BOFLO STAR SEARCH | ARUSHA & KILIMANJARO - USWEGE & ELIUD
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2025
- BOFLO STAR SEARCH
Ni kipindi cha Comedy kitakachoruka kila jumatano saa moja kamili jioni
Kipindi kinaongozwa na Uswege pamoja na Mchekeshaji Eliud Samweli kutoka CHEKA TU.
Usikose.
Aiseeeh mmeua ... sikutegemea ingekua funny like this kwa home City .... Big UP Big UP Big UP waqali wa kaziiiii💯💯💯💯💥
Mnavogeuza macho wakat mtu anaingia utazan Kuna mtu kwel 😂😂
Unyama sanaa huu see you at the top
Watatu Leo jaman naomben like
We Asikali wa zenji mtupu 🤣🤣🤣
like unazipeleka wapi kenge wewe!
acha ushamba
idiot 😏
Tunakuuwa unaomba like upate faida gani uje kiwahadisia wanao
@@officialkamdudu Mbona matusi sasa, idiot niwewe coz mwenzako anachukuliya funny kwenye social media
Sisi hatujafuata waalimu wa kindergarten🤣🤣🤣
Mbavu zangu ziko tayari kabisa nah isitoshe ntacheka hatari
Jamani
😂😂😂Eti weusi wapo sita 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 Semajiiiiii yupo vizuri sanaaaaaaa......
Hahahaha mtabaki 6
😂😂😂😂😂😂😂😂uswege mpuuzi uyu
@@FarajaMagesa-bd4pq anajizimaga data mda mwengine
Uswege na Eliud mtanilipa mbavu zang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wawe tayari tu, gharama zitakazohusika katika matibabu ya mbavu wawajibike tu!
Uswege nilijua kapigwa na Adam mchomvu 😂😂
🤣🤣🤣Mnachekesha sana jamaa! Proper entertainment 🔥🔥.🇰🇪
Kapigwaaaa jamani chief jaji
Pepeta mwenyew 🤣🤣🤣🤣🤣
Et sio kwamba ndo ile yan sio sanaaa😂😂😂Eliud jmn
@mceliud mara moja moja una mmamata kofi la uso @uswege madem aache tamaa hahahahaha wanangu mna ua kinomanoma, such a nice creativity appreciate u guys
Heeee wazee wakichagaa aliud 😁😁 nyie jamaa mnajua
Nawakubal San nasubir ya Dar🤗🤗😋
Na nilichokipenda zaidi katika vipande vyote Uswege unampa sana nafasi Eliud ya kuongea safiiiiii
Kwan Arusha & Kilimanjaro wasanii wengi ni Wakike
🚶🚶🚶🚶🚶
Ati sasa tukimuacha huyu si tutakua tumechoma mafuta🤣🤣
Wa kumi, leo chief jaji utuletee za kenya lini 😅🤔
nilikuwa nasubiri kwa hamu sana hii mikoa 😅😅😅😅
Uswege ana kaumalaya fulani ivi😅😅
Aty akapambanie ndoto 😂😂😂😂😂🙌chief judge waamua tuh😂😂
Arusha mumeweza pia
Respect for all
Uswege ft Eliud
Nzovwe boy 🔥🔥🔥
Wa mwisho jamani 😁😁
Asiimbe hana kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣 atokeeee..
eliud Kaka angu,mbona kumtandiak viboko😅😅,wewe kamatia chini tuh😅
From South Africa in cape town i like it ❤❤❤😂 this
Arusha kama Arusha 😂😂🔥🔥
Tutamtoa salama bongo star seach akae uswege itakua madem wote pita uku unaenda dar 🤣🤣🤣🤣
Kwaiy eliud hn vyet akaomb kz sm nyingn 😂😂😂
Waaaaoooo... Nic Name.........
Mnaonaje tuacheee
1 hour ago, sio kinyonge leo, nimewahi
Uswege nyie nimachoko kwel😂😂😂😂 iyo miwan sasa aseee
tulixubiri kwa shauku kubwa 😁🤣🤣🤣🤣
Haisee nihatar kwl
🤣🤣🤣
Judge muderede anapenda videmu huyu daah😂😂😂
sasa sijaelewa billinas si wa dar mtoto wa kinondoni sasa arusha kafikaje uko 😂😂😂😅
N mchaga yule
Home sweet home 😂😂
Haya bhana hongera ARUSHA
Sijachelewa saana jamani nioneni basi
Chifu jajii Ameuvagaaa Mziki Wa Chugga...Wavunja Kamkono na kumtia pancha on head...🤣🤣🤣🤣🤣 #UswegeMurderer #McEliud 🙌🙌🙌🙌🙌😤😤😤😤😤
Umetisha broh
Aingie kwenye Siasa apambanie ndoto yake😂😂
Uswege leokakutana nacho chezea chuga😂😂
Hapo Kwa Dipa mama mmeniuaa, nmecheka kifala
Wakwanza leo jaman naitaj link hata moja jaman
Kama unaipenda chuga, naomba like zenu
Hatar xana😂😂😂😂
Mmetisha kinoma
Watabaki sita aaaaaaaaaaaa😮😮
Sio watano mnabaki sita🤣🤣🤣
Much love brothers
Nishafika😂
Mlichomfanya motra the future mungu anawaona
kujitinyingany, kujivuruguanyaaa hh
Ila eliud 😅😅😅
💥💥💥💥kuleni bomi
🔥🔥
Hi nzuri sana ila mmemsahau mh Temba na Mr nice asee
ety me naitwaaa eliud mwakasegee ahhahahahahahah
Hahahahaha jmn Hawa watu mmh
Nakubali broo
Being a beautiful female is a guarantee to go Dare salaam especially when uswege is around.👍😂😂
Hyo uhakik
Arusha mpooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tupooooo😂
Uswege💪💪💪💪
Yana jisifia ... uhuni 😁😁😁
Eti semaji dah Eliud nyoko sana
Chuga oraaaaaaaa❤️❤️❤️❤️❤️
bado niko hapo kwa pepeta🤣🤣🤣🤣
Nilikuwa sijainyaka hii😂😂😂😂
Tunasubiriiiiii
😄😄😄😄apo kwa Vanessa mdee😄😄😄
Mungu anawona nyie 😂😂
hhhh chifu jaji kafany nn tenaaa hhh
Umekosea ujamweka mr ebo jamn
Si ni marehem ama
Motra the future 😂😂😂
🔥 🔥 😂😂😂
Mmetisha sana, sema chief judge anapenda sana wanawake atakuja kufa kijinga sana 😂😂😂😂
Kaskazini tunatisha Tz
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
We unarap au unapika😂😂😂😂
Show nzuri leo
Oyoooooooooo nomaa
Daah sema sujapenda kuwaacha jambo squad
Asante uswege umenitimizia ndoto
😂😂shenzi nyie
Ila mc eliud unaua sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Dah hawa jama noooma😆😆
Cheaf jaj😂😂😂😂
Anapitisha sana mademu huyo
Vee money 🤣🤣🤣🤣🤣
wamwisho leo
Chuga one🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eliud......🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah wa huko mmewaacha wengii
Rosa reee wapiiii😂😂😂
Hahahahaaaaaaa ndagha!