watu anaowadet ndio wanammalizia hela..huwezi kuwa na watoto wamjini wapenda starehe nahawana akili yakutafuta halafu utoboe😂😂 jichunguze bro mm shabiki Yako mkubwa❤❤❤
@@frankngoloka5416tatizo hawawekezi ktk uwekezaji wenye tija wao wanawekeza kwenye sehemu za siri za wanawake....hilo ndio kaburi lao hawa vijana wetu.😂
kuna watu tuna wanaenjoy maisha kumbe ukiangalia nyuma ya pazia unaweza waone hata huruma tujifunze kumshukuru mungu kwa kile tunachokipata hata kama ni kidogo
Mmmmh makubwa😂😂😂😂nimechoka akili😂😂na izo range za kumwaga na kumimina ni pesa za mkopo ama Kuna lingine😂😂😂😂ebu ninyamaze mimi😂😂😂the sisterhood is proud of you ladies who got gifted😂😂😂we're forever proud😂
Pole harmonize jitahidi dawa ya deni ni kulipa, acha kuwafurahisha wapambe akina mwijaku na hao mademu itunze pesa ndio ngao yako kimaisha huku ukimtanguliza Mungu
When you want to change your life first make sure you change yourself, stop worse things, change your bad habits, respect what you earn ,decline your expenses, spend less save more. My advice to him respect where you are now ,remember where you from and where you have been before today hold you status to avoid dropping down.
Harmonize ni kibuli mambo yalikuwa kisiri siri mahakama inakutumia uhito hadi kwenye magazeti lakini kimywa kwanini usingemtuma ata wakili wako leo unajitoa uhaminifu kwa makampuni unajialibia brand yako ni kubwa kuliko iyo ela iliyobaki kudaiwa sasa unajialibia na rayvanny kashapewa ubalozi wa CRDB uwelewa sana na mapenzi pole
Inamuhitaji afumbe macho, yaani namanisha anatakiwa awe na maamzi magumu ya kuwaangalia upya wafanyakazi wake pamoja na washauri wake pia ,anatakiwa kuiajiri washauri wasomi yaani awe na mshauri mwenye elimu lkin pia hata katika bidhaa na masoko anatakiwa kumwajiri manager aliyesomea biashara atakaye kuwa anaweza kutafuta soko la biashara zake ,atakayeweza kupromote na kfanya advertisements za biashara la sivyo atafirisika achana na genge kubwa la wafanyakazi wasio na ueledi na ufanisi wa kazi zako.lkn pia aina ya mafiki na washauri au wanaokuzunguka ndo wanaweza kuwa chanzo cha kustep forward four steps forward then two backwards jua ni aina ya marafiki, tafuta marafiki wanaokuzidi akili sio unaolingana nao au unaowazidi ,ulikuwa na Akina Fred vunja bei km rfk yko make sure unakuwa na watu km Fred utafika mbli
Inamuhitaji afumbe macho, yaani namanisha anatakiwa awe na maamzi magumu ya kuwaangalia upya wafanyakazi wake pamoja na washauri wake pia ,anatakiwa kuiajiri washauri wasomi yaani awe na mshauri mwenye elimu lkin pia hata katika bidhaa na masoko anatakiwa kumwajiri manager aliyesomea biashara atakaye kuwa anaweza kutafuta soko la biashara zake ,atakayeweza kupromote na kfanya advertisements za biashara la sivyo atafirisika achana na genge kubwa la wafanyakazi wasio na ueledi na ufanisi wa kazi zako.lkn pia aina ya mafiki na washauri au wanaokuzunguka ndo wanaweza kuwa chanzo cha kustep forward four steps forward then two backwards jua ni aina ya marafiki, tafuta marafiki wanaokuzidi akili sio unaolingana nao au unaowazidi ,ulikuwa na Akina Fred vunja bei km rfk yko make sure unakuwa na watu km Fred utafika mbli
Nakupenda Sanaa nikiskia matatizo yako naumia km yangu .sema sijui tabia yako .hila we bonge la mwanaume n unetoka kwenye maisha magumu wapi una kwama,n km utaniskia mbn wanawake wazuri n waskivu wapi usiwe nao au mziki ndo unatak ivyo
Wasanii wana siri kubwa nyuma ya ukuta alafu kibaya Zaid anatak kushindna na Mond wakt mwenzie Ana biashar na Ana wasanii wanamuingizia pesa .wakt yeye ameanzsha Lebo ameshindwa kumudu wasanii .
