BABA ANYIMWA KUZIKA MWANAE ALIYEFARIKI KWENYE AJALI YA MAJI AFUKUZWA MSIBANI MWANASHERIA AFAFANUA
Вставка
- Опубліковано 27 вер 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
Baba kama ni damu yako inuwa mikono shukuru Mungu atajibu. Damu haipotei hakimu wa mwisho ni Mungu.
Trust me hii kama kwli ni damu yake Itajibu siku. Nimepitia hapa comments wengi wanamcheka kua labda alikua haudumii.. Ofcourse inabid kujua both side stories ila haiondoi ile position ya jamaa kama alikua kweli ni baba wa mtoto. na hii its more spiritual than what people thinks in physical world..
Hii rambi rambi imefumua mengi mwaka huu 🙌🙌💔
Yaaan jaman
Wanaume mmejua sana kukwepa majukumu likitokea lakutoe ndo mnaanza kudai haki, hamjui mtoto anakula nn, anavaa nn, anaenda vipi shule then wataka haki wanaume mjitafakar sana ata kama mama pia nichangamoto, tunza mtoto wako kama kweli nidamu yako ata ukitaka haki upewe bigup mother 💪💪💪
Wababa jina jifunzeni hapo mwanajshi hana kosa,apewe hongera kwa kumlea huyo malaika asie na kosa na tumpe pole kwa kufiwa na mwanae wa kufikia mauwa yake 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wababajina hujielewi wewe huyo mama inaonyesha nimalaya tuu that's why akamkabidhi mtoto kwamtu mwingine kutengana katika ndoa haimaanish mwanaume ni mwanaumejina tabiapia husababisha watu kutengana. Watu walifungandoa kabisa bado mama kaenda kungine kuolewa namtoto unamkabidhisha huko unako olewa , unamkosea mtoto unamdhulum mtoto hakiyake. Siku akikua utamfanya mtoto kua namfadhaiko wamawazo
@@DM_15kama angekuwa baba mwenye kufanya majukumu yake basi ilikuwa yeye ashughulikie maswala ya msiba kwa hiyo hata huo msalaba angeenda kuutengeneza yeye. Mababa wengi mnajua Kazaa lakini kulea mnakwepa!
@@MsAggie5 nawewe unachekesha ushasikia mtoto alikua anaishi na mama huko aliko olewa, una uhakikagani huyo jamaa alikua huru kumuona mwanae msibatuu baba kaja kafukuzwa je, katika uzima alipata fursa yakumuona mwanaye? Tatizo mentality mnadhani kila mama anaelea mtoto pekeyake mnakimbia kutusi wanaume , wanaume wamejaaliwa kunyamaza hasemagi madhaifu yawezawao walachangamoto zinazo sababisha wao kutengana, wanaume wameumbwahivyo, huyo alie muoa huyo mama inawezekana alishamwambia mwanamke sitaki kukusikia ukiwasiliana na mzazi mwenzio. Hivyo huyo mama akaamua kumbadilisha mtoto jina kbisa. Wana ume ana wezakua anapigwa namkewe ndani lkn aka kaa kimya tuu na akaendelea na life lake msiwe wepesi kuhukumu. Mimj huwa naamini mwana ume mbaka aje alipe mahari aghramikie harusi kash kash zote zakuoa aka fuata halafu uje useme mwanaumejina . Siokweli mwana ume mbaka afanye jambo kubwahivyo ujue amefikiria kwakina ametazama namna yakuendesha maisha na akajiridhisha hakunaga mwana ume anaingia ghrama zakipumbavu hivyo kwani hakua anamengine yakufanya umalaya tuu wahuyo mama unamsumbua nothing another thing jamaa huenda kashuka kiuchumituu akakimbia kwa huyo mwingine
Ulikuwa wapi wakati msalaba unaandikwa? Maana yake hukushiriki toka mwanzo umeenda saa ya kuzika tu, duh
Pole baba jina jina anapojitokeza kwenye tukio na kukuta jina halipo wakati hata ada hajui ni shi ngapi mtoto anakula nini yupo kama hayupo pole 😢
Namuonea huruma huyu baba,ukute watoto ni wa mwanajeshi😂😂
Ila selikali ingeangalia namna nyingine kwa upande wa wananwake wanaotelekezwa na watoto alisilimia kubwa wababa wanatelekeza watoto bila ya kujua wanaishi vip wanakula vip pongezi kwa mwanajeshi yeye ndo anajua watoto wale nini wasome shule gani wanavaa nini ila kwa sasa sheria itaingingia kumkandamiza huyu aliyevaa kiyatu kisichomhusu lakini kaeni mkijua single mothers wanateseka sana na majukumu ya kulea watoto
Mkome wanaume kutelekeza watt
Hv mtu hakupi huduma yeyote ya mtoto miaka 5_10 hafu anaskia changamoto ndo analeta fuvu lake eti mwanangu hebu acheni hizo mambo bwana msichoshe mtoto ! Me bado sijakuelewa hata kidogo
Huduma inahusiana nn na jina la mtt???
