KAZI ZA HUKU ZINATUMIZA MIGONGO NA MIGUU | UKILETWA NA MZUNGU HAKIKISHA UNAFANYA KAZI USINYANYASIKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 вер 2024
  • Hassan ameeleza safari ya maisha yake kutoka Zanzibar mpaka kuingia Uingereka mnamo mwaka 1995
    Namna alivyojipanga kwa Safari na maisha aliyoyakuta Uingereza.
    Anakwambia maisha ni magumu ni ya kukimbizana na yenye stress nyingi, bila kusaidizana kwenye kipato basi maisha yatakua ni magumu.
    Kasisitiza vijana kusoma na kufanya kazi kwani ndio kitu itakuokoa Ulaya.
    Ameeleza mtihani wa ndugu na jamaa kuhitaji kupewa pesa tu bila kujali waliopo Ulaya wanamaisha gani
    Thank you Hassan for allowing this to be online
    www.oda.international

КОМЕНТАРІ • 148

  • @omarali797
    @omarali797 4 місяці тому +6

    Mimi nipo UK, sasa hivi naelekea kazini nikiwa na furaha na Namshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kunijaalia kufika hapa

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 4 місяці тому +5

    Usiseme wabongo wavivu wewe dada zaina huku maisha magumu kazi watu wanafanya ila kazi zahuku zinaumiza kusimama viwandani hamna social life, kazi nyumbani nakazi muhimu rent bills zinakungoja, na una jua bei za nyumba huku ama unasema watanzania wavivu , tumekuja kutafuta lakini tunachoka especially ukiangalia familia uliyotoka mbaya tumejituma sana waru tunamiaka zaidi ya 30 , kunachosha haswa huku kama anavyosema kaka kazi nyumbani shopping kulala tumechoka wengine tunampango wakurudi nyumbani tulichopata alhamdullilah

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 4 місяці тому +7

    Elimu nzuri, sio UK peke yake nchi zote za kigeni maisha sio rahisi

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 4 місяці тому +5

    Care wanasubiria ufe Wauze nyumba watoto wachukue urithi daaaha hongera sana brother hassan ❤❤❤

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 4 місяці тому +2

    Penye nia ipo njia. Asante Hassan kwa stori na hadithi fupi ya maisha yako. Umeonyesha na kuthibitisha kuwa wanayosema watu kuhus wewe au plani zako ni kinyume kabisa. Umepambana na kutimiza ndoto yako ya kusafiri na imetoa njia fulani hivi ya wale wote waliokuwa hawajui namna ya kusafiri wanaweza kuiga mfano wako. Shena asante kwa kazi nzuri kama kawaida ukidadisi watu hapa wapo watakaonufaika.

  • @shiblyahmedomar8792
    @shiblyahmedomar8792 4 місяці тому +2

    Huyu jamaa ni kweli maneno yake mm nilikuwa pia miaka mingi sana na nimeona na makazi tumeyafanya huku kwetu hufanyi lakini tumetia ability akili na tumejifunza mengi na kazi nyingi za mikono za ufundi tumezijuwa na ndio tumerudi tufanye hapa wenyewe huna boss ni mwenyewe tu na mungu atusaidie

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 4 місяці тому +2

    Kuna watu wakiwa ulaya miaka 3 tu wakija Tz wanajifanya hawajui kiswahili ila ww kk mashallah

  • @fortunathabarabara8471
    @fortunathabarabara8471 4 місяці тому +5

    nimemuelewa sana katika suala la kukumbuka nyumbani 😢❤

  • @user-gm3bn7nu1x
    @user-gm3bn7nu1x 2 місяці тому

    Allah Subhanna Akupe futaha Daima na akupe watoto wema wenye kiielewa km baba yawo mchezaniwao hutunzwa watoto wako wanajuwa. Kiswahili na wanaswali vizuri usilisahau na hili ni muhimu zaidi

  • @yusuphmwangalamwene-zs9ee
    @yusuphmwangalamwene-zs9ee 4 місяці тому +26

    Huyu JAMAA ameongea ukweli mtupu miaka miingi ulaya lakini sijasikia kuchanganya lugha kiingereza na kiswahili "sifa zimwwndee'

    • @Mamy49
      @Mamy49 4 місяці тому +1

      Walokuja Uk 95 wengi hawajuwi lugha

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 4 місяці тому +2

      Huyu ni mtoto wa mjini na hana ulimbukeni kabisa.
      Mie niko Denmark na nimapata watoto hapa ila wote wanaongea kiswahili vizuri tena na kukiandika kabisa.
      Ni ulimbukeni tu flani ndio na kujisahau.