Pia kukosa muongozi wa kimaisha ni shida sana. Au kujifanya kujua kwingi bila kuuliza. Yeye alipopewa kazi ya kutangaza CRDB akalegezwa akajaa maana haya mabenki wajanja sana wakikusomea utadhani ni rahisi mno.Kumbe ni unaingizwa ukomeshwe ndio haya sasa .
@@tidybway2411haana kitu na ndio sababu hata pesa ya kuendekeza lebel alishindwa mpaka leo pesa za ku brand Ibrah kumfanyia promotion na marketing haana
Jaman mbona comment sana wengine tunamtakia mabaya wengine mazuri mwamba kanyamaza tu kwasababu mm naamini anauwezo sana wakulipa hiyo pesa ndogo sana kwa mwamba, hata kama kaishiwa kiasi huko anauwezo wakuuza gari Moja tu na akalipa jaman mbona ana rasilimali nyingi, na account pia inasoma mwamba Yuko vizuri sana
Huyu sindio alisema mungu nimwanamke pia nijeshi LA mtu mmoja akapambane mwenyewe sasa, mmakonde huyo hawanaga shukran walifanya diamond atuone wasaniii underground hatuna fadhira
@@subrynerysegerow1323 alimtoa mbali mwishowe akamuita mbwa haikutosha akaanza kushindana nae kila kukicha ili amshushe mi nadhan kuna mda mond alikua anajutia Kumsaidia huyu jamaa ila ndo hvyo haiwezekan tena
@@MinskBelarus-il2tl change your Mindset uncle akina moodewji wanadaiwa wote, mwaka 2001 joseph kusaga alipata mkopo wa 100M kutoka NMB na ndiyo ilienda kuwa foundation ya uboreshaji ya CloudsMedia BADILIKA WATU WANATOBOA KABISA
This is a lesson , this guys was nothing until he met diiamond ! Then akadanganywa then left in an arrogant way ! Where are the Pple who gave him pressure to leave wbc
Acha alipizwe maybe anaweza kurudisha akili yake ikawa Sawa.... maybe anaweza kujitambua kuwa yeye ni nani coz sidhani kama alishindwa kupata hizo hela kwa muda wote huo!!!
Sky yaaan nasikiliza interview yaaan nataman kama isiishe unaichambua vizul mnooo wallah Rajabu pole sna daaaa wasanii mnapitia magum sna mnataman hata msingekuwa na umaalufu Ona mie sio maalafu nakula zangu ugali TEMBELE HAPA UNASHUKA VIZUL NA FAN YANGU
Uyu si ambasada wenu jamn 😂😂😂mbn hamna uruma au posh kaiba rejesho ndo maana kasepa na ile gar mpya VP mbn baaz ya wasanii mnamaisha magumu ivo unatusumbuaga kumbe ni za mkopo utalipaje na hautaki shoo za wasafi 😂😂😂
Yani unapata pesa ya kugonga range wale malaya Badala a kulipa watu waliomsaidia wakati anashida aisee huyu jamaa lofa sana.... Hebu niambieni bei ya range 2 za yule kahaba
Sidhani kama ni sahihi kumuita mama wa mtu malaya si ustaarabu. Wapo waliolewa na kutwa nzima huvaa majuba na kujificha sura zao lakini ndio making wa kuingia nyumba za wageni. Jiulize wewe binafsi ni mtakatifu? Kazi ya kuhukumu tumuachie muumba na si kazi yetu. Ndio maana hata mitume walikuwa wakitembea na wafuasi wao nacwakifuata mafundisho yote na ibada hawakosi ila matokeo yake walikuwa na wasaliti miongoni mwao.