@@ernestsereli8559 vina uhusiano Sana kama umemtelekeza Toka azaliwe nakupa Hilo jina la Nini labda
Kuitwa baba sio jina la ubatizo.
HUYO mwanajeshi amejidhalilisha.mtoto usiyemzaa anapewaje jina lako jamani SI kujiaibisha huko
Sure. Unless huyu mama alitembea nae wakati wa ndoa. Kua huyu mwanajesh ndio mtoto wake wa damu. kwamba alimbambikia jamaa, lakin bado haijakaa sawa ingawa lazima mvutano unakua mkubwa,..Lakin kama sio mtoto wake wa damu its very bad Spiritually
Atakua hanisi labda
Huenda ni hasira kwakuwa hukuhudumia mtoto ulikataa
Ulikuwa unamuhudumia huyo mtoto
Sasa kama alimkataa
Kitaalamu Hii inaitwa kukwepa Majukum😂😂 huenda ulikuwa hupeleki maokoto
Doctor hata km ukigombana na mwanamke lea watoto lakini km alikunyima kuhuumia hapo kweli umenyimwa haki. Pole
Ule msemo ukipenda boga penda na ua lake. Mjeshi kapenda na mama na mtoto wake.. safi sana amefanya vzr sana.
😂😂😂khaa
Ulikuwa unatoa Ada ulikuwa unamtunza huyo mtoto au unataka masingle mother wafanyaje Duuuh wanaume tunzeni watoto wenu mtapata haki zenu ilakama hamuwatunzi yatakukuta kitu
Makonda anakazi saana,huu mkoa unamambo
Huduma utoi unalilia mtoto pambaneni kuhudumia watoto wanawake wanaudumia watoto wenyewe
Hapo ndugu halilii mtoto analilia pesa ya rambilambia
@@SaedaAlbrekikabisa hakuwa na mapenzi na mwanae, aibu sana kwake
Bado ujatoa hoja
Nani mwenye uhakika kama.hatoi matumizi?
@@SaedaAlbreki umemaliza
Tukumbuke anayejua baba halisi wa mtoto ni mama. Tusisahau hilo 😂
Alikuwa analipa ada?
Ww unakosea Sana suala hili usiseme anatumia uwanajeshi tulisema nae anatumia udaktari wake kulalamika usiwe unataja nafasi ya hujasikiliza upande wa pili ww unalaumu mwanajeshi siyo. Sawa Hiyo ni taaluma kama ulivyoww wakili
Ww utalelewaje mtoto na mwanaume mwenzio bwana tupishe jitu zima ovhooooo
Una uhakika gan halei mtt?achen ushabik wa kijingaa
Kwani huyu Daktari alikuwa halipi Ada akajua jina la mtoto linasomekaje?angekuwa anawajibika angetatua hilo tatizo mapemaaa ina we,ekana alikuwa anaona watoto wanasoma kwake kitonga tuu
Alikuwa halipi angelipa ada angejua jina la mtoto wake
@@HamisiForogokwa ujumla alikuwa hajali Leo kafa anakuwa mtamu , dunia simamia nishuke😢😢😢😢
SIKILIZENI TENA, MTOTO SHULENI JINA LIKO SAWA SHIDA NI HAPO KWENYE MSALABA TU. MIMI NASHAURI DOCTS ADAI MTOTO MAHAKAMANI KWANI ALIYE KUFA HAPO SIYO WAKE HIVYO ADAI MTOTO WAKE AKIWA HAI.
