тому

    Ole wenu muwape zamana MUNGU atawahukum mchana kweupe yani unyma walio uganya😢

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 23 дні тому

    Eti wanajeshi,ni wanajeshi gani hao wanaolidhalilisha jeshi na nchi.Hata kule Congo baadhi ya wanajeshi wetu walipata shutuma za ubakaji wakaridishwa.eti wanabaka huku wakirekodi,hovyo sana.

  • @abdulkarimabdallah9536
    @abdulkarimabdallah9536 23 дні тому

    Bado moja paka mweus aliewatuma
    Nae tumuone hadhar

  • @ShebbyTheparadiso-hf6fz
    @ShebbyTheparadiso-hf6fz 23 дні тому

    Hii mfumo wakutengexa tu hamna kitu hapo
    Eti mashtaka mawili mmmm na alie watuma yupo wapi ?

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 23 дні тому

    Eti wamekaa mashitaka kwa maana hiyo hawajafanya wameshapangwa na huyo afande ni sawa waendelee kukana ili waachiwe adhabu yao wataipata kwa wananchi na itakua mbayaaa sana sisi tulio nje ya nchi tunawategemea wananchi kwa hili 😏

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 23 дні тому

    Sasa ushaidi upo wanakana Nini wanyongwe tu

  • @mamawamireille4872
    @mamawamireille4872 23 дні тому

    Aliewatuma yukowapi? Wanyongwe

  • @KareemDully
    @KareemDully 23 дні тому

    Nnachokifkiria na wasi wasi wangu ni kwmba huyu binti atashurutishwa kutoa maelezo kwa mujibu wanavyotaka watu fulani ili mwisho wa sku tuaminishwe kwamba kitendo kile ni makubaliano. Hatuombi litokee hilo na ndugu waandish wa habari mtusibitishie uko kua yule bint huko mahakamani ndie alieonekana kwenye video

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 23 дні тому

    Tanzania ni watu wa pwampwa vitendo zero

  • @ShadyAbdallah-vu7iu
    @ShadyAbdallah-vu7iu 23 дні тому

    Sasa wanakana nn wakati ushahidi upo na unaonekana

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 23 дні тому

    Kwakufanya hivo mtatufariji wananchi vinginevyo tutaandamana Kama Kenya Bora mtuue tuishe kuliko kufumbia macho upumbavu wawatu wenye dhamana kuwa chanzo Cha uvunjaji wa Sheria za nchi

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 23 дні тому

    HAO HAWAWEZ KUFUNGWA MAISHA,,,,ILA MIAKA 20 30 WATAKUWA NAYO,,,WABONGO WAMEKOMAA UKO

  • @samsonsamwel8782
    @samsonsamwel8782 23 дні тому

    Yule alimnyma maj na hata akakataa acpew mate na msela,yey acpew hata chakul co dhamana2 😂

  • @user-vr5fy7hb7w
    @user-vr5fy7hb7w 23 дні тому

    Wanyogwe hao

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 23 дні тому

    Vipimbi vina tabia mbaya sana kama binyi hujaolewa usithubutu kuolewa na pimbi aisee

  • @SumaMusa-y5m
    @SumaMusa-y5m 22 дні тому

    Wafungwe tu

  • @SalmaAthuman-hp3en
    @SalmaAthuman-hp3en 23 дні тому

    Yaan wanakana vp kwa mfano mmbwa hao tutaendelea kupaza sauti haki itendeke

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 23 дні тому

    kesi ya bangi sijaiskia hapo zipo 2 kubaka na kulawiti bangi je au harali🤔

  • @storytime1204
    @storytime1204 23 дні тому

    Sasa kesi inasikilizwa nini? wakati ushahidi upo, hao wasomewe tu kifungo, sio mashtaka

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 23 дні тому

    Sas wanakataa nn hawa wabakaji kwanz walitakiw wapew hukumu leo leo

  • @KarimSaidi-pn8nw
    @KarimSaidi-pn8nw 23 дні тому

    Tanzania kwanini ukumu isitoke ushaidii umekamikika mbona mnalea upuuzi nyie

  • @JosephKingwere
    @JosephKingwere 23 дні тому

    Yani anatetea ujinga nawakti vdeo inajizirisha kila kitu yani bora ameondolewa kaongea utopole sana

  • @AmadiIssa-iw8sy
    @AmadiIssa-iw8sy 23 дні тому

    iyojezi muimvue uyo bwege

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 23 дні тому

    WAMEKANA 😳😳😳
    AMA KWELI HATARE

  • @AnjelMwaluka
    @AnjelMwaluka 23 дні тому

    Mbn weng wanafanyiwa ivyo wanaume weng wamefirwa kila wakifumaniwa na wake za watu

  • @ZekaniS
    @ZekaniS 22 дні тому

    Hakuna kuwapa zamana pumbavuzao

  • @azizahasan2851
    @azizahasan2851 23 дні тому

    Et wamekana kukana iyo vepeeee tutafatilia mpaka kiereweke mnataka kumualibia uchaguzi wake samia tuu

  • @salumjawadu1520
    @salumjawadu1520 23 дні тому

    Alikua ana rekodi huku anavuta tuuuu xx na hapo avute

  • @mwalitv4555
    @mwalitv4555 23 дні тому

    Theopista malya ni mpuuzi apuuzwe na bora kaondolewa....hana msaada kwa dada na mamazetu kumamake...

  • @wadantz123
    @wadantz123 23 дні тому

    Ngoja kwanza uyu mbn mfupi

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 23 дні тому

    Waachieni tuwashughulikie uraini,tairi mbovu zinaleta uchafu mitaani wakati kazi za kufanyia zipo 😂

  • @EvaGlow-r3e
    @EvaGlow-r3e 23 дні тому

    Wamekana😳😳 he

  • @jeremiamsuya1820
    @jeremiamsuya1820 23 дні тому

    Namuona yule aliekua anatukana etianataka jokeri sasa achukue

  • @dianaleo6067
    @dianaleo6067 23 дні тому

    Mkanyongwe kabisa nyie mifalaa! Haya sasa bosi wenu yuko wapi? 😂😂😂imekula kwenu mijinga nyie! Hamstahili kuwa binadamu

  • @mvukamto
    @mvukamto 23 дні тому

    Kwa iyo wanakwenda kula bure gerezani hawa, kwa nini isitungwe sheria ya kwamba ukifanya ushenzi kama huu na wewe ufanyiwe tu wapo mbwa, punda hawa tukiwatumia kulipa ushenzi kama huu itakuwa njema

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 23 дні тому

    Tena km hyo mrefu na mavi aliyataka ,alitamka mwenyewe zamu yke ikifika wasituone wajinga

  • @mathnaasaa2166
    @mathnaasaa2166 23 дні тому

    Wanakana??? Wanakanaje sasa huh wajinga awa

  • @ibvisions4321
    @ibvisions4321 22 дні тому

    Dogo kavaa jersey ya Ajax ndiyomana inafungwa fungwa kizembe