@@khurlainashly5686 sasa wewe uko dunia ya tatu unaniambia mimi nifanikiwe? Si utafute hata namna ya kuenda uarabuni uoshe vyombo kwa sh laki 5 kwa mwezi sababu niliko hauna na hauta wai kuwa na uwezo wa kufika
Kukopa sio issue issue alikopa afanyie nn ndo tatizo ukikopa ili kuongeza nguvu kwenye biashara sio shida hata matajir wanakopa ila harmonize hana biashara tunayoijua may be ya mziki ila anatumia fedha nyingi kwa wanawake pia hana mtu sahihi nyuma yake hilo tatizo pia
Niliongeaga toka mwanzo haya yametokea ,nilisema hivi ,huyu jamaa sifa nyingi akili hamna kabisa na ushamba utamwangamiza ,ujuaji ukizidi matokeo yake ndio hayah
Mimi ntakuwa wamwisho kuamini kama harmonize amekoswa hela ya kudai crdb ikilinganishwa na mishe mishe anazozifanya mimi naona hiyo hela ni ndogo sana kwake rabda Kiki tu mikopo ndo inainua watu kiuchumi kama ukiwa na malengo dhabiti ingawa watu wenye akiri zakitoto wataona mkopo nikitu cha ajabu ila ukweli mkopo ndo imetutoa mashambani nakutuweka kwenye njia sahihi za kukimbilia ndoto zetu kama siyo Kiki awalipe tu
Kajala na poshi ndio wamemchuna mpaka siyo poa tatizo nilimbukeni sana wa Mapenzi kuhonga Magali sibola uowe TU umuweke ndani ndio umudumie mwanamke Sasa yeye anafanya ndio sifa 😊
Hakuna deni linalo bembelezwa ivyo wakati vitu anavyo miliki vinajulikana 😂 mahakama ikisha hamua kuwa unadai lazima bank iruke na kitu unacho miliki sasa kwa jamaa mbona wanabembeleza. Hawamdai Ni kiki zenu tu
Kweli mkali watu sijui wana pagawa vipi au ndio mwalimuwao kipofu hawa angalii mzunguko wa kazi ya mtu kazi anayo fanya mzunguko wake katika biashara zake mil 100 wamejipanga tuu kumpiga hela lakini sio kitu hata chakumfilisi mana alipo pita pagum kuliko wanapo paona wao
watu anaowadet ndio wanammalizia hela..huwezi kuwa na watoto wamjini wapenda starehe nahawana akili yakutafuta halafu utoboe😂😂 jichunguze bro mm shabiki Yako mkubwa❤❤❤
KWELI WATOTO WA MJI I HAWAJALI WANAKUCHUNA TU
@@edwardmkwelelewanakuchuna mpaka ufe 😂
Ukiwekeza kumpa furaha mwanamke,,, huwezi fanikiwa KAMWE
Umeongea point San ndugu
umemaliza ndugu Ubarikiwe sana😢😢😢
Kweli kabisa
Sana tu✊👊👊👊
Kauli yako imenigusa sana👌🫵🙌🙌🙌
HAUWEZI KUMTUKANA ALLAH KISHA UKAWA SALAMA HAIWEZEKANI HATA WAKINAFARAO WALITESEKA DOGO NILAZIMA UTALIPIWA HAPA HAPA
Kwahyo allah anamwadhibu mja wake sio?
Ndugu zetu wanaigiza sanaa maisha aisee
Wanaigiza sana inasikitisha
Umeona😂😂😂😂sasa wanaumbuka
Yaani 😢
Mbona Hela Ndogo hivyo?Kwa jinsi wanavyoigiza maisha
@@frankngoloka5416tatizo hawawekezi ktk uwekezaji wenye tija wao wanawekeza kwenye sehemu za siri za wanawake....hilo ndio kaburi lao hawa vijana wetu.😂
Hiyo ndio Tabia ya uznzi kajala akisikia hii atafurahi sana
Kwani kajala kabla ya Harmonize alikuwa amekutana na wanaume wangapi? , kwani kajala alikuwa mke wake wa ndoa ?
@@ikulunimahalipatakatifu7642 atafurahi kwa sababu ya mitihani alopata hamonize
@@Mumewangu labda ataumia pia , maana uenda hiyo pesa nae alikula ...
@@ikulunimahalipatakatifu7642Aumie nini sasa😂😂yeye inamhusu nini alipewa akatumia
Kwakifupi, mkopo siyo pesa yakuhongea 😂😂
🤣🤣🤣🤣
Sahihi
😂😂😂😂
😂😂😂
kuna watu tuna wanaenjoy maisha kumbe ukiangalia nyuma ya pazia unaweza waone hata huruma tujifunze kumshukuru mungu kwa kile tunachokipata hata kama ni kidogo
Kajala 1 and 2 na zote ni range
Yaniii 😢
😂😂😂
Banki wamedai chenji
😂Daaah mwanangu huoni Pepo.
😅😅😅😅😅😅kajala kayachukua😅😅😅 ma range 😅😅😅😅
Mmmmh makubwa😂😂😂😂nimechoka akili😂😂na izo range za kumwaga na kumimina ni pesa za mkopo ama Kuna lingine😂😂😂😂ebu ninyamaze mimi😂😂😂the sisterhood is proud of you ladies who got gifted😂😂😂we're forever proud😂
Gar nyng anazotembea nazo hazna pletu namba, zile ni gar za kukodi ndgu yngu ht ww ukitka niela yko tu
Kosa lake ni moja na ndilo litakalomuangusha... Kauli yake ya kwamba M/Mungu huenda akawa ni m/ke....