Huyo jamaa alikuwa hawajibikib kitu chochote kuhusu mtoto, angekuwa anawajibika angetatua Hilo tatizo kabla
Siku zote alikuwa wapi kupaza sauti mitandaoni na kuomba wanawe? Leo amefariki ndio anajitokeza. Aishie kule kule alikokuwa. Amuache mama na mume wake mwingine wazike mtoto maana ndiye alikuwa mlezi WA mtoto muda wote na mlipa Ada😊
Huwez kuzka mtoto hata kama angelelewa hadi uzeeni.
Atamzika tu, kelele za chura haimzuii ngombe kunywa Maji, alikwepa jukumu la malezi Leo kafa anataka nn?
Uliwahi omba msaada usaidiwe kutunza Mtoto mke kakataaa😂
Ungekua unalipa ada ungejua mtoto jina lake halisi ni lipi inaonekana malezi ulikua hufanyi mwanaume unizalishe unitelekeze uje ubane. Pua mtoto fyoko riozo ntakutoa macho baba sio mbegu baba. Ni malezi khaaa
Haswaaaaah watunze watoto wao
@@HamisiForogo. Wamesema jina la mtoto shuleni halina shida ila kttk msalaba ndo pana sinto fahamu.
Tatizo mnakimbilia kutoa maoni badala ya kusikiliza maelezo umeambiwa shuleni jina halisi linatumika ila alipofariki likabadilishwa
Kuna watoto wengi wanaolipiwa ada na watu wengine, hicho siyo kigezo Cha mtoto kubandikwa Jina la baba wakambo,
@@RenatusMatungwawanaume hamfai , kazi kuzalisha tu kulea hamjui then siku likitokea lolote mnajitokeza
Hatari sana
Hapo baba analazimisha hela za rambirambi wakati watoto wako wanahudumiwa na baba mwingine😂😂mnampa shida mama samia hajui pesa za rambirambi ampe nani!
Kama kweli vile
@@joycemkeka3769MWANAMME KAMILI HALEI WASIYO WAKE, HUZAA WAKE NA KUWALEA.
Hana maana hiyo yeye kaenda kuzika mtoto wake aisee , wamemkosea Dr
😂
Inauma sana jamn
Yaan mtoto hamtunzi alafu unataka mtoto subutu yako
Hata kama angekua hamtunzi hawezi badilishwa jina jina la baba ni baba hata kama hatoi mia hilo ni kosaaaaa
Kutunza ni kitu kingine na kuzaa ni kitu kingine kumnyima mwanae si sawa
Je ulikuwa unahudumia mtoto au ni baba jina tu pole sana
Hata kama hakuwa anamuhudumia mtoto kashafariki malumbano ya nini? Na walifunga ndoa, shida ikowapi? Anyway amwachie Mungu tu
Wababa acheni kutelekeza watoto wewe baba ndo mwenye makosa, kama mwenzako alipenda boga akapenda na uwa lake muache mwenzako akusaidie kulea pole sana
Wanajuaga baba ni jina la ukoo
Kwan hata usipomzika tatizo ni nini au rambirambi
Mimi kwa akili zangu fupi kama simpendi uy mwanaume alienitelekeza ningemwambia mtoto sio wakwake bc yaishe
Walikuwa wanandoa kama wasingefunga ndoa labda. Lakini sio afya kumbadilisha mtoto jina
wanaume wengi wa kitanzania ni mababa majina.
Ndio baba jina haudumii watoto kwa kila kitu
Kabisa Yani mibaba ya kitanzania mingine haijielewi
😢Wa baba wa hivyo wapo wengi sana bongo
Hawa wajinga wapo wengi wanapenda kitonga mwanajshi hana kosa
Kumbe usipoudumia inakuwa mtoto si wako? Hii elimu wingi hatuijui.
😂😂😂hii nchi kuna mengi pesa hizi pole baba.