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o 2 місяці тому +1

      ​@@sonnyr1899kweli kabisa ndugu, ni ulimbukeni, au na wengine ni kutaka kujifunza lugha kupitia watoto wao. Hongera kwa wanao kuongea na kuandika lugha yako, hata wangu nawaongelesha na kuwaandikia kiswahili, na hasa mmoja wao anaandika pia. Kwanza ni vizuri kuwa na lugha zaidi ya moja, watu huzinunuwa kwa pesa hizo, then lugha ya wanapoishi wanaijuwa tu, kutwa wapo maskuli

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 4 місяці тому +12

    Ni kweli mi niko marekani maisha ya ulaya sio mchezo full stress miserable life Yani kazini nyumbani yani

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 4 місяці тому

      Na hapo uwe single sasa...full loneliness

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 4 місяці тому +1

      Si urudi bongo mbona bado upo huko

    • @samniza1763
      @samniza1763 4 місяці тому +1

      @@jovovichmedia9424 huwezi kimbia majukumu hata bongo utayakuta magumu tena ya bongo ndio hovyo kabisa maana hakuna rule of law.

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 4 місяці тому

      Kweli nduguzagu mimi nipo neworleans nawaza kurudi nyuban

    • @mbarikiaally2814
      @mbarikiaally2814 2 місяці тому

      Nyie wabongo mliokuwa Ulaya acheni unafiki mara Bongo maisha magumu ngoja tukimbilie Ulaya mkifika huko maisha ya Ulaya magumu sasa nyinyi mnafikiri Ulaya kuna miti ya fedha maisha dunia nzima yanachangamoto utofauti ni fursa tu pumbavu nyie mliokosa subira

  • @allthingsafrican
    @allthingsafrican 4 місяці тому +1

    Hassan asante kutuelezea safari yako ya kufika Ulaya na uzoefu wako wa maisha. Nyumbani wako wasio waaminifu lakini wapo waaminifu. Binadamu si mkamilifu popote duniani unaweza pata wasio waaminifu.

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 4 місяці тому +1

    Asanteni kwa darasa zuri . Nimependa kila kitu na asante kwa kutuambia ukweli😊

  • @mozaally1062
    @mozaally1062 4 місяці тому +1

    ❤kaka nimempenda kwa kusema ukweli juu ya yote,yupo vzr sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 місяці тому +3

    UUNGEREZA MAISHA GARI SANA . WE NYUMBA KWA WIKI,?😢

  • @balqisabdullah6200
    @balqisabdullah6200 4 місяці тому

    Kaka hassah tumekumiss miaka mingi hatujakuona au ndio maisha kama ulivosema manake umeongea ukweli mtupu big up kaka hassan.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 4 місяці тому +1

    HAWA WAZANZIBARI WAMEJAA kama nyoka kule UK, yaana wamesafiri zamani sana!

  • @evakabete2944
    @evakabete2944 4 місяці тому +8

    Na siyo ugumu wa kazi bari na hali ya hewa kipindi cha winter inatuumiza sana

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому

      Sadka mimi nina miaka 23 huku nje nimechoka roho inaniuma nimekuja tokea na miaka 25

    • @evakabete2944
      @evakabete2944 4 місяці тому

      @@FatimaAli-of4gh pole sana dada hata mimi ulaya imenichosha sana niko huku miaka 23 na nilikuja nikiwa na 21 years old