Mungu hadhihakiwi kamwe
Acha ujinga shenzi wewe
Wewe ndio mjinga unaemtetea hamornise kwa ujinga wake
Yaaani wewe ndio umecomment cha maana kuliko wote
Hapo sasa
True
Poshy Queen anasepa hatufiki December 😢 kama namuona.Wadada wa mjini 😮wako kimaslahi zaidi
Wanawake wengi wapo kimaslahi
Kumbe posh ana akiri sana kubalabababakee amesepa kajara kasepa na range mwaka huu mbna atajua mtetez wake amedanja
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Daah!! Kweli😂😂😂
Pole harmonize jitahidi dawa ya deni ni kulipa, acha kuwafurahisha wapambe akina mwijaku na hao mademu itunze pesa ndio ngao yako kimaisha huku ukimtanguliza Mungu
Hawezi kabisa... 😮😊😂
When you want to change your life first make sure you change yourself, stop worse things, change your bad habits, respect what you earn ,decline your expenses, spend less save more. My advice to him respect where you are now ,remember where you from and where you have been before today hold you status to avoid dropping down.
Very pure
Napenda sky achambue hbr nyeti km hii🎉🎉🎉🎉
Duu ni kwamba anajiongezea mzigo juu ya mzigo. Mungu ampe wepesi
Ameen
Amen
Amen
Ameen
Ameeni
Kajala one and two ✌🇰🇪
Afu zote ni Range😂
Mwenzetu unahonga lali3 tu.. Alafu unadai........
@@hamzaseneda5251😂😂😂🎉🎉😂😂umenichekesha
Harmpnize ushamba wako wa maisha itakufanya ufilisike yani unaweza kifikia atua yakina daz baba nawenzake
Alsababisha nkafukuzwa ukweni. Natoa laki, mwnzng Range 1n2
KIpindi kile anachezea pesa kumuweka Kajala kwenye mabango na kumnunulia magari 😮 Aibuuuu Who's next???
Konde my braza namuomba mungu akupitishe kwenye hiliii MUNGU MSAIDIE KAK
Awapi😂😂😂😂
ila mungu wake ni mwanamke uyo😂
Harmonize ni kibuli mambo yalikuwa kisiri siri mahakama inakutumia uhito hadi kwenye magazeti lakini kimywa kwanini usingemtuma ata wakili wako leo unajitoa uhaminifu kwa makampuni unajialibia brand yako ni kubwa kuliko iyo ela iliyobaki kudaiwa sasa unajialibia na rayvanny kashapewa ubalozi wa CRDB uwelewa sana na mapenzi pole
Inamuhitaji afumbe macho, yaani namanisha anatakiwa awe na maamzi magumu ya kuwaangalia upya wafanyakazi wake pamoja na washauri wake pia ,anatakiwa kuiajiri washauri wasomi yaani awe na mshauri mwenye elimu lkin pia hata katika bidhaa na masoko anatakiwa kumwajiri manager aliyesomea biashara atakaye kuwa anaweza kutafuta soko la biashara zake ,atakayeweza kupromote na kfanya advertisements za biashara la sivyo atafirisika achana na genge kubwa la wafanyakazi wasio na ueledi na ufanisi wa kazi zako.lkn pia aina ya mafiki na washauri au wanaokuzunguka ndo wanaweza kuwa chanzo cha kustep forward four steps forward then two backwards jua ni aina ya marafiki, tafuta marafiki wanaokuzidi akili sio unaolingana nao au unaowazidi ,ulikuwa na Akina Fred vunja bei km rfk yko make sure unakuwa na watu km Fred utafika mbli
Inamuhitaji afumbe macho, yaani namanisha anatakiwa awe na maamzi magumu ya kuwaangalia upya wafanyakazi wake pamoja na washauri wake pia ,anatakiwa kuiajiri washauri wasomi yaani awe na mshauri mwenye elimu lkin pia hata katika bidhaa na masoko anatakiwa kumwajiri manager aliyesomea biashara atakaye kuwa anaweza kutafuta soko la biashara zake ,atakayeweza kupromote na kfanya advertisements za biashara la sivyo atafirisika achana na genge kubwa la wafanyakazi wasio na ueledi na ufanisi wa kazi zako.lkn pia aina ya mafiki na washauri au wanaokuzunguka ndo wanaweza kuwa chanzo cha kustep forward four steps forward then two backwards jua ni aina ya marafiki, tafuta marafiki wanaokuzidi akili sio unaolingana nao au unaowazidi ,ulikuwa na Akina Fred vunja bei km rfk yko make sure unakuwa na watu km Fred utafika mbli
Nakupenda Sanaa nikiskia matatizo yako naumia km yangu .sema sijui tabia yako .hila we bonge la mwanaume n unetoka kwenye maisha magumu wapi una kwama,n km utaniskia mbn wanawake wazuri n waskivu wapi usiwe nao au mziki ndo unatak ivyo
Shukran hana yy kibur tu ngoj arud kuuz vyombooo
😂😂😂😂
Wasanii wana siri kubwa nyuma ya ukuta alafu kibaya Zaid anatak kushindna na Mond wakt mwenzie Ana biashar na Ana wasanii wanamuingizia pesa .wakt yeye ameanzsha Lebo ameshindwa kumudu wasanii .
