BREAKING NEWS: WALIOTUMWA NA 'AFANDE' WAFIKISHWA KORTINI, WASOMEWA MASHTAKA MAWILI WAYANAKA
Вставка
- Опубліковано 16 вер 2024
- Watu wanne wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Agosti 19, 2024 wamefiksihwa mahakamani na kusomewa mashktaka mawili.
Watuhumiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Dodoma na kusomewa mashtaka ya kubaka kwa kikundi (gang rape) na kumwingilia kinyume na maumbile binti ambaye hakutajwa jina lake mahakamani.
Akizungumza na waandishi wa habari nje ya Mahakama Kuu ya Tanzania mkoani Dodoma, Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Mashtaka Makao Makuu, Renatus Mkude amesema vijana hao wamekana mashtaka hayo na kutokana na unyeti wa shauri hilo wataendelea kuwa mahabusu.
Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Mwananchi
Siyo wanine waribaka watano mpaka wana simba wana baka watoto
Ata wakikana bc tushabaini kua walifanya maana video watu wanazo na sura zinaonekana. Kinachofata ni kumjua tu aliewatuma
Ajira za undugunization.
Wanakana nini wapingwe risasitu wafe
Upwiru umewaponza
Tunamtaka uyo afande
Wanne tena jmn mara watano sijui tuelewe lip
Wanakana wakati video za kitendo kichafu walizokuwa walifanya zipo mashetani Hawa sukuma ndani wakaozee jela
Makolo mnashindwa kutongoza hamujiamini mpaka munaenda kubaka watoto wandongo
Sura zimewakauka kama nini
Walikua watano kwenye video yumeon leo wanne ache kukumbatia waalifu
Watakiona sasa
Atuna aja na jina sisi maana tunamjua tayari Shelia ifate mkondo
Na askari aliyewatuma aoneshwe
Si walisikia utamu sasa WANASIKIA UCHUNGU.
Tunamtaka na huyo afande tumuone
Jaman mlioona hiyo video tunaomba mtuambie je ndo hao kweli waliokuwa kwenye video
Ndio awa
Wenyewe kabisa
Kabisaaaa Yani
Kwanza Mimi kwa mtazamo wangu ... Hapa ni Bora muaonyeshe kwa picha za wazi mbona wengine mnatuonyesha vipi Hawa 😢😢
Wajinga sana hao