    • @magrethmanintveld5477
      @magrethmanintveld5477 4 місяці тому

      Kwa k baridi halizoeleki

    • @SHADRACKMAKUNDI
      @SHADRACKMAKUNDI 2 місяці тому

      😂 ludin bas tuwapokees

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u 23 дні тому

    Mpemba uyooo, asante

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 4 місяці тому

    Tunashukuru sana kaka Hasan kwa kutukumbusha tukumbuke nyumban 🎉🎉🎉🎉

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 4 місяці тому +3

    Kaongea ukweli sio uongo life ulaya ngumu sana

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 4 місяці тому +1

    dada ongera sana kwa jitihada zako twapata faida sana pia unajua kuhoji

  • @samniza1763
    @samniza1763 4 місяці тому +1

    Usilogwe kupeleka pesa kabisaaah! Nenda mwenyewe na utafanya makubwa na hata gharama sio kubwa vile.

  • @SM-fu1yv
    @SM-fu1yv 4 місяці тому +2

    Ni kweri maisha ya uingereza magumu yana stress ya hali juu

  • @mekyali
    @mekyali 4 місяці тому +1

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu katika watu wengi waliotoa elimu zao za safari ww umesema ukweli

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 місяці тому

    Sanaaa . Umeongea vizuri na ukweli mtupu.

  • @shamzone388
    @shamzone388 4 місяці тому +2

    Isitoshe nipo gulf miaka 40… ni kufanya kazi asbh kwenda kazini jioni kurudi home… na mpaka leo bado tunafanya kazi za hosp tena shift ni ngumu lakini muhitaji ni lazima tufanye tuna tafuta maisha…

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 місяці тому

      🤝 Ndio maisha tunayo ishi. Alhamdulilah.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 місяці тому

      Alokuwa hajasafiri hayajuwi maisha ya njee anayasikiya tuu kama Hadithi. Utaitamani hiyo baraza ikupumbaze utaliya utaikumbuka.

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 4 місяці тому +2

    Acha tu bill Kama zoteeee usipime yaani pesa unapata mkono wa kulia inatokea mkono wa kushoto kweli nyumbani ndio mpango mzima well say ♥️❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @zainab8251
    @zainab8251 4 місяці тому

    Asante sana kwa elimu nzuri dada sheina

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 4 місяці тому

    Muwafundishe watoto mila za kwenu Wawe wanawatembelea. Mimi miaka 30 hapa, na ninawafundisha watoto umuhimu wa familia

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 4 місяці тому

    Our kaka is so confident nimempenda sana,asante kwa kutupa experience yako..

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 4 місяці тому +1

    ongera sana mzee kwanza nimepata faidi lakini pia nimefurahi sana

  • @Project1986p
    @Project1986p 3 місяці тому +1

    Duh kumbe kama SWEDEN ..sio poa..anacho sema huyu jamaa ni more than 100%..pesa unapata ila siku mbiri tatu pesa ime isha na kazini lazma uende la sivyo unaweza pata kichaa bills zikija.

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 4 місяці тому +4

    Uishi maisha marefu dada shena

    • @SmilingCityMap-xb9md
      @SmilingCityMap-xb9md 4 місяці тому +1

      Aflika NI nchi nziri Sana Sana viongozi wetu mafisadi wanatutweza na kutufanya aflika tuikimbie kwenda ughaibuni

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 4 місяці тому +1

    kweli watu wengi wamelizwa na ndugu za karibu

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 місяці тому +2

    Hili swala la baadhi ya watu kuamini wazee ulaya wanateseka na upweke, nadhani wakiwa bongo hawatembelei wazee vijijini mwao.
    Wazee wanateseka sana bongo na wapo kwenye miji yao. Wametelekezwa na watoto na wajukuu. Ni wengi mno mno. Watu jaribuni kuzunguka vijijini kwenu kuwaona wazee tofauti mbali na wale wa nyumbani kwako unaoamini wanaishi vizuri.

    • @tunkuh661
      @tunkuh661 4 місяці тому

      Ni kweli but ni kwa uchache ukicompare na huko ... huku kwetu hata majirani wakati mwingine tumewategemeza wazee ambao wala hawatuhusu.