Pia kukosa muongozi wa kimaisha ni shida sana. Au kujifanya kujua kwingi bila kuuliza. Yeye alipopewa kazi ya kutangaza CRDB akalegezwa akajaa maana haya mabenki wajanja sana wakikusomea utadhani ni rahisi mno.Kumbe ni unaingizwa ukomeshwe ndio haya sasa .
MUNGU BABA!!! H apo ndipo utajua Mungu sio mwanamke
😂😂😂
Mtu unalewa pesa mpaka unaamua kumkejeli mungu!!chamoto utakiona kabla haujafa🫡🫡
Harmonize anaabudu sana matako makubwa ndio maanake hawezi faulu kwenye maisha yake sababu nguvu nyingi anaekeza kwa wanawake ......
Hahahaa
Duh kwaiyo baba levo na mwijaku wana hela kumzidi harmonize
😂😂😂
Yeye sialisema.mungu.mwanamke.ataseema Yani.mpakaa.aseeeeme
Kwahio angesemaje Ili mkopo huu usamehewe?
Je, wanaodaiwa Tanzania wote au wanaolipishwa na wale ambao wanasema kua Mungu hayupo?
Alijisahau sana pale alipo lewa sifa nakutoa kashfa kwa Muumba wake sasa nimuda wakukimbilia kwa mashetani wenzake kumsaidia
We koma nani shetani?
Huyu kijana ana mwisho mbaya kweli kweli kwa kiburi chake atarudi kama alivyokuwa
😢
Utasubili sana
Unapo muombea mutu mabaya dipo unapo mpaisha kimaisha yanakurudia mwenyewe mimi pare kumbuka hiii messeji
Wewe simungu
Nani a siyokuwa na deni?
@@sifatiiman
Wewe kama nani useme Ana mwisho mmbaya mshezy ww mtasubiri sana Kenge nyie
Pesa kawekeza ktk makalio.😊
😂
Uyu rajabu tatizo mshamba sana wa maisha anaonesha anapenda sana kushindana na wenye pesa wakati yeye hana kitu mwache yamkute atarudi tanda himba
w hujui hata unachoongea
@@tidybway2411haana kitu na ndio sababu hata pesa ya kuendekeza lebel alishindwa mpaka leo pesa za ku brand Ibrah kumfanyia promotion na marketing haana
@@tidybway2411Ongea ww unachojua
@@tidybway2411 twambie basi wewe unayejua tuelewe
@@edsonnelson4464😂😂atueleze
Pesa ya kawaida hiyo Hamo atamaliza tu😊
Atamalizq kwa mkopo mwingine😂 kama alikopa ili atengeneze studio ya kulipa ataitapika wap
alishindwaje kumaliza mwanzo aje amalize leo
Angeweza kumaliza asingeweza kuchafuriwa cv yake
Najua ishue ya mikopo
Pole sana Harmo
Badala ya kununua vifaa vya studio yeye akaenda kununua ma range😂😂..Kajala 1 Kajala 2
Kizungu na kikohozi cha bangi kitaisha mwaka huu😂...na vile dogo anapenda mpalange🤭😂😂
Jaman mbona comment sana wengine tunamtakia mabaya wengine mazuri mwamba kanyamaza tu kwasababu mm naamini anauwezo sana wakulipa hiyo pesa ndogo sana kwa mwamba, hata kama kaishiwa kiasi huko anauwezo wakuuza gari Moja tu na akalipa jaman mbona ana rasilimali nyingi, na account pia inasoma mwamba Yuko vizuri sana
Mwamba,mwamba, labda mwiba lakini hakuna mwamba anaemtukana mungu.
Amludie mungu maan anadhani mungu ni wakuchezea sas atajua hajui
Mungu anahusika vp apo
Alisema yy anadhani mungu ni demu
Na kumsujudia madame Ritha
@@bensonswai-hl6fnwee huoni anaingia vipi?wewe unafkiri kumtukana mungu mchezo?
@@ABUU426we kweli huna akili eti anaigiza
@@IkoUwasi-it6qy wapi nimesema anaigiza? Mbona sikuelewi unachoongelea?
