Da shena kusoma kijeruman inaweza chukua Ata mda gan mwanafunzi kuelewa na je Canada wanatumia lugha gan nipo Oman inshallah Mungu akujalie mwakan naweza kwenda Canada
Uwiii shena asante sana haki unatusaidia sana aisee. Haya mambo wengi tulikua hatuyajui lkn ashukuriwe Mungu aliyekuongoza kuanzisha hii channel. Thank you Shena and God bless you and your family ❤
Lakini ukienda kwa huyo saikojia wala siyo shida. Unajieleza tu kuwa unakosea kwa vile unapata hofu ukiwa na huyo officer wakati wa kutainiwa. Mara nyingi mtu anafeli kwa sababu ya hofu tu siyo kwamba ameshindwa kuendesha gari. Unajitetea kuwa ni hofu lakini kuendesha unajua . Mara ya nne unapewa afficer mpole na friendly. Najua watu kadhaa walipita baada yakujieleza kwa hao saikolojia.
Yaani Mimi kwa mambo hayo ya kuomba visa mbona ningeshindwa! Ninashukuru wakati tumekuja kila kitu serikali ili fanya obviously tulikua tunakuja shuleni 1986. Hata kwenda Uingereza Summer holiday Watanzania tulikua hatukuhitaji kwenda omba visa kutoka Czechoslovakia then in 1986. Tulikua tunakwenda ubalozi wa ujerumani tu kuomba visa/transit visa on our way to the UK.
🤔Ulikosea kidogo Shena lakini umeshajifunza. Ungeomba fiancé visa ambayo ungetakiwa kufunga ndoa ndani ya miezi sita kabla haija expire. Ungetumia njia hio tena ungepewa visa ya indefinite leave to remain. Hapo tena ungekuwa mambo yamekaa vizuri zaidi. Anyway, tayari umeshapata uzoefu sasa hongera na asante kwa kushea🤝
Nilikua nimeshafunga ndoa Tanzania Na visa ya kwanza ya matembezi nilikuja kama mke ila nilikua kazini Ukipewa visa ya kufunga ndoa ni valid kwa few months tu muwe mshafunga ndoa bila hivyo inakua terminated
Pole dada mungu wa mbingu akuchunge sana mimi na itua Mr Ernest natamani unitumiyeko number Yako ya what's kusudi twanze kuongeya maswali mazuri sana kuhusu ya maendeleyo yetu ya maisha Asante dada usi saulike
Shule za kusoma Kijerumani
Goethe institute
Hertz connecting Tanzania - Sinza
Da shena kusoma kijeruman inaweza chukua Ata mda gan mwanafunzi kuelewa na je Canada wanatumia lugha gan nipo Oman inshallah Mungu akujalie mwakan naweza kwenda Canada
Lkn daa shena ujatwambia bado mmeo mlipatana kwa njia gani intro kias inaongeza ladha ya stori😊
Waah huo mtihani wakuvunjika mwezi mmoja tu baada ya kuingia nchi za wenyewe ni mtihani haswaa. Glory to God kwa kukuvusha
Yani siku 10 tu nikiwa hapa
Glory to God
Wowii madam barikiwa Sana kwa elimu nzuri
Love you more ❤❤
Leo ndio nimesikiliza hiii Story, pole sana kwa ajili.
Hongera madam nimezidi kujifunza kutoka kwako ila kupatikana kwako kazi kweli
Uwiii shena asante sana haki unatusaidia sana aisee. Haya mambo wengi tulikua hatuyajui lkn ashukuriwe Mungu aliyekuongoza kuanzisha hii channel. Thank you Shena and God bless you and your family ❤
Shukran
Kwetu sote ameen 🙏
Nakupenda tu shena
.mungu akupe nguvu zaid
Barikiwa Sana kwa napenda unavyo jielezea hadi raha pole kwa viuma utapona dear
Ushauri mzuri sana❤ pole pia kwa changamoto uliyopitia
Shukran dear
Beautiful keep it up👍
Pole sana kwa majaribu.
Our God He is faithful always.
Pole Shena kwa changamoto na asante kutujuza hizo nondo muhimu❤
Shukran sana
Pole sana shena, na pia hongera kwakutuelexea vizuri kwa undani na kwaupole utafika mbali
Pole Shena na Hongera sana kwa kila kitu wewe ni mpambanaji.Hongera kwa kazi nzuri Mungu atazidi kukuinua
Pole sana kwa ajali uliyoipata Mungu atakuafu In Shaa Allwah
Point taken, dear. Hakuna kushangaashangaa ukifika nchi za watu
Exactly 🥰
Pole sana dada myezi mungu akuseheliye kwa kila mtihani mabaya akuepushe
Ameen kwetu sote
It was easy then, like in the UK1991 tumekuja bila visa.
Pole sana kwa ajali. Hope unaendelea salama sasa.
Shukran
Sijambo
Mungu ni mwema
Ahsante Shena kwa taarifa zako mzuri M/akubariki.
Nimependa hiki kipindi kimenielimisha
Shukran sana
Nafurahi kusikia 🙏🙏
Umependeza sana.
Pole sana kwa ajali uliyoipata. Pia hongera kwa kupata matibabu na kufanikisha mapema taratibu za Bima.
Shukran 🙏
Waoh God is good
Sana
Kweli kila mahali ukiwa na leseni ya manual unaendesha gari zote manually na automatic
Jirani Jirani... Asante sana kutuhamasisha❤️❤️☺️☺️....hopefully na Mimi one day ntatoa testimony 🫶🏾🙏🏾
Amen Jirani 🙏❤️
Dada pin huyo mtu ulosema ameamia sinza pls
Sauti iko Chini kama unajiongelesha mwenyewe.