  • @abdallahalbakri2561
    @abdallahalbakri2561 3 місяці тому

    Kweli kabisa maisha ya ulaya siyo ya kawaida yani we acha tu
    Njaa tu ndo emetuleta huku lakini siyo maisha from hand to mouth .mtu unafanya kazi kama robot

  • @user-pz3dx8wn3j
    @user-pz3dx8wn3j 4 місяці тому +2

    Mpemba mwenzang uy

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 4 місяці тому +1

    Huyo mtazania amesema ukweli kabisa kazina kurundi nyumbani hakuna cha kujuana kweli kabisa unasema kweli kabisa

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 4 місяці тому +3

    Kweli ndugu lawama niliwapelekea tools ya kufungua work shop wameuza kila kitu badala kufungua work shop,😲😲

  • @zulfahaji91
    @zulfahaji91 4 місяці тому +1

    Freshi umeongea point

  • @mohammedmussa6740
    @mohammedmussa6740 Місяць тому

    PREACH MY BRODA

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 місяці тому +2

    Watu wa nyumbani wanakunyonya macho na damu. Ni wabaya kuliko kausha damu.

    • @marieheiss6560
      @marieheiss6560 4 місяці тому +1

      @damaris, ukweli kabisa huruma na utu hawana

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 2 місяці тому

    Unaona tofauti mojawapo hiyo na nchi za nje nyengine, ni kuwa hapo UK umepata makaratasi kupitia kuwa na watoto, nchi nyengine hawana hiyo

  • @arnold9406
    @arnold9406 4 місяці тому +2

    Benefit system ndio inayowachanganya watu.
    Maisha sio magumu ni plan zako tu. Akili kichwani

  • @mohdnasser3620
    @mohdnasser3620 4 місяці тому +2

    Poleni sana

    • @corrolesscps
      @corrolesscps 4 місяці тому

      Wanaumwa Miguu Migongo inachangia na Hali ya hewa ya Ulaya muda Mwingi hakuna jua, watu wanakuwa na upungufu wa vitamin D na ukijumlisha na kazi nzito basi Migongo ndio hapo

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому

      Ni kweli hata mimi huwa nakwenda kwa Dk ananipa vitamin D miguu inaniuma sana

  • @umsalim6515
    @umsalim6515 4 місяці тому +1

    Kwa wale wanosema sie wa TZ tunalalam8ka tu ,mbona wa Nigeria wana invest kwao. Wao wanaruhusiwa uraia pacha ambao wanakuwa na haki kamili ya kumiliki nchi kwao , tofauti na sisi na hili ndio linaloturudisha nyuma

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 4 місяці тому

    Umesema ukweli mtupu bro.yani Mimi Nipo hapa belgium.na hayo unayoyasema yooote nayaona.ni hakika kabisa.yani kama unataka ule raha.yaani ufanye Kazi Kwa bidii mno huku.then ujiimarishe kiuchumi nyumbani halafu urudi.hapo utaonjoy maisha.

  • @josephinewangwe1154
    @josephinewangwe1154 4 місяці тому +1

    Umeongea ukweli mtupu kakangu

  • @mbarakmzee
    @mbarakmzee 4 місяці тому +2

    Dada fanya kipindi cha watu walioko nyumbani

  • @mohamedmwavuguto8276
    @mohamedmwavuguto8276 4 місяці тому

    Hakika ukiwa una malengo kimaisha na vile vile unajitambua ; huwezi kukwama . Mara nyingi ulimbukeni ndiyo unaoangamiza watu wengi wanapokwenda nje ya nchi zao .

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 4 місяці тому

    Sema alhamdulilah kuna watu wanaamka hawajui hata wapi waelekeee ,hawana kazi hawana bazi wanataka hizo kazi lkn hawazipati

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 4 місяці тому

      Umeongea kitu kizuri sana sio watu wengine oooh ulaya pagumu sijui maisha sio rahisi

  • @user-ib7kn6fs4x
    @user-ib7kn6fs4x 4 місяці тому +1

    Bro Muungu akubariki huna majigambo

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 2 місяці тому

    Then usim judge tu jamaa, ukaona maisha yako ni rahisi, coz kwanza linganisha, je unaishi peke yako, au ume share nyumba, kisha je una mke au mume, na au na watoto, hasa kuanzia wadogo? then bills zako za muhimu unalipa, au unapunguza kwa ajili ya ku save? Then kuna wanaosaidia makwao walipotokea