Huyu sindio alisema mungu nimwanamke pia nijeshi LA mtu mmoja akapambane mwenyewe sasa, mmakonde huyo hawanaga shukran walifanya diamond atuone wasaniii underground hatuna fadhira
Uwezo wake ni hatua lakin ye kapiga msamba alimvimbia mpaka boss wake huyu hatujasahau
@@subrynerysegerow1323 alimtoa mbali mwishowe akamuita mbwa haikutosha akaanza kushindana nae kila kukicha ili amshushe mi nadhan kuna mda mond alikua anajutia Kumsaidia huyu jamaa ila ndo hvyo haiwezekan tena
Tukumbuke tu kwamba mkopo sio mzuri ... Mikopo sikuzote Ina nuksi
Alichokosea.mkopo yeye anahongea wanawake 😂😂😂
Issa Issa, Allah analaani RIBA, na hakuna atakae chukua mkopo wenye Riba na asalimike. Mda wowote........
@@MinskBelarus-il2tl change your Mindset uncle akina moodewji wanadaiwa wote, mwaka 2001 joseph kusaga alipata mkopo wa 100M kutoka NMB na ndiyo ilienda kuwa foundation ya uboreshaji ya CloudsMedia BADILIKA WATU WANATOBOA KABISA
@@GABRIELGEORGE-qq1njMo anadaiwa wapi? 😅😅
@@GABRIELGEORGE-qq1nj unataka kumfananisha mo na kusaga? 😅😅si bora ukamfananishe na GSM😅😅
Ulichonacho kidogo mshukuru Mungu,,kuna watu wanaonekana wako na expensive life lakini nyuma ya pazia ni shida,,
This is a lesson , this guys was nothing until he met diiamond ! Then akadanganywa then left in an arrogant way ! Where are the Pple who gave him pressure to leave wbc
Posh queen yuleeee 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
😂😂😂
Acha alipizwe maybe anaweza kurudisha akili yake ikawa Sawa.... maybe anaweza kujitambua kuwa yeye ni nani coz sidhani kama alishindwa kupata hizo hela kwa muda wote huo!!!
Harmonize kaka nimekuenulia mikono unaakili sana najuwa hii ni hit song inakuja juu ya kuheshim mamlaka duuh wewe kiboko❤
we hujielewi
Sky yaaan nasikiliza interview yaaan nataman kama isiishe unaichambua vizul mnooo wallah
Rajabu pole sna daaaa wasanii mnapitia magum sna mnataman hata msingekuwa na umaalufu Ona mie sio maalafu nakula zangu ugali TEMBELE HAPA UNASHUKA VIZUL NA FAN YANGU
Huyu si ndo aliyesema Mungu ni mwanamke??
Hahahaha
😂😂😂😂😂 ndio yy achalimkute jmbo na badoo
@@aishahasan7722😂😂😂
Akamtafute mungu wake wa kike amuombe😂😂😂😂
@@ABUU426 🤣🤣🤣🤣atampata wapii? Huyo mungu wakike chiz lile mibange ishambangua
Huu mwaka ni wangu...huu mwaka watanikoma😂😂😂
Kwa mkopo huwezi kutoboa...
😅😅😅
Wapi mwijaku anaetuaminisha kila siku kuwa Hamornize ana pesa za kumwaga😂😂😂
😂😂😂😂😂
Uyu. Kijana bangi na makalio yanamponza
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂sanaaa matako yanamponza 😂😂😂😂😂shenxiiii
ACHA KUDHALILISHA MMEA CANNABIS SATIVA. INA HESHIMA YAKE, UWE MWANGALIFU. BANGI IPO KABLA YAKO NA ILIUMBWA NA ALIE KUUMBA WEWE. NAIPENDA BANGI
@@DeogratiusMelchior😂😂😂😂😂🎉
🎶Kajala one and two, kumbe vyote ni deni🎵🎷😂😂...mwaka huu naona utavaa shati😂😂
🤣🤣🤣
Dah atavaa shati 😂😂😂kama baba yangu
@@AFRICA_D669 nakwambia😂😂
@@luckyluchano1 😂😂
Mungu akusaidie sana kaka
Mungu akufanyie wepesi mwanangu harmo
Amen
Tatizo sio yeye,tatizo ni bange ye alijua amepewa 😂😂😂
😅😅😂😂😂😂
Uyu si ambasada wenu jamn 😂😂😂mbn hamna uruma au posh kaiba rejesho ndo maana kasepa na ile gar mpya VP mbn baaz ya wasanii mnamaisha magumu ivo unatusumbuaga kumbe ni za mkopo utalipaje na hautaki shoo za wasafi 😂😂😂
@@jumaibrahim9773 poshi
@@jumaibrahim9773 posh kasaweka kwenye poch...imekua posh poch
@@jumaibrahim9773unaumw ww crdb walishavunj mkatab nae kitambo wanaofany kazi na rayvany
Yani unapata pesa ya kugonga range wale malaya Badala a kulipa watu waliomsaidia wakati anashida aisee huyu jamaa lofa sana.... Hebu niambieni bei ya range 2 za yule kahaba
Huyu Sara ndy aliyempoteza maana Sara kufungua kesi kumemuathiri kila kitu 😊
Kiufup zile range zilikua ni zakukod hakununua lakin ay madeni zilikua ni pesa za Kul Bata nakuuza sura
Sidhani kama ni sahihi kumuita mama wa mtu malaya si ustaarabu. Wapo waliolewa na kutwa nzima huvaa majuba na kujificha sura zao lakini ndio making wa kuingia nyumba za wageni. Jiulize wewe binafsi ni mtakatifu? Kazi ya kuhukumu tumuachie muumba na si kazi yetu. Ndio maana hata mitume walikuwa wakitembea na wafuasi wao nacwakifuata mafundisho yote na ibada hawakosi ila matokeo yake walikuwa na wasaliti miongoni mwao.