Anachekesha sana alivyo terekeza alikuwa ni kisiki wamwache mma wwa watu yyendio ana machungu yote hata hai wabba wakira hizipesa wakati wanawarea urikuwa wapi? 😂😂 Unachekesha Kwa hiyo na yye anataka mgao nniiii
Wanashelia mda mwingine huwa mnakuwa syo waelewa wanaume mda mwingine wanazidi usumbufu hajui mtoto alikuwa wapi na alikuwa anatuzwa na nani ndyo maana mama aliamua kuandika ubini mwingine
Pole sana kaka
Huyu baba anaonekana anataka hizo pesa ambazo mhe mama samia alitoa hizo za rambirambi ndiyo anataka na wala hana shida na kuzika na wala kulea mtoto na wala hawajui kwa hali na Mali ha ha ha pesa ina mambo tu
Siku zote alikuwa wapi uyo bba wwa watto alikuwa anatowa uduma za wa tto yye katerekeza familia Kwa uyo bba Leo kaona pesa ndio anakumbuka familia acheni hizo
Shida sio pesa wewe bwege shida kwa nini abadilishe jina?
@@FaustinMarko-t6ympaka mtoto abadilishwe jina bila kujua ni kwa alikuwa hawajibiki na chochote kwa watoto , leo ndio anaona wajibu wake
Ndio alimtelekeza km angekua anamfatilia angejua hilo mapema
Kuwa na nyumba 2 sio sababu ya mme kumtunza mkewe wengi hawatunzi wake zao cash money hata soda Hadi uombe wachukue tu
Huyu baba angekuwa anawahudumia wanae yote yasingetokea haya,huyu mwanamke sio chiz bana,mwanajeshi kapenda msusa na boga kwa pamoja,huyu alokuja leo alikuwa wapi muda woote?
Tusikilize upande wa mama maana hizi hrla za rambirambi zimeleta kizaa zaa
Dogo tulia kila wote wanamshahara hawaishi kwa ramabi rambi kwani wewe umeshatoa bei gani kwao kama rambi rambi? Hujafiwa ukayajua vizuri
@@talents7934Atujakataa ila waache mtoto apumzike slipoa hali baba mtoto alikua wapi alikua yuaudumia watoto alipoachana na mama watoto Ada atoi yani uduma atoi yote sliachia mama na mwanajeshi ndio yuatoa huduma sasa uyu yuataka nini swali niilo uyu mtoto axingekufa lini mgejitokeza mumeteleza watoto kaeni mkso wa kutulia uko
Labda MWANAJESHI ameenda ustawi wa jamii kuruhusuwa kulea watoto si damu yake.
Yaani nina hasira na wababa wanaotelekeza watoto hadi nahisi kupasuka!
Mimi ninaye binti aliyekuwa msaidizi wangu wa nyumbani. Akatokea mwanaume mmoja msukuma akamrubuni anataka kumuoa awe mke wake. Mara akamjaza mimba. Msichana akamtaka amchukue wakaanze maisha. Kijana akatoroka akmwacha na mimba. Ikafikia binti Mungu akamjalia akajifungua kwa operation. Gharama zote ni mimi. Kijana hatoi uushikiano hata kidogo. Hivi kweli huyu mtoto aandikiwe jina la huyu baba shetani aliyemkimbia? Mtoto sasa hivi ana miaka mitatu!
Hapa sheria inasemaje!
Nawaombeni msaada wenu wa mawazo watu wa Mungu!😮
Siku huyo mtoto akibahatika utashangaa atajitokeza , haki ya Mungu mm sitamwambia mtoto kuwa huyu ni babako😊
@@martinabayyo9982hawa wanaume nani aliewaloga, mtoto andikwe Jan la baba anayemhudimia
Msimalize maneno mwambie ndio anajua baba wa mtoto huenda alikuwa nae wkt yupo na mmewe Sasa kamzalia akiwa ndani ya ndoa
Sasa kama daktari alizaa na huyo mwanamke basi akadai mtoto wake kwasababu aliyefariki sio mtoto wake kutokana na jina lililoandikwa katika msalaba.
Pengine ulimterekeza
Tungejua lini ndani ya ndoa nyingi zina heka heka hivi jaman au ni ile pesa imeamsha Ma X 😂🤣🙌
Ungekuwa unawasomesha ungejua jina la mtoto. Inamaana haukuwa unahudumia familia yako
Ndiyo kuna sheria but common sense must prevail
Sasa kama mtoto hayupo si nikuacha tu
Jamani mtoto kafa bado wamuhitaji? Duuuuuu dunia hiii ngumu
Sasa km ata wasipowaudumia tusiwpe wababa wanaowaudumia tutawapa ata kwa lazima kikubwa waudumieni watt zenu
Point 😅😅😅😅😅
Msitelekeze familia zenu
Kasema alikua anahudumia mpka school fees alikua analipa na nyumba alimuachia huyo mwanamke akae na wanawe
@@neemagamba3268urongo angekua yuaudumia asingebadilisha mtoto jina wanaume wengi wakiacha mama anaacha na watoto awa awashughuliki wamejitokeza kwa sababu ya msiba tu
Ajuae baba wa mtoto ni mama!