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому

    Kaka Hassan ndo nimerudi hapa kaxini hata nguo za kaxi sijavua nakusikiliza from Uk

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 4 місяці тому +1

    Umesa kweli

  • @RAMLATU-i3y
    @RAMLATU-i3y 4 місяці тому

    Uko sahihi kabisi bro

  • @fatmakombo9793
    @fatmakombo9793 4 місяці тому

    Kweli asilimia kubwa sio watendaji
    Tena wanasaidiwa sana

  • @ivanslavica4926
    @ivanslavica4926 4 місяці тому

    Ni kweli kabisa

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 4 місяці тому

    Maisha ya ULAYA siyo magumuuu. BALI UNATAKIWA kujituma UWE NA DEGREE usiwe nayo UONGO UONGO MWINGII utakusaidia ILI maisha YAWE RAHISI

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 місяці тому

    Hapo kwa kustarehe ndipo penyewe. Wamestarehe mpaka wanakosa nauli. Wanakuwa mateja

  • @saalimal-tariq1031
    @saalimal-tariq1031 4 місяці тому

    Kweli maneno yako

  • @Fetty-r4o
    @Fetty-r4o 2 місяці тому

    Then ukilinganisha, wengine wameletwa (sponsored) tu, so mamboengi ni ready made

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 4 місяці тому

    Daaaa. Hiyo inaitwa chugachuga

  • @BalkissMuhammad-c5o
    @BalkissMuhammad-c5o 4 місяці тому

    Bismillah

  • @gracenbarnes5254
    @gracenbarnes5254 4 місяці тому +2

    Jamani watz mnaoenda nje mkifika angalieni fursa zilizopo
    Ukweli ni kwamba waafrika wengi walootoboa ughaibuni wana biashara hawategemei kazi tu ya ajira au mzungu aliemuoa..

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 4 місяці тому

    Inategemea uko nchi gani na unafanya kazi gani? USA 🇺🇸 maisha mazuri sana na pesa zinapatikana ukiamua kufanya kazi kwa bidii, ukiwa umesoma ndio maisha raisi sasa. Nakubaliana nawe kutengeneza na kukumbuka nyumbani

  • @seifmajid8088
    @seifmajid8088 4 місяці тому +1

    Mimi niliingia Uingereza mwaka mmoja 1995 kama huyu jamaa , lakini nikaamua kurudi Tz baada ya miaka 6, sikuweza kuendelea kuishi kutokana na matatizo ya kimaisha., niliishi Tz kwa muda , nikaondoka tena , nikapata nafasi ya kuja Oman.

  • @DrOmaryJuma-zj6se
    @DrOmaryJuma-zj6se 4 місяці тому

    Kila sehemu maisha sio rahisi.utaratibu wa kuwatambua diaspora ndio utssaidia watanzania waliopo nje kujinusuru kiuchumi. Angalia mfano Nigeria diaspora wao wana uwezo wa kujenga na kuendesha biashara ndani ya Nigeria matokeo yake ni kuwa wanaigeria wote walio nje wana majengo na biashara nchini kwao.Watanzania ulaya wanaumia zaidi kwa sababu kila kitu inabidi kiishie ughaibuni. Wakija Tz wengine hawana mijengo matokeo yake hukaa hotelini tukumbuke wengi walitoka uswazi sasa leo upo London unakuja kwenu bado unakaa uswazi ni ngumu.watanzania waliopo nje karibu wote wamekwenda kutafuta maisha lkn wanapenda waishi kwao.
    Maisha ya ulaya tukiyaiga Tz miaka 10 tu tutakuwa tumetoboa.