Ajipange San kusimama na CRDb sio kitu kidogo
Mungu huwa anajibu taratibu
Alichukua mkopo kwa lengo la kuwekeza zaidi kwenye muziki wake wake sasa inaonekana muziki haujamlipa dah pole sana
pole jombaaa kampeni kesho kutwa utapata ela
Kondeboy call me number one , baaresa 🚶🏾🚶🏾🚶🏾🚶🏾 kumbe wasanii wanatupa pressure bure 😏😏😏
wanakupa pressure gani acha ufala! unadhani bank inaweza kukukopesha wwe ata laki mbili?😂😂
Sio wasanii Sema yeye ndo anakupa wewe hapo pressure, tumzungumzie yeye binafsi.
Khohokhohkhoho😮 🚬
Sasa Konde una yumbaaa walahi
Rudi kwa Diamond platnumz kamuombe mkopo yule baba yako tu siku zote hawezi kukutupa😢
Dah!
MIMI NAMU OMBEA MUNGU 2 MAANA KAKA AMETOKA MBALI SANA 😢😢😢😢
Ni kweli ametoka mbali ila amesahau alipotoka🚶🏾♀️🚶🏾♀️
Hatari sana aisee
when a god wants to make a man first he break him into pieces think twice all viewers
Hizo pesa alimnunulia kajalaa ranger
Tatizo dogo bado ni limbukeni wa maisha na Mademu!
Hata sikumoja usimzalau alie kusaidia kukutoa mbali ulimtukana sana mondi
Wasanii mambo magumu sana ,sema wanapenda kujikweza
ANA AKILI KABISA
Mungu amuwekeye wepesi insha allah
Usihusihusishe Mungu kwa ujinga wewe unachukuwa deni uonge malaya ukishindwa kulipa unamuweka Mungu😏😏?
@@svt3 aca kiherehere sio kila comment lazima ujibu nakwambia acashobo ufanikiwe😜
@@khurlainashly5686 sasa wewe uko dunia ya tatu unaniambia mimi nifanikiwe? Si utafute hata namna ya kuenda uarabuni uoshe vyombo kwa sh laki 5 kwa mwezi sababu niliko hauna na hauta wai kuwa na uwezo wa kufika
Kukopa sio issue issue alikopa afanyie nn ndo tatizo ukikopa ili kuongeza nguvu kwenye biashara sio shida hata matajir wanakopa ila harmonize hana biashara tunayoijua may be ya mziki ila anatumia fedha nyingi kwa wanawake pia hana mtu sahihi nyuma yake hilo tatizo pia
Mwijaku SI yupo nyuma yake
😂😂😂@@davidibrahim9138
Safi kumamake wanajifanya viherehere wa CCM na Bado
Harmonize Mzee Popo anategemea uchawi Hadi kwa mikopo...Aibu Tz😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
MKOPO .SHIKAMOOO..mmmmmmmh kazi kazi kwelikweli pole mdogowangu 😢😢😢
😅😅😅😅
Wanawake anawanunulia magari na pesa za mikopo😃😃
Kwa mfumo huu kutoboa haiwezekani 🎯
Fanya umalize kaka inakuchafua na inakuchelewesha jitahidi umalize den kaka mana kudaiwa sio vizur jaman
Niliongeaga toka mwanzo haya yametokea ,nilisema hivi ,huyu jamaa sifa nyingi akili hamna kabisa na ushamba utamwangamiza ,ujuaji ukizidi matokeo yake ndio hayah
Hawa wapumbavu wanaishi maisha ambayo sio ya kweli wanavimba kumbe hela za mikopo😅😅😅😅😅
Mbona Tandahimba Kuna mashamba kibao akalime kumamake
Sianajitangaza anapesa tele kumshinda diamond sasa imekuaje anashindwa kulipa mkopo na kujigamba kote huko sara atqtafutwa amlipie mkopo
😂😂😂😂😂 kumamake ukulima
Astaghfirullah
Maskin ya mungu hela ya mikopo ni kharamu
Mbona mapema mno sasa.....?