Oooh pole sikua najua kama sauti iko chini
Pole sana dada angu aise nimeumia sana 😢😢😢😢😢
Ulivunjika kwa ajali gani? Uko vizuri dada Mungu akubariki.
Ukifeli mara tatu unaruhusiwa kufanya mara ya nne lakini utapelekwa kwa mwana saikolojia kuhojiwa kwanza😅
Yani nimesikia
Lakini ukienda kwa huyo saikojia wala siyo shida. Unajieleza tu kuwa unakosea kwa vile unapata hofu ukiwa na huyo officer wakati wa kutainiwa. Mara nyingi mtu anafeli kwa sababu ya hofu tu siyo kwamba ameshindwa kuendesha gari. Unajitetea kuwa ni hofu lakini kuendesha unajua . Mara ya nne unapewa afficer mpole na friendly. Najua watu kadhaa walipita baada yakujieleza kwa hao saikolojia.
Mie Uk...wee nilianza from the scratch😅😅pole sana kwa matatixo...❤
Shukran
Pole shena kwa mapito hakika everything happened for reason, ubarikiwe sana naendelea kujifunza kila siku Katika hii channel 😊
your doing well👏
Jmn pole kipnz
Asante sana shena tunajifunza na unatufumbua macho❤❤❤
Ok
Hakika kila binadamu angalia anapumua ana maana kubwa sana
Pole sana kipenzi chetu
Pole moinangu kwa changa moto zilokukuta
Miye npeda sana kusikiliza hii mipango unayoiipitisha hapa ni mafuzo kwa wengi
Tunaomba jina la ile shule iliyoko Sinza.
Ashapin hapo juu
Bona wengi mkienda uraya munakuwa na furaha inamana tz kunashida ya maisha sana hari gumu
Pole sana sister
Nice story sister!
Mwaka gani ulisoma Goethe Institut?
Nilifanya kazi pale,
Karibu Ujerumani 😊
Shukran kaka Link
Nilisoma 2013, then nikasoma tena 2020
Hiyo ya kuendesha gari ni kama huku uingereza
Ooh sheria zinaewiana Kumbe
Karibu sana kwa kipindi 🙏
+4367764790884
Kituo cha red cross.
pole sana dada 😢😢
Ni kweli mradi drive lience
Yaani Mimi kwa mambo hayo ya kuomba visa mbona ningeshindwa! Ninashukuru wakati tumekuja kila kitu serikali ili fanya obviously tulikua tunakuja shuleni 1986. Hata kwenda Uingereza Summer holiday Watanzania tulikua hatukuhitaji kwenda omba visa kutoka Czechoslovakia then in 1986. Tulikua tunakwenda ubalozi wa ujerumani tu kuomba visa/transit visa on our way to the UK.
Karibu sana kwa kipindi tupate kujifunza mengi ya enzi za 1986
Litakua ni darasa kubwa sana kwetu
+4367764790884
Mlete huyo mwalimu wako jamani atoe madini kwa vijana wetu.
Ni nzur kufanya kila kitu mapema hata mie nimefanya mapema
Hongera sana
Ulipata ajali ukiwa na drive au ukiwa unasafiri?
🤔Ulikosea kidogo Shena lakini umeshajifunza. Ungeomba fiancé visa ambayo ungetakiwa kufunga ndoa ndani ya miezi sita kabla haija expire. Ungetumia njia hio tena ungepewa visa ya indefinite leave to remain. Hapo tena ungekuwa mambo yamekaa vizuri zaidi. Anyway, tayari umeshapata uzoefu sasa hongera na asante kwa kushea🤝
Nilikua nimeshafunga ndoa Tanzania
Na visa ya kwanza ya matembezi nilikuja kama mke ila nilikua kazini
Ukipewa visa ya kufunga ndoa ni valid kwa few months tu muwe mshafunga ndoa bila hivyo inakua terminated
Ingekuwa spousal visa
Pole dada mungu wa mbingu akuchunge sana mimi na itua Mr Ernest natamani unitumiyeko number Yako ya what's kusudi twanze kuongeya maswali mazuri sana kuhusu ya maendeleyo yetu ya maisha Asante dada usi saulike
Shukran
+4367764790884
Pia passport tenda aliwin mmarekani passport zetu ni.mmarekani anayetengeneza
BASI HUKO NI KUZURI , UBELGIJI HIYO HAWANA KABISA. WEWE NI KUANZA MWANZO. THEORIE, THEN PRACTICAL.
Bantu app mbona haifunguki on my side
App ipo kwa matengenezo
Site inafanya kazi
www.bantu.dating
Nipatiye namba yako ya whatsap
Mimi ni mkenya naishi Ujerumani. Nikija Austria nitakuita 📞 labda tunaweza tukaonana tunyue kahawa 😍
Ahsante sana
Karibu
Na pia Karibu sana kwa kipindi 🥰
@@OfficialDatingAssistance Nashukuru 🙏🏾
Da shena mbona husomi comment zangu.
Una watoto wangapi?
Nauliza ajali ulopata imetokana na nini
Baiskeli
Alikuwa anaendesha baiske
Aliyekuwa analala mlangoni mwa duka ni homeless siyo kichaa
Pole sana kwa majaribu.
Our God He is faithful always.
Kweli kila mahali ukiwa na leseni ya manual unaendesha gari zote manually na automatic
Exactly
Pole sana kwa majaribu.
Our God He is faithful always.
Pole sana kwa majaribu.
Our God He is faithful always.
Amen 🙏