Mimi napitaaa tuuu mahana niabuu
Una uhakika unaemtaja kuwa mwanajeshi, au unaongea kufurahisha tu
Ila Wanawake mnazambi kubwa sana ukute ulibeba mimba ya mjeda ukiwa kwenye ndoa badae ukafanya fujo ili uolewee na mjeda kisa maokoto harafu baba una msomesha mtoto au nawewe ndio unataka kulelewa na mjeshi kama ni wanao chukuwa huyo aliepona
Mmh jmn huu msibawaArusha mbona una majangaaa heee huku Brayan anagombewa huku jina la mtoto heee
Mama samia akusaidie nn, we utakuwa umemtelekeza huyo mama hawezi kufanya hivyo bila ww kumfanyia uhuni huyo mama
Kutengana
Huyo mjeda kajichafua mama yetu samia umefanya vyema kumpeleka makonda Arusha atawanyooosha
Unaoaje mke ambaye ana ndoa na haijavunjika unakaa naye 😂😂
Usipotoa matunzo ya watoto watatafutiwa baba mwingine hata wawe saba
🙆🙆kumekuchaaa
Unahangaika na jibu unalijua😅😅😅😂😂
Hata akienda ustawi wa jamiii unachopewa ni hati ya kuasili tu nasio kubadilishwa jina
Na watamualibu saikolojia huyo mkubwa shule aitwe Odelo leo mdogo wake aitwe kivuyo ningemuona shujaaa angempa jina lake
Haya mamb jamaa angekausha tu mjeda anaupendo xna na yy akaushe dada wa watu aendelee na mjeda istoshe mtt keshakufa dada wa watu akaona bora ampe mjeda wtt ili mjeda asijiskie vibaya duh! We doctor acha roh mbaya
Haya ya Sasa kwenye Ndoa jamaniii 🤔
Yan jaman hii misiba inahekaheka😂😂😂😂😂yan kule mama anadai ni mke apewe rambirambi huku tena khaaa🙌🙌🙌mnatuchoshea rais
Wanatia aibu sana
Sàaana
Uana sheria ujeshi rudini kwenye imani za kidini mume na mke naamini anaye jua mtoto ni wa mwanaume yupi ni MUNGU ndiyo maana mnahangaika kwenda kwenye DNA
Hawa wanawake ni shidaaaa
Jamn huyu baba namjua mke alimfukuza mume akachukua nyumba gar bado akaend anakofanyia kaz mume wake akazuia mshahar kwa ajjl ya matunzo ya watoto afu end of the day anamkatalia mume asizike mtoto sio sahih coz mwanaum. Alikua analea
Ukome,tumizi hutoi unategemea nn
Ndio ajifunze kuhudumia familia
Huduma haihalajishi kubadili jina la mtoto
Umenena mamy hawajui kuhudumia familia lkn mtoto akikua tu na anamafanikio utasikia mtoto wangu
@@alfoncejohn2104Nabadilisha hata kama ni mm, mwanaume jina mm wa nn? Yupo right huyo mama so chizi Hadi jeneza linaandaliwa alikuwa wapi yy kama ni baba anayejua jukumu la familia
Dr nina wasiwasi inawezekana pia alikuwa mkeo ila watoto wasiwe wako
Pamoja nayote hayo mwenyekujua baba ya mtot ni mama
Samahani naomba number ya huyo mwanasheria
Shida hapo ni malezi ukute mume wandoa alikua hana matunzo ya mtoto huyo mwanamke alibadilisha jina kwa hasira tu lkn hakutakiwa kubadilisha jina labda kama baba alimkana mwanae huyo
Nyonyi nendeni uko mbegu umepanda uduma utoi kwendeni uko ikiwa mbegu ukipanda uangalii sasa watarajia mavuno acheni ujinga watabadilishwa watoto wengi mwanajeshi hongera na mama wawatoto.pole sana Rais samia achana na huu ujinga marehem amenyimwa haki yake wakat mtoto amekufs mbona ukumpa haki yake akiwa mzima ngombe nyinyi
Alikuwa analipa ada yeye