vanyy bize na matuzoo tuu maisha haya aahh
Haya bas na CRDB wawe maadui zake akiwalipa awasem vbaya sana
Mimi ntakuwa wamwisho kuamini kama harmonize amekoswa hela ya kudai crdb ikilinganishwa na mishe mishe anazozifanya mimi naona hiyo hela ni ndogo sana kwake rabda Kiki tu mikopo ndo inainua watu kiuchumi kama ukiwa na malengo dhabiti ingawa watu wenye akiri zakitoto wataona mkopo nikitu cha ajabu ila ukweli mkopo ndo imetutoa mashambani nakutuweka kwenye njia sahihi za kukimbilia ndoto zetu kama siyo Kiki awalipe tu
Kwanza huyu sialikuwa balozi wao au
Mbona walishamvua ubalozi wamempa chui@@deogratiusyudatadei5658
Mmmhhh pole sana kwa jeshi 😢
Tatizo mwezetu nakubali mapenzi zaidi kuliko kulipa ndenyi za watu mamilioni niku kidongo kwake🤔
Dah una furahi sana wewe diamond harmonize ata chinda kesi kaaa kaa kimia conde acha kuchinda ki musiki wewe
@@heritierpaluku7320mkundu ww
Kajala na poshi ndio wamemchuna mpaka siyo poa tatizo nilimbukeni sana wa Mapenzi kuhonga Magali sibola uowe TU umuweke ndani ndio umudumie mwanamke Sasa yeye anafanya ndio sifa 😊
Duuh sema konde huu mwaka so wake wazee
Harmonize anatupa ugumu sana kumtetea mashabiki zake😢....alipe tuu😔😔
Hatari sana
Hii ndio shida ya wasanii kutaka kuaminisha Wanatanzania kua unauwezo wakujisimamia lkn kumbe ni mikopo😂😂
wenye d2 tunaelewa kuwa mkopo hauchukuliwa kuanzisha biashara na kutegemea biashara hiyo irudishe mkopo huo,
Mkome... sisi wafanya biashara tukija kukopa mnatuzungusha wakija wasanii mnawapa
Alijia ataachwa SABAB yey ni Harmon yaan huu mkopo umnfanya aonekane hana lolote brand imeshuka
Tatizo ni matako siyo kingine
Jamani anahonga sana ndo hasara hio sasa🤧🤧🤧
Daah leo ndiyo nimejua kumbe mchiz hela zake zote anawapelekeaga madem zake,dogo anapenda sana dudu😂😂😂
😂😂😂😂😂maden atalipa pekeyke madem hpo hawajui maden😂😂😂kaz kwake Mzee wamatako😅😅
@@aishahasan7722 🤣🤣
Akate hayo matako ya wahuni wake akalipe😂😂😂@@aishahasan7722
Mwenetu anapenda sana sifa acha wamfanye
Kajala 1 and 2... Tena zote ni range.😅
Konde kwnn usilipe wakat hela unapata shida nn
Jamaa hana senti😅 majigambo yakishamba thu😢
Kazi anatoyo kijana
Hakuna deni linalo bembelezwa ivyo wakati vitu anavyo miliki vinajulikana 😂 mahakama ikisha hamua kuwa unadai lazima bank iruke na kitu unacho miliki sasa kwa jamaa mbona wanabembeleza. Hawamdai Ni kiki zenu tu
Hatua inayofuata ni kukamata mali zake kama atakuwa hajalipa. Lakini hii pia inamharibia kupata madili mengine
Kweli mkali watu sijui wana pagawa vipi au ndio mwalimuwao kipofu hawa angalii mzunguko wa kazi ya mtu kazi anayo fanya mzunguko wake katika biashara zake mil 100 wamejipanga tuu kumpiga hela lakini sio kitu hata chakumfilisi mana alipo pita pagum kuliko wanapo paona wao