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 4 місяці тому +1

      Futa usemi wako hujui ndugu wanavyorudisha maendeleo nyumba unatuma pesa ya kiwanja inaliwa n'a hâta ukiwa n'a kiwanja kabla hujasafiri ujenzi uyapigwa mpaka uitike abeee tema mate chini

    • @umsalim6515
      @umsalim6515 4 місяці тому +1

      Naona kila mmoja anawasifu wanaigiria wana invest kwao, Wenzetu wanapewa haki kamili ya kimiliki na nchi yao,kwetu sisi hili ndio linaloturudisha nyuma, hatuwezi kumiliki kamili haki zetu nyumbani tulipozaliwa. Na Nigeria wanao uraia pacha ndio unasaidia sana

  • @floraflora9490
    @floraflora9490 Місяць тому

    🤣 uulize ticket without visa

  • @Bifa_2024
    @Bifa_2024 4 місяці тому

    Ukale urojo ee😂😂 😂😂😂

  • @ebitariho9720
    @ebitariho9720 4 місяці тому

    Huyo baba nimempenda bure anaongea ukweli. Watu wa tanzania hawatamuelewa

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 4 місяці тому +1

    Hata waliosoma hawataki magolikeaper.

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 4 місяці тому +1

    Huyu jamaa ni muongo sana hata sisi tunakaa UK sasa namuuliza hao ndugu ndio walimtuma aje atafute pesa awatumie sasa anangoja nini huku asiyerudi kwao Tanzania

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 4 місяці тому +1

      kama umemsikiza kwa makini hauwezi kumuuliza hayo maswali mzee kazungumza ukweli mtupu

  • @shamzone388
    @shamzone388 4 місяці тому

    Maisha kila mahali ni magumu
    Lazima utafute kazi ufanye ukope ununue gari ukodishe nyumba na nk….
    Bank ndio mahali pekeee panapokumalizia matatizo yako ni mikopo kwenda mbele…

  • @selemanshaban7496
    @selemanshaban7496 4 місяці тому +1

    Mtangazani una meno mazuri meupeee

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 4 місяці тому +2

    Kwahiyo mnatushaurije tukae Tanzania au maana kila nterview hapa naona watu wanasema maisha magumu ulaya tupeni conclusion tukae bongo tupambanie bongo maisha yanawezaka

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  4 місяці тому +4

      Wanawapa uhalisia
      Ili kama umeamua kwenda nchi za watu basi Uwe na taswira ya maisha halisi
      Akili kwa mkichwa, Rizki popote 🙏

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 4 місяці тому

      Baki tu nyumbani ndugu yangu

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 4 місяці тому

    Dada hivyohivyo endelea kutupa story unajua dada

  • @alexmachare6495
    @alexmachare6495 4 місяці тому +1

    Unarudia rudia sana.Can't u be brief?

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 4 місяці тому

    kanichekesha eti ata atoke madina😂😂😂

  • @rayasaid3734
    @rayasaid3734 4 місяці тому +1

    Ni kweli asemayo huyu kaka ndio tupo Uk

  • @mohrecaps
    @mohrecaps 4 місяці тому

    Leo wa kwanza kucomment

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 4 місяці тому

      Mohamed Nurdin hulali jamani🤔

    • @mohrecaps
      @mohrecaps 4 місяці тому +1

      @@fettyrashid9042 nitalala nikifika USA dada Yani siku nikiigusa New York nazani nitalala pale kwa uzuri kabisa

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 4 місяці тому

      @@mohrecaps 🤣🤣🤲🙏

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 4 місяці тому

      ​@@mohrecaps😅😅

  • @fahadisaidi5106
    @fahadisaidi5106 4 місяці тому

    Kasawijika😂

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 4 місяці тому

    Mimi meli dio nime I Gia marekani

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 4 місяці тому

    Sasa sheikh mbona ukiambiwa urudi huku unakataa,maana yake huko kuna nafuu flani unaiona,swala la miguu na migongo huku ndio usiseme bora nyie hata matibabu mazuri pengine mnapata,ndugu yangu kaza buti huko huko huku ni hatari sana,anaefanya kazi na asie fanya kazi wote ujira mdogo,wanaofeli huko ulaya wengi walevi na watu wastarehe.