@@kilimbelememe2632ukisikiliza kwa majini jamaa anajitetea, kama alikuwa anahudumia mwanae huu mziba angeudimamia yeye mwanzo mwisho na taarifa angepewa yeye na shule kwa vile anajulikana kuwa ni mzazi alikuwa anafuatiliwa maendeleo ya mwanae kwa Kila kitu, kwanini andae mazishi mjeda yeye aende kama mwombolezaji ndipo agundue jina limebadilishwa kwenye msalaba? Kwa mtizamo wangu jamaa hasira zao na mke alipeleka kwa watoto na kuwatelekeza je , haingilia akilini baba mwenye ufahamu unamwachia mwanaume mwenzieo ahangaike na maziko ya mwanao, na kama jina lisingebadilishwa na kuruhusiwa kuzika angepotezea , bwege huyu
Msiba huo kiboko una vituko vya kila aina Arusha kiboko kuna vituko vini vya ajabu
Nipisheni napita da
Hivo vihela vya mama jmn vimewafanya mkatae baba mtoto 😅😅😅😊
Hili jina lipo tangu siku ya kwanza msiba umetokea...hata hizo pesa hazikua zimesemwa...
Ilibidi alalamike mapema sana
Na kama alikuwa hamjali mtoto na halipi ada mwanajeshi akawa analipa ada shida gani? Jina tuu
Kama ulikuwa hulipi ada,wala kununua chakula chao unakujaje kuzika?
Anaonyesha mpole asiependa vurumai
Mwanamke.huyo.nishetani.ndo.kasababisha.mtoto.kufa.mtoto.angekuwa.kwababa.harari.yasingetokea.hayo.kazi.yauzinzi.nihiyo.mungu.arikataa.aricho.kiunganisha.mungu.mwanadam.asikitenganishe.jeuri.yaujeshi.mwanamke.arifata.sifa.tu.yakuitwa.mke.wamjeda.kaferi.bora.angechukuriwa.yeye
kifo ni cha kila mtu ufanye nini wala nini kufa nlazima uyo baba aseme tu ukweli apa akuna umalaya aliacha mama na watoto skakataa kuyoa huduma mungu kampa wa kuudumia watoto jiulize uyu mgoto asongekufa je lini angejiyokeza kuchukua
mwanamume ndio akuudumua watoto alikua yuasubir nini muda wote aliacha watoto na mama yao mungu alimpa wakuudumia watoto mpaka mtoto smekufa ndio yuajitokeza mpuzi sana waume ndio chanxo cha yote hsya
Huyu aliyeingilia awajibike kwa hali zote zilizojitokeza . Na
Wewe unayejiita Dr... umemhudumia vipi huyo mtoto.. wewe ni sperm donor tu
Inawrzeka alikuwa ahudumii wanawake wengi Huwa huwawananyanyswa Kwa vigezo hivyo
Usaidiwe nini kaka mnaparamiaga makurumbembe kaka yasionielewa na pengine uliambiwa hakufai haya hayooooo sasa muwage mnasikia
Huuudumii unategemea nn😂😂😂
umejuaje kama haudumii ?
tunaangalia dna, hata kama baba jambaz dna ikionyesha ni wake hakuna mbadala
Duuuh kama hutoi matumiziii y mwanao baba anayelea lazima mtoto atakuwa wakwakeeee kwasababu Kila kitu anahudumia mwanajeshiii achukuee mauwaa yakeee Yuko sahihiii
@@johnkaliwanje434angekuwa anahudumia angekuwa jina limebadilishwa upuuzi wa baadhi ya mababa jina
@@happybajuta9769inatia kinyaa mpaka maziko ya mwanae hakujishugulusha, angetakiwa afanye maziko ya mwanae aibu kweli
Damu ya mtu haing'sng'aniwi jmn kuweni makini
Bora niandike jina langu.kuliko kumuandika kenge yule
Sasa kama walifunga ndoa yeye hajaoa mke mwingine kama alikuwaanatunza shida Iko wapi
We mwanasheria na ndevu zako kama bangi iv unajua vizur hawa viumbe ingekua ni mimi walahi wewe ningekuzibua mahaman nyau ww