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому +1

      Sio ulevi ndugu yangu kodi ni nyingi huku za kulipa

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 4 місяці тому

      Ndo ashaanzisha familiar tatizo

    • @samsonkatigiri2344
      @samsonkatigiri2344 4 місяці тому

      @@FatimaAli-of4gh Sasa mbona mnatuchanganya wengine wanasema ulaya mambo safi wengine mnasema sio safi,lakini kama mabaya kweli mbona hamrudi,sijawah ona aliekwenda ulaya akarudi kwa maisha kuwa magumu,akirudi anakuja kuanzisha biashara.

  • @fatmasalim7132
    @fatmasalim7132 4 місяці тому +1

    Saa 4 wacha nkale urojo!😂

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 4 місяці тому +3

    Wabongo ni wavivu na ndiyo maana wanapenda kulalamika😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa kwanini mmekuja huku ulaya?

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 4 місяці тому +3

      Sikiliza ushauri mzuri huo ,acha upumbavu

    • @beccakhalfa5636
      @beccakhalfa5636 4 місяці тому +2

      Ndio uelewa wako

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 4 місяці тому +2

      We hujitambui na hujui ulichokiandika.. Kwanza ni ulaya ipi upo? .. Tuambie ni ulaya ipi hiyo upo?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 4 місяці тому

      Kwanza huyo kijana siyo MBongo . Lakini maisha ya njee ndo yanjee ni yakutafuta maisha.

    • @ahmedhemed3983
      @ahmedhemed3983 4 місяці тому

      Huyo kazoea kukaa barazani
      Wacha kulalamika kama hali sio nzuri rudi kwenu wacha kasumba hizo ndio mana hatuendelei

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 4 місяці тому +1

    Ila Watanzania mnaoishi Abroad mnatutia aibu sana . Ni ninyi tu Watanzania ndio kila kukicha mnatutangaza ndugu zenu huku Tz eti tunataka pesa kwa pesa gan mnazotutumia? huku, mjifunze kwa Wa Nigeria wanaijenga kwao makasri kwao hadi vijijini ninyi hamna mnachofanya kazi yenu kutulalamikia tu acheni hizo

    • @umsalim6515
      @umsalim6515 4 місяці тому +1

      Hao unaosema wa Nigeria wanapewa haki na nchi zao ndio maana wana invest kwao, sie mpaka leo tunakataliwa haki zetu nchi yetu tulozaliwa, hatuwezi kumiliki kamili haki zetu nyumbani , hilo ndio linaloturudisha nyuma

    • @KADALAtv255
      @KADALAtv255 4 місяці тому

      @@umsalim6515 Kivipi kwa huna haki ya kumiliki ardhi nyumbani? Nyie shangaeni ugenini ardhi huku inabebwa na wageni mkirudi huku hola

  • @sanaf8367
    @sanaf8367 4 місяці тому

    Bongo raha sana usikuambie mtu maisha ughaibuni ni mahangaiko tu ila kwa upande mwengine ulaya kuna fursa ukilinganisha na nyumbani.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 місяці тому

    Watanzania wavivu ndio maana wakitoka nje ya nchi yao ooh ni kazi

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 4 місяці тому

      Sasa pesa wafanyie nn??😊​@@augustuss4503

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 4 місяці тому

    Niko tz unachosema nikweli, mwenye uwezo wa kufikiri ndio atakuelewa

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 4 місяці тому

    Sasa unataka kuishi bila kazi uolewe fanya kazi ndio ulaya hiyo

  • @halimaali282
    @halimaali282 4 місяці тому

    sio wabongo asilimia 100wazanzibar wenzetu ni wavivu.hujaowa wake wanne huko

    • @fatnasaidi3027
      @fatnasaidi3027 4 місяці тому

      Wewe maisha ya nje si mchezo ujafika uone

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 4 місяці тому

      Ukiwa hupo huku mwenzio unamuona mjinga huku hakuna starehe kazi kwenda mbele sio kama nyumbani jioni upo forodhsni

    • @mbarikiaally2814
      @mbarikiaally2814 2 місяці тому

      Sasa nyinyi mumefata starehe au kazi nyinyi kweri wapumbavu kama mtu anajuwa alichokifata huko hawezi kulalamika ungebaki Bongo ushinde vijiweni